Naitwa juma kutoka mombasa napenda kujifunza mapishi style mpya kando na upishi wa kawaida kama vile umetumia nazi na sikujuwa kama hutumika kwa spinach,nimependezewa sana
sio lazima kutumia kitungu swaumu lakini kama unapenda unaweza tumia illi upate harufu yake, kumbuka kitungu swaumu kinalainisha mboga fast hivyo anza kukiaanga kwanza na weka viungo vingine harafu mboga ziwe za mwisho, kama ni mboga za majani pekee lakini kama ni nyama kawaida tu unaweza tumia
💪pia una sauti ya mvuto kwangu,hautumii muda mrefu Sana ktk mapishi uko straight to point,una upishi shirikishi unauliza sisi tunapikaje kiukwel huna ubinafsi mm nawapenda kila nikipika pishi lenu nyumban kila mtu anafurahia chakula changu, Asanteni sana ndiyo maana nakufatilieni