Тёмный

HATUJA SITISHA KIDATO CHA TANO TUMEAHIRISHA - PROF. MKENDA 

ELIMU TZ TV
Подписаться 4 тыс.
Просмотров 49 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 156   
@alanusrespicius1796
@alanusrespicius1796 2 месяца назад
Hapo mmechemsha. Unampeleka mwalimu akafundishe biashara huyo mwalimu mwenyewe pindi hamjampatia kazi alishindwa kuuza hata karanga amepigika ananuka kikwapa halafu akafundishe biashara. Biashara ni practical siyo nadhalia.
@EsterMgaya-gr1ih
@EsterMgaya-gr1ih 2 месяца назад
Mm nashauri advance iondolewe , badala yake iweke level ya chuo kwa ngazi ya chet , dipl ,kisha degreee
@claurianngowi7933
@claurianngowi7933 2 месяца назад
Mimi nakuelewa vizuri sana professor, natamani wadau wa hii sector wakuelewe kama mm ila baada ya muda wataelewa.
@Economically-Growth-Musicians
@Economically-Growth-Musicians 2 месяца назад
From #EconomicallyGrowthMusicians Bora tu maana tulisomaga mengi sana bado maisha yatusapa Kitaa hivyo kwa Niaba ya Wasaka Tonge Bora hiyo Mtaala ya Biashara, Ujasilimali n.k ila Kwa Wale wa Muziki Mtupeni EGM🎉🎉🎉 Congratulations 🎉🎉🎉🎉
@matalo0551
@matalo0551 2 месяца назад
Huyu professor namhusudu, big brain, my roll model
@faustadonasian2777
@faustadonasian2777 2 месяца назад
True
@igihamanuel1
@igihamanuel1 Месяц назад
Nakubaliana nawe bro! Cha msingi kuwepo na ushirikiano: wazazi, waalumu na wanafunzi husika
@RichardDamas-fs3bp
@RichardDamas-fs3bp 2 месяца назад
Ww Profesa Mwanao anasoma kwa kutumia Mtaala gani?? Cambridge au wa Tanzania?? Mnalazimisha mambo ambayo hata nyinyi wenyewe hamuyaamini
@qamdiayboay-gv3by
@qamdiayboay-gv3by 2 месяца назад
Nchi iprint vitabu humu humu,kuna wataalam wengi sana wakuandaa vitabu,wataalam ni wengi sana jana,anayehitaji ananitafute ni mwelekeze, Vitabu bora sana
@madeuslegembo8002
@madeuslegembo8002 2 месяца назад
Changamoto ni hawa mnaowafanyia majaribio ni watoto wa kitanzania ikitokea mabadiliko huko mbele wanakua hawana soko. Mfano mimi nilisoma Bs in Tourism and hospitality management, ila miaka kadhaa mbele imebadilishwa baadhi ya mambo tuliokwisha maliza tunaonekana weightless katika market,
@bakarimasanga3634
@bakarimasanga3634 2 месяца назад
Plan to do a post graduate certificate kwenye hiyo course utatisha sana kaka.dont stay dumb
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 2 месяца назад
Ulisomea wapi kaka?
@igihamanuel1
@igihamanuel1 Месяц назад
@@bakarimasanga3634 Yaap! tatizo ni kuwa tunashindwa kujiongeza, elimu unayopewa hiyo ni basic tafuta foundations kujikita katika eneo lako na boresha na uzoefu hata kwa kujitolea kwa muda mfupi baada ya hapo unakuwa nguli na unakuwa na uwezo wa kutamba popote
@ShaphyJamaly
@ShaphyJamaly 2 месяца назад
Elimu .... Elimu... Elimu ... R. I. P LOWASA
@MATHAYOPETROGARYA
@MATHAYOPETROGARYA 2 месяца назад
Safi sanaaaaa hivyo ndo vitu vya kusomaaaa prof...
