Тёмный

HIGHLIGHTS: SIMBA 1 - 5 YANGA/ UTAMU WA USHINDI HUU HAPA MWANANCHI ENJOY 5G🖐🏼 

Yanga TV
Подписаться 697 тыс.
Просмотров 306 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 287   
@javowa121407
@javowa121407 11 месяцев назад
Shabiki sugu wa Yanga Fc kutoka 🇰🇪 Kenya, tafadhali nipeni like
@thomassamwel2619
@thomassamwel2619 11 месяцев назад
🎉🎉
@suzanakabatano6581
@suzanakabatano6581 3 месяца назад
Hongera kuchagua yanga💚💛
@ZennashySaidy-om3xh
@ZennashySaidy-om3xh 11 месяцев назад
Yanga ih ilivo kua ya Moto🔥🔥🔥
@ukuvukiland2387
@ukuvukiland2387 11 месяцев назад
Mzize nampa maua yake kanibadilishia matokeo,drogba wa bongo au Lukaku na wachezaji wote kwa ujumla big up,tuwakilishieni nembo ya watoto wa jangwani,GSM mwendo huo huo mpaka waisome namba ,love yanga daima mbele nyuma kwetu mwiko.
@allexisaya6590
@allexisaya6590 11 месяцев назад
Tunawakubali sana wachezaji wetu ❤❤ nasubiri Hidden Camera
@rashidsimba3680
@rashidsimba3680 11 месяцев назад
hongera sana Dar young Africans ,Fans,Bench la ufundi,Rais na Management nzima ya Club ,Kongoleee
@mupetv6381
@mupetv6381 11 месяцев назад
Leo Mzize amepiga kazi haswa😅👍🔥
@daudimmary3965
@daudimmary3965 11 месяцев назад
Hongera kwa wachezaji wetu na benchi la ufundi bila kuwasahau viongozi na sisi mashabiki wallah tumefurahi sanaa
@PanchoValentino-wh7wt
@PanchoValentino-wh7wt 11 месяцев назад
Viva Yanga Viva Wananchiiiiii 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️⚽🔝💛💚👊💥5G Hii imeeenda
@ukuvukiland2387
@ukuvukiland2387 11 месяцев назад
Mzize akiendelea na umakini huo namuona mbali big up kocha kuwaingiza kwenye mfumo😂😂😂😂😂..
@Zapata88
@Zapata88 11 месяцев назад
Ukuta wa Jericoh umevunjwa rasmi...Young yetu pokea 💐yako kutoka 🇷🇼
@neemadaniel6233
@neemadaniel6233 11 месяцев назад
Ahsanten sana Jana mmekonga nyoyo zetu na mmekata ngebe za mtani, Magnificent, Excellent 👌
@ashatupa6076
@ashatupa6076 11 месяцев назад
Hongera sana mwananchi mwenzangu 💚💛💛💛💛💛
@mmewaswida
@mmewaswida 11 месяцев назад
Hongereni wananchi, hongereni wachezaji, hongereni uongozi kwa kuwaadhibu hawa mandunduka. Mmewapelekea aibu ya mwaka.
@EddyMwangiri
@EddyMwangiri 11 месяцев назад
Hongera yanga..bao ya nne walicheza utamu..sisi ndo yanga
@evaristkomba3184
@evaristkomba3184 11 месяцев назад
Put some respect to pacoume zizzou mwamba ni hatari
@alexmwita5033
@alexmwita5033 11 месяцев назад
Daresallam Young African 💚💛🖤🔑🗝️
@florakweyunga4490
@florakweyunga4490 11 месяцев назад
Wachezaji wetu,kazi nzuri saaana.Ahsante Mungu.🙏🙏🙏🙏.
