Тёмный

HOUSE GIRL EP 04 || love story 💕💞 

Подписаться
Просмотров 163 тыс.
% 3 490

Кино

Опубликовано:

 

7 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 834   
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Kujiunga Group Busati tv WhatsApp bonyeza link 👇👇 chat.whatsapp.com/EXedjPddrA9C1XIkEg36JP
@RahmaMbeyu
@RahmaMbeyu 26 дней назад
Nataka jiunga
@user-dv2wl3gh4n
@user-dv2wl3gh4n Месяц назад
Hapo ndipo wanaume hukosea babako n mhimu kuliko kila kitu duniani
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Umeona eeeh
@user-ey5mv1yz3s
@user-ey5mv1yz3s Месяц назад
Kabisa yani
@zulfajamal3166
@zulfajamal3166 Месяц назад
Kwa tabia za huyo dada unafikiri huyo kaka atakaa sehemu gani
@omarsaid_1607
@omarsaid_1607 Месяц назад
Ndo hivyo tunapendaa wake zetu sana kuliko wazee wetu... Allah atuongozee
@salumsalum2901
@salumsalum2901 7 дней назад
ningelikuwa ashakula makofi mengi sana apo
@user-ko4in4uy1u
@user-ko4in4uy1u Месяц назад
Muko Vizuli Sana ❤❤❤ Nawapenda Gutoka Burund 🇧🇮♥️♥️♥️♥️👌👌
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Tunawapenda sana Watu kutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 aslimia sana Burundi
@user-yg9hj8ps2h
@user-yg9hj8ps2h Месяц назад
Jmn dada wakazi anunuliwe nguo.anyway unawatch house girl ukiwa wp mpnz kujeni uku team fulus
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Asante sana Dada wa Kazi nguo anazo ni Bado tu yupo Day hiyo hiyo
@mwanaakidaomar4663
@mwanaakidaomar4663 Месяц назад
Tupo hpa💃💃💃
@user-nz7kl1to2y
@user-nz7kl1to2y Месяц назад
Mbona wengine wanabadiliha ma nguo ila yeye ni hiyo moja tuu​@@busatitv
@everlinekenga437
@everlinekenga437 Месяц назад
Nikiwa Dubai ❤❤❤
@user-xo5ic7zu3v
@user-xo5ic7zu3v Месяц назад
Oman😂😂😂😂
@Tunusugar
@Tunusugar Месяц назад
Baba mkwe jaman anampenda zuu 🎉
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Baba Mkwe ana Shida 🤣🤣🤣
@SumarryGoodluck
@SumarryGoodluck Месяц назад
Brother msikilize mzee anakuambia kweli aiseeh
@barakahsylvester7911
@barakahsylvester7911 Месяц назад
Muwe Mnjitahid kutuletea mwendelezo mapem a..❤
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Tunapost kila siku saa 1 Usiku bonyeza kengele 🔔 usiwe unapitwa
@user-wu7ho7sx8q
@user-wu7ho7sx8q Месяц назад
𝐒𝐢𝐭𝐨𝐚𝐜𝐡𝐰𝐚 𝐧𝐲𝐮𝐦𝐚 𝐧𝐚𝐰𝐚𝐩𝐧𝐝𝐫𝐚 𝐜𝐧
@elisanteKombe
@elisanteKombe Месяц назад
Hongera sana kwa movie nzur yenye mafundisho mazur. Nawapenda na tuko pamoja mpaka tamati maua kwenu🎉🎉 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Tunakupenda sanaa 🥰🥰❤❤
@user-yi2eo6mi1j
@user-yi2eo6mi1j Месяц назад
Filam nzuri tunaipenda🇧🇮🇧🇮
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Asante sana 🙏
@SalumMpwagi
@SalumMpwagi Месяц назад
Daaaah ambao hatujaoa tuna Kazi kubwa mno tujifunze kwa hii filam wanawake tuwachague lakin tuwe makini
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Kabisaaa kaka ujakosea 🙏🙏
@doroblessing3779
