Hapo mmechemsha. Unampeleka mwalimu akafundishe biashara huyo mwalimu mwenyewe pindi hamjampatia kazi alishindwa kuuza hata karanga amepigika ananuka kikwapa halafu akafundishe biashara. Biashara ni practical siyo nadhalia.
From #EconomicallyGrowthMusicians Bora tu maana tulisomaga mengi sana bado maisha yatusapa Kitaa hivyo kwa Niaba ya Wasaka Tonge Bora hiyo Mtaala ya Biashara, Ujasilimali n.k ila Kwa Wale wa Muziki Mtupeni EGM🎉🎉🎉 Congratulations 🎉🎉🎉🎉
Nchi iprint vitabu humu humu,kuna wataalam wengi sana wakuandaa vitabu,wataalam ni wengi sana jana,anayehitaji ananitafute ni mwelekeze, Vitabu bora sana
Changamoto ni hawa mnaowafanyia majaribio ni watoto wa kitanzania ikitokea mabadiliko huko mbele wanakua hawana soko. Mfano mimi nilisoma Bs in Tourism and hospitality management, ila miaka kadhaa mbele imebadilishwa baadhi ya mambo tuliokwisha maliza tunaonekana weightless katika market,
@@bakarimasanga3634 Yaap! tatizo ni kuwa tunashindwa kujiongeza, elimu unayopewa hiyo ni basic tafuta foundations kujikita katika eneo lako na boresha na uzoefu hata kwa kujitolea kwa muda mfupi baada ya hapo unakuwa nguli na unakuwa na uwezo wa kutamba popote
Hello habari nashukuru sana professor nimekuelewa me ni moja ya walimu nilikuwa natoa ushauri naomba muangalie somo la history na civics kwa umakini sana huko ndio kuna ugonjwa mkubwa sana wa maadili yetu ya kiafrika ninaomba tuubadilishe maana hizi tamaduni za magharibi zinatuchanganya
Profesa usiwe na haraka mabadiriko ya elimu yanahitaji mda wa kutisha, ndio maana ya transition period . ukimsikiliza vzur Prof anakili amewahisha sana.
Jamani.... Vitubu kwenda ku print nje ya nchi, mbona fedhea hivo, mnaweza kununua magari hata 100 ya Moja kwa 600M halaf mnashindwa kununua mashine ya ku print vitabu🙊🙊 yaan hapa nchi inajali starehe na sio maendeleo
Hawa wanatafuta kamisheni kwenye printing ya vitabu na ndio maana wanapeleka nje ya nchi. Tuache ubabaishaji na kuwa changanya watoto. Sisi tumesoma na hatuja choka.
Elimu yetu inayumbishwayumbishwa sana. Badala ya kuboresha sehemu zenye mapungufu, inabomolewa kabisa. Siku ikionekana tumekosea mahali, kizazi chote kilichopita kwenye elimu hiyo kinakuwa kimepoteza. Pamoja na kwamba leo ndio kwanza nausika mpango huu, naishauri usitishwe, sina imani na waliotafiti elimu yetu kwamba ni mbovu kiasi cha kubomoa boa hivyo. Nyerere na wenzake walikua makini sana kwenye uundaji wa elimu yetu. Mwanafunzi ukifanikiwa kumaliza darasa la saba, unakua una uwezo mkubwa wa ufahamu. Na unakua mzalendo haswa. Tofauti na sasa wasomi wengi hawaleti tija kwenye nafasi zao wanazosimamia. Ripoti za c.a.g mara zote zinaonyesha namna baadhi ya wasomi wasivyo wazalendo. Tujitafakari.
We nae kumbe hujamsikia vzr, hajasema kua waanabadilisha masomo , waanachofanya nikuboresha vitu vya msingi viendane kulingana na hali ya maisha ya saiv yanataka nini
Uzalendo, ni Swala la kiroho yaani ufundishwi, unaona baba , mama, kiongozi wako mzalendo ndiyo na wewe unakuwa mzalendo. Haiwezekekani uwahubirie WATU kitu usichofanya, mf. Haiwezekani mkataba wa uchimbaji madini tanzania inakubali kuchukua 16% na mwekezaji anachukua 84%. Na Hela zinaliwa hakuna hatua zozote. Hapo mwananchi utamwambia vp mambo ya kizalendo
@@fabianalfredy5557 wew nan kafundisha hicho? Kiroho ndo nini? Ulisha wahi ona kitabu Cha kiroho wapi??? Biblia na Quran ni material,,, physical sawasawa na vitab vya shuleni tu lakin kutoka hiyo material unailisha roho. Aliye kuambia mambo ya rohoni hayafundishwi ninani huyo punguani? Unasoma darasan una transform yaliyo andikw kuwa abstract concept kutoka concrete concept... Tangu lini maarfa ndani ya mtu ni material thing. Akili na elimu ndani yake na maarifa ni roho by nature elimu siyo kitu Cha kushikika anaye wafundisha elimu ni nan mjinga huyu anatuharibia watu. Kiroho ndo nini? Eti uzalendo ni roho, na Akili ni nini na elimu ni nini? Elimu ndani ya mtu ni roho pia is not a thing, not a physical thing,, huwez fanya surgery eti uangalie elimu ndani ya mtu. Uzalendo UNAFUNDISHWA NDUGU YANGU sema hujui unafundishwaje. Uelewa mdogo huu. Ubongo siyo akili ZINGATIA hilo.
