Тёмный

JINSI YA KUPIKA MAINI YA N'GOMBE MALAINI - KISWAHILI 

Aroma Of Zanzibar & Beyond
Подписаться 245 тыс.
Просмотров 730 тыс.
50% 1

Mahitaji :
Maini ya n'gombe 1.5 Lb/ 680gms
Kwa kuroweka
Unga wa giligilani - kjk 1 cha chai
Unga wa bizari nzima kjk 1 cha chai
Pilipili ya unga nyekundu - kjk 1 cha chai
Pilipili manga ya unga - kjk 1 cha chai
Chumvi kiasi
Kitunguu thom na tangawizi mbichi - kjk 1 kikubwa
Maji ya ndimu au limao
Mafuta ya hali zetu au yoyote ya kupikia - kjk 1 na nusu
Mahitaji ya mchu
Mafuta ya kupikia vjk 2 vikubwa
Vitunguu maji vilokatwa kiasi kikombe 1
Tomato zilokatwa kiasi kikombe 1
Bizari ya nzima (uzile) ya unga - 1/2 kjk
Bizari ya unga wa giligilani - 1/2 kjk
Kitunguu thom na tangawizi mbici - vjk 2 vidogo
Pili pili boga za rangi - kama utapenda
Majini ya dhania/kotmiri kwa mapambo kama utapenda
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas www.youtube.co...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
www.instagram....
Music courtesy / contemplative-middle-e...
This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 522   
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
IF YOU WISH TO WATCH THIS RECIPE IN ENGLISH PLS FOLLOW THIS LINK ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-fyxN4P9f7d4.html JINSI YA KUPIKA MKATE WA KUSUKUMA ( CHAPATI) ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-ke92xZiScjQ.html
@hamidurashida7834
@hamidurashida7834 6 лет назад
Aroma of Zanzibar Allah akuzidishie
@fatimafatima849
@fatimafatima849 6 лет назад
البحث
@ABCDEFG-li2qn
@ABCDEFG-li2qn 6 лет назад
May Allah bless you Sis.
@dolladollla8038
@dolladollla8038 6 лет назад
Aroma of Zanzibar
@christinaandrew9829
@christinaandrew9829 6 лет назад
swahili gospel
@Mapishirahisi
@Mapishirahisi 6 лет назад
Masha Allah recipe nzuri😋❤
@halimamshami3279
@halimamshami3279 5 лет назад
MashaaAllah huu ni ujuzi mpya nimejifunzaa Allahibariqfii habibbty
@joykamotho3590
@joykamotho3590 5 лет назад
Hi,i really love watching your cooking your explanations are very clear.
@denniswere5007
@denniswere5007 5 лет назад
diamond songs
@princesspriince1376
@princesspriince1376 6 лет назад
MashaAllah Tabarakallah... leo ndo nimejua Mapishi ya Maini yana wenyewe. Miaka yangu yote leo ndo najua Maini yarowekwa na Maziwa Siki ama Ndimu kutoa Uchafu na wa ndani.. shukran sana Allah Akujaze
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Shukran, Amin kwetu sote
@ramadhanimakange9766
@ramadhanimakange9766 5 лет назад
Woow lovely,One day will try this JzkAllah khair
@ashasefu8001
@ashasefu8001 2 года назад
Mashallah dear napenda sana kuangali mapishi yako na leo nitapika naamini itakuwa tamu sana allah akuzidishie
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 2 года назад
Shukran dear Amin
@salihariyaz1273
@salihariyaz1273 6 лет назад
Ma shaa Allah.....lazima nijaribu hii aina ya upishi. Nnavyopenda maini si kwa udenda kunitoka!😚😚😙
@juliethurio6840
@juliethurio6840 4 года назад
Asante sana kwa video yako nzuri mrembo
@Noorabdulrahman-x1d
@Noorabdulrahman-x1d 6 месяцев назад
Mashaallah nimependa
@mamalakia7157
@mamalakia7157 5 лет назад
asante dada nimepika leo yamekua mazur pianakupenda sana kwakua najua kamasijaelewa nikikuuliza waweza nijibu shukran sana ndugu
@mohammedrashid9606
@mohammedrashid9606 4 года назад
Upishi wako ni mzuri sana kwanza unavutia machoni pili bila ya kula unahisi ni chakula kizuri sana ahsante aroma of zanzibar
