BWANA YESU asifiwe.
Unapookoka, unapewa na Mungu uwezo wa kufufua mambo yaliyokufa. Katika maisha tunayoishi hapa duniani, kuna vitu vingi vinaweza kufa, au kuuliwa. Kwa mfano:
1. Zipo biashara zilizokufa
2. Zipo ndoa zilizokufa
3. Yapo maono na ndoto zilizouliwa
4. Vipo viungo kwenye mwili wa mtu vilivyokufa, n.k.
Sasa, ndani ya somo hili, utajifunza mbinu ya kukusaidia kufufua mambo yaliyokufa kwenye maisha yako. Karibu, na ubarikiwe na BWANA YESU. Amen!
Maombi/Huduma (+255 745 76 45 72) (Email: knowingthekingdom@gmail.com)
9 окт 2020