@@ayoubbuchilly7456tatizo mna abudu elimu wala hamjui ni nini. Hapo hamna kitu people are not sensitive na Akili za watu. Hupasw kujaribu uone km itafanya kazi unapoteza kundi kubwa sana na linadumbukia kwenye umasikin kwasababu you are dealing with a wrong thing. Elimu ya Tanzania haijatibu tatizo la kiakil la watu wake na hii kuitana professor hii kitu hii . Mhhh nisiseme Mengi
Somo la dini kuingizwa mashuleni na kufundishwa na waalimu wasiona taaluma ya dini husika,hapa Professor Mkenda mmechemka!,serikali ifundishe dini?, na vyuo vya dini husika vitafundisha nini?!
Mkenda unataka kutuharibia mfumo wa elimu, watch out brother, mabadiko ya elimu ni gradual change sio immediately change, Utachemka, pole Sana Kwa kujaribu ila andaa mpango wa miaka 30 ijayo!!!!
tungejkita kwenye elimu ya ustadi wa jamii(nyenzo ya maendeleo ya jamii) kuanzia shule ya msingi mpaka chuo, kivip mfano kuwe na mitahala ya kilimo(kilimo,ufugaji,etc) kuanzia shule ya msingi, mitahala ya masomo ya sayansi(fundi ujenzi,mechanics,computer,etc) mtahala ya sanaaa(cherehani,michezo,uchoraji,ususi,etc) mitahala ya biashara, mitahala ya sheria and etc. hii inamsaidia mtoto akitoka chini anakuwa na uelewa anachofundishwa mpaka juu sasa unayoongea hapa saisa na uhakika haina son kwa jamiii
Sera huwa zintungwa na akina nani? Zenyewe hazinaga kukusanya maoni kwa wenye nchi? Akija waziri mwingine ruksa kuchezea katiba aliyoikuta? Naomba nijibiwe kwa faida ya wengi.
Cha msingi tunakosa kusoma kwa vitendo vya kutosha na wataalam katika ujasiriamal na hiz biashara, andaeni curriculum za vitendo mashuleni na waalim wenye utaalam na msimamie. Acheni kuhangaisha watoto kwa masomo meng na mitaala isio make sense wala haiboreshi skill za wanafunzi.
Hivi mh kwanini msifanye kitu rahisi cha kufanya vijana wenu kujikwamua na hali ngumu ya maisha kuliko kuiga kila kitu toka huko ulaya ikiwa mnapoteza muda na kutufanya vijana vilema wa kudumu hivi miaka yote hiyo hamjawahi kulifikilia hili ikiwa mnaona maisha ya vijana wengi yanavyokuwa magumu mkitaka ushauri nipo kwaajili ya kiwashauri serikali yangu
Elimu ya Tanzania bhana, eti mainginia makandarasi wanachanga hela na kumnunulia Rais HelikopitA wakati vijana wanamaliza form four wanaendesha bodaboda kutoka China, badala hata wajenge hata veta ziwe nyingi vijana waingie huko wabuni vitu mbalimbali ,tutaendelea kuagiza vitu china mpaka link?
Kwenye mitaala hiyo mipya kumewekwa somo la mazingira? Mazingira ya usafi, athari za kutupa taka hovyo, litter management n.k.. n.k. na elimu hii ianzie kwenye shule za awali. Kwenye swala zima la usafi ni rahisi kufundisha tangu mtu akiwa mtoto na kumjengea mazingira ya usafi.
Kikubwa dada ni kuongozwa na roho mbona hata sehemu zingine mnaalikwa na wachungaji ambao si wa kiMungu na tuna jua mtu asilokuwa wa Mungu huyo you kinyume nasi. Waimbaji wengi sikuhizi wanahudumu kwenye madhabahu za kishetani bila hata kujua. Sio yote yanayooonekana Ni makanisa Basi Ni makanisa kweli Kwa hiyo narudi pale pale Kikubwa ni kuongozwa na roho mtakatifu basi
Kiongoz ikiwa wanafunz watosoma lugha zaid ya nne jee dhaman ya kiswahil chetu ipo wap c kitaenda kufa kwann tucwek hayo masom kwa lugha yetu hat kma itakua kifaransa bac iwe ni kam som tu na zisipew kipaombel tukasahau kiswahil chet
Kwenye sekta ya elimu kila mmoja anajifanya ni fundi anajuwa kwa mfano tukupe nafasi wewe uanayecoment negative kwenye maelezo ya Waziri hunauwe hata wa kuongoza shule ya chekechea. Hebu nyamazeni kama hamuna la kuchangia.
Tujikite kwenye elimu ya ufundi stadi kila mtu atakuwa bize na kazi kuliko kutembea na nyaraka za vyeti kutafuta kazi. Pia tutapata watu wenye uwezo sahihi kivitendo kuliko maneno
Tunapaswa kusoma kiswahili chetu. Tatizo tunaamini kingereza ndo elimu. Kiswahili ndo lugha yetu. English iwe somo tu na isiwe language of instructions.
