Тёмный

HOFU INAVYOWEZA KUWA MLANGO WA KUSHINDWA KWAKO - MIN.SUNBELLA KYANDO 

Reality of Christ Church
Подписаться 76 тыс.
Просмотров 100 тыс.
50% 1

Ibada mubashara kutoka Huduma ya Reality of Christ iliyopo Sinza Mori Dar es salaam inayoongozwa na Mtumishi Sunbella Kyando - +255 657 173322
#Sunbella_Kyando #ROCTV

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 125   
@anuaritemanegabe955
@anuaritemanegabe955 4 года назад
Mimi nikingali na fwata mafundisho hii m 2020.wandungu wapedwa kama umikumbali neno la mungu wetu aliye juu binguni gonga liki nauseme AMEN 🙌🙌
@neemamshiu1165
@neemamshiu1165 Год назад
Ameen
@HeriethJoseph-cd8vk
@HeriethJoseph-cd8vk 5 месяцев назад
Nakataaa roho ya hofu ndani yangu Kwa jina la yesu😢
@user-qo8tm4sn3s
@user-qo8tm4sn3s 10 месяцев назад
Eeh mungu niondolee roho ya hofu baba umeniguza
@FurahaMuhindi-ti2gt
@FurahaMuhindi-ti2gt 8 месяцев назад
Nakataa roho ya hofuu kwa jina la Yesu 🙏🙏 Barikiwa mtumishi wa Mungu
@Queen..113
@Queen..113 3 года назад
Yesu nisaidie hii roho iondoke ndani yangu. Katka jina la Yesu Kristo
@edwardselekaroba5534
@edwardselekaroba5534 3 года назад
Mamb
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Год назад
Mungu aniokoe na shimo na hofu natiwa nguvu na maombi YAKO.
@zaudamwaisanila9150
@zaudamwaisanila9150 2 года назад
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu, kiukweli nimejifunza na sitakuwa na hofu tena kwa jina la Yesu kristo wa Nazareti aliye hai
@annandossi1022
@annandossi1022 3 года назад
Asante sana Mtumishi 🙏🏾 kuanzia leo nakataa hofu kwa jina la Yesu.
@lulungatumbura2690
@lulungatumbura2690 9 месяцев назад
mungu naomba nitoe hofu moyoni mwangu
@mokembo2channel564
@mokembo2channel564 Год назад
Naomba mungu uniondolee uwoga ndio niweze kuwa na confident nifanye kulinga na mapenzi yako
@MaryFred-m3k
@MaryFred-m3k 9 месяцев назад
Eee mungu baba niondolee roho y hofu maishani mwangu
@MaryFred-m3k
@MaryFred-m3k 9 месяцев назад
Ninaikataa roho ya hofu kwa jina la yesu kristo
@lovepower9908
@lovepower9908 2 года назад
Thank you GOD for bringing him to us
@getrudemwenda7319
@getrudemwenda7319 4 месяца назад
Nakataa na roho ya hofu kwa jiina la YESU
@emmanueltwaha1489
@emmanueltwaha1489 3 года назад
Mungu akubariki Mtumishi, nabarikiwa sana na mafundisho yako.Nakupenda Baba.
@martinmwamlinda3181
@martinmwamlinda3181 2 года назад
Huyu msomaji wa Biblia yuko vizur sana anasoma kwa suit nzuri mno, abarikiwe sanaaa
@gospelguest694
@gospelguest694 Год назад
Angalia shetani asije kukusemesha neno lingine Kwa kutafakari hiyo sauti. 🙈🙈
@anthonybaisi2461
@anthonybaisi2461 Год назад
Asante Sana mtumishi wa mungu umenijenga kiimani
@lovenessrichard9969
@lovenessrichard9969 Год назад
Naikatakata roho ya hofu ndani yangu katika jina la Yesu Kristo ianguke chini Kama umeme
@joycekariuki46
@joycekariuki46 2 года назад
Great message mtumishi tuned in from Seattle
@leonardsr8994
@leonardsr8994 2 года назад
Hili somo linanihusu 100% naomba Roho Mtakatifu anisaidie
@elizabethmarandu5043
@elizabethmarandu5043 2 года назад
Mungu naomba uniondolee hofu katika maisha yangu. Nimebarikiwa sana mtumishi wa mungu 🙏🙏🙏🙏🙏
@maglindaanyango
@maglindaanyango Год назад
Amen amen
@siakiwelu3255
@siakiwelu3255 3 года назад
Nakataa roho ya hofu ma woga kwa Jina la Yesu
@neemamchelema254
@neemamchelema254 2 года назад
Ameen
@zuenahamoud1532
@zuenahamoud1532 2 года назад
Libarikiwe tumbo la mama aliekuzaa
@felixjoel3210
@felixjoel3210 5 лет назад
We mtumish ninoma on mekupabigapuuuuu !!!thenks .
