Тёмный
No video :(

Huu ndio Ushahidi wa ARAFA Moja katika Vitabu hivii!!. Sh. Nurdin Kishki. 

OBA Online tv
Подписаться 78 тыс.
Просмотров 57 тыс.
50% 1

Omar Bakari Almasi online tv

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 194   
@user-pe9ki4nv1x
@user-pe9ki4nv1x 2 месяца назад
Yaani mpaka nalia jinsi watu wanavyotupoteza ktk dini ahsante shekhe kishki Allah akuifadhi
@AhmedNdegwa
@AhmedNdegwa 2 месяца назад
Kama wewe uko kish uko rong
@Saimugwaotv
@Saimugwaotv 5 лет назад
Asante babu namuona shekh nikiwa ktk mji wa Mina mashaalah hongera sana ..na umeikata vizuri saaana
@FadhiliFadhili-qq7zi
@FadhiliFadhili-qq7zi 2 месяца назад
Asante ustadh wangu kishki jazakallahu khairaljaazaai
@AbuuAyman-nq6xk
@AbuuAyman-nq6xk 2 месяца назад
Kishki una sauti Kali na ufasaha mkubwa wa lugha ya kiwahili tatizo ni tanaqudh tu katika maneno yko ebu karudi ujiskize maongezi yko Allah atakuonyesha haki akuafikie kuifata
@KhadiaAli
@KhadiaAli 2 месяца назад
MashaAllah sh kiski ,MWENYEZIMUNGU akubarick kwa mawaidha yako uzidi kutupa elimu ,tunakupenda sana
@MteleShadia-lc6gi
@MteleShadia-lc6gi 2 месяца назад
Mashallah mtaalam wetuu wa dunia ,,Allah akuepushe na watuu wenye ftna juu yakoo
@uiavajiwgav5441
@uiavajiwgav5441 2 года назад
Lakushangaza sikuyakusherekea siku yawamama amasiku yaukimwi duniani hawasemi marekani sahii niusiku wote wana sherekea kama nijumamosi wote jumamosi ila siku ya arafa ndio hawataki kuwa pamoja
@hidayasaid5131
@hidayasaid5131 2 года назад
Hapo sasa
@hassancharo1496
@hassancharo1496 Год назад
Christmas WANA funga maduka eti holy day hawa semi Tokyo Japan niusiku wata kosa Christmas na haiwa husu
@JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN
@JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN 2 месяца назад
Haipendezi Sana na sipendezewi Sana na unavyfoka muelewane Msiwapotoshe waumini Kishki badilika
@rahmahty7026
@rahmahty7026 3 года назад
Mashallah. Allahumma Allah atusadikishe ktk twaa yake atudumishe ktk dini yake. Amiin
@salmabintuthman3243
@salmabintuthman3243 3 года назад
Kitu ni kimoja tu. Kila muislamu aelewe kua kila time kuna Adhana na watu wanaswali nchi tofauti tofauti. Mzunguko upo. Allah atuunganishe
@hassanimouigni6648
@hassanimouigni6648 3 года назад
Kuna wengine hawajui hayo wana kashf na dharau sio vizuri
@amyassyassin7909
@amyassyassin7909 5 лет назад
Allah Bariq Sheikh Kishk
@IssaRamadhan-r1o
@IssaRamadhan-r1o 2 месяца назад
ربنا انا اطعنا سادتنا وكبراءنا فاضلون السبيلا
@mchoromohammed6606
@mchoromohammed6606 2 года назад
Yaani unadiliki kumpinga imam mmoja kwakuwa kasema tofauti na wenzake...!!?? Pole sana
@IsmailIsmail-ix1yd
@IsmailIsmail-ix1yd 2 месяца назад
Hebu soma kwanza mas-ala ya usulul fiqhi kisha uongee.
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 2 месяца назад
Pole wewe Kwa kweli wewe inaonesha hata ukipigiliwa msumari wa inchi 4 kichwani basi huelewi na wala hufahamu!na huelewi hata hukmu za kielimu ktk hitlafu Kwa wanazuoni wanapohitilafiana
@hamadatahir9307
@hamadatahir9307 3 года назад
HAKUNA MWANDAMO MMOJA DUNIANI KOTE NI KWAMBA WEWE KISHKI HUJAMFAHAMU HUYO ABUU HANIFAH WALA IMAAM MAALIK WALA IMAAM AHMAD. USIPOTOSHE WATU KISHKI KWA KUTAKA KUNDI.
@alsonmohamed9805
@alsonmohamed9805 3 года назад
Ww uliowafaham wanasemaje miandamo ni mitatu
@medimisi6930
@medimisi6930 2 года назад
Mh, BIDAA zimekujaa
@dulividuli5237
@dulividuli5237 Год назад
Tufahamishe ww msomi uliowafaham ao maimamu watatu walikusudia vp?
