Jinsi ya kupata Melodies nzuri za Beat kupitia Fl Studio Nimejaribu kuuelezea Mbinu tofauti tofauti ninazozitumia mimi kupata melidies nzuri pindi nitengenezapo beat
Una deserve tuzo ya heshima. Kila nikifuatilia tutorials zako matumaini yangu ya kuwa mtayarishaji wa muziki yanaamka na kuongezeka, Mungu akubariki na akusimamie.
broo mungu akubariki sana umenitoa kwenye zero mpaka hero saivi namiliki hela kwa kupitia tutorials zako ipo siku ntakulipa juu ya hichi kaka angu ilove una naamini iposiku tutakutana stay waiting for meeting
hakuna mtu anaeweza kukulipa wala kushukuru ikafanana na unachokifanya kwa niaba ya watu wengi saaaaana.....we nisababu ya mafanikio ya watu wengi sanaaaaa bro
Bro samahan mm nafuatilia sana hz tutorial zako ila nashindwa jinsi gani ya kudownload vifaa through internet.... So unaweza ukanielekeza au ukanitumia some of the instruments plz
Uko vizuri sana lakini ninaomba kama itawezekana nipate tutorial inayofundisha kupanga key Aina mbalimbali katika FL maana asilimia kubwa naona tu natumia key c tu kama itawezekana naomba unichek whatsap 0745262820