@doroblessing3779 Месяц назад
Chagueni mke mwema Kama Yule wa rafikiye kai
@MaryPaschal-mm2zb
@MaryPaschal-mm2zb Месяц назад
Filamu nzuri acha nikazane kutafuta GB
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Hahaha sawaaa
@Shakila-pq2gv
@Shakila-pq2gv Месяц назад
😂😂😂😂
@salumsalum2901
@salumsalum2901 7 дней назад
tunao wifi za bure tunazid kupeta
@RizikiZiki
@RizikiZiki Месяц назад
Kayi baba anaongea pwenti zuu ndo mwanamke sahihi kwako uyo mkeo sio mke nimtihani kwakweli hadi asira kiukweli 😢
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Umeona eeeh
@pur-ple-girll-304
@pur-ple-girll-304 Месяц назад
Kumbe point inaandikwa pwenti😅😅😅
@user-gt5ur3ow9j
@user-gt5ur3ow9j Месяц назад
Wew syo pwenti ni point
@pur-ple-girll-304
@pur-ple-girll-304 Месяц назад
@@user-gt5ur3ow9j 😂😂😂naelewa dr
@RechoJuma-wk9yt
@RechoJuma-wk9yt Месяц назад
Kweli kambisa uyu mke afai
@EstherIndiana-sn9zg
@EstherIndiana-sn9zg Месяц назад
Here we are following ❤🎉Kenyan's watching 🔥
@deempress9698
@deempress9698 Месяц назад
English is refusing...😂😂😂😂😂
@user-vv8nw5jj4r
@user-vv8nw5jj4r Месяц назад
Napenda hii filam ❤nikiwa USA🇱🇷❤❤❤
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Oooh Asante sana 🙏🙏
@OfficialZuli-ve5kh
@OfficialZuli-ve5kh Месяц назад
Jamaniiii nilijua nitawahi
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🤣🤣
@Marem-xu5xx
@Marem-xu5xx Месяц назад
Naipenda kbx nimeiyo tik tok nikaipenda kbx From🇸🇦🇧🇮🇧🇮✌️✌️
@SakalaAbdilahi
@SakalaAbdilahi Месяц назад
Dem wang wa sasa awe hivi na nilivo mchoka mapema sana nampiga chini
@Shakila-pq2gv
@Shakila-pq2gv Месяц назад
😂😂😂😂jamn yaan ni demu sio mke
@LucknessPeter
@LucknessPeter 27 дней назад
Mungu anakuona kaka
@Mary-ug6oc
@Mary-ug6oc 26 дней назад
Jamani wewe kaka kuwa na Huma basi unamchoka je? Mwanamke fikria angekuwa dada Ako anafanyiwa ivo ungejisikia je?
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 9 дней назад
😂😂😂mapema san
@user-Ambani
@user-Ambani Месяц назад
Nice movie i enjoy it 🎉🎉🎉🎉 from🇰🇪🇰🇪
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Oooh Asante sana
@gracenyambura1274
@gracenyambura1274 Месяц назад
Mkenya mwenzangu Sasa
@JeshiSaidoh
@JeshiSaidoh 12 дней назад
​@@gracenyambura1274poa mambo
@Tetesizausajili152
@Tetesizausajili152 Месяц назад
Sema house girl ana hatar iyo shepu🔥
@OfficialZuli-ve5kh
@OfficialZuli-ve5kh Месяц назад
🎉🎉🎉
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Vipi kuna sehemu anataka kusajiliwa? 🤣🤣🤣
@MwanajumaMbwana
@MwanajumaMbwana Месяц назад
Ama kwel mtu sio rahs kutambua dhahabu ilo ndani ya nyumba yake zuu n kama dhahabu n huyu kaka anashindwa kutambua anachagua dhabu feki n isiyo n thaman
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Tena kaana kuishi nae kabla hata ya kumuoa Candy
@Mwana85Mwana85-wz1ol
@Mwana85Mwana85-wz1ol Месяц назад