@RehemaChande-rc4fv
@RehemaChande-rc4fv 2 месяца назад
Wee ndiyo unapotoka cyo kishki
@mzulwa2006
@mzulwa2006 2 месяца назад
Arafa ni siku insyotokana na kisimamo cha arafa kwa wakati huu wetu baada ya kufaradhishwa hijjah kabla ya hapo ilikuwa haiangalii kisismo cha arafa
@user-ox4fv4cf5l
@user-ox4fv4cf5l 2 месяца назад
ALLAH AKUBAARIK SHEKH KWA KUZIDI KUTUPA MWANGA
@rahmaally6885
@rahmaally6885 5 лет назад
Naomb Allah amlind Sheikh Nurdin kishki azidi kupigania na kuitangaz hakki
@omarsaid8166
@omarsaid8166 3 года назад
Sio amlinde Allah amuongoze sababu apoteza umma
@omarsaid8166
@omarsaid8166 3 года назад
Sio amlinde Allah amuongoze sababu apoteza umma
@afric01
@afric01 2 года назад
Aslm alkm ww.... Masha Allah!!¡ Sheikh wetu kipenzi. Allah atuongoze. Shukran . Jazakallah kheir 🙏
@MuzneShaame
@MuzneShaame 2 месяца назад
Asante shekhe kwa elimu
@sofiaahmed8880
@sofiaahmed8880 5 лет назад
Asante sheikh kisha,kwa taarifa ya busara
@thureyaphilip556
@thureyaphilip556 3 года назад
Sawa akanaa umesema yakin Mola akujaze kheri
@thureyaphilip556
@thureyaphilip556 3 года назад
Uiyenue juu uislam
@thureyaphilip556
@thureyaphilip556 3 года назад
Mabrook
@thureyaphilip556
@thureyaphilip556 3 года назад
Jazakhum allah
@omarsaid8166
@omarsaid8166 3 года назад
Sio taarifa ya busara bali ni ya uvundifu na kugawanya umma
@abuahmad1206
@abuahmad1206 5 лет назад
MashAllah Allah akupe pongez akuhfadh na hasaad
@ibrahimomar1073
@ibrahimomar1073 4 года назад
Amiin
@MILKARICHARD
@MILKARICHARD 2 месяца назад
Mam alhamdup
@mohdsheha8295
@mohdsheha8295 2 месяца назад
Asante
@MILKARICHARD
@MILKARICHARD 2 месяца назад
Nam alhamdulah
@crescentvscross1132
@crescentvscross1132 2 года назад
Sio kweli mwezi mmoja duniani nzima. Kadhi yupi atatangaza
@IsmailIsmail-ix1yd
@IsmailIsmail-ix1yd 2 месяца назад
Kadhi unayemsubiri hajayapenda haya, rudia khutba ya Mufti wa Tanzania ya mwaka huu 2024 siku ya kuanza kufunga aliongea, akasema Shekh Hemed bin Jumaa alipewa amri ya kutangaza amri kutoka juu! Akasema mbona mwezi bado haujaonekana? Akaambiwa hiyo ni amri kutoka juu! Aliwaamuru waislam wafungue na wakala ila yeye alifunga. Hii ndio Tanzania yetu. Kwa hiyo msubiri kadhi wako atapewa amri atatangaza.
@JumaHaji-zz8xk
@JumaHaji-zz8xk 2 месяца назад
Mashaa allaw
@majaliwaothman3453
@majaliwaothman3453 5 лет назад
Mashallah
@FaridNahoda
@FaridNahoda 2 месяца назад
aslm alykm sheikh kishk unaposema msimamo ni ppte unapoandama tufate sawa lkn hao saudia ukiandama ppte wanafuata naomba jibu sheikh wng au siku zote unaandama kwao tu mwnzo
@halimaa9367
@halimaa9367 2 месяца назад
SubhanaALHA
@salumbahria7643
@salumbahria7643 2 года назад
Ile aya ya “sumuuu biruuyatih” nahis ilishuka kwaajili ya watu wa Mecca tu Sis tulobaki uku kwengine tuone tusione ilhali mecca wameuona sisi tunatakiwa tuwafate wao hata kama tutauona kabla yao hatutakiwa kufunga wala kuuanza mwezi bila wao kuwa wameuona Swala mwezi si ni Mmoja so we have to wait for them
@uiavajiwgav5441
@uiavajiwgav5441 2 года назад
Hujakatazwa kufuata mwezi wakwenu ila arafa hakuna mbili nimoja
@hassanalialiadan8486
@hassanalialiadan8486 3 года назад
Masha allah
@musitemusite4316
@musitemusite4316 3 года назад
Shukrani
@salumazrui5558
@salumazrui5558 3 года назад
Mashaallah
@shalihamadi5322
@shalihamadi5322 2 месяца назад
Huna hoja za msingi juu ya hili sheikh
@jamilanyangasa2427
@jamilanyangasa2427 5 лет назад
Maa shaa Allah
@salumbahria7643
@salumbahria7643 2 года назад
Kwa Mantiki Hiyo Inakuwa Haina Haja Ya Kutazama Mwezi Sisi Tulipo Njee Ya Mecca Tusubiri Tu Mwezi Ukiwa Unaandama Mecca Then Sisi Tufaate Uko