@jacksonchilongani4478
@jacksonchilongani4478 2 месяца назад
Hello habari nashukuru sana professor nimekuelewa me ni moja ya walimu nilikuwa natoa ushauri naomba muangalie somo la history na civics kwa umakini sana huko ndio kuna ugonjwa mkubwa sana wa maadili yetu ya kiafrika ninaomba tuubadilishe maana hizi tamaduni za magharibi zinatuchanganya
@lucianakweyunga8187
@lucianakweyunga8187 2 месяца назад
Profesa usiwe na haraka mabadiriko ya elimu yanahitaji mda wa kutisha, ndio maana ya transition period . ukimsikiliza vzur Prof anakili amewahisha sana.
@geraldluiso6792
@geraldluiso6792 2 месяца назад
❤ kila kitu huendana na wakati tuliopo. Taaluma hubadiki pamoja na masomo yake.
@maalimwenga452
@maalimwenga452 2 месяца назад
Kwenye hiyo mitaala muweke SoMo la katiba na Sheria watanzania hawajui chochote juu ya hivi?
@lawrencesanga9420
@lawrencesanga9420 2 месяца назад
Jamani.... Vitubu kwenda ku print nje ya nchi, mbona fedhea hivo, mnaweza kununua magari hata 100 ya Moja kwa 600M halaf mnashindwa kununua mashine ya ku print vitabu🙊🙊 yaan hapa nchi inajali starehe na sio maendeleo
@mawanzachihoma6959
@mawanzachihoma6959 2 месяца назад
Hawa wanatafuta kamisheni kwenye printing ya vitabu na ndio maana wanapeleka nje ya nchi. Tuache ubabaishaji na kuwa changanya watoto. Sisi tumesoma na hatuja choka.
@munuoisaack418
@munuoisaack418 2 месяца назад
Bado tutaambiwa mwanadamu wa kwanza alikuwa nyani?
@TOUNDISELASSIE-xj8oy
@TOUNDISELASSIE-xj8oy 2 месяца назад
Elimu yetu inayumbishwayumbishwa sana. Badala ya kuboresha sehemu zenye mapungufu, inabomolewa kabisa. Siku ikionekana tumekosea mahali, kizazi chote kilichopita kwenye elimu hiyo kinakuwa kimepoteza. Pamoja na kwamba leo ndio kwanza nausika mpango huu, naishauri usitishwe, sina imani na waliotafiti elimu yetu kwamba ni mbovu kiasi cha kubomoa boa hivyo. Nyerere na wenzake walikua makini sana kwenye uundaji wa elimu yetu. Mwanafunzi ukifanikiwa kumaliza darasa la saba, unakua una uwezo mkubwa wa ufahamu. Na unakua mzalendo haswa. Tofauti na sasa wasomi wengi hawaleti tija kwenye nafasi zao wanazosimamia. Ripoti za c.a.g mara zote zinaonyesha namna baadhi ya wasomi wasivyo wazalendo. Tujitafakari.
@ayoubbuchilly7456
@ayoubbuchilly7456 2 месяца назад
We nae kumbe hujamsikia vzr, hajasema kua waanabadilisha masomo , waanachofanya nikuboresha vitu vya msingi viendane kulingana na hali ya maisha ya saiv yanataka nini
@fabianalfredy5557
@fabianalfredy5557 2 месяца назад
Uzalendo, ni Swala la kiroho yaani ufundishwi, unaona baba , mama, kiongozi wako mzalendo ndiyo na wewe unakuwa mzalendo. Haiwezekekani uwahubirie WATU kitu usichofanya, mf. Haiwezekani mkataba wa uchimbaji madini tanzania inakubali kuchukua 16% na mwekezaji anachukua 84%. Na Hela zinaliwa hakuna hatua zozote. Hapo mwananchi utamwambia vp mambo ya kizalendo
@anuarymyekakimolo4785
@anuarymyekakimolo4785 2 месяца назад
​@@fabianalfredy5557 wew nan kafundisha hicho? Kiroho ndo nini? Ulisha wahi ona kitabu Cha kiroho wapi??? Biblia na Quran ni material,,, physical sawasawa na vitab vya shuleni tu lakin kutoka hiyo material unailisha roho. Aliye kuambia mambo ya rohoni hayafundishwi ninani huyo punguani? Unasoma darasan una transform yaliyo andikw kuwa abstract concept kutoka concrete concept... Tangu lini maarfa ndani ya mtu ni material thing. Akili na elimu ndani yake na maarifa ni roho by nature elimu siyo kitu Cha kushikika anaye wafundisha elimu ni nan mjinga huyu anatuharibia watu. Kiroho ndo nini? Eti uzalendo ni roho, na Akili ni nini na elimu ni nini? Elimu ndani ya mtu ni roho pia is not a thing, not a physical thing,, huwez fanya surgery eti uangalie elimu ndani ya mtu. Uzalendo UNAFUNDISHWA NDUGU YANGU sema hujui unafundishwaje. Uelewa mdogo huu. Ubongo siyo akili ZINGATIA hilo.