Kumekucha tena zuu tafuta ndoa zuu wangu np hap wif yako. kutoma oman ndao tunayo hatuna kwa zuu b mkwe kazi unayo kwa mkwe busat leo nimechoka n kazi za warabu nitaimalizia kesho nalala nimechoka mm mpka macho yananiwasha 🇴🇲🇴🇲 kazi kazi tu
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Aiseee pole sana kipenzi chetu
@Mwana85Mwana85-wz1ol
@Mwana85Mwana85-wz1ol Месяц назад
@@busatitv asnt San Leo sas hap ndyo nataka nimalize warabu muda mwengine wanizigua sehem ndyo hvyoo kazi kazini
@MWANAKOMBONGANGAKARISA
@MWANAKOMBONGANGAKARISA Месяц назад
Safi xan Wana busati Kaz inabamba xan ak endeeni kutufunza 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@danielkayun
@danielkayun Месяц назад
Uyo mze alud to hom mana anazalilishwa san atakam ndounapenda mwanamke hauwezi fanana nawamzazi niushauli tu❤
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Mzeee anakutana na mazito
@user-lf2ze2xr7s
@user-lf2ze2xr7s 21 день назад
Umeonaee 🎉🎉🎉
@user-gx4ci6gf8h
@user-gx4ci6gf8h Месяц назад
Hamna tofauti na yeye mwanzo ni mzuri na tabia nzuri
@JumaAdamo-rz4ye
@JumaAdamo-rz4ye Месяц назад
Hii movies nimeyanza kuwangalia Leo no muvi nzuri sana,ninangalia uku mozambique,bom trabalho jovens muito amor para vocês todos 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Muito obrigado Povo de Moçambique. Te amamos muito ❤❤
@JumaAdamo-rz4ye
@JumaAdamo-rz4ye Месяц назад
@@busatitv obrigado meus queridos Artistas!
@aisharajimbo6784
@aisharajimbo6784 Месяц назад
Baba mkwe is very very hondsome
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🥰🥰
@user-sk4yh5kw9j
@user-sk4yh5kw9j 29 дней назад
Kwel kabisa is very cute❤
@user-sk4yh5kw9j
@user-sk4yh5kw9j 29 дней назад
Kwel kabisa is very cute❤
@user-sk4yh5kw9j
@user-sk4yh5kw9j 29 дней назад
@user-sk4yh5kw9j
@user-sk4yh5kw9j 29 дней назад
@nancyg8664
@nancyg8664 Месяц назад
😂kingereza kizuri lakini kiweke kwenye lafudhi ya kiingereza mahidiya😅
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Asante sana🙏
@joyceelisante
@joyceelisante 17 дней назад
Umeonaaa😊
@hlimaa5182
@hlimaa5182 Месяц назад
Hii movie 🎥 nimeipenda sana wenye mko kwa ndoa hebu jifunzeni kitu kupia hii movie yaani huyu babake kai ameni kumbusha mbali sana 😢😢😢😢😢mungu amrehemu baba mkwe wangu alinipenda mpaka mwisho 😢😢😢😢wa uhai wake Allihamdulilah 🤲🏼
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Pole sana jamani nimeumia
@omarsaid_1607
@omarsaid_1607 Месяц назад
Allah amrahamu... Hiii inaoneshaa ulikuwa unaishii na yeye kwa wema na kwa uzuri Allah akuzidishie na atakulipaa kwa wema wako
@MariamNshimirimana-uk2hu
@MariamNshimirimana-uk2hu Месяц назад
Jamani msiwi manakawiza kweli namba tano fasta daaah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mauwa yenu ni muhimu sana Poke yeni 🎉🎉🎉
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🥰🥰🥰🥰😍😍😍😍😍❤❤❤❤🙏🙏🙏
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Subscribe Channel yetu... Tunapost episode 1 kila siku saa moja usiku, bonyeza 🔔 ili usiwe unapitwa. Au join kwenye group letu la WhatsApp upate link zaidi