@user-oo2rr7jd6w
@user-oo2rr7jd6w 2 месяца назад
Tatizo la funga ya Arafa ni pale inaposemwa kua, tunapaswa kufunga wakati mahujaji wamesimama Arafa, inaeleweka wazi kua Alfajiri haianzii Saudia Wala Africa, Bali nchi za mashariki ya mbali, pia na Magharibi pia inaanzia hukohuko, tunajiuliza Kwa Nini tuzozane Kwa mwezi unao tangazwa Saudia, Kwa Nini watu wanao Anza kupata magharibi wasitutangazii wao kuonekana Kwa Mwezi ? watu wa visiwa vya philipin, au visiwa vya FIJI. Au Japan au Australia, Hivi Hawa wanaweza kuipata Arafa, na wao ndio wano anza kuipata Alfajir au Magharibi ? Sisi na wao wanayo tofauti ya zaidi ya masaa 8, mahujaji hawajenda Arafa wao usiku tayari umeisha ingia, ikiwa ni hivo ndio maana ile Sheria ya ikiwa Kuna ukungu juu yenu timizeni thelathin, inaondoa tatizo na migongano juu ya mwandamo wa mwezi, Allah mwingi wa Rehema yeye anajua, na Kwa kua kwake ndio marejeo yetu, basi tutapofika kwake Allah, atatuhukumu Kwa Yale tuliyo hitilafiana,
@arafataliomar7432
@arafataliomar7432 2 месяца назад
Ipo haja mana mwezi waweza ukawa unauwezo wa kuowona wewe mwenzako hana lazma tutafute atakae uona arifu na wenzake
@yahyabakar7859
@yahyabakar7859 2 месяца назад
Iwapo tutakuwa na mawazo hayo mwisho watu watafanya hija ya kwao
@iptysambaghazal2507
@iptysambaghazal2507 Месяц назад
Ja jaka llahu
@rahmaally6885
@rahmaally6885 5 лет назад
Masha Allah Sheikh Allah akulind na mabaya na fitna zao kwani wapo watu Allah awaongoe wakiongoe manen mabay dhidi yako na wakilazimish wote tuamin manen yako Lkn ww masha Allah hurud nyuma bado wasong mbele kwa ajili ya Allah hakika ww ni mtu wakufatwa bado watetea hakki kila uongeapo Tunakupend Sheikh for the sake of Allah
@thulaniduku3218
@thulaniduku3218 2 года назад
Kwanini wanasema Arafat ziko mbili ijuma zisiwe mbili?
@RamadhaniKumbangulu
@RamadhaniKumbangulu 2 месяца назад
Kwa dizaini hiyo sheikh letu kishiki bado sana na utapata tabu sana suala la mwezi linataaki na mwezi sio mawazo Yako potofu
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 2 месяца назад
Yaani wewe ni Baba la Wajinga!Kishki hakutoa hata wazo moja lake hapo!hayo ni mambo ya Fatwa za wanazuoni wagwiji wa fikhi au kichwa chako hakibebi mambo?
@abunufilaabunufila2152
@abunufilaabunufila2152 2 месяца назад
Wewe mpuuzi sisi tupo Oman lakini tutaswali kesho kutokana na muandamo wa mwezi
@waladuwaladu1210
@waladuwaladu1210 2 месяца назад
Mpuuz nani
@abeidpazia1720
@abeidpazia1720 2 месяца назад
Kufunga siku ya Eid ni haramu ww acha ushamba kua Imani sio tatizo kwani Imani watu wanakuja kuhijii
@salehpandu2250
@salehpandu2250 3 года назад
Ni shekh mzuri sana kwa kusoma ila ufahamu mdogo na hii ndo shida ya kutokusomeshwa
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 3 года назад
Ww una lako
@abrahamansaidi8631
@abrahamansaidi8631 3 года назад
Hakika
@abrahamansaidi8631
@abrahamansaidi8631 3 года назад
@@mohamedhaji2200 hakika kishik anatakiwa akasome
@omarysaidy5524
@omarysaidy5524 3 года назад
@@abrahamansaidi8631 we apo unatakiwa ukasome haya ongea na imma bs kama kweli we ni msema kweli huna akili ww
@mdoekibai5063
@mdoekibai5063 3 года назад
@@omarysaidy5524 mbona povuu? kwanza mjibumaswali yaliyoulizwa wasenge sn mawahabi nyie
@user-ib1yl3zp5v
@user-ib1yl3zp5v 2 месяца назад
usilazimishe jambo lenye ikhtilafu kua katika qauli moja kua muadilifu hiyo sio ilimu ni uhizbi na wape haki qauli ya jamhuri kuhusu mwezi ni iopi tembea na hiyo afwan
