Mahitaji :
Maini ya n'gombe 1.5 Lb/ 680gms
Kwa kuroweka
Unga wa giligilani - kjk 1 cha chai
Unga wa bizari nzima kjk 1 cha chai
Pilipili ya unga nyekundu - kjk 1 cha chai
Pilipili manga ya unga - kjk 1 cha chai
Chumvi kiasi
Kitunguu thom na tangawizi mbichi - kjk 1 kikubwa
Maji ya ndimu au limao
Mafuta ya hali zetu au yoyote ya kupikia - kjk 1 na nusu
Mahitaji ya mchu
Mafuta ya kupikia vjk 2 vikubwa
Vitunguu maji vilokatwa kiasi kikombe 1
Tomato zilokatwa kiasi kikombe 1
Bizari ya nzima (uzile) ya unga - 1/2 kjk
Bizari ya unga wa giligilani - 1/2 kjk
Kitunguu thom na tangawizi mbici - vjk 2 vidogo
Pili pili boga za rangi - kama utapenda
Majini ya dhania/kotmiri kwa mapambo kama utapenda
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas www.youtube.co...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
www.instagram....
Music courtesy / contemplative-middle-e...
This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world
14 окт 2024