Тёмный

Ilagosa wa Ilagosa was poisoned😭😭 💔💔!! His killers identified | Prince Clyde PART 1 

RamDee TV Kenya
Подписаться 6 тыс.
Просмотров 174 тыс.
50% 1

Ilagosa's PA Prince Clyde reveals who killed the man of God.
#ilagosawailagosa

Опубликовано:

 

28 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 210   
@mitchelltillan7041
@mitchelltillan7041 Год назад
Clyde nakupenda sana Mungu akupiganie na Niko na Imani you will conquer always stay strong 💕
@asnatekanzika
@asnatekanzika Год назад
Mimi aki hadi sasa hio kitu inaniuma moyo how can u invite mtu kuwa crusade ilhali umeplan kumwua it's so painful but let them know kujiunda watajiunda but kuvuna watavuna watever they did to ilagosa 😭😭😭😭😭
@hellenanyango1152
@hellenanyango1152 Год назад
Mwenye alifanya kumpa poison mungu awalaini katika jina la yesu
@gracekinyua339
@gracekinyua339 Год назад
Oooooh nooo....😭😭😭 May Our Good Lord always bless you🙏🙏 for bringing us such stories we don't know
@peterwanyonyi6837
@peterwanyonyi6837 Год назад
That information is enough,hao watu wametajwa serikali iwafatilie,inauma sana😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡
@perpeturemayienga8678
@perpeturemayienga8678 Год назад
His story is flowing n I guess it’s real! Pole sana
@lulumolly3575
@lulumolly3575 Год назад
This is so emotional,thank you Ramsey Dee for always bringing to us these stories,may his dad's soul rest in peace 🙏 Ramsey Dee God bless you 🥺
@blessedmalilo5965
@blessedmalilo5965 Год назад
Not biological father though
@blessedmalilo5965
@blessedmalilo5965 Год назад
Kijana yake Ni mdogo
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 Год назад
Be strong bro Mungu atakuinua zaidi
@samanthahudda4422
@samanthahudda4422 Год назад
Ndugu ya tulie zaliwa na yeye 😭😭😭💔wewe blood is not thicker than water!
@margaretmuchira4219
@margaretmuchira4219 Год назад
Upepo wa Dunia umejaa sumu. Una lala naamka na mods za kuuwa, kusengeya, wivu. Nilikua Dadangu mdogo na Bro. Wangu wakinisengenya live kwa kitu sijawahi ata kufikiria kufanya. ATI NAVUTA BANGI 🤣 Haki ukikaa kimya Family wasijue unaishi vipi unaweza kuishi poa. But WAKIJUA wanaweza kuuwa
@josephine-hz8pz
@josephine-hz8pz Год назад
May his rest in peace,and may God give you strength young man kifo cha Ilagosa kimeshtua
@monicahwayua9112
@monicahwayua9112 Год назад
I know Ilagosa wa Ilagosa nilimwona South B Pefa Church alikuwa amealikwa kuimba akiwa na kijana anaitwa Paul na niko na CD yake ya wimbo Mungu wangu atanipigania wimbo ambao naupenda sana ni huzuni san kuskia haya aki
@elizabethkhayasi8422
@elizabethkhayasi8422 Год назад
Take heart 😭 na uchunge milango yenye unakula na hata hotel uwe makini nazo.
@patrickagaro1341
@patrickagaro1341 Год назад
May his soul rest in peace
@gladysotiende5643
@gladysotiende5643 Год назад
Haujasikia Mungu amemtuma mjumbe wake . Huku hakuna hizi vitu unasema kwa sababu nabii huyu anakemea kanisa kuanguka ndani ya dhambi. Hizi kanisa mko zimeacha Yesu kitambo.
