*JE UPENDI CHAT ILA UNATAMANI KUPATA LINKS KWA GROUP?* Usijali sasa tumekusaidia njia Mbadala ya Wewe kupata Links kwa wakati bila kupata usumbufu wa Chat 1. Tuna Group maalum la links. Group hili la Links tumelifunga ni admin pekee ndio utuma links za episode mpya hivyo hata ukiwa hauupo online unaipata link kwa wakati. Bonyeza maandishi ya blue kujiunga group letu la Links pekee. Pia tunatuma na links zetu za movie nyingine 👇🏻👇🏻 chat.whatsapp.com/Jf3PLbJkKbTLEiNFD1aJ3o Lakini pia tuna WhatsApp Channel... Hii itakusaidia zaidi kupata habari zetu zoote bila usumbufu wa aina yoyote. Na hakuna Mtu ambaye anaweza kukuona kama ume follow WhatsApp channel yetu 👇🏻👇🏻 whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c *KARIBU BUSATI TV BURUDANI BILA KIKOMO*
Waaaaa huku kumekucha kumbe, nyie watu mnao omba like huwa mwasifanyia nn jamani mbona mm sijawa kuomba like, leo naomba nami nisikie kama nyie team kai 😂😂😂😂
Masha Allah tabarakaallah hongera sana wana familia yaani hata sijui ni comment wapi niache wapi ila masozi kapagawa na bwana wa mchongo 😂😂😂BB nae duh katoa ushauri hadi basi hongera sana kipenzi 🥰 bb yetu nikirudi kwa baba mukwe namalizia nikisema Ameen Allah humma Ameen 🤲🏼 yaarabbi Kai na kipenzi 🥰 Zuu ndoa yenu ikawe ya kheri in sha Allah ❤❤❤❤❤❤
Kama bro Kay utaoa zuuuu ninakuomba mtafutia nyumba nyingine wasikae pale ndani na yy watamtemga zuuu bado tunamhutaji Pana bro , yaani hapo umepata mke zuuu ❤❤❤💍💍hiyo dada