Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii: / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti
Mapema kabisa wakati huyu dogo anaingia kwenye game mapema kabisa niliwahi kuongea na jamaa yangu tukiwa tunapiga tu story. Nikasema "HARMONIZE NI MTOTO WA DIAMOND KIMUZIKI NA HATA KIMAISHA AMEBEBWA NA DIAMOND NDIO AKAFIKA HAPO ALIPO NA AKATOKA WCB KIDHARAU NAMNA ILE PASIPO BARAKA AU RADHI ZA WALIOKUTOA. RAY VANNY PIA NI NDUGU WA MZALIWA PAMOJA NA HARMONIZE KWENYE FAMILIA YA WASAFI. KWA LUGHA RAHISI DIAMOND NI BABU WA HUYU DOGO KI MUZIKI NA RAY VANNY NI BABA YAKE PIA. ALITAKIWA AONESHE HESHIMA HATA KAMA SIO YA KIFAMILIA BASI TU YA KUMTANGULIA KIMUZIKI." Nikamwambia yule rafiki yangu hasa kulingana na nilivyokuwa naiona nguvu ya kiroho ya kum'backup huyu dogo nikasema "HUYU DOGO ANAIMBA VIZURI NA ANAUZEZO MZURI NA WA UHAKIKA TENA NASISITIZA HAPA (anamzidi hata huyo Harmonize na ana zile techniques za uimbaji na uandishi kumzidi Harmonize) LAKINI HATOFIKA MBALI NA AKIFIKA ITAKUWA KWA NGUVU SANA KWASABABU ANAISHAMBULIA MISINGI YA ASILI YA NGUVU YA MUSIC WAKE." Harmonize na watu wote wa KONDE GANG walitengeneza tu watu sio kama WCB kulea na kuwainua bali kwasababu ya kujitengenezea nguvu fulani ya kukabiliana na upinzani wa WCB. Harmonize na watu wake bila kutengeneza kitu kama konde gang na madogo janja kama hawa na drama walizokuwa wanaziendesha BAADA YA KUTOKA WCB HARMONIZE ALIKUWA HAFIKI POPOTE. Haka kadogo kalionesh nyodo ya maana kakiwa chini ya Harmonize lakini sisi wengine tulikuwa tunaona anatamba juu ya KUTI KAVU. Kosa lingine kanalifanya hapa kama kuonesha kenyewe ni ka BEI MBAYA kusema makampuni yalikuwa hayafiki viwango vyake. UKIACHANA NA UMAARUFU SI AJABU HAPO HATA LAKI KUISHIKA KANAISIKIA TU (kwa ninavyowajua maisha ya wasanii wengi nilionao karibu), KANAACHA KUTULIA KIMYA BADO KANAVIMBA. Haka karate mshauri na mtu wa kukasaidia KANA KITU KATAFIKA MBALI.!!!! Ni mtazamo wangu tu, msinimaindi.!
Anapaswa ajifunze adabu maana alitumika kuwatukana kaka zake kimziki akijua alipo amefika na hatoondoka sasa kiko wapi? Mnapokuwa kwenye lebel jifunze kuwa na hekima na ukimya maana hujui kesho yako. Kibri ndo kinawaumiza hawa watoto
TRUTH BE TOLD... huyu boi alikua anaimba vizuri sana, shida ilikua anaweza mshinda kwenye nyimbo.. na ikafanya kukanyagiwa talanta yake, huyu ajiondoe tu.. ata akuje tu Kenya atapata promotion kubwa sana... 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mapema kabisa wakati huyu dogo anaingia kwenye game mapema kabisa niliwahi kuongea na jamaa yangu tukiwa tunapiga tu story. Nikasema "HARMONIZE NI MTOTO WA DIAMOND KIMUZIKI NA HATA KIMAISHA AMEBEBWA NA DIAMOND NDIO AKAFIKA HAPO ALIPO NA AKATOKA WCB KIDHARAU NAMNA ILE PASIPO BARAKA AU RADHI ZA WALIOKUTOA. RAY VANNY PIA NI NDUGU WA MZALIWA PAMOJA NA HARMONIZE KWENYE FAMILIA YA WASAFI. KWA LUGHA RAHISI DIAMOND NI BABU WA HUYU DOGO KI MUZIKI NA RAY VANNY NI BABA YAKE PIA. ALITAKIWA AONESHE HESHIMA HATA KAMA SIO YA KIFAMILIA BASI TU YA KUMTANGULIA KIMUZIKI." Nikamwambia yule rafiki yangu hasa kulingana na nilivyokuwa naiona nguvu ya kiroho ya kum'backup huyu dogo nikasema "HUYU DOGO ANAIMBA VIZURI NA ANAUZEZO MZURI NA WA UHAKIKA TENA NASISITIZA HAPA (anamzidi hata huyo Harmonize na ana zile techniques za uimbaji na uandishi kumzidi Harmonize) LAKINI HATOFIKA MBALI NA AKIFIKA ITAKUWA KWA NGUVU SANA KWASABABU ANAISHAMBULIA MISINGI YA ASILI YA NGUVU YA MUSIC WAKE." Harmonize na watu wote wa KONDE GANG walitengeneza tu watu sio kama WCB kulea na kuwainua bali kwasababu