@tessadams3246
@tessadams3246 2 года назад
Nabarikiwa na mafundisho yako kila siku katika mitandao ...kupitia mahubiri nimekombolewa na kupokea uponyaji
@marianaselestine1458
@marianaselestine1458 2 года назад
Barikiwa mtumishi wa Mungu, namuomba Mungu anisaidie kwa sababu nasumbuliwa na roho ya hofu. Niombee nipone kwa jina la Yesu Kristo.
@beautylawrence5829
@beautylawrence5829 2 года назад
Mungu akubariki Sana umetibu moyowangu
@florencekwamboka9717
@florencekwamboka9717 Год назад
I get the point, good massage God bless you 🙏
@elishapastory464
@elishapastory464 2 года назад
Hali hii imenitesa Sana YESU nivushe sasa nakusihi
@user-bo2tc4fu9z
@user-bo2tc4fu9z 10 месяцев назад
Asante mtumishi
@florencekwamboka9717
@florencekwamboka9717 Год назад
Thank you, God bless you 🙏
@joycethadeo6635
@joycethadeo6635 2 года назад
Mungu akubariki sanaaa baba nimebarikiwa mnoo
@leokadiamdeke1765
@leokadiamdeke1765 2 года назад
Amina lazima nipone na hofu maana nihofu na roho ya mauti kuanzia muda huu nafuta kwa damu ya yesu kristo
@azzyhalid211
@azzyhalid211 2 года назад
nakalikiwa sana baba Mungu akubaliki
@furahaa123
@furahaa123 2 года назад
Mungu akubariki xna kw kufndixha hili somo kwanzia leo hi hofu imeixha kw jina la yesu wa Nazareth
@officialgabriel7535
@officialgabriel7535 2 года назад
A True servant of God,,thank you for the word ..am Gabriel from Kenya..
@loycegodson7754
@loycegodson7754 Год назад
Barikiwa Sana pastor... Unanivusha...
@byishimosamson9431
@byishimosamson9431 2 года назад
Mwalimumuzuriwakiroho nimahaja yakukuona usoso kauso naishi Rwanda mungualinijalia nitakujahuko
@isabelavictor9964
@isabelavictor9964 2 года назад
Nakemea roho ya hofu katika Jina la Yesu Amen 🙏
@gabriellyimo7132
@gabriellyimo7132 2 года назад
Amen
@sophisued1803
@sophisued1803 2 года назад
Amen
@faithmsemo8202
@faithmsemo8202 4 года назад
Mungu akubariki sana mtumishi🙏 Hili somo limefanyika baraka na litaleta mabadiliko makubwa katika maisha yangu..
@mosesmnyantope9534
@mosesmnyantope9534 Год назад
Aminaa kubwa naomba mungu nami nitoe hofu
@jerubetjoan20
@jerubetjoan20 Год назад
Thank you God for your good servant.