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 2 месяца назад
Inaonesha sheikh hukumfahamu!msikilize vizuri ndio uhukumu!nyie munaofuata mwezi wenu ndiom unaowahukumu wanaofuata misimamo ya maimamu watatu aliowataja Sheikh,na si Hilo Tu Bali munapotosha Kwa kusema uongo kwba wale wanaofuata hao maimamu kwba wameleta Jambo jipya!lkn ni kuwa hamuiraki Tu kusoma munalisha maneno na Sheikh wenu Abu IDD wa Buguruni
@abasijuma6989
@abasijuma6989 2 года назад
Mtume amesema funga ya siku ya arafa hakusema funga ya mwezi tisa kana kwamba alijua kutakuwa na watu watakuja kuugawa mwezi kila mtu awe na hesabu yake wakati siku ni moja mwezi mmoja
@AhmedNdegwa
@AhmedNdegwa 2 месяца назад
Uriswali 9arafah
@khamisameir6482
@khamisameir6482 5 лет назад
akaa kumbe hii ndio iliyomchefua kiumbe haki itakua juu tu
@suleimanabdallah878
@suleimanabdallah878 5 лет назад
Mashallah hizib umepita vizuri
@hamisirashidi61
@hamisirashidi61 5 лет назад
Hizb mwenzie mafuta mbn humsem mzee!!, au unatklid
@shalihamadi5322
@shalihamadi5322 2 месяца назад
Umeongea maneno mengi lakini ueleweki tuambie mtume alifunga harafa kwa kufuata maujaji waliokuwa macka au kabla ya kushushwa hija watu hawakufunga harafa ndio mambo ya kutueleza
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 2 месяца назад
Wewe ni mpungufu Sana wa maarifa na ufahamu!hadithi alizosoma kwani ni maneno ya Nani?na zimeelekezaje?
@feisalfaraj44
@feisalfaraj44 2 года назад
aslm shekh Mimi nilkula idul athah dar wakifungwa saum kigoma tulikula
@rajabdanga8590
@rajabdanga8590 2 месяца назад
Wambie shekhe mashe wenzio ss sio mashekhe lakin tunajua batwir na haki
@HamisiFakhi-mx4tb
@HamisiFakhi-mx4tb 2 месяца назад
Ukiitwa kwenye mdahalo hutaki umewakusanya huwo nitajiwako wekushapijapesa
@shahazadrahma
@shahazadrahma 2 месяца назад
Huyu anajua kusema,ila apishana na kaka yake,huyu mwehu,sasa kama unajua ikhtilafu ipo sasa povu la nini,
@user-zs6qg7ql1i
@user-zs6qg7ql1i 2 месяца назад
Kishki kw swali la mwezi umepotosha watu maan Australia america na china hio arafa hawatoipata mpk kiama
@user-ox4fv4cf5l
@user-ox4fv4cf5l 2 месяца назад
Bakwata wana ajenda yao ya siri na kutupotosha na kutugawa Waislam
@muhsinsalum8009
@muhsinsalum8009 2 года назад
HHHHHHH KISHKI hua unanifurahisha kwa hasira. Soma baana. Unapenda kurusha rusha maneno bila maandiko wala kufikiria.😁😁😁😁😁
@athumanikiano7872
@athumanikiano7872 3 года назад
Mtume ni wadunia nzima mbona kwa maelezo yake mbona unamdhalisha atakua haenii dunia nzima
@salmamasuod1472
@salmamasuod1472 5 лет назад
Sijawai kujuta kusikiliza mawaitha yako kishk tatizo waislamu tumeitia dini akili.
@fgjjgbnko4383
@fgjjgbnko4383 4 года назад
Kishki unajazba sana ww angekua Othman maalim maalim apo busara hadi raha
@SaleemASalim
@SaleemASalim Месяц назад
Unapaswa kutambua USA inatofautiana kulingana na majimbo
@user-wl3qj2fx8u
@user-wl3qj2fx8u 2 месяца назад
Wanasema juzi kwa hapa nchni kwetu Kishki kwani inashinda gani kichwani?
@maawymuhammad6779
@maawymuhammad6779 Год назад
Wacha urongo wewe maimamu watatu wamekubalina kwamba kila watu wafuate mwezi wao ila imam ahmad ibn hambal ndo ywasema kwamba kila mmoja afuate mwandamo mmoja tu.
@IssaRamadhan-r1o
@IssaRamadhan-r1o 2 месяца назад
hao wnaogopa kwenda kinyume na mabwana zao.sikiliza allah alivyo sema.يوم تقلب وجوههم في النار.يقولون ربنا يليتنا اطعنا الله واطعنا الرسولا.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 3 года назад
Naomba nisaidiwe wale ambao mchana wa Makka kwao ni usiku Arafa wafunge lini? Iwe je kila mwezi tuulize huko nje wakati na hapa upo.
