Тёмный

Jeshi Inalipa PESA NGAPI Huku Yukei? 

Huku Yukei
Подписаться 2,7 тыс.
Просмотров 12 тыс.
50% 1

NO INSTAGRAM ACOCUNT.
▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬
*** 🍍MY SOCIAL LINKS🍍 ***
Channel Instagram: www.TIKTOK.com...

Опубликовано:

 

24 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 72   
@harunmwangi3928
@harunmwangi3928 3 дня назад
Content safi
@g.r.e.a.t.G
@g.r.e.a.t.G 2 дня назад
Great advice bro hapo umenichanua 👊🏾
@hassanashur8077
@hassanashur8077 3 дня назад
Katika maoni yangu ku vape au kunywa huwezi maliza hata 10k za kenya lakini kitu inarudisha nyuma watu ni ladies wananyonya wanaume mbaya na kwa ajili love imeshika unajikuta same people mulioanza nao.maisha wako mbele sisi wakati sisi hata hakuna foundation yyte nzuri tumefanya .. anyway, I'm new here na nimependa video zako ziko educative
@casillascicero7944
@casillascicero7944 2 дня назад
Have you heard of one way ticket? tukitoka Kenya ndio ivo, Kenya is a holiday destination😆
@patriciamugo5444
@patriciamugo5444 3 дня назад
Wonderful advice bro. We perish for luck of info.
@kezsammy3742
@kezsammy3742 День назад
Hi Tim...good job you are doing God bless you big time
@onesmusolumula8212
@onesmusolumula8212 3 дня назад
This is nice Bro thanks alot for sharing this bana so informative.
@benardwambua1536
@benardwambua1536 3 дня назад
Nice content na mzee hakidai kukuja huko protocol ni gani
@PaulMwangi-yy3kz
@PaulMwangi-yy3kz День назад
true to that we come with our friends hapa and pombe, ladies na vape zimewaharibu plus iphone za kulipa mdogo mdogo
@maxwelmurimi1137
@maxwelmurimi1137 3 дня назад
Thanks kwa hizi ujanja Tim
@johnwanjala4311
@johnwanjala4311 4 дня назад
Love it bro best of luck
@Mr_Lionize
@Mr_Lionize 2 дня назад
Amazing content bro 🙏... Subscribed
@TWDOFFICIALke
@TWDOFFICIALke 2 дня назад
keep going little brother hata Marwa alianza hapa tu now a big deal i trust you
@marcooos9874
@marcooos9874 День назад
You should've done more on living expenses. Weh after rent umeenda straight to sherehe.
@jonahsammy9317
@jonahsammy9317 2 дня назад
very nice content man .....mimi ni ko 30years natak kujoin jeshi huko is it possible
@ricksgaming5548
@ricksgaming5548 4 часа назад
😄😄😄 Bluemoon ziliendaga wapi
@antonykaranja5471
@antonykaranja5471 3 дня назад
Thanks for the information 😊
@ceasarkimeu1766
@ceasarkimeu1766 3 дня назад
67pounds ni 11,500Kes
@njiruroy6976
@njiruroy6976 2 дня назад
He's just doing an equivalent of how cheap that is rent without any conversion
@ceasarkimeu1766
@ceasarkimeu1766 2 дня назад
@@njiruroy6976 It's what I'm saying he mistakenly said one thousand
@njiruroy6976
@njiruroy6976 2 дня назад
@@ceasarkimeu1766 The comparison he made is correct. Paying 67 GBP in terms of rent in the UK is like paying 1000 shillings in terms of rent in Kenya. A studio apartment (bedsitter) goes for around 600-900GBP_ so you can imagine paying 67GBP as rent _
@philipchania6342
@philipchania6342 День назад
​@@ceasarkimeu1766one thousand per month, multiplied by 12 months.......
@KENYANQUEENOFFICIAL
@KENYANQUEENOFFICIAL День назад
Nipitieni ​@@njiruroy6976
@jamesmuchirinjoroge8647
@jamesmuchirinjoroge8647 3 дня назад
Shukran kutuchanua
@taiboiomasete5293
@taiboiomasete5293 День назад
Bro ulimake decicion poa sana, Joining the Military is also my dream, either UK ama US, Najua ipo Siku 🙏🙏🙏🙏
@FORM_NI_NZAKU
@FORM_NI_NZAKU 3 дня назад
💯💯
@Kaka64331
@Kaka64331 3 дня назад
Hi mtu ako disability kiasi anaweza jioni any department yoyote ya jeshi ....
@Kaka64331
@Kaka64331 3 дня назад
Or maybe your thoughts to maneuver govt jobs huko Eu
@teshignatius
@teshignatius 3 дня назад
Big up
@ericwaweru9668
@ericwaweru9668 3 дня назад
content iko poa sana👍🏾
@felixmogendi8881
@felixmogendi8881 2 дня назад
Mkuu nilishaapply ,Niko Kwa iyo stage ya reviewing medical review na imetickiwa green alafu apo Kwa meet or chat iko red
@alexandermilanzi9860
@alexandermilanzi9860 День назад
Ulitumia sehemu gani kuomba???, na unatakiwa uwe na nini na nini ili kuomba?
@felixmogendi8881
@felixmogendi8881 День назад
Unaenda tu Kwa portal yao