@pilicharo4123
@pilicharo4123 Месяц назад
😅😅😅😅 mke wa kai wasikia gudu😂😂 hongereni sana.kwakutuelimisha
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Asante sana🙏
@DidaAlly-iz1it
@DidaAlly-iz1it Месяц назад
Daaah nimecherewa jmn kuangaria maisha ya ndoa ya banaba na raya😅😅😂😂
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Pole sanaaa
@lomifavss
@lomifavss 22 дня назад
Nimejifunza kitu kwenye hii movie,❤❤ nimeipenda ✨✨
@JenipherSamwel-wh7ux
@JenipherSamwel-wh7ux 15 дней назад
Kweli kuna k2 cha kijifunza hap
@user-tb7zo1rx7f
@user-tb7zo1rx7f Месяц назад
Ila makaka n handsome jmn
@user-tb7zo1rx7f
@user-tb7zo1rx7f Месяц назад
🎉🎉🎉
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🥰🥰
@user-pq9yd1zg5k
@user-pq9yd1zg5k Месяц назад
Huyu kai vp jamani mbna mwanamke akupande kichwani sijapenda kwa kweli😅😅😅😅ni movie yenye mafunzo lakini big up
@Anna-li9by
@Anna-li9by 23 дня назад
Mmmhhh
@SusanJulius-cu8xp4vx4m
@SusanJulius-cu8xp4vx4m Месяц назад
Mm hii series nimeipenda sana yaan huyu dada wa kazi anaheshima sana but huyu kijana haelewi lulu hio
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Umeona eeeh
@SusanJulius-cu8xp4vx4m
@SusanJulius-cu8xp4vx4m Месяц назад
@@busatitv eeeeh huyo Dem cheupe anachezea ndoa wengine wakitamani ndoa, hii Dunia vise versa,Kuna mm nlilia ndoa halafu Kuna mwingine analilia talaka
@OfficialZuli-ve5kh
@OfficialZuli-ve5kh Месяц назад
🎉🎉🎉🎉
@aimanmuhammed5486
@aimanmuhammed5486 Месяц назад
House girl anaburura msketi tuu c abadilishe nguo tena jmny
@MarionKatana
@MarionKatana Месяц назад
😂😂mie ananikera
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🤣🤣🤣
@safiahilali3352
@safiahilali3352 Месяц назад
😂😂😂
@raineryponera3278
@raineryponera3278 Месяц назад
Jmn busat mnajua kwakeeli mnastahili 💐💐💐💐💐
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Asante sana tunawapenda mnooo
@Sofiashabani780
@Sofiashabani780 Месяц назад
Wamubembeleza nn mpe talaka aende tu hata mm nimemchoka hayo madharau yake 😂😂😂😂😂
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🤣🤣🤣
@suzan2929
@suzan2929 Месяц назад
Ata mm nimechoka na huyo mwanamke
@Sofiashabani780
@Sofiashabani780 Месяц назад
@@suzan2929 kumbe hata ww wamuona eeh
@NaahZephania
@NaahZephania Месяц назад
😂😂😂😂
@najmajoneke-sk7ld
@najmajoneke-sk7ld Месяц назад
Mashaallah bonge Moja La Move Daah Yaani Nimeikubali sana
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Asante sana🙏🙏
@najmajoneke-sk7ld
@najmajoneke-sk7ld Месяц назад
Afwan ❤❤❤
@AishaUthman-pm8rh
@AishaUthman-pm8rh Месяц назад
Kayi ww ni mjinga sana tena mpuzi wamwisho
@busatitv
@busatitv Месяц назад
😭😭
@EvethaSimba
@EvethaSimba Месяц назад
Nami nimekimbilia huku jamani ❤
@user-zq9cv3dm4u
@user-zq9cv3dm4u Месяц назад
Sisi wanawake tuliyo ndani ya ndoa tuache zalau wadada wakazi nibola sana kuliko sisi mwanamke mwenye akili atajua mimi nini namanisha