@emmanuelbernard8628
@emmanuelbernard8628 3 года назад
Ubarikiwe baba Nmevuka Amen🙏🙏
@elizabethmarwa4021
@elizabethmarwa4021 2 года назад
Asante Mtumishi Kuanzia Leo nakataaa Roho ya Hofu maishani Mwangu
@annaclement2723
@annaclement2723 Год назад
Sitokuwa na hofu tena kwajina la yesu
@enoceruganga5435
@enoceruganga5435 4 года назад
Nakusoma mtumishi I see breakthrough
@mcmteule3446
@mcmteule3446 3 года назад
Amina baba nime pona leo
@dafady
@dafady Год назад
Ahsante kwa somo na mafundisho mazuri
@aishambise6529
@aishambise6529 2 года назад
Nashukuru mtumish w mungu nikoivyo kwanzia sasa mungu niondolee ofu
@annafrancis2629
@annafrancis2629 2 года назад
Nimeelewa baba mungu anisaidie
@mariamfrank9795
@mariamfrank9795 2 года назад
True Man of God
@amazonsecurity5359
@amazonsecurity5359 2 года назад
ubarikiwe mtumishi wa MUNGU
@chrismwesiga2334
@chrismwesiga2334 5 лет назад
Ubarikiwe mtumishi,umenitoa sehemu.
@joycetematema1324
@joycetematema1324 3 года назад
Naikataa hofu kwa jina la Yesu
@richardhaule1267
@richardhaule1267 5 лет назад
Nakusikiliza katika Tunduma Nahitaji mawasilianono na wewe kwa mda sasa,skupati naongea na wasaidizi wako tuu,nijulishe kama kunautalatibu mwingine wakuweza kukufikia,na Mungu akubaliki sana Mtumushi pindi utakapo nipatia coneksheni ya kuwasiliana nawe
@angeloelia6445
@angeloelia6445 2 года назад
Ubarikiwe sanaaa mtumishi...
@joannelson1137
@joannelson1137 2 года назад
This is more than 💎💎🎓🎓 thanx God for give us your servant.🙌🙌🙏🙏
@professorcaleb8459
@professorcaleb8459 3 года назад
Asante kwa hili somo
@mackmillan9040
@mackmillan9040 4 года назад
Kwel kabisaaaa,, Mungu WA mbinguni azidi kujubariki
@crepinakatundu1831
@crepinakatundu1831 2 года назад
Amina.Mtumishi wa Mungu.
@wangarijane1669
@wangarijane1669 2 года назад
Such deep truth can only be inspired by the Holy Spirit
@GNSSAfrica
@GNSSAfrica 3 года назад
Great message.Be blessed.
@sweetygodfrey6555
@sweetygodfrey6555 2 года назад
Nakata roho ya hofu kwajina la Yesu
@safiaseifhamad4100
@safiaseifhamad4100 5 лет назад
Thank you for the lesson May God bless you abundantly I hope I shall be able to stand out with much strength and fight the unknown to the known
@jansidorkas2749
@jansidorkas2749 5 лет назад
Please mutumishi wa mungu mimi naomba tu
@oliveruwamahoro1820
@oliveruwamahoro1820 5 лет назад
I wish ningepata mafundisho hayo miaka 9 iliyopita😥😥😥
@tangadvstangacity901
@tangadvstangacity901 4 года назад
Hofu anajua tuyawazayo naye hufanya kazi yake kwa kutizama mawazo yetu NAIKATAA HOFU KWA VITENDO KATIKA JINA LA YESU
@MWALIMUCHAKATV
@MWALIMUCHAKATV 2 года назад
Ayubu 3:25 [25]Maana jambo hilo nichalo hunipata, Nalo linitialo hofu hunijilia. For the thing which I greatly feared is come upon me, and that which I was afraid of is come unto me.
@muhsinyahaya5822
@muhsinyahaya5822 4 года назад
Appreciate
@starluzenja9861
@starluzenja9861 2 года назад
I have been so blessed.God bless
@leytcastle9402
@leytcastle9402 3 года назад
Somo Kubwa sana Nakushukuru sana Mtumishi wa Mungu endelea kutufungua
@realityofchristchurch
@realityofchristchurch 3 года назад
Amen, Mungu atukuzwe sana 🙌
@leytcastle9402
@leytcastle9402 3 года назад
@@realityofchristchurch Ibada inaanza saa ngapi na kwisha saa ngapu siku ya kesho?