@grand_master2174
@grand_master2174 3 дня назад
Mjei ni Wasee wa mjengo,😂
@kennedykisiangani3391
@kennedykisiangani3391 3 дня назад
Bro ... Alafu bro would you advice for someone to do LPN in the UK or USA . Is it worth it to do it in USA for example. ?
@anthonykinuthia9201
@anthonykinuthia9201 4 дня назад
Nice advice
@kayquan9072
@kayquan9072 3 дня назад
Kumbe wewe ni legend wa Blue moon. Tuko wengi. Una chapa mzinga mbili one night na bado kesho ni wera... ama una chapa beer kama 10 daily from friday to monday na bado monday ni works.... 😂
@Proches91
@Proches91 День назад
Sisi damu yetu inachapa mzinga na wera kama kawa
@samuelmuchiri1329
@samuelmuchiri1329 3 дня назад
haha yaani umeanza kuongea story za pombe ukaanza kumeza mate afta every 5 seconds..😂😂😂😂
@sponsalfathedj8177
@sponsalfathedj8177 3 дня назад
True 😂
@focaljazz
@focaljazz 3 дня назад
Na healthcare na upkeep ya family
@onesmusolumula8212
@onesmusolumula8212 3 дня назад
Then brother kindly I have a question on how to make a CV or resume for one to be shortlisted for an interview am a chef by profession
@hukuyukei
@hukuyukei 3 дня назад
Will make a video for that
@onesmusolumula8212
@onesmusolumula8212 3 дня назад
Thanks brother for that you will help alot hapa Na mm pia please do that we will appreciate Sana.
@thetraileraviatorguy
@thetraileraviatorguy 3 дня назад
Hey Timo is this your new RU-vid channel or what's happening..?? I thought I had subscribed before
@hukuyukei
@hukuyukei 3 дня назад
i have many channels about different topics and names.
@thetraileraviatorguy
@thetraileraviatorguy 3 дня назад
@@hukuyukei tich maler Omera
@Arsenal_Memories
@Arsenal_Memories 2 дня назад
Food ni free
@kefene
@kefene 3 дня назад
na unaeza pata weed easily?na kama how much per gram
@Semayoteyote
@Semayoteyote 8 часов назад
Bro connection iko??
@sponsalfathedj8177
@sponsalfathedj8177 3 дня назад
Chukua loan ujenge home 🙏🏽
@kevetions
@kevetions 3 дня назад
My cousins just joined there Nick and Timo let do you know them?
@michaelkakuli3194
@michaelkakuli3194 3 дня назад
I tried but they needed a referral..I hate it now.Ilinivinja moyo sana.Sikujua mtu....nilienda mpaka Nanyuki wakaniambia siezi ona soldier huko...mpaka nikuwe namjua.
@oparfriedrich
@oparfriedrich 2 дня назад
Kwani haujui bar penye ziko, hiyo pesa uendee kulewa haungekosa mlevi mmoja ako na information
@ibrahimwachira5679
@ibrahimwachira5679 3 дня назад
Niliacha umechange jina
@felixmachimbo909
@felixmachimbo909 3 дня назад
Do the British citizens also get this salary or it's just for Commonwealth members..no wonder wazungu hawaipendi Haina doh vile unless hio doh uitume Africa
@hukuyukei
@hukuyukei 3 дня назад
Kila mtu ni same salo hata wazungu, but kuna extra stuff unafanya unapewa mabonus
@davidw.4524
@davidw.4524 2 дня назад
Vipi im 33 years and coming soon for assesment hapo Litchfield, already got visa. However i have some white hairs, ni kitu iko kwa family yetu. can that prevent me from passing or being selected?
@hukuyukei
@hukuyukei 2 дня назад
Zi bora uweze kukimbia na pressups/pushups utakuwa sawa, im 32
@davidw.4524
@davidw.4524 День назад
@@hukuyukei Poa .
@edgeroba6185
@edgeroba6185 День назад
alla si african expat
@benjaminouko7407
@benjaminouko7407 3 дня назад
Timo mtu anaweza join at age 45
@steveteller8375
@steveteller8375 3 дня назад
Niko 27 years bado niko eligible kujoin jeshi huko?
@benjaminouko7407
@benjaminouko7407 3 дня назад
Age limit ya ku join BA
@wambgu1
@wambgu1 3 дня назад
Na waresh je? Hiyo si pitfall ingine? Kama vile walichangamkia Emmanuel Eboue?
@ngashdaniel254
@ngashdaniel254 3 дня назад
Is it easy to apply for work while in Qatar brother
@brianarunga4457
@brianarunga4457 2 дня назад
Yeah kitu ngumu ni kupata host address 🤦‍♂️
@SamuelMakau-v3g
@SamuelMakau-v3g 4 дня назад
bro how can i came
Далее
Niliingia Jeshi HUKU YUKEI Kufanya Kazi Ya Mjengo
14:56
When Players Sacrifice for Team ❤️
00:32
Просмотров 8 млн
MUCHENE GUKU AMERICA
12:22
Просмотров 2,2 тыс.
The Devil In The Medals - Headline Hitters 9 Ep 1
37:37
Feeling rich in Nairobi
16:53
Просмотров 1,3 тыс.