Yaani nyinyi wajukuu wa mtume ubishi huwa unawapoza sana uwezo wa kupigana na myahudi hamna mnamchokoza akiwatwanga mnaanza kulilia acheni doze iwaingie
Wayahudi hawawezi kushindwa vita kwani wamo katika agano la Mungu wa mbingu na nchi, hawawezi kuipiga Israel hiyo nchi Ina Mungu, siraha zao zikiahindwa Mungu atawapigania kwa kutumia mawe ya kutoka mbinguni
Maisha yanaenda Kasi sana, wale watu wanapigana pale n ndugu, waacheni atayeona ameshindwa basi ata sarenda, tujilie ugali wetu tutulie hayatuhusu hayo ya ndugu, chukueni majembe mkalime
Moja kati ya mtihani mkubwa ambao pengine utapelekea kuondolewa madarakani kwa rais wa sasa wa Iran ni hivi lsrael inaishambulia Lebanon na yeye hachukui hatua yoyote. Sidhani kama wairan watakuwa na imani nae.
Kwani huwa hamuoni watu somalia , nigeria , sudan mkawalilia na kuwatetea wasiuawe na makundi ya kigaidi kuliko muendeleze chuki na myahudi asiyeanzisha vita
Tunajitambua kama wanaweza kupiga sehemu za ulinzi kama Airport,Kambi za jeshi hawshindwi kuvunja masoko,Shule,Hospital na majumba ya watu Yahudi anapiga hovyo
Alhmdulillah kwa kufa huyo shia kafiri alieua waislamu wengi syriaa Huy nasrullah sio muislam ni shia kafiri kibarak wa iran. Ila waislamu wengi hawajui wanadhan ni muislam kams walivyokuwa wanadhani saddam ni muislam.
Waarabu wasipo ungana watauliwa sana na izrael pale masharik ya kati , hafu mbona hazbora baba yao iran katulia tu watoto wanakufa au naye chawa wa netanyau
Shida ilianzia hapa Hezbollah Shia's alisaidia serikali ya Bashal Al Assad kule Syria kuyapiga makundi ya watu waliokuwa wanataka kuiondoa serikali na makundi mengi yalikuwa ya kisunni kama(HAYAT TAHRIR AL SHAM) kundi hili linaongoza mji wa IDLIB SYRIA Hawa ndiyo wameshangilia baada ya kusikia kiongozi wa Hezbollah amefariki
Nyinyi mataifa yenu ndio mataifa yetu kama imani yenu Taifa la israil nitaifa la Mungu basi Mungu wenu ni marekani maana ndio anaemsaidia israil na kama israil niTaifa la Mungu kinyume chake nyinyi nyote mataifa yenu ni ya shetani iweje uwe upande taifa ambalo si Taifa lako?
Mimi nina muamini Mungu mkuu wa Israel Mungu mkuu wa mbinguni muumba mbingu na ardhi na vitu vyote vilivyomo ardhini, Mungu wa Abrahamu Isaka na Yakobo. Mungu mkuu wa Israel ndiye Mungu wa kweli aliipiga nchi ya Misri kwa mapigo 10. weweeee 😂!❤🎉❤🇮🇱🇹🇿🇺🇸✋😂🔥👻💖💪✍️
Mungu hutumia watu kutimiza adhima yake na Marekani anaitegemea Israel Kwa kila kitu pia Leo ufahamu Wayahudi waliopo Marekani ndiyo wanaotengeneza Silaa na pia Wayahudi Ndiyo wanashikilia UCHUMI wa hapo Marekani na Israel Ndiyo inayo toa Pesa nyingi kwenye uchaguzi wa Marekani 😂😂😂😂 Kwa hiyo Israel na Marekani pete na kidole. Labda nikupe Aya ikusaidie kuelewa QURAN 45:16. Na hakika tuliwapa Wana wa Israili Kitabu na hukumu na Unabii, na tukawaruzuku vitu vizuri vizuri, na tukawafadhilisha kuliko walimwengu wote. Hao wa Israel ni Bora kuliko binadamu yoyote maana Mungu ndiyo aliwachaguwa 😂😂😂 na kawapa watu wake akili ya kila kitu😂😂😂 sasa labda ufute hiyo Aya sasa ili uingize mawazo Yako kwenye uchambuzi ili kukidhi matamanio ya Moyo wako.