Mungu aninusuru na mwanaume aina ya professor ,watu sample hi wanauzi sana hivi huwa wanahisia kweliii!😒 mana jitu gumu halishauriki haliambiliki akaaa!
Pongeze Kwa eva maana wanawake kama Wewe walikufa tangu Enzi za kinjeketile na majina yao yalisombwa na kimbunga Hidaya... Haya na Wewe Anna hiv moyo wako una vyumba vinne kama Sisi mbona napata wasiwasi wamekushinda wanyakyusa utawaweza Hao watoto wa mjini 😂😂😂😂😂
Anna Anna kujifanya kutompenda devis kumbe ndio likuw umeshampenda hadi kumuonea wivu tyr umeenda hadi kununua mawig kisa kamsifia maria..naona hivi ukijichora nalo hilo wigi lako..mana vivian anakusubir
Sasa Anna Mazengo hata miaka yako na akina maria inakataa vitu vingine ni vya aibu Devis alisema ukweli aliposema Wacha kujichanganya nyinyi ni partners si lovers 😅