@anuarymyekakimolo4785
@anuarymyekakimolo4785 2 месяца назад
​@@ayoubbuchilly7456tatizo mna abudu elimu wala hamjui ni nini. Hapo hamna kitu people are not sensitive na Akili za watu. Hupasw kujaribu uone km itafanya kazi unapoteza kundi kubwa sana na linadumbukia kwenye umasikin kwasababu you are dealing with a wrong thing. Elimu ya Tanzania haijatibu tatizo la kiakil la watu wake na hii kuitana professor hii kitu hii . Mhhh nisiseme Mengi
@sammyaron3818
@sammyaron3818 2 месяца назад
Ina sikitisha kuona hata vitabu vina kuwa printed nje ya nchi 😂
@moshifrank9622
@moshifrank9622 2 месяца назад
Yaani sisi uwezo bado
@fabianalfredy5557
@fabianalfredy5557 2 месяца назад
Dili lao. Hilo
@ROZITHOMAS-y4q
@ROZITHOMAS-y4q 2 месяца назад
Mie sasa hivi naona form five waende wale genius ambao watakuja kuwa professor, n.k Vyuo viwe vingi vya art. Veta iboreshwe
@HassanMugire
@HassanMugire 2 месяца назад
Wanafunzi wetu Hawana uwezo wa ku competent na wanafunzi wa nje hta kidogo
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 2 месяца назад
Somo la dini kuingizwa mashuleni na kufundishwa na waalimu wasiona taaluma ya dini husika,hapa Professor Mkenda mmechemka!,serikali ifundishe dini?, na vyuo vya dini husika vitafundisha nini?!
@paulkambonya8001
@paulkambonya8001 2 месяца назад
Veta ziongezwe na ziboreshwe iwe ni kwa practical zaidi
@husseinmtima6106
@husseinmtima6106 2 месяца назад
Tuweekeni na somo la katiba jaman 😂😂😂
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 2 месяца назад
Bana futeni form six mujulishe form four
@jamessanga7120
@jamessanga7120 2 месяца назад
Hao wadau ni wapiii? Wakati walimu wenyewe hawajui
@paulkambonya8001
@paulkambonya8001 2 месяца назад
Masomo kuanzia awali yafundishwe kwa lugha ya kibiashara(kiingereza)
@Alphonso_07
@Alphonso_07 2 месяца назад
Kwa maana hiyo hapo kwa form five tunaendelea na mtaala wa zamani as usual?
@yordanyona1234
@yordanyona1234 2 месяца назад
MASOMO ya uongozi muhimu sana
@davidpetro1637
@davidpetro1637 2 месяца назад
yaani mtapanga yote lakini msipoondoa magape ya haves and have not yote ni ubatili wenye pesa watapata elimu bora maskini watapata elimu duni tu
@hakambashe8421
@hakambashe8421 2 месяца назад
Kumbe vitabu Havi printiwi hapa nchini?!?
@YohanaMboma-vz3sl
@YohanaMboma-vz3sl 2 месяца назад
Vitabu hivi vya awali ni vigumu Kwa wanafunzi mkenda
@paulkambonya8001
@paulkambonya8001 2 месяца назад
Katiba nayo iwe kama somo naunga mkono
@NicholausLaurent-t6x
@NicholausLaurent-t6x 2 месяца назад
Mkenda unataka kutuharibia mfumo wa elimu, watch out brother, mabadiko ya elimu ni gradual change sio immediately change, Utachemka, pole Sana Kwa kujaribu ila andaa mpango wa miaka 30 ijayo!!!!
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 2 месяца назад
Mfumo w elimu bongo ni mrefu mno kumbuka zamani waisoma madarasa ma 4 tu... Na walikuwa poa.....