@judybarasal5922
@judybarasal5922 Год назад
No peace for the wicked may they never know peace
@joylinemuhonja8301
@joylinemuhonja8301 Год назад
He's so pained 😒 😔 😟 heartbroken 💔 😢 and with alot of bitterness..May God be with him .rest easy ilagosa
@marydanwarungakiraunigiaku4990
Inaweza kua ukweli mwingine kaekewa dawa na brother yake few hours before aingie ndege kurundi hapa malekani akafia kwa ndege! Very sad
@connectwithboke
@connectwithboke Год назад
What😭🥺 May Our Good Lord help Us🙏🏾
@SusanKhisa-g5d
@SusanKhisa-g5d Год назад
May your soul rest in peace ilagosa,,,your killers will suffer alot where they are😭😭😭💔💔💔 15:31
@faithkoikoi7306
@faithkoikoi7306 Год назад
So painful take heart brother 🤗may his soul Rip 🙏
@jessicamusangi2496
@jessicamusangi2496 Год назад
Please you're supposed to go and Report these people ....Pole sana
@christcareministriesomenda7266
Mwanamke......eeeee
@pastorphilipochieng4149
@pastorphilipochieng4149 Год назад
Dunia imeoza kweli
@ramseykigwa4659
@ramseykigwa4659 Год назад
Unyama uliwaingia binadamu
@florenceelikana3040
@florenceelikana3040 Год назад
Nikweli kabisa
@zipporahmmbohe5644
@zipporahmmbohe5644 Год назад
Pastors hey ,,,,,,so sad to hear this! the now pastors are wolves hidden in churches pretending They are spreading the word of God kumbe wanakula kondoo wao wenyenyewe,,,,,mtakua Kuni in the end of times,,,,,
@paulysutsiey649
@paulysutsiey649 Год назад
Luhya pastors have a habit of killing each other sana sana.
@sethinzai3120
@sethinzai3120 Год назад
Continue to rest in peace Ilagosa
@constancelumayi9016
@constancelumayi9016 9 месяцев назад
The almighty God to look upon your enemies
@maureenadhiambo2419
@maureenadhiambo2419 Год назад
I fear people 🤔
@everlyneamwayi
@everlyneamwayi Год назад
U better do dia kwanza relatives 😤
@jaberjohn7556
@jaberjohn7556 Год назад
Human being like pastors are worst people in the world to trust. Worst and worst. What did they get after he has gone? Leaving with peoples death in there hand will ruin them if not there kids will face it. Even the family member who was involved will never prosper
@paulysutsiey649
@paulysutsiey649 Год назад
Especially pastors from western, they like poisoning each other in food for petty reasons, I come from there.
@JaphethKinanga
@JaphethKinanga 4 месяца назад
Beautiful betrayal,
@juliakamarey8476
@juliakamarey8476 Год назад
Jameni ndugu yako anakuua kweli please ndugu wengine kweli
@lylianwanyama4294
@lylianwanyama4294 Год назад
Undugu nowadays n urafiki, ma daddy 👨 was killed by his elder brother 😭😭😭😢
@mercylinekerubo6425
@mercylinekerubo6425 Год назад
Very very painful 😣😣 take heart
@beliaadoyo3003
@beliaadoyo3003 3 месяца назад
Bro are sure is not ,,,,my God expose who ever did that?
@vihigamoxex3370
@vihigamoxex3370 Год назад
Usijali Ilagosa wa llagosa Amewachia Barika kubwa sana...sasa wewe Sukua nyimbo zake zote ujiimbe my brother..