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 3 года назад
Kwanza uelewe Saudia Arabia ipo Middle East, kwahiyo ipo katikati ya Dunia na kwa maana hiyo hakuna nchi iliyotofautiana na Saudia Arabia zaidi ya masaa 12 (nusu SIKU). Kwahiyo siku itabaki ni hiyo hiyo ila tofauti ipo ya masaa, na tofauti ya masaa hata nchi moja inaweza kutofautiana masaa baina ya miji na miji. Lakini pia tuangalia majority za nchi tunaenda SAMBAMBA na Saudia Arabia na hizo chache ka Australia na Honolulu hizo ni dharura, wataabudu kulingana na mazingira yao. Lakini nchi kama Tanzania pia tulete hoja za kutofautiana masaa?
@medimisi6930
@medimisi6930 2 года назад
Wao wamepata dharura ila Kama hapa tz majira yetu yanaendana sisi hatuna dharura ndugu.kigoma jua linachelewa kuzama zaidi kuliko makka sema ni kujichetua tu ila kila mtu anajua kua mtume kasema watu wafunge siku ya arafa.iv tulisema watu wafunge siku ya uchaguzi iv kuna mtu anaweza kufunga kesho yake halafu tuseme anaakili kweli
@Bulicheka
@Bulicheka 5 лет назад
Shukraan
@wagaaadan8976
@wagaaadan8976 5 лет назад
Sheikh bakwata wanaona kama unachukua madaraka yao wanaogopa hiyo nyomi si ya kawaida watu wanafuata haki sheikh kishki mungu akulinde watu wana husda sana kwenye hii dunia tena waislam tunaongoza kwa chuki 🤣
@hassanimouigni6648
@hassanimouigni6648 3 года назад
Amine ya rabby
@omarsaid8166
@omarsaid8166 3 года назад
Bakwata wanatetea umma usigawanye kishki ndio anakita kiti cha bakwata na hatokipata inshallah
@omarsaid8166
@omarsaid8166 3 года назад
Hio ya kishki sio haki ni batwil na yeye kishki ndio ana husda na mungu hayupo na dhwalimu
@user-ox4fv4cf5l
@user-ox4fv4cf5l 2 месяца назад
Tunamjua huyo na tumeishuhudia clip hiyo akikiri kwamba kufunga ni siku ya Arafa pindi wenzetu wanaposimama kule Macca,lkn baada ya kupata cheo Bakwata akabadilika na kuja na msimamo mpya.....
@feswalsalim7909
@feswalsalim7909 3 года назад
Aslm alaykum pale pasipo sahihiswa tupewe ashirio sahihi elm bahar
@hamadatahir9307
@hamadatahir9307 3 года назад
SHIDA NI ELIMU TUU NDIO SHIDA JAMANIII.
@omarysaidy5524
@omarysaidy5524 3 года назад
Ndoo we huna elim hyo kasome
@user-wl3qj2fx8u
@user-wl3qj2fx8u 2 месяца назад
Leo ni ya 10 kwa kufuata mwezi wa nchi gani?
@RehemaChande-rc4fv
@RehemaChande-rc4fv 2 месяца назад
Nakuelewa xanaaa😅😅😅😅
@AbdalahMtambuka-rh1dp
@AbdalahMtambuka-rh1dp 2 месяца назад
atao mibakwaya inababa Yao anae watangazia mwez
@sefuriyembe7864
@sefuriyembe7864 2 месяца назад
Sh.Kishki jifunze jiografia, saudia wakiwa arafa, wakati wa dhuhuri China wanasali magharibi !! Unapoteza watu.😅😅
@hajikatanje5961
@hajikatanje5961 2 месяца назад
Kwani wewe unaishi china?maana hutoi mifano ya inchi unazo fafanana nazo kwa masaa siku ndio maana mnayumbishwa yumboshwa nenda kasome wewe bado hujachelewa
@alimohammedomar3412
@alimohammedomar3412 3 года назад
Lakini sheikh mbona umemtaja Abuu Hanifa kwamba msimamao wake ulikuwa wa tarekhe moja lakini umeshindwa kutoa ushahidi maneno gani alisema au alifanya kwenye hilo? Unatumia tu maguvu ya kuongea mbonaaaa
@hassanimouigni6648
@hassanimouigni6648 3 года назад
We unao jua si utufamishe halaf tuache kukashf mashekh wahadhr tusiwape wengine fayda
@omarysaidy5524
@omarysaidy5524 3 года назад
@@hassanimouigni6648 swadcta
@saadallah6287
@saadallah6287 2 месяца назад
Tatizo wewe kishki kinyonga leo upo na masufi leo upo na watu wakisuna njaa
@husseinshadhily9329
@husseinshadhily9329 2 года назад
Haya ikiwa watu wametofautiana siku je arafa yao itakua je watakua hawana arafa
@suleymanejumah9730
@suleymanejumah9730 2 месяца назад
Muislam kuikataa tarehe ya dhul hija ya maka utakua jahili zwazwa
@shadyaaboud2405
@shadyaaboud2405 2 года назад
Myoee noo,toa hoja
@salmabintuthman3243
@salmabintuthman3243 3 года назад