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Balaa
@user-mb8er2fl7y
@user-mb8er2fl7y Месяц назад
Busati hebu leteni vipande viwili kwa siku mana mm uvumilivu wanishinda😂😂😂 hii n tamu sana😊😊😊❤❤❤
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Tutajitahidi inshaallah
@SarahAcray
@SarahAcray 11 часов назад
Mmetisha sana hongeren kwa hlo funzo
@user-rf2cg9tv3u
@user-rf2cg9tv3u Месяц назад
Wafanya kazi wandani tupo gado kwani mfanya kazi wandani akuakuaje Yani kwenye hawezi kufanana na mwanamke kama madam hhhhhhh nicheke mie
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Hahaha usicheke
@cherishgal
@cherishgal Месяц назад
Kazi nzuri ❤ congratulations 👏👏🎉 msichelewe kutuletea plz
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Asante sana🙏🙏
@RehemaJuma-pj4eh
@RehemaJuma-pj4eh Месяц назад
Oa zuu bna hyo mwanamke au shetan Bora hta Jin linaafadhali
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Daaah 😭😭
@OfficialZuli-ve5kh
@OfficialZuli-ve5kh Месяц назад
🎉🎉🎉🎉
@TantineZuzu
@TantineZuzu Месяц назад
Aki veny nakuwa napenda iyi BUSATI TV we acha tu niko 🇧🇮🇧🇮🇧🇮👌👌❤️❤️❤️
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Asante sana tunakupenda mnooooo 🥰🥰🥰 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@chemsahakizimana
@chemsahakizimana Месяц назад
Baba mkwe nomaa sanaa 😂😂😂❤❤❤
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Asante sana
@NeemaMzuri
@NeemaMzuri Месяц назад
Hv inatoka Kila siku jion jaman maaan hua naisubil Kwa ham sanaaa
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Kila siku saa moja kamili usiku subscribe channel yetu, bonyeza 🔔
@NeemaMzuri
@NeemaMzuri Месяц назад
Sawa sawa na enjoy sana yaan sita acha kufatilia
@NeemaMzuri
@NeemaMzuri Месяц назад
Kaka mwendelezo jaman
@NgomaNdodo
@NgomaNdodo 9 дней назад
Ni nzuri xn hongereni n mov ambayo inaendana n uharisia wa maisha wa watu mblimbali ktk ndoa so nice
@MohammedyJuma-wf3jc
@MohammedyJuma-wf3jc Месяц назад
Kazi nzur kaka ❤
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Asante sana
@fadhiliezekia
@fadhiliezekia Месяц назад
In shot wote kuigiza wanajua humu ila Candy amenikosha san ❤❤❤❤
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Asante sanaaa
@sommohd7903
@sommohd7903 Месяц назад
Naona kama mmepoa Sana Ila sijui tatizo..TM strong 💪🏼 Tz 2Omani
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Tutachangamka usijari
@marthanassari3524
@marthanassari3524 Месяц назад
Cjawai penda movie ya kiswahili but hii imenibamba . Nahisi ni the best kutoka busati.
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Asante sana 🙏🙏
@Shakila-pq2gv
@Shakila-pq2gv Месяц назад
Wewe kila move huandikaga hivi😂😂😂
@marthanassari3524
@marthanassari3524 Месяц назад
@@Shakila-pq2gv mh! Umetokea wapi kama mzizi wa fitina. 🤣🤣🤣 Nenda kareply comment yangu nyingine basi muheshimiwa.