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 года назад
Ahsante sana
@esterisaya.188
@esterisaya.188 6 лет назад
Waoooooooo Asanteeeeee sanaaaaaaaaaa dadake Tunashukuru sana nimefurahia pish la leo
@njeerysalum5862
@njeerysalum5862 6 лет назад
mungu akubarikii dada ukowapi angalauu unifundishee upishi wako naupendaa sana
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Nie nipo America
@soniafavoured9464
@soniafavoured9464 5 лет назад
Wooow very nice I love it!sikujua unaeza osha maini na maziwa evn dimu thanks sana will try this😛😛😝
@okukustephen2985
@okukustephen2985 5 лет назад
Bwana, hongera kwa mapishi matamu
@mariamhezoron6068
@mariamhezoron6068 4 года назад
Nikuerewa nzuri sana
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 года назад
Ahsante sana
@Mwonawangu
@Mwonawangu 6 лет назад
Somo yangu mzito mzito..... thanks for coming through with this. Mine were always tough....will try this soon in sha Allah
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Inshallah utapenda
@janetisaac7922
@janetisaac7922 5 лет назад
Nashukuru sana dada kwa recipe hii nzuri sana ya maini, ambayo sikuwahi kuipika, yaani jinsi ulivyoelekeza kwa kweli dada yangu wewe ni mzuri kwenye mapishi, yaani kuloweka maini kwa maziwa nilikuwa sijawahi lakini nilivyopika yalikuwa mazuri yaani yalinukia vizuri kwa viungo maridhawa pia hayakuwa na metalic taste kama hapo zamani nilipokuwa nikiyapika yaani yalikuwa lainiii. Kwa kweli tulifurahia na familia kwa wali wa nazi. Mwenyezi Mungu akubariki sana kwa kutuelimisha na akutunze kwa afya njema ili uzidi kutuelimisha
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 5 лет назад
Hongera kwa jitihada zako pia, nimefurahi kuwa umejaribu na umependa na kuona tofauti yake.
@roseindekhwa7637
@roseindekhwa7637 5 лет назад
Asante sana somo zuri naomba kujua siki ni nn na kingereza
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 5 лет назад
While vinegar
@shnellakate5673
@shnellakate5673 5 лет назад
woow sikua najua kma waroeka kwa maziwa na hzi method zote shukran
@siriyamwanamkemkakamavu
@siriyamwanamkemkakamavu 6 лет назад
Mremboooo wa mimi, nimerudi, tena kwa main mimi, aaaah umenikunaaa, asante sana Dada. Ubarikiwe.
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Karibu sana, ulipotea
@dianashija5674
@dianashija5674 6 лет назад
Yaaani Dada hongera sana Leo nimekula chakula kitamu sana barikiwa sana endelea kutupa maujuzi
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Ahsante sana, hongera pia kwa jitihada zako
@dianashija5674
@dianashija5674 5 лет назад
Asante
@rukiahhdbdn4798
@rukiahhdbdn4798 6 лет назад
Maa shaa Allah habibty najifunza nikiwa lebanon Allah akujaalie umri mrefu Aamiiyn
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Shukran, ahsante kwa support
@sikujuaibrahim3097
@sikujuaibrahim3097 3 года назад
We mdada nakupenda unajua kuelekeza
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 3 года назад
Ahsante sana
@gabbriellaali140
@gabbriellaali140 5 лет назад
Huwa sili maini but I'll definitely try this recipe. Love from 254
@felistergaudence8663
@felistergaudence8663 4 года назад
Hongera
@mariyammuhammed8745
@mariyammuhammed8745 6 лет назад
Masha Allah napenda sana kufatilia mapishi yako hongera sana mamy
@maashaallahdatuu9823
@maashaallahdatuu9823 4 года назад
Hongera dada kwa kutuelimisha.pia hebu tufundishe jinsi ya kupika dagaa tonge la kupaka. Wengi linatupiga chenga tunalifuruga tu.