Sheikh mtafute sheikh Dr Islam wa masjid Azhar mombasa akuelezee vizuri juu ya hapo AZHAR UNIVERSITY
@alsonmohamed9805
@alsonmohamed9805 3 года назад
Kwqhiyo kuna azhar tena Kenya nacho ni chuo
@salmabintuthman3243
@salmabintuthman3243 3 года назад
@@alsonmohamed9805 la. Sio chuo Bali Ni masjid Inaitwa Azhar. Mombasa
@hamadatahir9307
@hamadatahir9307 3 года назад
SIO KWELI KWA HAPA TANZANIA ILIKUA NI YA TISA ILA KWA MSIMAMO WAKO WEWE LEO NI YA 10
@alsonmohamed9805
@alsonmohamed9805 3 года назад
Hueleweki naww
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 3 года назад
@@alsonmohamed9805 hutaelewa tena
@hassanimouigni6648
@hassanimouigni6648 3 года назад
Halaf una onekana ni mwalim mkuu unafundisha wapi? Awu unatafuta kumkosoa kishk panda kwenye mimbari ufundishe umma sio kulalamika
@salumshaibu3412
@salumshaibu3412 4 года назад
Yatakikana kufunga siku ya arafa kwa asiyekwenda hijja sio dalili yakuwa arafa niile inayosimamwa makka
@hassancharo1496
@hassancharo1496 2 года назад
Utakuwa una funga nn ndugu YANGU Uwanja wa ARAFA uko Makkah kibla IKO Makkah hizi ni zawadi Mwenyezi MUNGU ame wapa watu WA Makkah
@HamisiFakhi-mx4tb
@HamisiFakhi-mx4tb 2 месяца назад
Unapingana hata nakaka yako
@ibrahimyusuph1468
@ibrahimyusuph1468 3 года назад
Yapendeza na yatakikana je ni wajib na lazima kufungana na mahujaji, au ni mkifungana na mahujaj ndo yapendeza zaidi......?
@ammoahmed2561
@ammoahmed2561 3 года назад
Jee wale ambao arafa inawapata wako usiku. Wadanye nini? Wafuate Arafa gani? Elimu tumia Mantiq shehe
@sheikhabdul-raufalmunaawiy3367
@sheikhabdul-raufalmunaawiy3367 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-6HyMwGdAs1w.html *SHEIKH ALHAD MUSSA, ALLAH HAOGOPI KITU CHOCHOTE.* SHEIKH ABDUL-RAUF KAGIMBO ALMUNAAWIY
@nurdiniabdillahi3558
@nurdiniabdillahi3558 2 месяца назад
Kumbe naye huyu pungu
@hakikwadalili
@hakikwadalili 5 лет назад
Asalamu alaykum wa rahamtullahi wa barakatuh. Kwanza tunakupongezeni kama tunavozipongeza nafsi zetu kwa kutimiza ibada hizi za funga ya arafah na kuadhimisha siku ya Iddi. Pili inafahamika kuwa hakuna ulazima wa tarehe kuwa moja kwa siku husika ndani ya Uislamu, na hadithi ya Kuraibu iliyopo katika sahihi Muslim ni ushahidi tosha katika hili shaamu waliuona ijumaa ama madina wao waliuona jumamosi na kila upande ulijishika na muandamo wake ikawa siku moja ina tarehe tafauti. Tatu Inafahamika kuwa Siku ya Arafah ni siku ya 9 ya mwezi ya Hija, kwa haji siku hiyo kwa mujibu wa muandamo wa majira ya Makka anasimama katika mlima wa Arafa, pia waislamu wanafunga siku ya 9 ya mwezi huo huo kwa mujibu wa miandamo ya miji yao kwani ndiyo siku ya arafa kwao. Nne inafahamika kuwa katika karne zote zilizopita Waislamu walijifunga na miandamo ya miji yao ambayo ilitafautiana kama inavyotafautiana mpaka hii leo. Kullu aamin wantum bikhairin.
@badimunisi677
@badimunisi677 4 года назад
Poa
@swahibuallymussa154
@swahibuallymussa154 4 года назад
RURUDINI ACHA POROJO,TUNATAKA MAJIBU YA KUMJIBU,1)MUFTI WA OMAN (2)KUMJIBU MUFTI WA SAUDIA(3)KUITOLEA MAELEZO HADITHI YA QURAIBU AMBAYO INAONYESHA MIANDAMO YA MWEZI TANGU ENZI ZA MTUME NA MASWAHABA ILIKUA TOFAUTI,NA HATA KARNE MOJA ILIYOPITA KILA WATU WLIKUA WANAFUNGA KWA MUJIBU WA MUANDAMO WA MWEZI KTK MAENEO YAO,AU WALIKUA WANATAMBUAJE KAMA LEO NDO SIKU WALIYOSIMAMA MAHUJAJI KTK MLIMA WA ARAFA KABLA YA TV NA VYOMBO VINGINE VYA MAWASILIANO?ACHA UJUHA WA KUWAPOTOSHA WATU,NA MAJIBU HAYA MBONA HUKUYATOA MUBAASHARA NA MUDA ULE WENZIO WAKATI WANAFUNDISHWA NA SHEIKH ABUU IDI?UWINGI WA WATU WANAOKUSIKILIZA SIO ALAMA YA KUKUBALIKA/UKWELI WA UNALOLIZUNGUMZA,MBONA HATA WALOKOLE,WASABATO,WAKATOLIKI NK,WANAJAA HATA ZAIDI YA UJAO HUO,?NYINYI NA WALOKOLE HAMNA TOFAUTI,LENU MOJA,LENGO LENU NI KUWAGAWA WAISILAMU,LAKINI IPO SIKU MTAJUA.
