Comments za wabongo za kuvunja moyo siyo za kuzifuata . Dada yupo vizuri enzi hizo ilikuwa kawaida vijana kupitia magumu unapofanya vitu tofauti na shule, wazazi ukiwambia hata kama unacheza mpira ukiwa shuleni mtoto unakula fimbo, sasa video vikisa lazima itakuwa ilikuwa ngumu sana kwa wazazi kuikubali. Nashukuru dada hamuhukumu shangazi yake anajua alifanya kazi ya mzazi. Hongera sana dada , Hii interview iwasaidie vijana wa sasa wanapotata hizi nafasi watumie vizuri maana wenzao wa zamani cha moto walikiona.
Wee song anita ulipotoka nilijiejoy sana na hiyo song nakumbuka nikiwa dalasa la 7 na kumbe anita anapitia mangumu dunian kote tukiimba anita pole sana dada tunakupenda hapa Kenya
Am from London and I do remember the song was such a beautiful one she made it so and we are all ready to chip in and help if need be don’t cry you’re gorgeous
Matonya popote ulipo bado uko na deni la zuwena...(Anitah)...... Kindly look back and support this adorable woman. watakao pitia apa 2095 watajua bado uko na deni ya huyu msichana
Mtangazaji asome kiingereza , kila saaa anasema what "happening" badala ya what "happened" asome grama kama ana mpango na hii taaluma au otherwise aachane na kiingereza.
@@denisnsokolo7098 Anaongea vizuri kiswahi ila kimombo lazima uzingatiye grammar sana la sivyo itakuwa kama kiswahili cha Burundi na Congo Kuuza : ndio kununuwa Kununuwa: ndio kuuzisha
It's never too late dada as much uko uhai Kuna mengi na utafikia ndiyo zako i really like you even i change my name because of you utaeda far mungu Yuko nawe❤❤❤❤❤❤
if this beautiful woman was in kenya right now angekuwa na maisha ya kifahari sana,but all the same God always has plans for everyone,He will still bless you this moment and in future pray for you marriage always,i wish agepata mwanaume amutunze vizuri amupende wapendane since wakati wa wimbo wa matonya she was so beautiful.
Congratulations Anita. I loved that song and I still love it. Kindly note that people will always critisize you. Take heart and stay focused as always. We will cheer you on as usual.
Lahaula! Mbona hadithi hii ya Anita inanikumbusha riwaya ya Utengano ya Said A. Mohammed! Maimuna kalelewa kwenye familia nzuri lakini katoroka nyumbani aanze kujikimu. Maisha yakawa maisha! Huyu angekuwa mkenya tungemchangia hela tuinue maisha yake. Enzi zile alitisha. Ujana ni moshi kweli. 🇰🇪💙🇹🇿
Anita indeed became a brand by then, only was not lucky enough to get some good advisors and managers to help securing some marketing and ambassadorial roles
Nadhani kilichowaudhi wazazi sio kuonekana kwenye tv bali ni vazi alilovaa, kulana mate na kukumbatiwa maskani maana hawakuwa na elimu ya sanaa na wasanii wakiwa location
😂ebu soma tena comment alaf rudi kwa rafiki ake mariam hapo. Kila kinachotokea kina cause, asingefukuzwa kama angekuwa humble kwa wazazi/walezi. All in All ni God's Plan
Mtangazaji do your homework kabla. Unavyoangalia sana simu unatutoa kwenye reli. Unaondoka focus ya watazamaji. Hakikisha unajua unachotaka kuhoji, do rehearsals girl.
Huyu binti alikuwa mstaalab sana na alikuwa na heshima . Niliwahi kutana Morogoro tulikula dinner na tulipiga sana story la niliona anakitu kizuri mbelenii.
wadada wa kileo mjifunze kitu kupitia huyu dada kwa wakati huo aliiteka nchi kila corner alikuwa ni ANITA ila kwa sasa sio yule tena, wadada wengi huwa mkipata hizi exposure kama video vixen(simsemi vibaya huyu dada) huwa hamshikiki wala hamuambiliki bila kujua wakati ni ukuta kuna muda ukifika wale wengi uliokuwa unawaona hutowaona tena na hiyo ndio tabia ya wanadamu wakishakuzoea sana thamani yako inaisha au kupungua. nina mifano ya wadada wengi sana kwenye mazingira yangu ninayoishi ambao kipindi cha usichana/maisha ya chuo walikuwa warembo na wanaringa kweli lakini leo hii wamekua watu wa 'ninge'
Nilipata shida sana kipindi unatoka huo wimbo Kila nikipita naitwa Anitha Anitha wanguuuu Hadi Leo naitwa Anitha wa matonya ndo maana sijaolewa Hadi Leo😢😢😢
kuharibiana sifa wapi? kama ni kweli watu walifanya ushenzi wakianikwa ni sawa ili wengine wajifunze kuishi na watu vizuri. wewe unamhukumu huyu kwa kuongea lkn haukemei waliotenda maovu.... acha unaa. au nyie ndo hao hao wenye roho mbaya
Walinambia nikuache ww ila mimi niishi mwenyewe mbuz gita walipiga we ndo wa maishanii aniita aniita wangu lelelilee tuishi pamojaaa na sukuma sukuma ili ck ziendee urud nyumban tuishi pamojaa enz hairud bhana hongera dada kwa kuwa hai mpk leo wanaosema umezeeka / mshangaz wajue kabisa uzee ni baraka