Assalamualaikum warahmtullah wabaraqthu sheikh kishki na team nzima nwasikiza kila mda ... kwetu Mombasa Kenya ila naiko ughaibuni Qatar, Allah awajaaliye kheir
Swali langu ni kwamba je mtu asiyekuwa muislamu anaweza kujenga msikiti na waislamu wakawa wanaweza kuswali na je wakiswali swala zao zitakubaliwa, shookran jazzakaAllahukheir