@abunufilaabunufila2152
@abunufilaabunufila2152 2 месяца назад
Sasa unauhakika kama mwezi umeandama huko saudia
@mohdahmed5389
@mohdahmed5389 2 года назад
Kishiki wewe uliletewa hao masheikh wenu wa saudi arabia msikitini kwako temeke na alipoulizwa suali hilo alijibu kila mmoja afunge kwa kuona mwezi mbona hukumwambia sheikh unakosea?ninachokiona vijana wa kisasa ni jazba tu .mumekosa hekma .tulikuwa na masheikh wakubwa hapo nyumbani akina Abdalla saleh farsiy,Hassan bin ameir,Ameir Tajo sheikh Baruwaniy na wengineo tele tu.wala hakukuwa na hizo tofuti zenu ,au tuseme nyinyi wa leo muna elimu zaidi kuliko hao wazee wetu maarufu waliotangulia ,muogope Allah iko siku mutasimama mbele ya Allah na mutaulizwa juu ya yote hayo.
@mchoromohammed6606
@mchoromohammed6606 2 года назад
Kwani funga ya Arafa ni Faradhi au Sunna!!??
@dulividuli5237
@dulividuli5237 Год назад
Sunna
@sheikhsharifmaduatz2871
@sheikhsharifmaduatz2871 5 лет назад
Naona Nurdiin kishki anaongea sana tenaaa kwa jazba na povu la hali yaaa juuu watu wanataka hoja sio makelele brother ha ha ha ha ha aha aha aha ha
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 5 лет назад
Sasa unataka hoja gani? Ametoa kauli za wanavyuoni wa zamani akiwemo Abuu Hanifa na Ahmad bin Hambal, pia ametoa kitabu cha mwanachuoni wa madhehebu ya kishafy, au huoni wala husikii?
@rahmaally6885
@rahmaally6885 5 лет назад
Nende naww ukapige makelel yako na utoe hoja sio mwarush vijemb tu zidi yake acheni fitna
@rahmaally6885
@rahmaally6885 5 лет назад
Hao hawaon kheri za Sheikh hata Sheikh aseme nn coz mioyo yao tayar ishaeka fitna zidi yake Allah awaongoe
@sheikhsharifmaduatz2871
@sheikhsharifmaduatz2871 5 лет назад
@@rahmaally6885 tatizo lako umesikiliza sehemu moja umetizama na kwengine
@sheikhsharifmaduatz2871
@sheikhsharifmaduatz2871 5 лет назад
@@rahmaally6885 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-wMRG9VQ0UeI.html tizama hiyo link uangalie sio unadhan kwamba shekhe wako hakoseiii acha ujinga
@abdallahkawambwa2666
@abdallahkawambwa2666 2 года назад
Achakuwadanganya watu wewe muwahabi makelele megii
@wahajbahbagii6857
@wahajbahbagii6857 5 лет назад
Tatizo ushahidi haujitoshelezi anatakiwa ajibu hoja za wale mashekhe watatu #MUFT WA OMAN SHEKHE UTHAMIIN NA SHEKHE WA MAKKA KATIKA KITABU CHA QARARAT
@bakariyusufu2014
@bakariyusufu2014 5 лет назад
Shekhe nenda ukasome kwanza hua vitabu vyetu havina agano jipya hatutaki vitabu vya juzi tunataka dalili za wanawazuoni walitangulia na kama hujasoma hebu angalia hata kwa macho hivyo vitabu vya al akhe kishiki na vya abuu idi
@bakariyusufu2014
@bakariyusufu2014 5 лет назад
Sasa sijui wewe unataka ushahidi gani
@bakariyusufu2014
@bakariyusufu2014 5 лет назад
Kingine alisema marekani ikiwa usiku maka ni mchana na aliesema marekani na maka wanapishana kwa masaa nane mpaka saba na nani mkweli au aliebainisha
@rahmaally6885
@rahmaally6885 5 лет назад
Kwann naww usende kusoma kazi kukaa na kukanush kila Sheikh akisemach yani nyie mioyo yenu ishaek fitna zidi ya Sheikh so Sheikh hata atoe ushaid wa manen gani bado tu mtapinga achane zahma na fitna
@abrahamansaidi8631
@abrahamansaidi8631 3 года назад
@@rahmaally6885 huyo IBN UTHAYMIN kwenye Mambo ambayo yanawakandamizi mnakataa mnadai Salaf gani wa juzi tu Ila hapa tumewanukuu mashekh wa zama hizo mnataka fatawa ya IBN UTHAYMIN kwasababu inawabeba
@hamadatahir9307
@hamadatahir9307 3 года назад
SIO KIAKILI MZEEEE..KIELIMU NA KIUKWELI. KWAIYO IBNU ABBAS NA MUAAWIYAH,HAWA VIPI? TUPE FATWA.