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 года назад
Inshallah nitajitahidi
@salamakhamis7245
@salamakhamis7245 5 лет назад
Shukran Allah akulinde na adui wasiokupenda.
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 5 лет назад
Amin kwetu sote, shukran
@safiaothman1098
@safiaothman1098 3 года назад
Maa Shaa Allah
@Mishwam254
@Mishwam254 6 лет назад
I have become such a fun.my kitchen now is heaven thanks to your recipes.thank mammy
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Most welcome thank you for your support
@alikhamis4055
@alikhamis4055 6 лет назад
Video yangu imenipita Leo nimechelewa kuangalia,mashallah Asante Sana nice
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Hujachelewa bado , thanks for your support
@sitihassan9439
@sitihassan9439 5 лет назад
MashaAllah mummy Ahsnt my nimepata na ufundi wa maziwa mummy nashkuru bwana Hata akila nyumba kubwa kama hajala kwangu hashibi
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 5 лет назад
Mashallah!
@ireenkin308
@ireenkin308 4 года назад
Mashallah I wish ungekua jirani yangu ningekua na enjoy mapishi Bora yenye afya mate yanitoka mwaaah Asante kwakushare
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 года назад
Karibu dada it's a very simple meal to prepare
@sylviastevoo2391
@sylviastevoo2391 5 лет назад
Hii ni nzuri sana hongera dada
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 5 лет назад
Ahsante sana
@devothaignatus5911
@devothaignatus5911 4 года назад
Nimependa sana tena nimepika nimatam jmn dah ahsante
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 года назад
Karibu sana
@lisamassala9412
@lisamassala9412 4 года назад
Nimekubali my dia
@zulehakhalfan9464
@zulehakhalfan9464 6 лет назад
MashaAllah 😘 shukran... tuwekee jinsi ya kupika honey comb bread please
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Inshallah mbona hiyo recipe imejaa kila mahala, nikipata fursa nitaleta
@zulehakhalfan9464
@zulehakhalfan9464 6 лет назад
Aroma of Zanzibar in shaa Allah
@fridamapundasafi1862
@fridamapundasafi1862 4 года назад
Nakukubali
@mariamumuyunus4251
@mariamumuyunus4251 6 лет назад
salam aleykum.shukran dada kwa mafundisho ya upishi.nimejifunza kutoka wako sana👍
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Alhamdulilah
@ZuwenaAly
@ZuwenaAly 2 месяца назад
Huyu dada mapish yke mazr
@fatmasaid5864
@fatmasaid5864 6 лет назад
Shukran habibty kwa mapishi mazuri maini nilikua siyapendi lakini kwa upishi huu Inshaallah yanaonekana na matam nitajaribu Inshaallah
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Inshallah, sio watu wengi wanapenda maini
@kabanzakwilabya6648
@kabanzakwilabya6648 5 лет назад
Maaaasshaaallaaah.. Chakula kitamu na sauti tamu..ushindwe tu kunenepa
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 5 лет назад
Kunenepa ndio shida kweli
@prenceskahangwa6757
@prenceskahangwa6757 5 лет назад
Very nice
@shamsahussen1059
@shamsahussen1059 5 лет назад
Asante Dada angu mashaallah
@fatmaomar5783
@fatmaomar5783 6 лет назад
Mashallah nzuri kweli habibti ntajaribu kupika hivyo shukran
@rahmahamza8276
@rahmahamza8276 5 лет назад
ukovizuri dd
@brendaedwards972
@brendaedwards972 4 года назад
Nice
@happytimes9747
@happytimes9747 4 года назад
Pili pili zetu limau yetu hebu tuone maini yetu kama iko tayari nusu haikurudi kwa sufuria yani dada wewe mmmh sawa bana "asante kwa mafunzo mazuri ya upishi"
