Mzize nampa maua yake kanibadilishia matokeo,drogba wa bongo au Lukaku na wachezaji wote kwa ujumla big up,tuwakilishieni nembo ya watoto wa jangwani,GSM mwendo huo huo mpaka waisome namba ,love yanga daima mbele nyuma kwetu mwiko.
Asanteni sana sana mno vjn wetu. Nimeelemewa,yaaani nakosa neno zuri la kuwapongeza.Niseme tu burdan mrabata.Mlikuwa vzr idara zote,asikwambie mtu kweli Yanga tam. Daima mbele nyuma mwiko. Wenye husda na husda zao,kina nani ??,c hao madunduka/makolokolo
Na Leo katika siku alizocheza mzize Leo ndio amecheza alikuwa na utulivu sometime usilazimishe kufunga wewe ata pasi inatosha Leo kacheza vizuri sanaaaaaaaaaaaa