@jamesninalwo4872
@jamesninalwo4872 4 года назад
Ni kweli kabisa hofu uleta kushindwa juu ya jambo fulani
@evelynmavura7337
@evelynmavura7337 4 года назад
Nakushukuru baba kwa neno limenibariki sana
@victorchami9614
@victorchami9614 5 лет назад
Mtumishi tunabarkiwa sana. Mungu azidi kukujaza ufahamu.
@anaaanick4187
@anaaanick4187 3 года назад
Amen Ameen 🙏🙏🙏
@dastanmboera8445
@dastanmboera8445 2 года назад
I love your teachings MOG
@jansidorkas2749
@jansidorkas2749 5 лет назад
Asante dada kwakunielimisha nisha kupata vizuri
@gladysmuhonja2342
@gladysmuhonja2342 2 года назад
Amen
@farajamoses7486
@farajamoses7486 3 года назад
Hakika nimejifunza SoMo zuri
@carolinetalam5832
@carolinetalam5832 5 лет назад
Nice teachings am really blessed
@veronicasadi3853
@veronicasadi3853 5 лет назад
Aminaaaa Pastor, napokea kutoka Songea, nabarikiwa sana kwa mafundisho yako, barikiwaaaa
@vicentedwin4985
@vicentedwin4985 4 года назад
Umenifundisha kitu kikubwa sana Mungu Akubariki Mtumishi
@azizamtoi3468
@azizamtoi3468 2 года назад
Nilikuwa naombaga kila siku nipate mtumishi atakayenifundisha nimjue mungu.asante mungu kwa hii zawadi.ata nimalize bando kwa ajili yko sijutii
@janemarcus3665
@janemarcus3665 2 года назад
🙏🙏
@ezekielmwansasu
@ezekielmwansasu 4 года назад
Be blessed always @reality of Christ ministry
@emmanueltycoonpreneur3224
@emmanueltycoonpreneur3224 5 лет назад
Asante Mtumishi kwa somo
@muhsinyahaya5822
@muhsinyahaya5822 4 года назад
Somo zuri hkk limenifnza
@everlineeva594
@everlineeva594 3 года назад
Nakata kwa jina la YESU KRISTO,hofu inihondoke kwa maisha yangu 🤺🤺
@godlivermushi6930
@godlivermushi6930 2 года назад
Nimepokea kwajina LA Yesuu
@ChancyLuhasa
@ChancyLuhasa 5 лет назад
Hata daudi alishikwa na hofu. Alipo jigeuza mwendawazimu. Na alikimbia sauli. Pia akakimbia mtoto wake absalomo. Una fundisha vizuri ila kuna hofu amboa siyo mbaya.
@RoseRose-vf5km
@RoseRose-vf5km 5 лет назад
Nime jifuza sna
@ronaldsariah8760
@ronaldsariah8760 4 года назад
Mtumishi ubarikiwe sana. Sijutii kukufahamu kupitia Chomoza. Nakosaga raha nikikosa mb. Ila ile namba ya group la whatsap nilituma sms lakini haijasomwa mpaka leo. Natamani kujua kanisani kwako
@newgeneration9524
@newgeneration9524 3 года назад
Hivi kuna group la kupata mafundisho, kama lipo namimi nataka kuungwa
@neemabobilya8978
@neemabobilya8978 3 года назад
Mungu akubariki unatufungua akili sana
@ChancyLuhasa
@ChancyLuhasa 5 лет назад
Kwenye tatizo yote hofu inaondoka wakati Mungu anakupa ufunuo. Ila mwenye pepo ya hofu ni lazima apate ukombozi
@joelshija4184
@joelshija4184 5 лет назад
Kama umemsikiliza vizuri mpendwa hofu inayouzungumziwa ni roho kamili
@mnembachambuya4956
@mnembachambuya4956 3 года назад
Hio FEAR OF UNKNOWN roho wake mharibifu anakuja kuharibu nini kwenye maisha ya mhusika?
