Kaka watu ingilia, ila ni ukweli hadi mimi nikifika chooni nishajikojolea, nime zaa mtoto wakwanza mume, na nime muacha mume mwenyewe. Nakunga mkono kaka
Je Kwa mfano nimepewa Jina la F wakati nimezaliwa ila Baadae mama kutoka Hospitalini nikapewa jina la M ambalo ndilo lililonilea, Bibi alitaka niwe na Jina la Asili amabalo ndilo kila mtu analijua nimejaribu kulikwepa lakini imeshindikana