@phineruge3480
@phineruge3480 6 лет назад
Safi my, Yaan imenikuna hapa nilipo Full Maudenda kumwagika
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Pole kwa maurenda itabidi uingie yikoni haraka😂
@nurusaleh7049
@nurusaleh7049 5 лет назад
Asante Masha Allah
@aminamashaka74
@aminamashaka74 4 года назад
Nimeipenda
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 года назад
Ahsante
@maryumahayati3868
@maryumahayati3868 6 лет назад
Yummyy tabarakkallah Bismilah 😋
@nananajma1330
@nananajma1330 5 лет назад
Ma Shaa Allah,i tried the recipe and it came out perfectly...thank u soo much
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 5 лет назад
Most welsome dear, glad you enjoyed the recipe
@aminaissa5015
@aminaissa5015 4 года назад
Mashallah
@kahroogall5695
@kahroogall5695 4 года назад
Nice madam
@faustakimario9555
@faustakimario9555 5 лет назад
uuuuwiii yaani Mimi napenda jama nimependa sana mapishi yako
@boazkamugisha3966
@boazkamugisha3966 4 года назад
Nzr
@gidaninga1740
@gidaninga1740 5 лет назад
Asallaam alykum. Shukran sana kwa pishi. Nimepika leo alhamdullillaah. Maini yalikuwa Matamu.
@daiyomuu8445
@daiyomuu8445 5 лет назад
In Shaa Allah nitapika kama wewe ni mapishi mazuri nimependa na ninakubali hayana harufu Allah akupe khair kwani hii ni sadakatul jaria,mtu akifanya biashara ya chakula na akifaidika na wewe unapata thawabu ameen
@latiffahseif4672
@latiffahseif4672 4 года назад
Nzuri sn kwa mapshi mamy zuu v
@dorcasosano8495
@dorcasosano8495 3 года назад
Nilijaribu it was delicious thanks alot madam
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 3 года назад
Ahsante sana 😍
@shikokimani3
@shikokimani3 5 лет назад
Yummy yummy Lakini hio kitunguu hujakata kidogo vile waeleza 😀😀😀😀😀
@chamsiatoyb723
@chamsiatoyb723 3 года назад
Machallh 👍
@habibakifura1644
@habibakifura1644 5 лет назад
Hongereni kwa mapishi aroma mpo juu
@lalyshekue6908
@lalyshekue6908 6 лет назад
waoh nice sana dadaangu
@khalayirose633
@khalayirose633 6 лет назад
Hujambo dadangu?Nashkuru sana kwa mafunzo ya upishi wa maini 👏👏👏👍🙌🙌🙌
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Alhamdulilah , karibu dear
@naimamussa9778
@naimamussa9778 4 года назад
Unga wa giligilani unaitwaje kwa kingeleza
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 года назад
@@naimamussa9778 cumin powder, samahani ndio kwanza naona hii comment
@naimamussa9778
@naimamussa9778 4 года назад
@@aromaofzanzibar shukran dada
@fatmasemfuko6383
@fatmasemfuko6383 5 лет назад
Nilikua nikipata video zako kupitia whatsap, nilikua sijaipata chanel yako, MAASHA ALLAH nakufatilia sana nnazo video zako nyingi tuu nimezisevu kwenye memory zangu nikitaka kitu ikiwa nimesahau basi natiZama. Binafsi nak u penda sana na nafaidila sana. Vipi unalo group la whatsap uniunge???
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 5 лет назад
Ahsante sana , mimi sina group la whatapp
@kizomanizo
@kizomanizo 4 года назад
Safi
@beatricemuthoni3312
@beatricemuthoni3312 6 лет назад
Asanti kwa mapishi hayo yamenisaidia sana
@mimamkassy6563
@mimamkassy6563 6 лет назад
Shukran
@christinenkatha1523
@christinenkatha1523 6 лет назад
Good job mama 👏
@mohammednadeem3479
@mohammednadeem3479 4 года назад
I love that👌
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 года назад
Me too!