@josephpetro8455
@josephpetro8455 3 года назад
Ubarikiwe Mtumishi naitwa Mch Joseph petro kutoka mwanza.Nimeandika kitabu kinachoitwa shinda hofu ishi kishujaa na kimepokelewa vizuri sokoni.Natamani kuongea na wewe somo hili limenibariki sana 0754588198 ndio namba zangu
@realityofchristchurch
@realityofchristchurch 3 года назад
Wasiliana nasi kwa simu namba 0657173322
@kamobcooler1077
@kamobcooler1077 2 года назад
Mchungaji 🙏🙏🙏🤝🤝🤝🤝 (ila usiwe kama BULL-DOZA) 🤪
@evaristeridrisser5153
@evaristeridrisser5153 2 года назад
Lipo wapi ili kanisa I want to join tafadhali nijulishwe
@realityofchristchurch
@realityofchristchurch 2 года назад
Kanisa lipo Dar es Salaam, Sinza Mori karibu kabisa na ofisi za TAMWA. Karibu sana.
@ChancyLuhasa
@ChancyLuhasa 5 лет назад
Ayubu aliongea hivyo, kwa sababu hakujua kama ni Mungu aliruhusu yale matokeo yote.
@joelshija4184
@joelshija4184 5 лет назад
Ndiyo mana tunafundishwa tunamuhitaji sn Roho mtakatifu
@jansidorkas2749
@jansidorkas2749 5 лет назад
Mimi fungu lakumi natoa nanimiti jinzi mandiko inasema sisengenyi. Sitharu sisemi huongo but simbariki niko palepale tu kuamini nimeani mpaka nimechoka sasa ata kuamini sasa
@shelmmahmegulin646
@shelmmahmegulin646 5 лет назад
Ubarikiwi kwa sababu unatoa hili ubarikiwe hutoi kwa moyo
@safiaseifhamad4100
@safiaseifhamad4100 5 лет назад
Imani yako ndio tatizo kwako. Yaani namaanisha kinywa chako, nafsi na ubongo/akili yako vinapishana wakati wa maombi
@mbokalugano5060
@mbokalugano5060 5 лет назад
Hama iyo madhabahu uliyopo
@movietheatresherrif7085
@movietheatresherrif7085 5 лет назад
Biblia inasema watu wangu wanaangamizwa kwakukosa maarifa yawezekana huna maarifa ndio maana unaangamia na kumcha bwana ndio chanzo cha maarifa ndugu
@leytcastle9402
@leytcastle9402 3 года назад
Baraka ni kuwabariki wengine! Baraka zako unapata ili uwabariki wengine ndio maana hukosi fungu la kumi! pia usijione mkamilifu mbele za Mungu
@byishimosamson9431
@byishimosamson9431 2 года назад
Mwalimumuzuriwakiroho nimahaja yakukuona usoso kauso naishi Rwanda mungualinijalia nitakujahuko
@ronaldsariah8760
@ronaldsariah8760 4 года назад
Mtumishi ubarikiwe sana. Sijutii kukufahamu kupitia Chomoza. Nakosaga raha nikikosa mb. Ila ile namba ya group la whatsap nilituma sms lakini haijasomwa mpaka leo. Natamani kujua kanisani kwako
@sarahsoso7202
@sarahsoso7202 5 лет назад
Amen
@deborahfredrick1819
@deborahfredrick1819 3 года назад
I believe in Jesus name.amen
@timotheoashery4051
@timotheoashery4051 2 года назад
Asate mtumishi
Далее
Ukweli wa tatizo ulilonalo- Min Sunbella Kyando
1:15:48
JE, UNAJUA KWANINI VITU VYAKO VINAKWAMA?
55:30
Просмотров 119 тыс.
▼ЮТУБ ВСЁ, Я НА ЗАВОД 🚧⛔
30:49
Просмотров 532 тыс.
Dr. Chris Mauki: Mambo 8 ya Kukusaidia Kuishinda Hofu
12:14
KUTEGUA YALIYOPANGWA NA SHETANI (DODOMA)
1:05:11
Просмотров 101 тыс.
MWISHO WA UCHAWI BY PASTOR SUNBELLA KYANDO
56:45
Просмотров 9 тыс.
Unaifahamu Roho Ya Hofu? Jifunze Na Pastor Sunbella
21:42
Namna ya Kushinda hofu na Hatia Maishani Seh. I
43:09
ROHO MTAKATIFU(SEHEMU YA KWANZA) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
1:27:16