@DebsChebby-sx4jb
@DebsChebby-sx4jb Год назад
God's judgement will come one day
@pamj9v
@pamj9v Год назад
So painful 😭😭walio husika wasipate amani kwa maisha yao
@kingspalacetv1
@kingspalacetv1 Год назад
Nice one
@RamDee_TV_Kenya
@RamDee_TV_Kenya Год назад
Thanks 🔥
@peternjoroge9474
@peternjoroge9474 Год назад
The pain but its poa kuongea ndoo ikutoke
@silviakitana5614
@silviakitana5614 Год назад
It's.a.very.sad.stoy.for.Ilagosa.wa.Ilagosa
@RoseOside
@RoseOside Год назад
They will never have peace in life 😭😭😭😭😭
@sakinasalman5014
@sakinasalman5014 Год назад
Pole sana hii dunia
@phanicebarongo4095
@phanicebarongo4095 Год назад
May his soul rest in peace 🙏
@monicahwayua9112
@monicahwayua9112 Год назад
Aki yeyote aliyetenda hicho kitendo na walaaniwe kabisa Mola amlaze mahali pema peponi
@monicahwayua9112
@monicahwayua9112 Год назад
It so painful
@vanbabyKE
@vanbabyKE Год назад
This interview could have been done better by someone with better interviewing skills. You cannot ask too many questions at the middle of the interview, at least you have to let your interviewee explain himself, moreso on sensitive topics like this. Let the conversation flow naturally. RIP Ilagosa
@RamDee_TV_Kenya
@RamDee_TV_Kenya Год назад
Hello Van, thank you. We will keep that in mind in future.
@antoinetteauma2626
@antoinetteauma2626 Месяц назад
💔💔
@puritymutindi4905
@puritymutindi4905 Год назад
Hii story ni chugu sana 😭😭
@ruthkatene512
@ruthkatene512 Год назад
Very sad story
@elizabethjeremiah8323
@elizabethjeremiah8323 Год назад
Ooooh myGod
@kenyastartersentertainment9136
Hehe mistake both sides elagosa angesaidia mtoi hangekufa maybe elagosa angekua straight forward kwa neno la mungu hangekufa im sure mtoi alikua wake but alikua anatry kuhepa im sure hata hao wametajwa ni innoscent the guilty one utapata ni close person to elagosa the woman sent texts out of bitterness
@connectwithboke
@connectwithboke Год назад
I also felt the same, she and the brother might be innocent but also you don’t judge Elagosa for He’s past! Just remind yourself of your past before pointing fingures, i don’t think you’re where you were before, right?
@SelineAlando
@SelineAlando Год назад
How sure are you when you were not even close to that man my dear zip you mouth,there are so many single mothers out here raising there kids killing someone won't make things work for you
@SelineAlando
@SelineAlando Год назад
How sure are you when you were not even close to that man my dear zip you mouth,there are so many single mothers out here raising there kids killing someone won't make things work for you
@MaryMasaga-g8u
@MaryMasaga-g8u Год назад
Wasipate amani milele
@velmamuteitsisakwa8697
@velmamuteitsisakwa8697 Год назад
Na hyu ndugu yake alikuwa mtanga si angeamka achape hyu bb
@monicahwayua9112
@monicahwayua9112 Год назад
Why kill someone surely si wangemwachia Mungu tu
@lookbabes8710
@lookbabes8710 Год назад
The reason I don't eat anywhere. I'm very scared of people nawadays
@everlyneamwayi
@everlyneamwayi Год назад
Not juz pple but pple related to u by blood...me kwanza my relatives can't think twice killing me ave never known why me being alive disturbs them😭
@Finegirl703
@Finegirl703 Год назад
@@everlyneamwayijust be careful with them tuko wengi mm huez n food poison I carry water with me or a drink na niikiacha siezi kunywa
@kevinndongofficial
@kevinndongofficial Год назад
Subscribed
@mariammkuta143
@mariammkuta143 Год назад
Taja majina please
@RamDee_TV_Kenya
@RamDee_TV_Kenya Год назад
majina coming soon, subscribe and press notification bell ndio ujue tukiweka hiyo video ya majina
@elizabethmwangi1134
@elizabethmwangi1134 Год назад
Nonsense
@RamDee_TV_Kenya
@RamDee_TV_Kenya Год назад
Thank you.
@ndettothejuice3094
@ndettothejuice3094 Год назад
How watu watatu wafinywe watapeana story vile kulienda.
