Mimi huwa naona wazungu kama Wana aina ya maisha Yao nashindwa kuwekeza south Africa wakati Wana law materials zote platinum na chuma na mengine ila Tu hawana technologia
Bro wewe ukitaka kuwekeza vizuli south Africa hakuna chakuwekeza wewe!ila utanunua piki piki fanya uwe ma delivery wawe wanakupa pesa ya rent ila hakuna kitu unaweza kuwekeza south Africa ao ununuw contain ufunguw salon
China ndiyo soko kubwa zaidi duniani sababu ya ukubwa wa uchumi wao na idadi kubwa. Pia ina idadi kubwa ya wasomi ambao ndiyo wanahitajika katika viwanda. Pia kuna umeme wa uhakika tofauti na South Africa
ameenda china sababu soko la gari zake za umeme zimeshuka kimauzo mbele ya gari mpya za gari za umeme za china ...so amekwenda kucheki namna ya kufix iyo issue
Baada ya mauzo kushuka wamefanya hivi Unajua tesla wametoa blueprint kwa makampuni yote ya. Magari ya namna gari zao za umeme zimecontain nini na namna imeundwa na yeye kafanya hvyo ili kuuza hyo software yao
Brother unaaribu simulizi kiukweli hatupendi kuingesa watu wengine kwanye mazungumzo yako wew unasauti nzuri saana hadi watu wengi tunapenda kuskia sauti kwahiyo jaribu kuwa unazungumza mwenyew.
Kweli kabisa mimi Nipo wa bmw 5 inajiendesha na kujipaki kujitoa kwa pack ukiwa haulo ndani mfano watu wamekufinya hauwezi kuongia kwa gari unawasha na kuipeleka mbele toka kwa packing inajiendesa na inajipack ukilala ukiwa unaendesha gari bmw the real
Nchi ya CHINA ina magari yenye uwezo wa hali ya juu kuliko ya kampuni ya elon musk kwaio yeye hana jipya hapo sema ameenda kupata usharika wa kibiashara na maswala ya automation hata BMW NA BENZ wanayo kitambo tu NI VITU VYA KAWAIDA, sio kwamba wao marekani ndio wa kwanza.
China wana tayari wana self drive taxis, kila kitu inafanya gari. Kuanzia kupaki na kila kitu. Mbona mtoa habari anaonesha kama ndio kitu kipya kwa China?
Mbona China wana taxi zinazojiendesha zenyewe kila kitu gari linafanya, kuanzia kupaki na kila kitu. Mbona hapa mtoa habari anaonesha kama ni kitu kipya kwa China?
Kibali Cha Kuanzisha Teknolojia Ya Software Nchini China Ili Kuwezesha Kukamilika Kwa Hiyo Huduma Mpya Kwenye Kampuni Yake Ya TESLA, ili Kuboresha Features Zilizopo Sasa Kuongezea Nyingine, mfano Auto Sensors Kwaajili Ya Kupunguza Spidi Automatically Kulingana Na Mwendo, Auto Sensors Kwaajili Ya Gari Kuchagua Mahali Sahihi Pa Kupaki Lenyewe Bila Dereva, Though Sio 100% Iyo Gari Itakuwa Ikijiendesha Bali Lazima Uwepo Wa Dereva... Kwa Uelewa wangu Mdogo Ni Hivyo Mkuu
Siku aliyoenda China the Tesla stock went up to the moon.It was a snub to India. Prime minister wa India alipanga kuitumia visit & investment za Musk kwenye campaign za kupata kura.Kutokwenda kwa Musk imewaumiza sana tena Musk akaenda kwa adui yao 😂
Huyu tunajua alizaliwa SA Pretoria ila asili yake ni China kuzaliwa sehem haimaanishi ndo asili yako ni kama mtu ashike mimba akiwa UK akazalie marekani
Mbona China wana taxi zinazojiendesha zenyewe kila kitu gari linafanya, kuanzia kupaki na kila kitu. Mbona hapa mtoa habari anaonesha kama ni kipya kwa China?
BYD na Huwawei wana self driving cars. Ishu ni kwamba Elon Musk anataka kupata kibali tu kwa sababu kuna wateja wa Tesla wanaotaka magari ya Tesla ambayo ni self driving. Na hawajaanza leo. Usiwe mvivu ingia RU-vid
Sure zipo toka 2021 kampuni ya Didi ilizindua hyo program na zikauzika sana. Yutong pia wanatengeneza hizo gari maiaka 3 imepita after COVID-19 walisimama.