@husseinmejja8041
@husseinmejja8041 11 месяцев назад
Young africa best team in africa right now
@محمودعصام-ذ8ج
@محمودعصام-ذ8ج 6 месяцев назад
AL AHLY🤫
@amaniomar1755
@amaniomar1755 11 месяцев назад
Ninamuita BBS "Big Brain Striker" Walid Clement Mzize unaweza kumuita Drogba wa Bongo
@nyabzuwamwagonme
@nyabzuwamwagonme 11 месяцев назад
Yanga ❤❤❤❤❤❤❤
@salimually6601
@salimually6601 11 месяцев назад
Hongera wachezaji wetu na benchi la ufundi hakika kazi mmeifanya
@eugenejustin8487
@eugenejustin8487 11 месяцев назад
Watchint all the way from South Africa ❤❤
@barakawabuge5285
@barakawabuge5285 11 месяцев назад
Mmenifurahisha toka machakos kenya..
@aminasubira6591
@aminasubira6591 11 месяцев назад
✋Hi five To All Yangs African Fans 🎉🎉Am so happy wallah 💚💛Waliamini Mvuaaa😂😂
@hggvg9809
@hggvg9809 11 месяцев назад
Tabu leleeeeeee Laaaaaaaah🖐️5G🖐🏼💚💛💐💐💐
@DoricaMsanya-ze2wc
@DoricaMsanya-ze2wc 11 месяцев назад
Tabulele laaaah💚💛💚💛💚hii sio raha ila ni zaidi ya furaha jmm wananchi ni mwendo wa kutabasamu😊😊😊😊😊😊
@magrethyeremia2279
@magrethyeremia2279 11 месяцев назад
Mzize namuona mbali saaan jmn,hongera kwa kujirekebishaaaa
@ntanilanjema04
@ntanilanjema04 11 месяцев назад
Hongera kwa wachezaji wetu na benchi la ufundi pamoja na viongozi Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥🔥🔥🔥
@florakweyunga4490
@florakweyunga4490 11 месяцев назад
Amen.
@MariamLimoo
@MariamLimoo 11 месяцев назад
Pamoja sana💪💪💪
@cosmangonyani1371
@cosmangonyani1371 11 месяцев назад
Pamoja sana hakika mmenipa Raha sana siku ya leo
@chiefosward1376
@chiefosward1376 11 месяцев назад
TABULELE LAHHHHH 💛💚🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@jumannezengo3437
@jumannezengo3437 11 месяцев назад
Nipe tano zangu nitembeee zangu👊👊👊👊👊👊👊👊
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 11 месяцев назад
Hata HUKU nilipo mvua kali Lakini Mnara unasoma vizuri tuuuu.... FULL 5G 📶......Vijino vyote...... Hii tunaita UNDER-MBWA...😊
@sashamotana3490
@sashamotana3490 11 месяцев назад
Love yanga
@bonifacehamis4088
@bonifacehamis4088 11 месяцев назад
YANGA bingwa tena 🔰💥💥💥
@radhiamussa1629
@radhiamussa1629 11 месяцев назад
Hongereni sana mmeupiga mwingi sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️💐💐💐💐💐🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
@rajah9328
@rajah9328 11 месяцев назад
Nilijipata nikiwa fan wa Yanga FC from 2017
@joshkelatv6876
@joshkelatv6876 11 месяцев назад
Yanga💛💚🔰💛💚
@kevymloje730
@kevymloje730 11 месяцев назад
WANANCHIII NIPENI KOMENT 5✋🏻✋🏻✋🏻😁😁 HAPAA
@janelebayo6161
@janelebayo6161 11 месяцев назад
💛💛💛💛💛💛💛💛
@mkapangope9119
@mkapangope9119 11 месяцев назад
Yanga tamu
@AgathaMatambula-lf7fv
@AgathaMatambula-lf7fv 11 месяцев назад
Yanga tumejua kusajili tupewe maua yetu👌👌😉
@FabiusMnyambo
@FabiusMnyambo 8 месяцев назад
akha i had a lot of stresses but after reviewing that match i felt stronger
@kingimmakelela662
@kingimmakelela662 11 месяцев назад
Yanga baba lao 💚💛💚💛💚
@hadsonsangala3083