@jeznavelesendi3021
@jeznavelesendi3021 Год назад
Waaa mulamwa kwani ww pia ulikuwa uwawe?? Na nani sasa???
@RamDee_TV_Kenya
@RamDee_TV_Kenya Год назад
Watu ni wabaya huku nje nakwambia
@evelynmumia5246
@evelynmumia5246 Год назад
True
@angeliquemutheu6684
@angeliquemutheu6684 Год назад
He should give the police this information.(so sad
@pendo6
@pendo6 Год назад
Maragoli jamani
@dinahdianah9653
@dinahdianah9653 Год назад
😭😭😭😭😭
@shekilahjerutomuhamed8364
@shekilahjerutomuhamed8364 Год назад
Hii dunia AKh so painful 😭😭😭Mimi bdo nalia ,,kweli akuna mtu mzuri ata ndugu yko🤔
@marynjengah2771
@marynjengah2771 Год назад
No peace for the wicked May his soul rip
@tonykibwana426
@tonykibwana426 Год назад
Waluhya na wivu may the killers never see peace to hell all of them
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 Год назад
Yeyote alie shiliki kifo cha mtumishi wa MUNGU ilagosa hata baki salama katika jina la MUNGU
@essykenya970
@essykenya970 Год назад
May his soul rip it's so painful to be killed wth your people u trust most ,ooh this man hed true love to ilagose the pain in his eyes tell it all take heart bro may those who kill ur friend (Dady) never see peace it shall be well🙏🏽😭
@silverwambui3214
@silverwambui3214 7 месяцев назад
weeh i know this story is very true true...me myself my real blood brothers has been trying several times to kill me expecially my little brother come openly in my house to purposely to kill me in my house only GOD ALMIGHTY RESCUED ME In a mighty way.... today i could have died long time ooh .. please my people LOVE 💕 everyone but TRUST ONLY GOD 💯💓.
@jaberjohn7556
@jaberjohn7556 Год назад
You can tell the pain in this guy. The pain is real. Like it’s real.
@mariahlukaku
@mariahlukaku Год назад
Aki this is bad wlai kwanza hiyo part yaa mchugaji 😭😭😭😭
@lennicenamwenya-fh2zx
@lennicenamwenya-fh2zx Год назад
Be strong man,for whoever did God will be punish him or her
@emadoreennyambane7652
@emadoreennyambane7652 Год назад
Sure u can even feel it
@daughterofzion135
@daughterofzion135 Год назад
God have Mercy on Prince, Usikule kitu chochote kutoka kwa mtu Please🙏
@keziaakaliche4802
@keziaakaliche4802 Год назад
May God protect you brother, unatoboa siri ya marehemu,ambapo nihatari kwa muusika.
@oslominiconcerts3538
@oslominiconcerts3538 Год назад
They ended up killing one of the best that Kenya ever produced🤭
@nancynjeri9158
@nancynjeri9158 Год назад
Mshwahili akasema kikulacho kinguoni mwako.pia Mimi my sister na my mum niadui zangu baya sana hata sijui dowry nitapelekea akina nani.
@maryisiji
@maryisiji Год назад
Rest In peace illagosa wa illagosa
@RamDee_TV_Kenya
@RamDee_TV_Kenya Год назад
Hello Nancy. Sorry to hear this, may Lord save you from the mental anguish you're going through. You can reach us through 0113831059 we have a lengthy conversation with you. Be blessed.
@virginiambuvi5534
@virginiambuvi5534 Год назад
Hiyo ni spiritual just pray dear ..PATA usaidizi
@RamDee_TV_Kenya
@RamDee_TV_Kenya Год назад
@@virginiambuvi5534 we have started the process of healing and prayers. Watch this video about that counseling session. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE--smXSami2dk.html
@roseandia458
@roseandia458 Год назад
Wa mungu akusaidie Sana Clyde kila uendapo usiogope binadam mungu pekee ...then mtu kupata kusaidie ili atlst uinue Ur songs sijui unapatikana vipi na Si kW ubaya
@CarolynKatoto-mi4cj
@CarolynKatoto-mi4cj 11 месяцев назад
Mungu akulinde ilagosa ukiwa uko mbiguni.wenye walikuuwa walaaniwe in Jesus name.