@amalibuni8082
@amalibuni8082 3 года назад
Love you aroma
@aishakhalidiaishakhalidi721
@aishakhalidiaishakhalidi721 6 лет назад
Asantee san kwa mapish yko mazur
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Shukran
@elizabethmnyambi5695
@elizabethmnyambi5695 6 лет назад
AISHAKHALIDI AISHAKHALID
@emanuelmoshama1747
@emanuelmoshama1747 6 лет назад
kazi yako nzuri, naomba nikuulize kitu katika izi video zako kuna kiungo flani chekundu ulikiweka kwenye foil ukakichoma kisha kukisaga, nauliza kinaitwaje
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Ahsante ni zaafarani kwa kiswahili na english ni saffron
@emanuelmoshama1747
@emanuelmoshama1747 6 лет назад
Aroma of Zanzibar shukran sana
@mohammedabdallah6390
@mohammedabdallah6390 6 лет назад
Shukran auntie kwa recipe hii Allah akujaze Kheri
@khamissuleiman2288
@khamissuleiman2288 6 лет назад
Mashallah mashallah nime enjoy kwa kweli
@rahimaally6471
@rahimaally6471 4 года назад
Mashallah mie napenda maini lakini nikipika yanakua dry ishallah nitajaribu hivi
@princesskay1573
@princesskay1573 5 лет назад
Sauti ya sister fey hiyo
@rosejoyngari2774
@rosejoyngari2774 4 года назад
Usually I trade cooking liver but I followed this recipe it was mwaa.
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 года назад
I'm glad you like it
@jacklinechristopher6662
@jacklinechristopher6662 6 лет назад
Woow na nmeandaa maini this evening nngejua nngeangalia b4 I cook thou sio mwsho I will try next tym Thanks sis😍
@saeednasser9870
@saeednasser9870 5 лет назад
mashallah nimejifunza cn mapishi yako
@twilumbakabelege3426
@twilumbakabelege3426 5 лет назад
Ahsante sana
@mamahamida6807
@mamahamida6807 6 лет назад
Assalaam aleikoum dada pole na shughuli asante kwa hii recipe swali langu je naweza kufanya hivi kwa mafigo na firigisi?
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Aleikum Musalaam , ndio unaweza hasa mafigo kutoa harufu
@maryakisali7478
@maryakisali7478 4 года назад
Mapishi mazuri sana but je, kama huna fridge itakuwaje?
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 года назад
Naweka kwenye fridge kwakua no joto sitaki kiharibike
@justjj9934
@justjj9934 Год назад
Salam, zamani ckuona video zako mpya, bado unaendelea na mapishi?
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar Год назад
Wa aleikum musalaam ndio naendelea
@justjj9934
@justjj9934 Год назад
Shukran sister..Tufundishe kufanya pera kama za Zanzibar please.. Shukran.
@allysaid6742
@allysaid6742 5 лет назад
Masha Allah
@samsal3479
@samsal3479 5 лет назад
Leo nimejua new method ya kusafisha maini ,nilikuwa. Sikujua kama waeza kutumia maziwa 😂 tnx am your fan
@nooralbaity8399
@nooralbaity8399 5 лет назад
Sam Sal me pia sikujua
@angelr2165
@angelr2165 5 лет назад
Your hubby is soo Lucky..
@marymaiko6605
@marymaiko6605 5 лет назад
Safi sana maini mi ningekula na mkate wa boflo tamu sana
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 4 года назад
Napenda kupika maini na kula pia , najitahidi yanatoka laini na matamu , lakini tatizo watoto wangu hawapendi kabisa maini , utahangaika kupika utakula mwenyewe , wanasema yanakinaisha . Asante kwa recipe nzuri sana .