ya kujitengenezea nguvu fulani ya kukabiliana na upinzani wa WCB. Harmonize na watu wake bila kutengeneza kitu kama konde gang na madogo janja kama hawa na drama walizokuwa wanaziendesha BAADA YA KUTOKA WCB HARMONIZE ALIKUWA HAFIKI POPOTE. Haka kadogo kalionesh nyodo ya maana kakiwa chini ya Harmonize lakini sisi wengine tulikuwa tunaona anatamba juu ya KUTI KAVU. Kosa lingine kanalifanya hapa kama kuonesha kenyewe ni ka BEI MBAYA kusema makampuni yalikuwa hayafiki viwango vyake. UKIACHANA NA UMAARUFU SI AJABU HAPO HATA LAKI KUISHIKA KANAISIKIA TU (kwa ninavyowajua maisha ya wasanii wengi nilionao karibu), KANAACHA KUTULIA KIMYA BADO KANAVIMBA. Haka karate mshauri na mtu wa kukasaidia KANA KITU KATAFIKA MBALI.!!!! Ni mtazamo wangu tu, msinimaindi.!
@@edwardmkwelele he can't say because the contract ties him and indirect consequences may follow up... remember his projects are still under Konde studios.. so aki mess, he may crush on a nose point, you may find even those chains ⛓️ aren't his and clothes ni za kuomba
Sasa hivi ndio watu watajua Harmonize ana roho mbaya sana, hakuna hata msanii mmoja aliemsaidia akafikia viwango vya juu, uchoyo na roho mbaya ndio tabia yake
Mulimtukana sana H baba akiwa anaongea ukwel najua leo munaanza kukubali kua harmonize sio musanii ambae anauwezo wakupromoti Wasanii hata yeye anashindwa Sana kujibland
Ukiangalia interviews za nyuma kisha ukaangalia na hii tayari jibu utalipata kijana yupo na shida sema hawezi kujiachia kuongea kwa sababu kuna vitu havijakaa sawa😮
Huyu dogo Ana confidence Sana ya kisani tunakuombeya kwa Mola career yako ikuwe Sana na uzivunjwe moyo na yeyote utafanikiwa Sana hadi utashangaa maishani
Mapema kabisa wakati huyu dogo anaingia kwenye game mapema kabisa niliwahi kuongea na jamaa yangu tukiwa tunapiga tu story. Nikasema "HARMONIZE NI MTOTO WA DIAMOND KIMUZIKI NA HATA KIMAISHA AMEBEBWA NA DIAMOND NDIO AKAFIKA HAPO ALIPO NA AKATOKA WCB KIDHARAU NAMNA ILE PASIPO BARAKA AU RADHI ZA WALIOKUTOA. RAY VANNY PIA NI NDUGU WA MZALIWA PAMOJA NA HARMONIZE KWENYE FAMILIA YA WASAFI. KWA LUGHA RAHISI DIAMOND NI BABU WA HUYU DOGO KI MUZIKI NA RAY VANNY NI BABA YAKE PIA. ALITAKIWA AONESHE HESHIMA HATA KAMA SIO YA KIFAMILIA BASI TU YA KUMTANGULIA KIMUZIKI." Nikamwambia yule rafiki yangu hasa kulingana na nilivyokuwa naiona nguvu ya kiroho ya kum'backup huyu dogo nikasema "HUYU DOGO ANAIMBA VIZURI NA ANAUZEZO MZURI NA WA UHAKIKA TENA NASISITIZA HAPA (anamzidi hata huyo Harmonize na ana zile techniques za uimbaji na uandishi kumzidi Harmonize) LAKINI HATOFIKA MBALI NA AKIFIKA ITAKUWA KWA NGUVU SANA KWASABABU ANAISHAMBULIA MISINGI YA ASILI YA NGUVU YA MUSIC WAKE." Harmonize na watu wote wa KONDE GANG walitengeneza tu watu sio kama WCB kulea na kuwainua bali kwasababu ya kujitengenezea nguvu fulani ya kukabiliana na upinzani wa WCB. Harmonize na watu wake bila kutengeneza kitu kama konde gang na madogo janja kama hawa na drama walizokuwa wanaziendesha BAADA YA KUTOKA WCB HARMONIZE ALIKUWA HAFIKI POPOTE. Haka kadogo kalionesh nyodo ya maana kakiwa chini ya Harmonize lakini sisi wengine tulikuwa tunaona anatamba juu ya KUTI KAVU. Kosa lingine kanalifanya hapa kama kuonesha kenyewe ni ka BEI MBAYA kusema makampuni yalikuwa hayafiki viwango vyake. UKIACHANA NA UMAARUFU SI AJABU HAPO HATA LAKI KUISHIKA KANAISIKIA TU (kwa ninavyowajua maisha ya wasanii wengi nilionao karibu), KANAACHA KUTULIA KIMYA BADO KANAVIMBA. Haka karate mshauri na mtu wa kukasaidia KANA KITU KATAFIKA MBALI.!!!! Ni mtazamo wangu tu, msinimaindi.!
