Bima ya afya itaendelea kuwa tatizo unless tunaanzisha mfuko wa afya kama ilivyo mfuko wa barabara maji REA nk. Shabiby alitoa wazo zuri la tozo lakini kwa ajili ya maslahi au kelele za wanasiasa wasioitakia nchi mema wakasikilizwa badala ya kusoma hisia za Wananchi. Ilipoletwa tozo ya REA tungesikiliza kelele za wachache kwenye mitandao tungekuwa Bado umeme umekwama sehemu chache tu. Magufuli alifanikiwa kwa kusikiliza shida za umma mpana. Watu wakiwa nyuma yako kelele za wachache walioshiba zisitishe serikali.