Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web... Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Hapo. Hakuna mapenzi peee tu Jua Ni maslai km hujui outside huyo Dada anajulikana km successful na. A kuwa km MFANO but behind all success we know kumbe yupo huyo bester 😁😁😎 Hakuna mwanamke anakaa au Ana associated na criminal man without to know wht she will benefit
Yani wewe mtangazaji uko na kipaji kubwa sana. Na fuatilia story vizuri na na kuelewa kabisa. Yote unasumulia ni kweli kabisa kufuatana na sources apa Africa ya kusini. Nakuomba uendelee na kazi nzuri uko nafanya ku julisha jamii nini inaendelea. 🇿🇦🇨🇩 Apa Johannesburg 5/5
Hii ni level gani love🤔 najaribu kufkria nashindwa yani mdada kapigania penzi la mtu ambaye ni muuaji ...na akatelekeza had watot wke wa kuzaa mwenyew kwa uchungu ksha kusepa na muuaji aseeeh jamaa alkuw anamp mapenz ya aina gan huy dad mpk ajitoe kias hk🤔 nyie daah kweli wanawake ni hatari
Kama ameweza penya gereza hatari la huko South huko Arusha si atatoroka na majengo yote wafungwa wote na askari magereza wote watakaowepo zamu siku ya mkakati !?
Kwahyo jikoni wenzake wanapoandaliwa chakula....yeye kaenda kuhifadhia maiti....yani kama kuna mtu alitibiwa na huyu dada na akapona akatoe sadaka ya shukrani.....watu tunachoma nyama za ng'ombe. Mbuzi yy anachoma maiti dah
Ni hivi Mwanamke Amebarikiwa sana na Mungu ni Mama zetu ila Roho ya Mwanamke ikigeuka inakuwaka mbaya mara mia moja ,ni bora ukutane na Simba na sio Mwanamke ambaye Roho yake imegeuka .
@@vanessalaizer4363 yani veee we acha tu kuna miovyo hutia huruma sana na ndio hubadilika vibaya now had nikiswali namuuliza mungu wangu ivi ni mimi yule ila kwa ajili ya waja mahusiano ndugu marafiki acha tu
Hii ishue ya hawa watu inahusisha watu wengi hawezi kufanya hayo yote peke ake bhana ndo maana mambo yalikua yanakua mepesi kila anachoamua kufanya kinapita fresh ila hapa ndo naamini alosema za mwizi arobaini😅😅
Yani nilipoanza kuisoma hii story nilijua TU mwanamke naye muuwaji na anaroho ya ukatili! Daaah ama kweli mapenzi upofu na usomi wote huo jmn eeeh Dunia yetu inamaajabu Sana!
@@emmalyanga3726 usije kujidanganya Sehemu ya kijijini ukifika hata mtu wa mjini unajulikana mapema sana so haiko rahisi! Pia singida sio Porini kama unavyohisi
Yani walikosea kitu kimoja uyo dada walipomtorosh mpnz wak si angeend kumfanyia surgery ya kubadilish sura Wala wasingewez kufahamik yeye ingkuw Siri Yao kuw uyo thabo lakin anasur INGINE ni mawaz yang TU
Mmmmh haya majina ya akina thabo ni tabu tupu si ndio km akina thabo mbeki😢😢 huyu mwanamke hapana ndio alikuwa na kazi ya kudhurula na maiti ili amtoe muuaji walah kwa akili yangu angeozea jela tena mbakajiiii ina maan kanisaliti waziwazi hiyo nguvu ya kuiba maiti ningezitolea wapi mimi..😢😢😢nyie wanawake sisi tukipenda tunakuwa km vichaaa....cha mwisho Tanzania iweke kwenye historia ya afrika ya kusini maan tumemsaidia kuwakamatia majambazi wao😅😅😅
Utasikia watu eti waacheni sijui wanawaza vitu gani weukikamatwa nchi zawatu umefanya kosa mungine ukimbilie uko ukikamatwa kwanza utajuta yani tuache watu waishi nchini wanaatari hizi bora mtu ambae ujamjua lakini ushasikia matukio yao yanaogopesha eti waacheni kivipi mnataka wajewawapige matukio nanyie ndio mfrah acheni selikar ifanye kazi yake
Huko gerezani walikua wanashirikiana na nani mpaka kufikia kuchoma moto? Hii inaonekana Kuna watu wengi nyuma ya pazia pengine ata watu wa magereza wanahusika
Ni hajabu sana kutengeneza mambo yote hayo mazuri na yakuvutia katika maisha unakuja kuyaharibu kwa sekunde duuh inasikitisha sana , huyo dada sijui aliwaza nini kuwa na huyo kaka