@hadsonsangala3083 11 месяцев назад
yanga tamuuu💚💛
@ukuvukiland2387
@ukuvukiland2387 11 месяцев назад
Refa kawasaidia Sana Ile penati Yule beki WA Simba alitakiwa ale redcard😂😂😂😂😂
@elinazimsuya1725
@elinazimsuya1725 11 месяцев назад
Bora aliwaacha ili tuwapige nyingi pacpo kicngzyo cha Redcard
@sadahamad6158
@sadahamad6158 11 месяцев назад
Simba mfumo wa mvua umewachanganya 😂😂😂😂😂
@graciellaYerry-hi2ky
@graciellaYerry-hi2ky 11 месяцев назад
Yanga❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@agnesmsangi4935
@agnesmsangi4935 11 месяцев назад
Naombeni salamu tano🖐
@JacksonKiondo
@JacksonKiondo 11 месяцев назад
Tumempiga Mtu Tano Alafu Kumbe Ni Tarehe 5 😂😂😂
@husseynomar9523
@husseynomar9523 11 месяцев назад
Safi rqha sanaa 😂🎉🎉
@chiconinde8135
@chiconinde8135 11 месяцев назад
7:00 😂😂😂😂 Mohamed Hussein
@MapessaIcon
@MapessaIcon 11 месяцев назад
Muandishi acha mbwembwe simba tumepata lakufutia machozi sio 5-0 kama ulivyoandika😁 lkn hongera sana kwa ushindi mliopata🎉
@leonleon6323
@leonleon6323 11 месяцев назад
Tumewanyanyasa sana hao mbwa walitamba sana hii week😅
@rehemamahendeka-rm2ek
@rehemamahendeka-rm2ek 11 месяцев назад
Asanteni sana sana mno vjn wetu. Nimeelemewa,yaaani nakosa neno zuri la kuwapongeza.Niseme tu burdan mrabata.Mlikuwa vzr idara zote,asikwambie mtu kweli Yanga tam. Daima mbele nyuma mwiko. Wenye husda na husda zao,kina nani ??,c hao madunduka/makolokolo
@jumaiddyyusuph
@jumaiddyyusuph 11 месяцев назад
🦁🦁🦁🦁 0 - 5 au 1 - 5 msitunyime ata la kufutia machozi😭
@issamellody8880
@issamellody8880 11 месяцев назад
Like zangu Kwa yanga
@radhiamussa1629
@radhiamussa1629 11 месяцев назад
Na Leo katika siku alizocheza mzize Leo ndio amecheza alikuwa na utulivu sometime usilazimishe kufunga wewe ata pasi inatosha Leo kacheza vizuri sanaaaaaaaaaaaa
@DefaoKimata-rf7wp
@DefaoKimata-rf7wp 11 месяцев назад
Hii yanga itaniuwa 😂😂😂you
@athumanishabani1143
@athumanishabani1143 11 месяцев назад
Alhamdullah
@monikakagolo7827
@monikakagolo7827 11 месяцев назад
Ynga tamu ❤❤❤
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 11 месяцев назад
Ahsante Mungu,ahsante Yanga
@Emanuelorgtz
@Emanuelorgtz 11 месяцев назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥.👊👊👊👊👊👊 Yanga daima mbele nyuma mwiko hahahahaaaaaaaa had watakubali huu mwaka
@AbdalaJanuali
@AbdalaJanuali 11 месяцев назад
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 yangaaaaaaa
@ntakakasendebayi9992
@ntakakasendebayi9992 11 месяцев назад
Ukisikia timu kubwa ni yangasc💚💚💛💛
@abdallahchimerah2634
@abdallahchimerah2634 11 месяцев назад
🇰🇪 yanga mpaka the end 👋
@raksulchoki7063
@raksulchoki7063 11 месяцев назад
Amna Beki apoo simbaa
@amriiddy1972
@amriiddy1972 11 месяцев назад
Naombeni like 5 kwa Yanga 🖐
@Agustinopeter
@Agustinopeter 11 месяцев назад
Waambieni simba walale uvunguni
@Agustinopeter
@Agustinopeter 11 месяцев назад
❤❤❤❤❤ Ilove You Yanga
@issashekh9437
@issashekh9437 11 месяцев назад
@TvE907
@TvE907 11 месяцев назад