@user-wq7hy2kx1p
@user-wq7hy2kx1p 28 дней назад
Kama umetoka tiktok ujajikuta hapa piga like😂
@VenistaLaulendikinyele
@VenistaLaulendikinyele 15 дней назад
😂😂🎉😂🎉😂🎉🎉❤
@vincentpascal1192
@vincentpascal1192 12 дней назад
❤❤❤❤❤❤❤❤​@@VenistaLaulendikinyele
@davidnjiru721
@davidnjiru721 Месяц назад
Kingereza mihimu continue like that bro
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🙏🙏🙏
@user-yu4jk5vu2n
@user-yu4jk5vu2n Месяц назад
Basi huyo mamamjego uziri unabebwa na mukorogo😂😂😂😂
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🤣🤣🤣🤣
@afrafranco2584
@afrafranco2584 Месяц назад
Jmn mbn namba tano siiyon
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Ipoo
@ghaniaghalib1136
@ghaniaghalib1136 Месяц назад
Nice kaz mzur mnoo busat allah awafikishe mbali Inshallah ❤
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Asante sana🙏
@RehemaMwarami
@RehemaMwarami Месяц назад
Kingereza kipungue waswahili cc jmn
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Kabisaaaa
@Abuuuyaynah-dg4xn
@Abuuuyaynah-dg4xn Месяц назад
Huyu mwanamkee hajui kingereza maana anajibu kiswahili tuuuuuu
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🤣🤣🤣
@gedariamandele5334
@gedariamandele5334 Месяц назад
Zuu jiondokee tuone nani atapasi nguo na kupika
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🙏🙏🙏
@OfficialZuli-ve5kh
@OfficialZuli-ve5kh Месяц назад
Nasubir mwisho wa mwezi nipokee ela
@user-os8uq2xi2j
@user-os8uq2xi2j Месяц назад
Mununulie nguo jamani
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🤣🤣
@Tatufadhili-ud6se
@Tatufadhili-ud6se Месяц назад
Waooow tamu sn❤❤❤
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Asante sana🙏
@user-jf3qz3il3u
@user-jf3qz3il3u Месяц назад
Mashallah congratulations ❤❤❤🎉🎉🎉
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🙏🙏❤❤
@AzariaNkwama
@AzariaNkwama Месяц назад
Fukuza huyu mke hafai kua mkeo
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Kweli?
@salmahoperi9783
@salmahoperi9783 Месяц назад
Zuu wewe unaweza mpaka unakera
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🙏🙏
@JanethWoisso
@JanethWoisso 25 дней назад
Hayosio mapenzi niutumwa wa ndoa
@Sayd-pi5lq
@Sayd-pi5lq 8 дней назад
Kwl uyu candy ana wazimu et anazan cc 2napenda pozi kueni na akili cc 2napenda heshima uzuri wako peleka buza😂😂😂
@paulinanhinde6845
@paulinanhinde6845 Месяц назад
Kayi unafeli kwa hyo mke
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🤣🤣
@imanimwashambwa6432
@imanimwashambwa6432 Месяц назад
Candy umevaa uhalisia unajitahidi Sana . Pambana zaidi ya hapo
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Asante sana🙏🙏🙏
@AggyMsoo
@AggyMsoo Месяц назад
Karibu nichelewe😂 💖🇰🇪🇰🇪
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Poleee
@farajapatison9129
@farajapatison9129 Месяц назад
Kweli kizungu ni lugha ya mapenzi... Ila wewe achana nacho tu 😂😂
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🤣🤣🤣🙏
@hutahuta1170
@hutahuta1170 Месяц назад
Pore.sana zuu mungu atakujalia naww.
@nahyatsaid
@nahyatsaid Месяц назад
Kai apunguze kingereza 😢 wengine tumekimbia shule 😅
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Sawaaaa
@AnnaMmasy-kx9li
@AnnaMmasy-kx9li Месяц назад
Mume ongea kiswahili
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🤣🤣🤣
@ChamaYunus
@ChamaYunus 27 дней назад
Kwn mpka kizungu mv mzur ila munahrb
@busatitv
@busatitv 27 дней назад
Asante
@JullyanaMathiasy-nt8op
@JullyanaMathiasy-nt8op Месяц назад
Au kay kapewa love potion jamaniiii maaan😮😮😮
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Daah
@user-os8uq2xi2j
@user-os8uq2xi2j Месяц назад
Jamaa kampenda San kendy ndomana habnduk
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Umeona eeeh