@thomassalvatory8303
@thomassalvatory8303 2 месяца назад
tungejkita kwenye elimu ya ustadi wa jamii(nyenzo ya maendeleo ya jamii) kuanzia shule ya msingi mpaka chuo, kivip mfano kuwe na mitahala ya kilimo(kilimo,ufugaji,etc) kuanzia shule ya msingi, mitahala ya masomo ya sayansi(fundi ujenzi,mechanics,computer,etc) mtahala ya sanaaa(cherehani,michezo,uchoraji,ususi,etc) mitahala ya biashara, mitahala ya sheria and etc. hii inamsaidia mtoto akitoka chini anakuwa na uelewa anachofundishwa mpaka juu sasa unayoongea hapa saisa na uhakika haina son kwa jamiii
@japhethotieno2285
@japhethotieno2285 2 месяца назад
Wekeni na katiba ifundishwe kama somo
@abdulmajaliwa6376
@abdulmajaliwa6376 2 месяца назад
Wazo zuri sana hili
@mirajimsafiri932
@mirajimsafiri932 2 месяца назад
Shida ni kwamba serikali haipendi kila mtanzania aielewe ipasavyo katiba ya nchi yake......italeta vurugu pia
@josephjohn2114
@josephjohn2114 2 месяца назад
Kabisa
@josephjohn2114
@josephjohn2114 2 месяца назад
sekondari na vyuo tuanza kufundisha somo la falsafa Uraia na Saikolojia na Sheria.
@japhethotieno2285
@japhethotieno2285 2 месяца назад
@@mirajimsafiri932 italeta vurugu tu wasiposimamia na kuitekeleza ipasavyo
@edenusmrosso9225
@edenusmrosso9225 2 месяца назад
Shule za ufundi wanasoma theory hakuna practical
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 2 месяца назад
Sera huwa zintungwa na akina nani? Zenyewe hazinaga kukusanya maoni kwa wenye nchi? Akija waziri mwingine ruksa kuchezea katiba aliyoikuta? Naomba nijibiwe kwa faida ya wengi.
@juliuskitomari3057
@juliuskitomari3057 2 месяца назад
Nchi kama Nchi tangu uhuru hadi leo hata vitabu hatuwezi kuprint? Ni hatari sana aisee,Nchi kabisa,dah
@SamhhIlo-ib4ij
@SamhhIlo-ib4ij 2 месяца назад
Mnaakili sana nimewapata😊
@sule17942
@sule17942 2 месяца назад
Cha msingi tunakosa kusoma kwa vitendo vya kutosha na wataalam katika ujasiriamal na hiz biashara, andaeni curriculum za vitendo mashuleni na waalim wenye utaalam na msimamie. Acheni kuhangaisha watoto kwa masomo meng na mitaala isio make sense wala haiboreshi skill za wanafunzi.
@brysonzawad8521
@brysonzawad8521 2 месяца назад
Hivi mh kwanini msifanye kitu rahisi cha kufanya vijana wenu kujikwamua na hali ngumu ya maisha kuliko kuiga kila kitu toka huko ulaya ikiwa mnapoteza muda na kutufanya vijana vilema wa kudumu hivi miaka yote hiyo hamjawahi kulifikilia hili ikiwa mnaona maisha ya vijana wengi yanavyokuwa magumu mkitaka ushauri nipo kwaajili ya kiwashauri serikali yangu
@thedriver.michael.3975
@thedriver.michael.3975 2 месяца назад
Bomoa tutajenga kesho, elimu ni biashara tutasomeje. Mbona hatuwaoni watoto zenu madarasani wanasomea wapi
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 2 месяца назад
Elimu ya Tanzania bhana, eti mainginia makandarasi wanachanga hela na kumnunulia Rais HelikopitA wakati vijana wanamaliza form four wanaendesha bodaboda kutoka China, badala hata wajenge hata veta ziwe nyingi vijana waingie huko wabuni vitu mbalimbali ,tutaendelea kuagiza vitu china mpaka link?