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 года назад
Watoto ndio walivyo wakiwa wadogo rahisi kuwa control chakula lakini wakisha kuwa mambo ndio hayo , sipendi hichi
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 4 года назад
@@aromaofzanzibar Please naomba nijibu niliuliza kuhusu viungo , Unaandaa viungo na kuuza ?? Kama ndivyo vinapatikana wapi ???
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 года назад
@@chayogasperi9783 mie nipo marekani dear
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 4 года назад
@@aromaofzanzibar Okay , nilidhani upo Znz . Asante .
@zuhuramniwasa1063
@zuhuramniwasa1063 6 лет назад
Napenda kupika sana asante nimepata channel yako
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Shukran
@Lifeisgoodkitty
@Lifeisgoodkitty 6 лет назад
Maini huenda vizuri sana na ugali😀👍🏾!
@evemangare1732
@evemangare1732 6 лет назад
Sanaaa na ugali na juice ya baridiii unasahau shida za dunia kidogo
@catykyz7668
@catykyz7668 6 лет назад
Nop, chapati
@salmaabdallah2418
@salmaabdallah2418 6 лет назад
Inapendeza sana
@fatmajumapili8918
@fatmajumapili8918 5 лет назад
@@catykyz7668 ni hatari utamu wake hauelezeki
@marthandege713
@marthandege713 5 лет назад
O
@zaitunizaitunihotti1469
@zaitunizaitunihotti1469 5 лет назад
Dah hata kama hulagi main kwa mapishi hayo lazma ule hongera sana
@fatumakadute7959
@fatumakadute7959 5 лет назад
Ma shaa Allah nimeipenda sana
@zahraiddy4213
@zahraiddy4213 6 лет назад
Mashallah ntapika kwa style hii nimeipenda
@abigaelomambia5727
@abigaelomambia5727 4 года назад
I will try this soon. Looks yummy
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 года назад
Hope you enjoy
@worldcuisine9102
@worldcuisine9102 6 лет назад
Thank you so much Allah akubarik
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Most welcome, you have my mother's full name Munira Mohammed ❤❤
@worldcuisine9102
@worldcuisine9102 6 лет назад
@@aromaofzanzibar hahah wow
@naipeter3738
@naipeter3738 5 лет назад
Jamani Nimependa sana naitaji shule
@cuteisheroman764
@cuteisheroman764 6 лет назад
Assalam alaikum upo sehem gani dd napenda mapish yako mashaAllah upo nchi gan
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Aleikum Musalaam, mie nipo Marekani
@officialhauzimi
@officialhauzimi 5 лет назад
Nichukue na mm nije marekani jamaniiii
@lucymrema7423
@lucymrema7423 6 лет назад
Mapishi mazuri
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 лет назад
Ahsante
@givenaden4625
@givenaden4625 3 года назад
Nakupenda dada aroma natamn niwe mwanafunzi wako tyuuuh
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 3 года назад
Mie nafundisha mapishi yote hapa ukifuata kwa makini itakua tu
@hashuuzumber5057
@hashuuzumber5057 6 лет назад
Asnte kwa kutufunza
Далее
Тренеруем память physics drop 103 - 104
00:51
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶
00:21
How many can you smash?🍫 IB : Florin
00:19
Просмотров 3 млн
Jinsi ya Kupika Maini Roast.....S01E47
8:28
Просмотров 178 тыс.
PILAU LA KUKU TAMU SANA PAMOJA NA SALAD
10:05
Просмотров 85 тыс.
Biriani/Biriyani ya Zanzibar - Kiswahili
12:20
Просмотров 1,5 млн
Rosti la Dagaa
8:14
Просмотров 30 тыс.
LIVER STEW/KUPIKA MAINI MATAMU
5:40
Просмотров 57 тыс.
WALI WA PILAU MANDI
11:13
Просмотров 46 тыс.
Mkate wa kusukuma AKA Chapati kiswahili
10:11
Просмотров 569 тыс.
Тренеруем память physics drop 103 - 104
00:51