Tumetoka Iraq tukaja had Ethiopia somalia Kenya tukaja had mosh tukapigyana nawachaga ikashindika tukaja had arusha nako ilishindikana tuondoka had babat nako tuliacha ndugu zetu hapo
inasemekana Kolo alikuwa mwenye asili ya Kimang'ati au Kiiraqwi,na haya ni makundi ya kutokea kaskazini mwa Afrika,sasa inakuaje Warangi wote wawe wenye asili ya Kibantu na wenye kutokea Nigeria??