Amina .......ila baba mimi umenitoa mbari sana tena sana siku nikija apo ufufuo nikitoa ushuhuda wangu watu wataziba midomo wakimshangaa Mungu wambinguni ila nina ushauli baba nakuomba mwakani usigombee tena ubunge waache wafu wawazike wafu waoo maana naona kama hari ya hewa imechafuka na pia uku morogoro awakuzungumzii vema kama jana na juzi.....🙏
God gives qualification to people he wantes to use, so you don't need qualification to work for him but he qualifies people he wants to use I really like this point on top
I am chosen by God but there are many battles such as financial, health, family, ministry and so on but Jesus is victorious in my life in Jesus name. Amen.
Kwahiyo unasemaje kuhusu wokovu ktk kristo --- je kuna walio andikiwa kuokoka na kuna walioandikiwa kupotea? ( kuto okoka ) --- ikiws ni Mungu amewaamulia hivyo,ni kwa vipi anawahukumu kwa kuwaadhibu ktk moto wa milele ( Jehanamu )--- na tuna ambiwa hukumu ya Mungu ni ya HAKI ---- je hukumu ya namna hiyo ni ya haki --- " Doctrine yako ktk hilo inawalakini "
Ninachofahamu Mimi ni kuwa Mungu,alituwekea matendo mema ili tuenende ktk hayo --- na Mungu alimpa mwanada akili na nguvu ya hiari , ndiyo maana anasema " Nimekuwekea baraka na laana,uzima na mauti " ni jukumu la mtu kutumia nguvu ya akili na nguvu ya hiari kuchagua kati ya baraka na laana,uzima na mauti --- " ni MTU anachagua mustakabari wake,ndio maana hata akihukumiwa,hukumu yake,inakuwa ni hukumu ya haki " kwasababu MTU amechagua mwenyewe.
@@KokoloLambinguni umpeleke mahakama gani!!? kila mtu anajua wabunge wote wa CCM waliiba kura akiwemo Gwajima kama kweli angekuwa mtumishi wa Mungu wa ukweli asingekubali ubunge wa mchongo/wizi..