😭😭😭😭😭🙏🙏 hii nyimbo ni ya wanawake wote duniya ni maisha ya kweli wanawake wanapitiya mengi snaa duniya hii nyimbo inatiya moyo wanawake wezangu tusivunjike moyo kwani mungu Yuko Na sisi big up hamisamobetto
nampenda xna mama ake hamisa yan hajawah muacha mwanae yupo bega kwa bega na mwanae yan mung akulinde mama mobeto uone mazur ya mwanao maana yajayo yanafurahisha ❤❤❤❤❤💕💕💕💕
Sijaona comment ya kupinga,ni wazi hii nyimbo ni funzo,inanifanya kumkumbuka sana mama angu(apumzike kwa amani) Like hapa show love na surpport kwa missa,she deserve it 😘😘. Ahsante sana Hamisa Mobeto!!
I wanna be africa number 1 I love hamisa I love my Tanzania and all countries of African gonga like yako kushoto na comment Kulia Kama unaikubali hii ngoma
Kawaida majungu huwa hayajengi kitu,nakupongeza kwa wimbo wako kwani unaleta ujasiri kwa wanawake na pia kuweza kuheshimika kwa kila wawezacho kukipata kama sisi wanaume,honger hamisa Kama unakubaliana na mimi comment tumsapoti dada yetu🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Madam hero ....Hamisa I love this song and am so proud of you sana all the way from 254.... Tulidharaulika sana wanawake hatuwezi lolote.......acha tu watucheke but yeah tutafanya bidii.Tunapambana because we are madam heroes. Wapi Likes za mobeto
This is an inspirational song,wasichana musipende njia za panya,pambaneni hata Kama kuuza nyanya mtafika mtakako Kwa kibali ya mwenyezi Mungu # dreams are valid.# God is not dead.
Hamisa samahani mdogo wangu,sintaongezaga kuskiliza iyi nyimbo,😪😪😪inanikumbushaga mteso nilipitiyaga na wanangu watatu.Heshima kwa single mother,s wooote duniani,nyinyi wooote niwa Madam Hero...
Nakupenda sana Hamisa ww n shupavu usiye kata tamaa hukuangalia umepakwa matope kias gan ila umezd kusonga mbele safi sana na Mung naiman kamwe hatakuacha i love u so much mfano mzuri uko kwako narudia nakupenda sana sana sana sana sana sana. Pia mama ako n mfano mzuri kwa mama wote dunia nzima mama yupo bega kwa bega na ww
Si sauti, si urembo, si utaratibu wa wimbo, si uzuri na utamu wa muziki. I feel like I love everything to do with the song. Hamissa Mobetto nakupenda Sana mamaa!
You made it asee bonge la video inaendana kabisa na uhalisia wa nyimbo umenihamasisha sana na nyimbo hiiii go mama mwenzangu go good job yaan cjui nikwambie nini
Haki tena nimeangalia mara kama zooote hivi daaah Hamissa mama umeuawa na utawaanyoosha watakubali tu go go go go 🚦🏃🏃🏃🏃🏃🏃🚥🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🚦🏃🏃🏃🏃🏃🏃go baby girl we love you
Hata walio na chuki watakuja kuicklza hii nyimbo kimya kimya na watajisemea mioyoni mwao ,ameweza😎. Mungu ni wetu sote ,wabaya na wazuri wote wake! Hongera kwa kazi nzuri✌✌
Hamissa I like your attitude, our attitude towards everything makes the difference in life,your song is a true reality of true fighters, tuko nyuma yako tukipambana pia,I love your song
From kenya Madam Hero is a good song Hamisa mobetto naipenda tu sana yaani ni chai yangu kila asubuhi ,respect to u mum ,karibu kenya ,I love your are voice madam,
We were quick to judge her. We never remembered that she also had emotions. We didn't know what choices she had to make in order to do what we hated so much.she is strong but the insults hurled at her are too much. Hamissa keep going girl. The past is gone and you have better days. Woman power Dada yangu
Mi wakiume ila hii ngoma naisikia kwa mishipa ya damu,,nzuri sana stor ya video sawa na wimbo,,na weng hukosea hapa ,,,safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hamisa you're a big artist focus you can be our African queen. We all know isn't easy money wise to produce. Music but all you need is to keep on going.