Professa tunakuelewa ila hofu yetu usije ukaturudisha kwa Waziri mwenzako Joseph Mungai alifikiri anajenga elimu badala yake akaua kabisa mfumo wetu wa Elimu: Mimi nafikiri ungeondoa mfumo wa elimu ya nadharia ambayo lengo lake ni kuajiriwa badala yake tungejenga mfumo wa elimu ya kujiajiri,tangu elimu ya awali:
Mmefeli vibaya waheshimiwa miitaara ya elimu haiwezi ikasomwa na mwanafunzi kwa muda mfupi kama Ivo alafu mwanafunzi akaielewa huu ni kuiua elimu ya watanzania
Yaani hapo hamtuambii kitu,mumepuyanga mno tunavyo wachukulia ni kua nanyi ni vilaza maana hamuwezi pitisha sera ya kidwanzi.Mmekurupuka kama sio wasomi ni aibu.
haya unayoongea hapa ni siasa nakuhakikishia hamna ktu kinatokea kwa wananchi mm spingi serikali nataman tubadilike na tufikirie watoto wetu wanakuja kuishje baadae hakuna ktu kinachomuuma mzaz kama anaona mtoto wake hana mbele wa nyuma alafu mzaz hamna msaada kwa huyo mtoto jambo baya sana tuache politics tujikite kuwasaidia watoto wetu wa baadae
Wanafunzi na wataalam wengi wanalitia hasara Taifa ,(wasomi)serikali unatumia gharama kubwa kuwasomesha watu ambao baada ya kuhitim elim ya juu wanaludi mtaani kufanya kile alichomea kwa vitendo hawezi Sasa ukimuuliza elim alio nayo atakwambia anadigri ya taaruma frani na hii yote ni kwa sababu ya miitaara yenu mibovu
tatizo la elmu yetu inakuwa na msaada mdogo sana kwa watoto yaaan aliyesoma anaendesha bodaboda kama ambaye hajasoma so elimu nakuwa kama haina faida aliyesoma anauza mtumba kariakoo kama ambaye hajasoma so mtu anajiuliza umuhimu wa elimu ni nn soln tujikite kwenye elimu ambazo zitawasaidia watoto mfano
Huo mtaala mpya km hakuna kipengele chakujifunza Sheria niwazi huo mtaala haujakidhi vigezo bado mnatengeneza kizazi kisicho jitambua namna gan yakuishi kiuongozi jambo ambalo nimuhm ktk maisha ya Kila cku, bado mnatekeleza agenda yenu yakuwafanya wa2 kuwa watumwa wakisiasa nautawala wenu hii mbaya San na hawez Sadia mwananch kujua wajib wake ktk taifa, nashangaa mnazunguzia somo la amani gan isiotokana na haki kuwafanya wananch wawe watumwa wawa watala namachawa wasio jitambua wanaojua kusifia2 nasio kukosoa amani gan hiyo yakishenzi mnawafundisha watoto wetu ujinga km tulivyo fundishwa sisi, watu wanajifunza maarifa makubwa kufanya tafiti kubwa nyie bado akili zenu zimeganda kisiasa nakuwalinda watawala wenu mavi nyie.
Professor unaongea vizuri sana ila mabadiliko ktk Elimu hayahitaji haraka ni polepole . Mkikurupuka tutarudi nyuma sana. Hakuna haraka .fanyeni taratibu.
Sasa nyie mbona hata hawo walimu wa biashara wenyew mnaajiri wachache Tena Yani walimu wa commerce 24 ndo watatosha nchi nzima au mnataka mda ukifika mseme Tena hatuna walimu wakutosha
Watu wa nchi hii kama hatuna akiri...eti anasema kwa bahati mbaya vitabu vinachapwa nje ya nchi..du...kuna makampuni ya uchapaji pale pugu road yanachapa hadi nakala milioni moja kwa siku inategemea na ukubwa wa kitabu kwa ubora wowote mnaohitaji. Itakuwa mmewapa wachina nyie. Uchapaji wala sio ishu kama kazi iko tayari ktk pdf na vipimo vyake hakuna utaalamu zaidi ni kuweka karatasi zinazoitajika na kuprint tu...machine zinakata na. Kupanga . Ukimuuliza watakwambia wataalamu
Toen somo la historia shulen halina tija ya leo na kesho ya vijana ila mchango finyu mno..Vitabu vya historia vibaki maktaba na katika majumba ya makumbusho... Hilo liwe ni shauku ya mtu akipenda kujua historia ya nchi yake au kitu flan ataenda kujisomea..Hata mchepuo wenye Hkl nk umekosa mvuto ktk soko la ajira
Haki ya Mungu mbona hujafikiri kabisa, ukiona Magufuli amesoma chemistry Hadi PhD, lakini baadaye akasema Kuna haja Kila mtu asome history ujue Kuna kitu aligundua. Kuna umuhimu mkubwa sana wa history.