Jela Ya Muda Jamhuri
Je, ulijua kwamba kutupa ovyo karatasi jijini Nairobi, kurandaranda na pia kupiga mayowe kunaweza kukupatia tiketi ya kufungwa jela kwa zaidi ya miezi sita? Naam, habari ndio hii kwani gereza la Jamhuri hapa jijini ambako wafungwa wa muda mfupi huzuiliwa ndiko mahala ambapo tulikutana na waliofanya makosa kama haya, na sasa wanatuhadithia maisha katika gereza hilo.
16 сен 2024