@JohnMabustar
@JohnMabustar 2 месяца назад
Professor toa iyo neno KUJARIBU weka neno KUFANYA tufanye kweli pendekezo langu o level wajifunze introduction of technical drawing
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 2 месяца назад
Miundombinu na walimu wa shule ya msingi ndo shida ili mtaala uende vizur
@OmarAmran-t7k
@OmarAmran-t7k 2 месяца назад
Kiko wapi kitabu cha fizikia cha nchi ?
@IsayaShauri-kn6ef
@IsayaShauri-kn6ef 2 месяца назад
Respect prof.
@meshackjacobmwakalasya543
@meshackjacobmwakalasya543 2 месяца назад
Kukurupuka ni jambo baya sana ,,hatuwez kufanya mabadiliko kwa kuingiza jambo jipya kwa nchi nzima ,, tungeanza na makundi machache
@RabihuHussein
@RabihuHussein 2 месяца назад
Hakuna kitu hapo. bado elimu ni ya mkoloni na wala hamsaidii mwanafunzi kuja kujitegemea.
@Mahangaofficially
@Mahangaofficially 2 месяца назад
Hongera professor wetu nakuamini
@Emma300b
@Emma300b 2 месяца назад
Yaaani hapo naona ni kero sana. No hatari tunakoenda . Tuombe Mungu tu . Sioni mabadiliko yanayokuja haraka hivyo .
@LucianSanga-q8j
@LucianSanga-q8j 2 месяца назад
Tusomeshe Watu wetu kwa mahitaji yaliyopo na Mazingira ya Duniani Tusisomeshe Ili wawe Watumwa Bali washindane na Mazingira waya shinde
@SamuelErnest
@SamuelErnest 2 месяца назад
Hongereni
@ERICKRUGAMBILWA
@ERICKRUGAMBILWA 2 месяца назад
Hizi comb Mpya zenye Fa na Li tunaomb kupata ufafanuzi
@salomeisaya1334
@salomeisaya1334 2 месяца назад
😂😂 Asante msemaji, umetuwakilisha
@Lifebeaconuplift
@Lifebeaconuplift 2 месяца назад
Mm cjaelewa
@edithlameck8170
@edithlameck8170 2 месяца назад
Kwenye mitaala hiyo mipya kumewekwa somo la mazingira? Mazingira ya usafi, athari za kutupa taka hovyo, litter management n.k.. n.k. na elimu hii ianzie kwenye shule za awali. Kwenye swala zima la usafi ni rahisi kufundisha tangu mtu akiwa mtoto na kumjengea mazingira ya usafi.
@emmanuelgwanchele9795
@emmanuelgwanchele9795 2 месяца назад
Ambaye hajaelewa tujuane
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 2 месяца назад
Mimi sijaelewa
@alonchobasamiye6844
@alonchobasamiye6844 2 месяца назад
mm hata sijaelewa kiti hapo
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 2 месяца назад
​@@edsonnelson4464Wapi unatatizika kaka?
@BuhetySharia
@BuhetySharia 2 месяца назад
Mbona hapa km siasa inataka kuingia jmn ......hv printing ndo inakwamisha wizara nzima😅
@Joakimworkproduction
@Joakimworkproduction 2 месяца назад
Kikubwa dada ni kuongozwa na roho mbona hata sehemu zingine mnaalikwa na wachungaji ambao si wa kiMungu na tuna jua mtu asilokuwa wa Mungu huyo you kinyume nasi. Waimbaji wengi sikuhizi wanahudumu kwenye madhabahu za kishetani bila hata kujua. Sio yote yanayooonekana Ni makanisa Basi Ni makanisa kweli Kwa hiyo narudi pale pale Kikubwa ni kuongozwa na roho mtakatifu basi
@RamadhanKichele
@RamadhanKichele 2 месяца назад
Hapo Sasa elimu yetu saaaafi
@akbarkisamo8392
@akbarkisamo8392 2 месяца назад
Maelezo mazur sana
@NassorHamad-m5g
@NassorHamad-m5g 2 месяца назад
Kiongoz ikiwa wanafunz watosoma lugha zaid ya nne jee dhaman ya kiswahil chetu ipo wap c kitaenda kufa kwann tucwek hayo masom kwa lugha yetu hat kma itakua kifaransa bac iwe ni kam som tu na zisipew kipaombel tukasahau kiswahil chet
@foibennjeje7730
@foibennjeje7730 2 месяца назад
Amai na mtaala ni masomo gani haya!!
