Тёмный

JINSI YA KUTENGENEZA ALOVERA GEL NA JINSI YA KUHIFADHI ALOVERA GEL IKAE MDA MREFU 

Glow Charls
Подписаться 29 тыс.
Просмотров 20 тыс.
50% 1

Nafurahi kushare video nyingine ya ninyi.
JINSI YA KUTENGENEZA ALOVERA GEL
Nadhani wengi wenu mtaipenda.
Namtumaini mnafurahia Video zangu. Asanteni kwa kuangalia.
Iliusikose video zangu SUBSCRIBE hapo chini
#aloveragel #jinsiyakutengenezaaloveragel #diyaloveragel
Nifollow katika mitandao mingine
Instagram: @glow_ch1
Tik tok: glow_ch
Product nilizotumia
--------------------------------------------
Labda kuna mtu atataka kujua:
Camera ninayotumia : Canon 80D
Software ya kueditia video : imovie
Taa ninayo tumia : Ring light
Kamera ya kufanyia vlog: iphone xs
Kwa, sponsorhip, product review, jisikie huru kunitafuta katika barua pepe: g.mtei54@gmail.com
Maoni yote katika video zangu ni yangu mwenyewe, bila kujali ikiwa video imefadhiliwa au la. Hivyo basi, bidhaa ambayo nimejaribu ikanifaa mimi inaweza isikufae wewe.
Wenu,
Gloria

Опубликовано:

 