It is really sad how these young kids who have all this talent being taken advantage off when it comes money. I pray you get paid for your worth Ibraah
Management yake ni mbovu ndo maana anayumba. Haiwezekani msanii hafanyi show yoyote ya kuandaliwa na wengine au kuandaa mwenyewe. Anaishia kujidanganya kuwa yeye ni msanii ghali huku anakufa njaa 😢
But he was busy dissing Rayvanny not too long ago even saying and singing that Ray needs to be careful because he might want to join Kondegang... He's very talented but he should have kept away from people's beef so that people are more willing to help him follow up on stuff. They just thought being in a label was easy 😂😂 Sidhani kupima mtu nguvu ni hii style ya Harmonize
@@Hanel_csn uzuri mafans siku hizi tuna exposure.msanii akidanganya hata sura inajieleza. Sio kweli watu wanafika bei ya marioo , jay melody uyu hawafiki. Ako na shida huyu, ataongea very soon
WCB Pekee ndo ina uwezo wa kuthamini msanii, huyu dogo mambo mengi anaficha ila kiukweli si vizuri kutukana mamba kama hujavuka mto Jeshi anajali vita vyake tu ✍🏻
Bro shida nimkataba aliosign Hvyo ata akipiga show ya 5M mean record label inachukua 60% yeye 40% Ndio maan anapambania apate malipo makubwa kweny 10M at least apate 4M fresh maisha yanasonga Haya hyo 5M atapata ngap
Niwasanue jaman huyu hajapokea pesa kwa sababu hizi digital platform zinakiwango cha kulipa mfano ukifikisha kiwango cha million tano kwa mwezi ndo unapewa kutokana na streams zako sasa ukweli ni kuwa hana streams nyingi ndo mana pesa inakuwa changamoto ulishawahi sikia wap mtu anafanya kazi ana submitt na halipwi miezi nane
Ni sawa naweza. Kukubali!,je izo streaming anazokuwa nazo izo ndogo pesa ulipwi au wanazihesabu vipi kwamba iyo pesa wanaichukua!!!,mzee streaming zozote ziwe ndogo au kubwa lazima ulipwe tu!! Mbona harmonize anazo streaming nyingi lakini anadai kuna pesa halipwi
Mda ukifika utauzungumza ukweli tena ukweli mtupu naamini haya yote uliyoyazungumza apa kweny hii inteeview utakuja kuyaweka sawa,POLE SANA KWA UNAYOYAPITIA na UJIFUNZE KUHWSHIMU WALIOKUTANGULIA,ulimtukana sana Diamond Platnumz na WCB kwa ujumla
Unaibiwa na mmakonde mwenzako wew c upo chini ya lebo kwanini leo hakusimamii utoe nyimbo afu madai yanaendelea ,sema ukweli usaidiwe endelea kuficha maovu
You guys kept on fighting Diamond kwa muda now you are suffering ndio unakuja kucomplain, Tanzaniansl artists should chose them battles to fight sio kila vita ni ya kupigana na kurusha maneno,huyu talanta ishaingia maji akuna wa kumwokoa tena
Mapema kabisa wakati huyu dogo anaingia kwenye game mapema kabisa niliwahi kuongea na jamaa yangu tukiwa tunapiga tu story. Nikasema "HARMONIZE NI MTOTO WA DIAMOND KIMUZIKI NA HATA KIMAISHA AMEBEBWA NA DIAMOND NDIO AKAFIKA HAPO ALIPO NA AKATOKA WCB KIDHARAU NAMNA ILE PASIPO BARAKA AU RADHI ZA WALIOKUTOA. RAY VANNY PIA NI NDUGU WA MZALIWA PAMOJA NA HARMONIZE KWENYE FAMILIA YA WASAFI. KWA LUGHA RAHISI DIAMOND NI BABU WA HUYU DOGO KI MUZIKI NA RAY VANNY NI BABA YAKE PIA. ALITAKIWA AONESHE HESHIMA HATA KAMA SIO