@jamaliahmadi1383
@jamaliahmadi1383 2 месяца назад
Hamna vitabuta vya pure mathematics mnatumia vitabu vya nje kama chandi (India),Engenearing mathematics (England) Isaac Newton ,
@tgeofrey
@tgeofrey 2 месяца назад
Tulikiwa ma Kinunda sijui wamekizika wapi
@kessikahawamango4114
@kessikahawamango4114 2 месяца назад
Kwenye sekta ya elimu kila mmoja anajifanya ni fundi anajuwa kwa mfano tukupe nafasi wewe uanayecoment negative kwenye maelezo ya Waziri hunauwe hata wa kuongoza shule ya chekechea. Hebu nyamazeni kama hamuna la kuchangia.
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 месяца назад
Well said
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 2 месяца назад
Tujikite kwenye elimu ya ufundi stadi kila mtu atakuwa bize na kazi kuliko kutembea na nyaraka za vyeti kutafuta kazi. Pia tutapata watu wenye uwezo sahihi kivitendo kuliko maneno
@ROZITHOMAS-y4q
@ROZITHOMAS-y4q 2 месяца назад
Tengenezeni shule za vipaji tangu shule za awali. Tupate wataalamu wakiwa wadogo. China vijana miaka 16 ameshaanza kutafuta hela
@abuukarata9653
@abuukarata9653 2 месяца назад
Hii inchi ni ngumu sana.
@merumount5988
@merumount5988 2 месяца назад
Ujinga ndio unauita ugumu..?these r foolish statements!
@mohamedbushoberwa9418
@mohamedbushoberwa9418 2 месяца назад
Nataman kiingereza kitumike tangia primary mpaka chuo
@barakamelkizedeki5069
@barakamelkizedeki5069 2 месяца назад
Kisa
@lucasmartin431
@lucasmartin431 2 месяца назад
Naunga mkono Hoja
@alanusrespicius1796
@alanusrespicius1796 2 месяца назад
Tunapaswa kusoma kiswahili chetu. Tatizo tunaamini kingereza ndo elimu. Kiswahili ndo lugha yetu. English iwe somo tu na isiwe language of instructions.
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 месяца назад
Huu Mtaala mpya ndivyo unaelekeza.
@leeonlinetv1847
@leeonlinetv1847 2 месяца назад
Elimu ya bongo inayumbishwa sana, hakuna falsafa maalum inayoongoza elimu nchi hii
@ebenezermbena2894
@ebenezermbena2894 2 месяца назад
Well
@thomassalvatory8303
@thomassalvatory8303 2 месяца назад
hamna alichofanya, analyse tatizo la elimu ni nn then unatengeneza staterges then una deploy soln
@OmarAmran-t7k
@OmarAmran-t7k 2 месяца назад
Serikali haina kitabu cha fizikia 😢😢😢
@Digitalhhhhhgfgg
@Digitalhhhhhgfgg 2 месяца назад
Mupepuyanga toeni kiswahili dhule za msingi anza na English ndo lugha ya kibiashara swahili ikae lugha as subject
@SaluMaige-sc8bm
@SaluMaige-sc8bm 2 месяца назад
Mfumo wetu wa elimu na mitaala bado niwakikoloni
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 2 месяца назад
Professa tunakuelewa ila hofu yetu usije ukaturudisha kwa Waziri mwenzako Joseph Mungai alifikiri anajenga elimu badala yake akaua kabisa mfumo wetu wa Elimu: Mimi nafikiri ungeondoa mfumo wa elimu ya nadharia ambayo lengo lake ni kuajiriwa badala yake tungejenga mfumo wa elimu ya kujiajiri,tangu elimu ya awali:
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 месяца назад
Mbona ndicho anatengeneza? Kapitie huo mtaala ulioboreshwa 2023. Shida hamsomi mko bize mitandaoni😂😂😂
@christophermwatendela9500
@christophermwatendela9500 2 месяца назад
Katika kitu kinachonishangaza ni kuingiza SoMo la dini wakati serikali yetu Haina dini !!!
