Ama kwel mtu sio rahs kutambua dhahabu ilo ndani ya nyumba yake zuu n kama dhahabu n huyu kaka anashindwa kutambua anachagua dhabu feki n isiyo n thaman
Kumekucha tena zuu tafuta ndoa zuu wangu np hap wif yako. kutoma oman ndao tunayo hatuna kwa zuu b mkwe kazi unayo kwa mkwe busat leo nimechoka n kazi za warabu nitaimalizia kesho nalala nimechoka mm mpka macho yananiwasha 🇴🇲🇴🇲 kazi kazi tu
Hii movie 🎥 nimeipenda sana wenye mko kwa ndoa hebu jifunzeni kitu kupia hii movie yaani huyu babake kai ameni kumbusha mbali sana 😢😢😢😢😢mungu amrehemu baba mkwe wangu alinipenda mpaka mwisho 😢😢😢😢wa uhai wake Allihamdulilah 🤲🏼
Subscribe Channel yetu... Tunapost episode 1 kila siku saa moja usiku, bonyeza 🔔 ili usiwe unapitwa. Au join kwenye group letu la WhatsApp upate link zaidi
Huyo Dada wa kazi naye iko Na kimberembere mpaka anakera🤣🤣 Ooh Kaka pole Na kazi, Mala amuandalie jus..... heeeh jamani Mama wa nyumba haana kipya kbsaa🌚🌚
Apo mume nikama kipofu kabisa haose girl anazinguwa zarau hadi kwa mume wake nababa yake ama mumewake hana macho tena? Dah mapenzi upofu nime amani akiwa nakosa yeye njo anafoka pahali pakuomba musamaha mutimuwe siyo kujibembeleza baba