@selphame6857
@selphame6857 Год назад
Very good and honest explanation. God bless him.
@jecintaotieno4541
@jecintaotieno4541 Год назад
Huyo mwanamke aki ni shetaniii kabisa sasa ukumu ya ,Mungu iko juu yake
@princejose431
@princejose431 Год назад
Chunguza Marafiki
@lindawakoli8597
@lindawakoli8597 Год назад
Naskuku huyo poster mwenye mlienda kukunywa chai jioni
@evelynmumia5246
@evelynmumia5246 Год назад
True,Kuna wengine wanafki sana
@prosperlilian1371
@prosperlilian1371 Год назад
Praying your heart heals and allow illagosa's soul rest in peace
@essykenya970
@essykenya970 Год назад
Ope this man is safe hatutaki kusikia amepotea au kufa kwakutoa hu ujumbe pls confirm that may God fight for innocent they will never see peace
@anittayulemchungu6712
@anittayulemchungu6712 Год назад
That woman could have gone to Fida instead. I guess brother is after his wealthy. But the pastor jamani
@everlyneamwayi
@everlyneamwayi Год назад
Lakini si kwa ubaya but mbona upewe sumu mara tatu shually mm mara moja imetosha nkue careful hata na mtoto nimezaa wuee😭😭😭 continue resting in peace sammy till we meet again
@irenesongwa5147
@irenesongwa5147 Год назад
Pastors, a beg? What are this we are hearing kwa media jameni wachungaji? If this story is true? Pastors means you are leading pple to hell, mutakuwa kuni ya kuchoma waumini, pliz Pastors leaf pple to heaven not hell, Na kwa hayo machache, l have choosen not to go to church, couz Pastors have become heartless and wickedness, period.
@davidnyukure2584
@davidnyukure2584 Год назад
This is bad,,,,how come on earth men of God do this to Son's of Men..May the Great Lord punish them in the mighty name of Jesus Christ
@irenesongwa5147
@irenesongwa5147 Год назад
@@davidnyukure2584 Amen khandi.
@paulysutsiey649
@paulysutsiey649 Год назад
They are not leading anybody to hell wataenda pekeyao
@catherinewangari715
@catherinewangari715 Год назад
U can't know them unless u be close to the pastor are evil
@NanaNanoos-ct3jx
@NanaNanoos-ct3jx 10 месяцев назад
Wewe ndugu usimuache Mungu kwa sababu ya mwanadamu yeyote😢😢😢hakuna shortcut kwa Dunia hii njia ni kumfata tu Yesu Christo 💪💪💪💪 heri wewe ulikua na baba alikuonyesha njia...fata Yesu juu hao wachungaji pia ni wanadamu tu wanamtegemea Mungu kama wewe😢😢😢 cha muhimu Omba Mungu Akupe baba mwingine mlezi wako kihudima na usonge mbele katika Katika Wokovu😢😢😢😢
@Kaseekamwana
@Kaseekamwana 10 месяцев назад
Ahsante sana kwa mawaidha yako. Ubarikiwe sana.
@roserosee5410
@roserosee5410 Год назад
Mungu akulinde ndugu🙏🙏is very painful real
@janenelima5191
@janenelima5191 Год назад
Madugu wengine n wajinga sanaa, pastor n kuni wamejificha kwa church , rip man of God llagosa tutamis nyimbo zingine ambazo ungetoa mbeleni
@Nelson-r8w
@Nelson-r8w 8 месяцев назад
Very painful.