@DanielLikangaga
@DanielLikangaga 2 месяца назад
Mmefeli vibaya waheshimiwa miitaara ya elimu haiwezi ikasomwa na mwanafunzi kwa muda mfupi kama Ivo alafu mwanafunzi akaielewa huu ni kuiua elimu ya watanzania
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 2 месяца назад
Miitaara ni nini na wewe tutolee ushamba wako huko,sijui ni likuriaa au mshamba wa wapi
@MasoudyMichael-ox7xl
@MasoudyMichael-ox7xl 2 месяца назад
Hivi yale makombi ya watoto wa form five yanakazi kweli huko mbele Mana hamjasema ajira zitakuwaje😅 Niko pale
@omariabeid3291
@omariabeid3291 2 месяца назад
Yaani hapo hamtuambii kitu,mumepuyanga mno tunavyo wachukulia ni kua nanyi ni vilaza maana hamuwezi pitisha sera ya kidwanzi.Mmekurupuka kama sio wasomi ni aibu.
@mirzah117
@mirzah117 2 месяца назад
Ina wañasiasa anaongea hadi ananesanesa kama ana spring achokiongea chenyewe sasa
@thomassalvatory8303
@thomassalvatory8303 2 месяца назад
haya unayoongea hapa ni siasa nakuhakikishia hamna ktu kinatokea kwa wananchi mm spingi serikali nataman tubadilike na tufikirie watoto wetu wanakuja kuishje baadae hakuna ktu kinachomuuma mzaz kama anaona mtoto wake hana mbele wa nyuma alafu mzaz hamna msaada kwa huyo mtoto jambo baya sana tuache politics tujikite kuwasaidia watoto wetu wa baadae
@kwisa4899
@kwisa4899 2 месяца назад
nilitarajia kuona mchanganyiko wa wachina waturuki na walimu wetu kuungana mashuleni lakini mado munafanya makosa yale yale
@DanielLikangaga
@DanielLikangaga 2 месяца назад
Wanafunzi na wataalam wengi wanalitia hasara Taifa ,(wasomi)serikali unatumia gharama kubwa kuwasomesha watu ambao baada ya kuhitim elim ya juu wanaludi mtaani kufanya kile alichomea kwa vitendo hawezi Sasa ukimuuliza elim alio nayo atakwambia anadigri ya taaruma frani na hii yote ni kwa sababu ya miitaara yenu mibovu
@JohnMabustar
@JohnMabustar 2 месяца назад
Watoto wanasisitizwa tuwanunulie mkebe je wafundishwa Nini thamani ya huo mkebe
@thomassalvatory8303
@thomassalvatory8303 2 месяца назад
tatizo la elmu yetu inakuwa na msaada mdogo sana kwa watoto yaaan aliyesoma anaendesha bodaboda kama ambaye hajasoma so elimu nakuwa kama haina faida aliyesoma anauza mtumba kariakoo kama ambaye hajasoma so mtu anajiuliza umuhimu wa elimu ni nn soln tujikite kwenye elimu ambazo zitawasaidia watoto mfano
@DAUDIMAKARANGA
@DAUDIMAKARANGA 2 месяца назад
Hapo umesema maana ukiangalia kama hakna kinachoendelea.
@RaymondKilomeye
@RaymondKilomeye 2 месяца назад
Huo mtaala mpya km hakuna kipengele chakujifunza Sheria niwazi huo mtaala haujakidhi vigezo bado mnatengeneza kizazi kisicho jitambua namna gan yakuishi kiuongozi jambo ambalo nimuhm ktk maisha ya Kila cku, bado mnatekeleza agenda yenu yakuwafanya wa2 kuwa watumwa wakisiasa nautawala wenu hii mbaya San na hawez Sadia mwananch kujua wajib wake ktk taifa, nashangaa mnazunguzia somo la amani gan isiotokana na haki kuwafanya wananch wawe watumwa wawa watala namachawa wasio jitambua wanaojua kusifia2 nasio kukosoa amani gan hiyo yakishenzi mnawafundisha watoto wetu ujinga km tulivyo fundishwa sisi, watu wanajifunza maarifa makubwa kufanya tafiti kubwa nyie bado akili zenu zimeganda kisiasa nakuwalinda watawala wenu mavi nyie.