@hassanimouigni6648
@hassanimouigni6648 3 года назад
Tupe ww kama ye hajui unajua ww tunakusubiri
@salmabintuthman3243
@salmabintuthman3243 3 года назад
Jamani shekhe usilazimishe Arafa kua 1 kwa sababu dini haianzi leo. Wale nchi zao ambao wanalingana time zao za maghrib na makaa hao wanaweza kufata mwezi wa makaa lakini sasa kama America wako wapi na Arafa ya makaa. Acheni ubishi kuna matatizo tele ya waislamu nyinyi mnafatia haya.
@dulividuli5237
@dulividuli5237 Год назад
Kwaiyo kila nchi ina Arafa yke?
@omarsaid8166
@omarsaid8166 3 года назад
Shekhe hufwati sunna bali wamfwata sheitan na utakwenda kujibu kwa mola
@hassanimouigni6648
@hassanimouigni6648 3 года назад
Halaf hii ni neno zito voo kwanini usi pande kwenye viombo uka tufahamisha sababu ya haya maneno
@omarysaidy5524
@omarysaidy5524 3 года назад
@@hassanimouigni6648 haswaaaa mwambie akaongee kama kweli yy msema kweli
@omarysaidy5524
@omarysaidy5524 3 года назад
@omar said acha nongwaa ndg yang dunia utaiacha kasome
@omarsaid8166
@omarsaid8166 3 года назад
@@hassanimouigni6648 mimi ni msomi sio wala simtu wakujionyesha nasilazima kujitokeza kwenye vyombo huyo kishki ndio akasome
@dulividuli5237
@dulividuli5237 Год назад
Astaghfirullahi
@mdoekibai5063
@mdoekibai5063 3 года назад
wee kasome hujuikitu mjinga mpotoshaji mkubwa mhabi
@omarysaidy5524
@omarysaidy5524 3 года назад
Mjinga mwenyewe mbwaaaa ww unamtukana sheikh kishik hana elim we unayo muogope mungu we NYau mmoja ww nnenda ukasome huna hayaaaa kbs
@mdoekibai5063
@mdoekibai5063 3 года назад
@@omarysaidy5524 wee msnge kweli sana naako kashekh kamimbal wapotoshaji wakubwa nguruwe nyie
@thulaniduku3218
@thulaniduku3218 2 года назад
Wewe Wadanganga watu eti Arafat ziko mbili na ijuma iwe moja duniyani !
@dulividuli5237
@dulividuli5237 Год назад
Msiba mkubwa waislamu tumefikia huku kuwatukan wahadhiri wa kiislamu Astaghfirullahi
@rukaka_jr4514
@rukaka_jr4514 3 года назад
Muhammad iddi anachuki zake tu na wew na kiboko yake ni yule mtoto wa nasoro bachu maana alimtawala ktk issue ya maulidi
@mdoekibai5063
@mdoekibai5063 3 года назад
wee na huyu mpotoshaji wote niwahabi hamuelewi
@sirimzuzuri6108
@sirimzuzuri6108 2 года назад
Shekhe mnachanganya watu na ndio maana watu wengi wanapotea na nyinyi mtaulizwa
@hashimiddi4789
@hashimiddi4789 2 года назад
Mashallah
@jamilanyangasa2427
@jamilanyangasa2427 5 лет назад
Maa shaa Allah
@tamimusaidi1326
@tamimusaidi1326 4 года назад
Jamila Nyangasa
@tamimusaidi1326
@tamimusaidi1326 4 года назад
shekh ujasomA
@HamisiFakhi-mx4tb
@HamisiFakhi-mx4tb 2 месяца назад
Unapingana hata nakaka yako
@balkissmuhammadbalkiss2634
@balkissmuhammadbalkiss2634 2 года назад
Mashallah
Далее
UHARAMU WA NYIMBO NA MUZIKI. SHEIKH KISHK.
56:18
Просмотров 33 тыс.
МЕГА МЕЛКОВЫЙ СЕКРЕТ
00:46
Просмотров 412 тыс.
💀СЛОМАЛ Айфон за 5 СЕКУНД😱
00:26
Sheikh Suleyman Kilemile (SEHEMU YA PILI)
16:44
Просмотров 28 тыс.
KISHKI AKANUSHA ASEMA VIDEO HAIJAEDITIWA WAMENIGEUKA
3:40
Suala La Bid'a :: Ust. Mbarak Ahmed awes
41:04
Просмотров 55 тыс.
МЕГА МЕЛКОВЫЙ СЕКРЕТ
00:46
Просмотров 412 тыс.