YA KIFAMILIA BASI TU YA KUMTANGULIA KIMUZIKI." Nikamwambia yule rafiki yangu hasa kulingana na nilivyokuwa naiona nguvu ya kiroho ya kum'backup huyu dogo nikasema "HUYU DOGO ANAIMBA VIZURI NA ANAUZEZO MZURI NA WA UHAKIKA TENA NASISITIZA HAPA (anamzidi hata huyo Harmonize na ana zile techniques za uimbaji na uandishi kumzidi Harmonize) LAKINI HATOFIKA MBALI NA AKIFIKA ITAKUWA KWA NGUVU SANA KWASABABU ANAISHAMBULIA MISINGI YA ASILI YA NGUVU YA MUSIC WAKE." Harmonize na watu wote wa KONDE GANG walitengeneza tu watu sio kama WCB kulea na kuwainua bali kwasababu ya kujitengenezea nguvu fulani ya kukabiliana na upinzani wa WCB. Harmonize na watu wake bila kutengeneza kitu kama konde gang na madogo janja kama hawa na drama walizokuwa wanaziendesha BAADA YA KUTOKA WCB HARMONIZE ALIKUWA HAFIKI POPOTE. Haka kadogo kalionesh nyodo ya maana kakiwa chini ya Harmonize lakini sisi wengine tulikuwa tunaona anatamba juu ya KUTI KAVU. Kosa lingine kanalifanya hapa kama kuonesha kenyewe ni ka BEI MBAYA kusema makampuni yalikuwa hayafiki viwango vyake. UKIACHANA NA UMAARUFU SI AJABU HAPO HATA LAKI KUISHIKA KANAISIKIA TU (kwa ninavyowajua maisha ya wasanii wengi nilionao karibu), KANAACHA KUTULIA KIMYA BADO KANAVIMBA. Haka karate mshauri na mtu wa kukasaidia KANA KITU KATAFIKA MBALI.!!!! Ni mtazamo wangu tu, msinimaindi.!
Bado ajasema atasema anajikaza kisabuni dogo😂😂 mwambie aongeze sauti 😂😂😂unapakuwa kwenye lebo kila kitu kinakuwa chini yao konde kukutelekeza ila anataka ujitoe mwenyewe ili umlipe konde mjanja sana anasema mapato ajaingiza miaka3 wakat anakwambia attitude na single again zimeingiza pesa nyingi dogo ulikuwa anajishndanisha na vanny boy na kumdisi sana leo kaachwa kwenye mataa
@@user-po9yx5mu2b Queen darling sio msanii ww mtu ana miaka zaidi ya 5 haiimbi unamfananisha na mtu mwenye album na ep em kuwa kiakili ww. Em tuambie kwanza marioo lini kafanya show ya nje ya Tz
Natamani (I wish) music labels hapa TZ zisingekuwa chini ya active artists kama ambavyo ilivyo nchi zingine (SA kwa mfano). Wasanii wengi zaidi wengetoboa. Kwa mfumo wa sasa wanaojaribu kuibuka wanakumbana na wenye label ambao pia wana pressure ya kubaki juu (kuna conflict of interest). Wafanya biashara ya musiki wako wapi TZ?
Nime furahi kabisa ulipo kutana nayo, ulivyo ingia kwenye games ulianza kumtukana mond, and Rayvanny bila kujua kesho nani ana weza kuku saidia. Hacha tuone mw8sho wako kwa sasa.😊
Badilika kuongea Inakata kwenye intanyuu zako kusikiliza,,na na na na ukiona mtu anaongea kama ibra ,mwana fa na na na na ney wami wami wami mite mite mite go,,ndo wanaongeaga ivyo Kwa Kwa Kwa kukata maneno,Yan sipendagi intavyuu zao kuziangalia Kwajili iyo,,na ukiona mtu anaongea ivyo Yani anapanga kudanganya ndomana anaongea uku anafikilia,,ebu badilikeni,,fuatilieni alafu mtanambia kama naongopa alafu mtanambia
Ibra anaonekana kabisa hayuko sawa yani yuko mentally exhausted, uso umekosa Nuru, hiyo sauti kama anakunywa pombe na anavuta kilevi😅ipo siku atakuja kuongea ukweli kuhusu real situation yake harmonize hana hela kwa sasa