Asante sana Father, baadhi ya mambo niliyojifunza. 1. Ekaristi Takatifu ni Yesu mwenyewe. Mungu Kweli na mtu kweli. 2. Ni nafsi ya Mungu mwenyewe anaumia, anatamani kupendwa kama tunavyopendwa na ndugu zetu 3. Kisiwepo kitu chochote ambacho kitatutenga na uwepo Mungu, iwe ni mateso, mauti, wakuu n.k 4. Kutenda dhambi ni kumzuia Yesu kuingia ndani ya mioyo yetu. 5. Thamani ya Ekaristi Takatifu ni kubwa kuliko chakula chochote. 6. Ekaristi ni chakula ambacho kinatupeleka mbinguni, katika kuwalea watoto lazima tuwalee katika kukua kwenye imani, sio kuwahangaikia tu kupeleka shule, kuwapa chakula lakini hawana Neno la Mungu. 7. Ekaristi Takatifu sio kitu cha hiari kama ni kitu cha hiari kwako basi kuna dhambi imechukua nafasi. 8. Tusifiche uovu lazima tuukemee kwa nguvu zote. 9. Yesu hakuja duniani ili wadhambi tuendelee kutenda dhambi bali tuache na kuichukia dhambi.
Kristo! Asante sana fr ni wazi wakatoliki wengi hatujakaa ktk nafasi zet kama mkristo .tumekalia lulu lakini ni wachache wanaolitambua.Kwa Huruma yake Mungu atufunulie macho ya ndani kama wale wafuasi wa Emau.MUNGU AKUBARIKI
Asante padre kwa maubiri matamu tumebarikiwa sana.najivunia sana I wapo nayaona kwenye mitandao m’a Padri wetu Kutoa Injili .kanisa katoliki tujipongeze na Mungu atusaidie sana.Tumsifu Yesu kristu wa Ekaristi Takatifu.
Asante Baba kwa mafundisho, ni mazito hadi nafsi inasisimuka na mifupa inatetemeka, kuna mahali kabisa waumini tunakengeuka, tunakosa hofuu ya Mungu ndani mwetu kwasababu ya kiburii tuu. Eee Mungu tusaidie🤲 utuhurumie sisi na dunia nzima.
Ekaristi Takatifu ni Yesu, na Yesu ni Mungu na kama ndo hivyo Mungu lazima apigiwe magoti na kwa Mila zetu tu mkono wa kushoto ni ishara ya utovu wa nidhamu unapoutumia
😭dah nimekuerewa sana ubarikiwe Kuna vitu nilikuwa nafanya bira kuerewa haya yote nikuchukurie biblia kamakitu chakawaida ubarikiwe sana maombi yetu yanaachakujibiwa kwakutokuerewa
Ukweli padri un alitukana sana lishetani lakini jua sasa liko linakuwinda usiku na mchana maana hayo uyasemayo umelipiga mkuki kifuani gandamiza hivyohivyo tuko pamoja baba.
Huyu Fr. Analifafanua neno kiukwelikweli lilivyo, na kuwajenga wakristu kweli, jamani tujitahidi kumjua sana huyu Yesu Kristu. Maana huwa tunamuumiza sana
Paroko wa kanisa gani hili? Asante sana kwa mafundisho mazuri yametugusa sana kutukosoa yale tunayoyaishi pasipo kuiheshimu Na kuijua Ekaristi takatifu!