@frachiaanjere3125
@frachiaanjere3125 Год назад
So painful and heartbreaking story
@paulineatito2161
@paulineatito2161 Год назад
Be strong bro, whoever did may lack peace RIP
@johnserem6013
@johnserem6013 Год назад
i wish I was a lawyer
@Margaret-c8x
@Margaret-c8x 4 месяца назад
Adui wa mtu ni yule wa nyumbani mwako
@susannaikuni8595
@susannaikuni8595 Год назад
Ramdee wewe ni mkali ...inauma sana Mungu akupiganie Rest in peace dearly ILAGOSA
@ramseykigwa4659
@ramseykigwa4659 Год назад
Nashukuru sana,ubarikiwe🙏
@manassehmudanyi8026
@manassehmudanyi8026 Год назад
Typical Maragoli analogy of any death
@queengravin5671
@queengravin5671 Месяц назад
Oh my God be strong always
@jescahpilisi1389
@jescahpilisi1389 Год назад
So sad, may God judge them😭😭
@ruthndunda7
@ruthndunda7 9 месяцев назад
You received a death threat and kept quiet,you should have reported to the police because you had the evidence in your phone. You wasted time that would have saved Ilagosa
@FaithMatingae-eb8tn
@FaithMatingae-eb8tn Год назад
Painful
@Jasirembe
@Jasirembe Год назад
Crazy world
@chosenemmanuel
@chosenemmanuel Год назад
Excuse us, si pastors.....I think ni pastor and remember false prophets are really, there are remnants (true servants) of God. May God bless you all
@RamDee_TV_Kenya
@RamDee_TV_Kenya Год назад
Then that pastor is fake, most of these pastors hide in the gospel. He said pastors because he's a number of pastors and he requests all pastors to forgive him.
@nyamburaann4468
@nyamburaann4468 Год назад
ADC church+PAG churches.wao Dio upeda poisoning other.iyo Dio nimekuwa nikiskia nikiwa western.even idint use to go to church.at All 😭too painful 😭😭😭😭😭
@mercynaliaka8129
@mercynaliaka8129 Год назад
Ukweli kwa pag umenena
@paulysutsiey649
@paulysutsiey649 Год назад
So true, hujadanganya.
@reubzdullahboymusic685
@reubzdullahboymusic685 Год назад
So sad 😭😭😭
@kingspalacetv1
@kingspalacetv1 Год назад
Great
@blessedmalilo5965
@blessedmalilo5965 Год назад
Watu wa kanisa waogope Sana,I was almost poisoned Na pastor Kule Nakuru just because niliongea Na mzungu mmoja from the others who had visited Kenya....weuh,ogopa Sana when pastor's wanakua Na wazungu kutoka nje to sponsor them......weuh
@ronaldcheruiyot92
@ronaldcheruiyot92 Год назад
Hii Dunia my friend n kutulia
@oslominiconcerts3538
@oslominiconcerts3538 Год назад
This is soooo hurting!!!!!
@Nobela-Luna007
@Nobela-Luna007 Год назад
Pastor soon titakujua tu
@emadoreennyambane7652
@emadoreennyambane7652 Год назад
Whoever who did that plz fans tunakupmbea mabaya,,u r walking dead,,,uteseke zaidi kumliko mtumishi,,,rip young legend
@dorothystone1848
@dorothystone1848 Год назад
Sikuelewa
@emadoreennyambane7652
@emadoreennyambane7652 Год назад
@@dorothystone1848 haii na vile Iko direct mamaa
@winrosenekesa5251
@winrosenekesa5251 7 месяцев назад
I would like to tell people that hata uue mtu hauwezi pata akili na skills zake jamani, tupendane tu please
@AswanClifton
@AswanClifton Год назад
Yeyote alihusika na kifo chake ilagosa wasipate amani ndani ya jamii yao vizazi zao hata na watukuu wote in jesus name
Далее
ILAGOSA NA MURITHI
2:56
Просмотров 2,2 тыс.
A Detective Tricks Guilty Suspect Into Confession
20:08