اللهم اغفر له وارحمه وعافه واعف عنه وأكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء والثلج والبرد ونقه من الذنوب والخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس اللهم آمين
Innaa lillahi wa innaa ilayhi raajiuna. Allah ampe kauli thaabit Ndugu yangu shk. Alhadi Omar Kawambwa. Nathibitisha. Kuwa yote aliyoyazungumza Shk. Adam Ahmed Abdalla ni ya kweli. Wakati Alipokuwa Jumuiyatul islamiya tulikuwa pamoja. Hiyo ilikuwa kati ya miaka 1955 na 1958 kabla ya uhuru wa Tanganyika.
Maasha Allah ameupata umri mrefu wenye uchamungu 😊 Duuh iyo myaka ata wazazi wetu walikua hawajaziwa wala mimba zao hazijapatikana 😮Allah atupe umri mrefu wenye uchamungu kama wa sheikh Adam 🤲
Mtu wa nyumbani huyu ...dah ....kila inapotajwa Kisiju , naumia sana.......kwakua wazee wangu wote ambao wenda wangenipa maarifa mengi juu ya hawa Masheikh wakubwa wanaotokea Kisiju wametangulia. Mwenyezimungu awarehemu wote , Sheikh Alhad, Sheikh Adam Ahmad, Sheikh Nassor Amran, na wazee wetu wote.......
Sijui lini nitapata kuujua undani wa hayo matatizo aliyoyapata Saidi Hussein Badawi....maana kila anapozungumzwa historia yake , mzungumzaji huishia kusema aliondoka baada ya kupata matatizo ..............inshallah kheir wenda ipo siku tukaipata habari kamili.
@@alameentvTz interview ina muda wa dakika takriban 35 lkn mtangazaji ametumiatakriban dakika 10 anaongea yeye as if ndiye anayehojiwa na matokeo yake anakata kipindi kwa kuisha muda il hali yeye ameutumia vibaya muda wa kipindi