12 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 50   
@MwaminiBoniphace
@MwaminiBoniphace 5 месяцев назад
Asante sana dadaa nimejifunza kitu...ninachunusivsana
@MariamsLifestyle
@MariamsLifestyle 3 года назад
You’re so creative Mpenzi n nzuri kwa hair mask
@GlowCharls
@GlowCharls 3 года назад
Very good kwakweli👌🏽👌🏽
@user-ph5tk1uk8b
@user-ph5tk1uk8b 5 месяцев назад
Nimeipenda video Yako Asante Kwa SoMo
@jofreymbuba8121
@jofreymbuba8121 6 месяцев назад
Aisee Asante kwa mafundisho nilikuwa napata tabu kila wakati nakata alovera natumia kidogo natupa na kingine hao wanatumia mbolea gani kuwa kubwa kiasi hicho naomba msaada nimepanda lakini vimekondeana
@marthaomary6277
@marthaomary6277 3 месяца назад
Ni natural baby Mboleq za kuku au ng’ombe na maji mengi inahitaji sana maji kwetu ipo nene hioo
@jofreymbuba8121
@jofreymbuba8121 Месяц назад
Habari yako Madam hivi usipo ichuja inakuaje
@stellapeter2282
@stellapeter2282 3 года назад
Dada hii nzuri sana Asante 🙏🏾🙏🏾
@GlowCharls
@GlowCharls 3 года назад
Asante kwako
@africanbellatherealtalk
@africanbellatherealtalk 3 года назад
Asante dear ntatengeza yangu ni ihifadhi.
@GlowCharls
@GlowCharls 3 года назад
Sawa dear 🙏🏾🥰🥰🥰
@evalineemmanuel8178
@evalineemmanuel8178 3 года назад
@@GlowCharls sio chungu my maan ilo brenda litafaa nauchungu wa alovera
@Fatma-g3o
@Fatma-g3o 29 дней назад
❤❤❤
@mwajunassibu4192
@mwajunassibu4192 Год назад
Mashalwhahu
@shamsaamos3130
@shamsaamos3130 3 года назад
Asante kwa somo
@GlowCharls
@GlowCharls 3 года назад
Asante sana kwako 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@user-xx2mv1ce2o
@user-xx2mv1ce2o 10 месяцев назад
Je kama hauna friji unahifaz vip
@user-gl4ss7gu7e
@user-gl4ss7gu7e 8 месяцев назад
Nimependa sana
@RosemaryDaniel-pm8ds
@RosemaryDaniel-pm8ds 2 месяца назад
Asanteeeee
@biagioitalia3227
@biagioitalia3227 3 года назад
Bravissima Glow Charls.
@GlowCharls
@GlowCharls 3 года назад
Gracie 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@nanaonlinemedia2877
@nanaonlinemedia2877 Год назад
unaweza
@janetwakesho5357
@janetwakesho5357 Месяц назад
Nimeoenda video yako ila swali lngu ni hili ni usipoosha baada ya kupaka kuna madhara?
@user-ve8fv4xp2p
@user-ve8fv4xp2p 4 месяца назад
Sasa kama nywele zako ni laini inaaja ya kutumia alovela?
@africanbellatherealtalk
@africanbellatherealtalk 3 года назад
Woow inaeza kaa to six months 👍
@GlowCharls
@GlowCharls 3 года назад
Ndio mpaka mwaka ☺️☺️☺️🥰🥰🥰
@GetrudaAndrea-ny4ku
@GetrudaAndrea-ny4ku 2 месяца назад
Nimeona hyo alovela nimesisimuka sana duh!😂😂
@swekenumi4493
@swekenumi4493 5 месяцев назад
Ni aina gani ya mmea wa aloe vera?
@user-dl5vc8tl4z
@user-dl5vc8tl4z 9 месяцев назад
Nimependa sana video yako, je hafai kunywa?
@jofreymbuba8121
@jofreymbuba8121 6 месяцев назад
Unakunywa kama tiba na Kinga na Mimi ndio nakunywa sana inasaidia sana mmengenyo wa chakula,minyoo, UTI, Malaria nk
@sharifamohamed9183
@sharifamohamed9183 2 года назад
Vip kuhusu uchungu ukipaka
@KachuiManyaki
@KachuiManyaki 6 месяцев назад
Kwa chunusi matumizi yanakuaje kipenzi
@user-tb6bi9vh2b
@user-tb6bi9vh2b 7 месяцев назад
Mbona mmimi nikitengeneza haiwi nzito hivoo
@iradukundamike5370
@iradukundamike5370 2 года назад
Ukinunua mafuta ya olovera badae unacanganya naiyo yakutengeza inawekana ao
@khaniphaally7882
@khaniphaally7882 Год назад
Mawasiliano please
@jescadeo6943
@jescadeo6943 2 года назад
Km uweki mwenye friji itakuwaje
@user-uh4kk4ff1u
@user-uh4kk4ff1u 11 месяцев назад
Unakuusha nywere
@highineccharles9305
@highineccharles9305 Год назад
Km hauna friji unafanyaje kuhifadhi
@gracentani-on8rp
@gracentani-on8rp Год назад
Nimefulahinmaelezo yako
@asimwekaiza5848
@asimwekaiza5848 3 месяца назад
Kama hauna friji nafanyaje
@litenedking5283
@litenedking5283 Месяц назад
Kanunue😂
@msmchoro5545
@msmchoro5545 3 года назад
Ya huku ni imekonda mno😩
@GlowCharls
@GlowCharls 3 года назад
😂😂😂😂hazina afya sio 🙈🙈🙈
@evalineemmanuel8178
@evalineemmanuel8178 3 года назад
@@GlowCharls nikwel za kwetu azifai
@veronicajanuary9661
@veronicajanuary9661 7 месяцев назад
Kabsaa yaan hazina afya nyembamba mno sjui zao wanatoa wap jmn 🤣🤣
@blenfikru5012
@blenfikru5012 3 года назад
JE UNATENGENEZA NA KUIUZA
@GlowCharls
@GlowCharls 3 года назад
Hizi za 100%pure. Labda uuze mmea wake. Ila hii ukishakamua hiyo gel ni kutumia hapo hapo au kuweka kwa freezer. Maana inaharibika mapema ukiweka hata kwa frigi la kawaida
@leahmalebwamagaigwa1250
@leahmalebwamagaigwa1250 Год назад
@@GlowCharls habar dada nauza alovera mbichi napatika mbezi mbich kwa bei nafuu
@elizabethkivumbi8072
@elizabethkivumbi8072 9 месяцев назад
@@GlowCharls ninaalovera nyingi nauza kwa bei nafuu Niko Tanga
@elizabethkivumbi8072
@elizabethkivumbi8072 9 месяцев назад
@@GlowCharls ninaalovera nyingi nauza kwa bei nafuu Niko Tanga
Далее
БЕЛКА РОЖАЕТ?#cat
00:28
Просмотров 283 тыс.
Аушев, Путин, «пощечина»
00:56
Просмотров 572 тыс.
Fanya haya kwa bibi kuendelee kuwa mdogo,usiachike.
14:55
NYANYA INAVYOSCRUB USO/ utunzaji wa ngozi
3:58
Просмотров 64 тыс.
JINSI YA KUTENGENEZA SHAMPOO YA KUOSHEA NYWELE
12:17
Просмотров 24 тыс.