Mimi ni yangaaa
@AkramSaid-bo3nh
@AkramSaid-bo3nh 11 месяцев назад
😢😮😅😅
@beeyclasikytz8404
@beeyclasikytz8404 11 месяцев назад
Simba 1__5 yanga admini umeteleza Apo kwenye ubao. ....ni tano moja
@MustaqimMuhsin
@MustaqimMuhsin 11 месяцев назад
Tabulele lahaaaaaa
@theresiamartin3150
@theresiamartin3150 11 месяцев назад
Wananchiiiiiiii
@LevinaMwashigalaLevinaMwashiga
@LevinaMwashigalaLevinaMwashiga 11 месяцев назад
Mzize kaupiga mwing sana
@anrelyltv3757
@anrelyltv3757 11 месяцев назад
🔥🔥🔥
@shomari_msumi
@shomari_msumi 10 месяцев назад
Nilikuwa nina stress leo lakini baada ya kujikumbushia haya magoli ya timu yangu, stress zimeisha.....Yanga Afrika for life💚💚💚
@osumsafi2095
@osumsafi2095 11 месяцев назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👋
@kassimumqatary648
@kassimumqatary648 11 месяцев назад
Itabaki kwenye kumbukumbu kwao
@SalimuJoe
@SalimuJoe 11 месяцев назад
tumewaacha mbali sanah
@omaryamiri3175
@omaryamiri3175 11 месяцев назад
Hiiii yanga top top🔰🔰🔰💚
@MAMUUSUU
@MAMUUSUU 10 месяцев назад
Love you Aziz key 🔐
@Samalextz
@Samalextz 11 месяцев назад
Ahsanteni wanainchi birthday yangu imefana sana
@IrandagiyeBlaise
@IrandagiyeBlaise 11 месяцев назад
Wnainchi oyeeeee
@thadeusmateru1356
@thadeusmateru1356 11 месяцев назад
Watambue Simba jamii ya Paka kuwà uchawi hauvuki maji
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 11 месяцев назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@RajabuBojo-j2l
@RajabuBojo-j2l 9 месяцев назад
Tumewamwagia shwaaa
@reymgusi1616
@reymgusi1616 11 месяцев назад
💚💫
@ngendas7488
@ngendas7488 11 месяцев назад
💥💥💥💥💥💥💥💥💛💚🖤
@shaibusaady2420
@shaibusaady2420 11 месяцев назад
Allaah Akbar
@elardmassawe5513
@elardmassawe5513 11 месяцев назад
mshike uyooo HATOKI MTU
@Mahengo-d3r
@Mahengo-d3r 11 месяцев назад
Shabalala we believe nisikilizen sahabalala so beki
@John-hn4qg
@John-hn4qg 11 месяцев назад
Owa eee ni atar
@omaryluambano3495
@omaryluambano3495 11 месяцев назад
💛💚🖐
@rizikinmshauli1390
@rizikinmshauli1390 11 месяцев назад
1-5 yanga mbele nyuma mwiko
@dianajeremiah1547
@dianajeremiah1547 11 месяцев назад
Oyaaaaa weeeeeee👋😊
@FurorianJosephat
@FurorianJosephat 11 месяцев назад
Yanga Tamu mnatupa lahaa
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 11 месяцев назад
Best team
@HassaniMsigala
@HassaniMsigala 11 месяцев назад
Tulio rudia kuangalia Zaid ya mara Moja tujuane kwa like hapa za kutosha
@sullehtz9327
@sullehtz9327 11 месяцев назад
#timuyawananchi🔰🏆🙏
@RehemaKisesa-vw9ol
@RehemaKisesa-vw9ol 11 месяцев назад
Nipeni like zangu shabiki damdam walisema atufikibmbali apa niwapi❤❤❤
@annastaziaramadhani2666
@annastaziaramadhani2666 11 месяцев назад
Rekebishen tattle Simba watani wetu walishinda Moja tuwape haki yao
@febroniamsoma178
@febroniamsoma178 11 месяцев назад
Na bado
@JayMsafi-zs9nm
@JayMsafi-zs9nm 11 месяцев назад
❤❤❤❤❤
@erickmushi-nf5pb
@erickmushi-nf5pb 11 месяцев назад
🔰🔰🔰🙌
Далее
MASAI APAGAWA NA YANGA | NG'OMBE WANGU NAWAPA YANGA
14:25