Kwni papa tatizo lao nn, washafanya njia ya mkato wamepata card ya Kendi, mbna hawamwachii kai, alfu zatiti kama ungetaka kusaidia ktka hili swala la kai mbna haunge record anavyojigamba hyu Chiko, ila si kweli ila afadhali hangeenda kituo cha polisi labda angetambua hao kina papaa, alfu kitu kingne zatiti ukijrbu kurudi kwa Chiko naacha kuangalia hii movie
Tatizo lenu mutu akitekwa kusema arudiye mpaka mutukaushe roho jamani iishe basi tusije tukaumwe maugonjwa ya moyo kisa nyiye Zatiti ndouyo kaisha jipeleka kwa Ciko munategemeya nini sasa ebu tuaceni siye imalizeni mutuleteye nyengine iyi tumeishiba sasa
Zuuu na ww jirekebushe bas mafazi saiv n vijora tu bei poa mbona upo hvyo badisha vijora umekuwa rafu san km sio mama kijacho mnashindwa na mshangazi masuzi mashallah kwa kubadilsha eeee yup vizur