Kama wewe ni mmoja wa watu ambao wanataka kuwa na Studio kwenye simu yako ya Android basi una angalia video sasa. Kupitia video hii ambayo ni sehemu ya kwanza nita onyesha jinsi ya kuwa na Mixer kwenye simu yako ya Android. Kumbuka hii ni sehemu ya kwanza na tutaendelea hadi kufikia hatua ya kuwa na studio ndogo kwenye simu yako na niamini kuwa hii inafanya kazi kwa asilimia 100.
LINK MAALUM
1. Download App Hapa - url.tanzaniate...
2. Kwa Maujanja Zaidi - • Video
3. Fanya Maujanja Faster Ndani ya Dakika Moja - • Video
4. Fahamu Zaidi Hapa - url.tanzaniate...
FOLLOW US
1. TikTok - / tanzaniatech
2. Telegram - t.me/tanzaniatech
3. Facebook - / tanzaniatech
4. Instagram - / tanzaniatech_
5. Twitter - / tanzaniatech
12 сен 2024