@AnethMushi-c3e
@AnethMushi-c3e 2 месяца назад
Kila kitu kina historia iwe mbaya iwe nzur mf familia ina hist yake ukoo kabila din ugonjwa bila historia ya kitu nchi kwahiyo tunaenda kwa historia
@kakuyajumanne7335
@kakuyajumanne7335 2 месяца назад
Hamnamo mali humo kaja kuvuruga kila kitu huyu
@erickjosephat863
@erickjosephat863 2 месяца назад
PROF, unaeleza vizuri sana
@charlesseba2000
@charlesseba2000 2 месяца назад
Hii elimu itakuwa ni mbovu kuliko elimu zote duniani, kwa namna hii tutakuwa na wajinga wengi mtaani kuliko siasa mnazoweka kwenye elimu
@Emma300b
@Emma300b 2 месяца назад
Professor unaongea vizuri sana ila mabadiliko ktk Elimu hayahitaji haraka ni polepole . Mkikurupuka tutarudi nyuma sana. Hakuna haraka .fanyeni taratibu.
@mkamaboy2016
@mkamaboy2016 2 месяца назад
Ana elimu kubwa ila kichwani n ziro brain
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 2 месяца назад
Rais u.etuletea mtu wa kujaribu sasa...wakishindwa watasema tulikuwa tunajaribu...na wale waliojaribiwa watabaki na ujinga au watarudia vidato?
@yonahgideon7561
@yonahgideon7561 2 месяца назад
Sasa nyie mbona hata hawo walimu wa biashara wenyew mnaajiri wachache Tena Yani walimu wa commerce 24 ndo watatosha nchi nzima au mnataka mda ukifika mseme Tena hatuna walimu wakutosha
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 2 месяца назад
Watu wa nchi hii kama hatuna akiri...eti anasema kwa bahati mbaya vitabu vinachapwa nje ya nchi..du...kuna makampuni ya uchapaji pale pugu road yanachapa hadi nakala milioni moja kwa siku inategemea na ukubwa wa kitabu kwa ubora wowote mnaohitaji. Itakuwa mmewapa wachina nyie. Uchapaji wala sio ishu kama kazi iko tayari ktk pdf na vipimo vyake hakuna utaalamu zaidi ni kuweka karatasi zinazoitajika na kuprint tu...machine zinakata na. Kupanga . Ukimuuliza watakwambia wataalamu
@MenelusCzar
@MenelusCzar 2 месяца назад
🥹
@BABAJOAN1604
@BABAJOAN1604 2 месяца назад
Darasa la pili vipi
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 2 месяца назад
Wanajaribu kwanza
@simongwandu7392
@simongwandu7392 2 месяца назад
Wizara haiangalii umri
@jumashedafa
@jumashedafa 2 месяца назад
Toen somo la historia shulen halina tija ya leo na kesho ya vijana ila mchango finyu mno..Vitabu vya historia vibaki maktaba na katika majumba ya makumbusho... Hilo liwe ni shauku ya mtu akipenda kujua historia ya nchi yake au kitu flan ataenda kujisomea..Hata mchepuo wenye Hkl nk umekosa mvuto ktk soko la ajira
@jacobsimkoko3096
@jacobsimkoko3096 2 месяца назад
Haki ya Mungu mbona hujafikiri kabisa, ukiona Magufuli amesoma chemistry Hadi PhD, lakini baadaye akasema Kuna haja Kila mtu asome history ujue Kuna kitu aligundua. Kuna umuhimu mkubwa sana wa history.
@felisteronesmo3091
@felisteronesmo3091 2 месяца назад
Kapungize sumu mwilini, upeo wako usafishike ... Hoja yako hii ni dhahiri shahiri una sumu nyingi mwilini ..
@graysonpastory1918
@graysonpastory1918 2 месяца назад
Kweli huna akili wewe
@ephesongailo8564
@ephesongailo8564 2 месяца назад
Hii ni hatari sana,,,,,! Kila nchi watu wanasoma historia Yao.....! Labda wangepunguza historia za nchi za ulaya ndio imgeachwa
@abuukarata9653
@abuukarata9653 2 месяца назад
@@jumashedafa kwanini mgosi hutaki historia?
Далее
TAJIRI WA MABUS  SUPER FEO ATOA SIRI YA KUWA BILIONEA
10:36