@CarolyneNyanchama-yk1gf
@CarolyneNyanchama-yk1gf 28 дней назад
Nadai maua kutoka kwa kai ❤❤ alf hyu binti wa kazi ana heshima jamani
@MealiMwarundu
@MealiMwarundu Месяц назад
Kayi fungua macho uone wanawake bora wanjulikn bwana wansnyaje mm😢😂😂
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Oyooo
@user-qc5en6fo1u
@user-qc5en6fo1u Месяц назад
Huyo Dada wa kazi naye iko Na kimberembere mpaka anakera🤣🤣 Ooh Kaka pole Na kazi, Mala amuandalie jus..... heeeh jamani Mama wa nyumba haana kipya kbsaa🌚🌚
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Jamani anajali
@doroblessing3779
@doroblessing3779 Месяц назад
Zuu yupo Sawa Kwa Sababu anamjali Sana kai Ila mkewe kai hamjali kai
@nahyatsaid
@nahyatsaid Месяц назад
Jamani nasikia rahaaaa 😅 sio kwa utamu huu 😊❤
@busatitv
@busatitv Месяц назад
❤❤🥰🥰🥰
@Wini-zx4im
@Wini-zx4im Месяц назад
Mhhhhh wadd wasaivi wengine n magume gume hayafai kuweka ndani mana usipo mheshim mkweo unategemea nn nahayo mavazi je😅😅😅😅😅
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Hapo sasa
@HappyJackson-so9lw
@HappyJackson-so9lw 28 дней назад
Nice movie
@busatitv
@busatitv 28 дней назад
Asante
@Realme-xm3sh
@Realme-xm3sh Месяц назад
Poda nyingi kaka bos😂😂jmn naivo vingerez jmn mimi mmmmm😂😂😂😂km nyahakika
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🙏🙏🙏
@TeclaAdam
@TeclaAdam 21 день назад
Uyu kaka nae 😅😅😅😅ebu zibua iyo pisi yako siku moja imueshimu baba ako😅😅anyway movie nzuri
@VgmukomboziOficiel
@VgmukomboziOficiel 28 дней назад
Apo mume nikama kipofu kabisa haose girl anazinguwa zarau hadi kwa mume wake nababa yake ama mumewake hana macho tena? Dah mapenzi upofu nime amani akiwa nakosa yeye njo anafoka pahali pakuomba musamaha mutimuwe siyo kujibembeleza baba
@Naomypatric
@Naomypatric Месяц назад
jamani episode ya 5 bac❤❤❤❤
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Tayari
@SalumMpwagi
@SalumMpwagi Месяц назад
Huyu mwanamke muaaji saana an
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Hafai
@AnnaDomisian
@AnnaDomisian 24 дня назад
main character afanye mazoezi ya uigizaji huyo bwana kai
@busatitv
@busatitv 24 дня назад
🤣🤣
@YotamAndrea
@YotamAndrea Месяц назад
Hata kama nimchezo ila kai anatudharirisha wanaume kwanini asimtoe huo mwanamke
@sarahjidiku
@sarahjidiku Месяц назад
Acha roho mbaya mnunulie nguo dd wa kazi episode 1to4 nguo 1 sio poa
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Umeona eeeh
@Shakila-pq2gv
@Shakila-pq2gv Месяц назад
😂😂😂😂
@MariamNshimirimana-uk2hu
@MariamNshimirimana-uk2hu Месяц назад
❤❤❤mauwa yeni jamani ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ poke yeni 🎉🎉🎉🎉🎉 namba tano fasta
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Asante sana🙏🙏🙏
@abedysteven4930
@abedysteven4930 7 дней назад
Huyo mfanya Kaz atakuw n msukuma! Mana wasukuma naoo mhh hawana dogo!!
@meldoclassicog9505
@meldoclassicog9505 Месяц назад
Nimewapenda Bure🎉
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Asante sana🙏
@user-kr4xr7ix1u
@user-kr4xr7ix1u Месяц назад
Hapanaa baba mwelewe kai😂
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🤣🤣
@JanethEmmanuel-mr5le
@JanethEmmanuel-mr5le 29 дней назад
Zuuu penda cna ww pokea mafua yako🎉🎉🎉🎉
@marykiduda7466
@marykiduda7466 Месяц назад
Jamani brother nakuomba uwe unaweka vipande hata viwili🥲🥲🥲
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Asante sana tunalifanyia kazi soon tutaenda mara mbili
@vellah-op4ut
@vellah-op4ut Месяц назад
Nimesha wai kua kwa kazi na situation kama hii huko tz waaah ilibidi nirudi zangu kenya baada ya miezi 2
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Daaah pole sana aisee
Далее
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Просмотров 27 млн