Inavyo onekana umeona mengi kila unacho zungumza Nikwery kuna mwanaume jina lake lilikua lina anzia M mkewake J mwisho wasiku alimuua mkewake na yeye pia kujitundika sio iyo tu nikaona kwingine kama unavyo elezea ndivyo utokea kunaving sana nimejifunza tokea nianze kufatilia kipindi chako asante kwaelim yabure kabisa