Hii vita si yakufurahisha isipokuwa tunahitaji tufanye maombi vita hivi visite mara moja. Badala yakujenga imani yakuiacha vita hii kuna wanaohisi wanatwaa ushindi kwa upande wao, na upande wapili unageuka kuwa pandikizi lauadui nauhalifu wakudumu zaidi duniani.
Binafsi huingia katika channel hii kila baada ya dakika 5 kutizama kama kuna jipya hasa kuhusu mambo ya siasa za Magharibi na habari pia zinazohusu mashariki ya kati pamoja na magharibi
ALLAH atujalie pope ya daraja ya juu kabisa akujaalie kuwa jirani na kipenzi chetu MUHAMMAD s.a.w. inshaAllah 🤲🏿 umekufa ki shujaa mwenye kupambambania Ardhi yako na hii jihadi kwako
@@georgekimasaofficial1629ni sahihi lakin hapa hakuzungumzia issue ya Mashia wala Masunni na ikumbukwe kwamba Gaza asilimia kubwa ni Masunni lakin baado wanaungwa mkono na kusaidiwa kwa asilimia 💯 na Mashia ambao ni Iran, ikumbukwe tu wazi kwamba hawa ni MASHAHID, ambao wanakufa kishahid, nando maana ya shahada huyu anapigana vita na Israel hapa ni mas-ala ya kiimani tofautisha kati ya Iman pamoja na Dhehebu.
😂😂😂 huyu Mohamed S. a.w aloozea hapo Madina ndio awe kirani ?? hakiaMungu loo! Hao eafu kama wafu wengine hakuna Cha mtume Mohamed Wala Sinwar Tena huyo ndo chanzo Cha yote hayo et ameagiza ooh watu wapgane jihad mpaka kufa kwa akili ya Allah 😅😅 .. yeye mwenyewe kafiri mkubwa Cha moto anakiona huko kuzimu .. ulionana wapi binadamu anampigania au kumtetea Mungu.. mfunfisho yanasema Mungu ni mtoshelevu.. haitaji msaidizi yoyote 😅😅.. we Leo hii et unashika mapanga kuua watu kwa akili et Mungu kakejeliwa ooh mara unaua kafiri 😅😅 hio sio kazi mwanadamu ni lkazi ya Mungu mwenyewe.. haya ngoja apeweabikra 72 wa utapeli huko wanakopewagwa.. duu Imani zingine mtanosamehe 😅😅
Unajua! Usichukulie poa! Hizi ni nyakati mbaya! Bibilia ilishatabili miaka 3000 ilopita, kua nyakati za mwisho! Taifa dogo Israel,,kulipiga taifa kubwa,,! Parestina,, kumbuka kua Israel na parestina ni wazariwa mapacha. Parestina ni kulwa na Israel ni doto.
Allah ndiye alimuuua kwani damu za watoto na wanawake wasio na hatia ndiyo hukumu yake imefika. Mungu ibariki Israel na kubariki watu wako, Utukufu na heshima Uwe kwako ewe mwenyezi Mungu mola mtukuka
We James shoga ni babaako taira kabisa unamtukanaje mtu bila kosa lolote kapime akili wewe sio mzima na bibilia ilishasema atakae ibariki Israel atabarikiwa kwahyo hata muichukie vipi Israel itabaki pale pale na maadui wa Israel wataangamizwa ni muda tu
Moja wapo wa kibarua tulicho pewa na mwenyezi sisi wanaume ni hali utakayo kuwa nayo ule wakati wakukata roho utakuwa katika hali gani mtu yuko vitani anapigania wajuu zake waje kuishi vyema wengine wakutwa umauti wakiwa wanapakwa mafuta ili kubadilisha jinsia tusaidie puttin haijalishi watakufa kiasi gani kufa katika mapigano yakupinga uasi katika aridhi yako ni ushindi
Mbona historia inainuwa mboni ili kuruhusu machozi, amini waarabu hawapendwi gadafi kauwawa kama hivyo ona na huyu kifo chake vyafanana ,gadafi alisema msiniuwe sina hatia 😭😭,walimuuwa
Unajua shida yetu wa bongo hawa jamaaa wanapigana sisi tunawaoneaa huruma sababu moja ni ya kidini lakini hawa jamaa ni wabagudhi mno kwa ngozi nyeusii sio murabu sio mzungu nyie ambao hamjatembeaa ndio mnawependa hawa jamaa ila sisi tulio Tembeaa wa Jomba sio poa nyie mnaooo bishana hapa hamna kazi za kufanya
Ulichoandika kina maana gani kwahiyo mtu kama wewe utawaonea huruma mashoga,kama ulibaguliwa na mzungu ndo unataka kutuambia nini kwenye hoja yako,kama ulibaguliwa wewe sisi inatuhusu nini,nenda kaungane na p Diddy,watu wanakutana wewe unaongea pumba
IDF 828 DISLAMETCH BRIGADE NDICHO KIKOSI KILICHO MU UWA YAHYA SIN WAR aisee SNS MNA CHAMBUA KWA KINA NINYI NI HATARI MNOH KWA UCHAMBUZI nathubutu kusema hamna kama ninyi 👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪 🎙️🎙️🎙️🎙️🎙️🎙️🎙️🎙️🎙️🎙️🎙️
Siku 39 baada shambulio la october 7, sinwar alifanya interview na bbc, je bbc walipataje access ya kuongea naye akiwa kwenye mahandaki? Ndugu bundara tusaidie kidogo hapo.
Unaongea ujinga wakat yeye ndio aliepanga mauwaji ya October 7 wakabaka wakachinja watoto wakateka wamama mpaka maiti zikabakwa kafieni mbali na hilo gaidi lenu
Et kama mkimbizi jmn hiz propaganda an kuna kila dalili za kufichwa mambo mengi na kuna kila dalili za uongo ili kudhalilisha watu wa upande mmoja na kuwapamba wa upande mwngine😂😂 mtu kafia kwny uwanja wa mapambo na hatujii ni nn kmewatokea na wao kweny hayo mapambano ya kumuua coz wanaficha mno kuuawa kwao😂😂J
@@ce-08 Bila shaka nitakwenda wala hatuwezi kulumbana kwenye hilo ila kufurahia vifo vya watoto, waze, kina mama iwe upande wowote ule hio ni zaidi ya uchawi