DIMOND ANAMPENDA SANA OSTAZJUMA KANIPA PESA -Video msanii #hbaba akibishana na #ostazjuma kuhusu #diamondplatnumz na #harmonize hbaba adai diamond anampenda sana ostazjuma
Mi niulize swali tu kwani harmonize ni content creator ama ni mwana mziki mbona mnamtoa Kwa reli jembe hebu na nyinyi waandishi wa habari mtafute watu wa kuwahoji sio mtu anajiita pimbi na mnamkandamiza na maswalli tu