Kualikwa mama unajishobokea, unajishobokea.... Mama watoto punguza kiparapupa kile kinyakindili upate dhambi za kuzila ukamwacha mtoto ndani hata chakula hujapika... Kile kinyakindili upate dhambi za kuzila ukamwacha mtoto ndani na chakula hujapika.... Mama watotoo.... 💯💯👊🙆♂️✊