Тёмный

JUMA NATURE AVAMIWA NYUMBANI KWAKE USIKU NA WAANDISHI, CHEKI MAJIBU YAKE 

Mbengo Tv
Подписаться 1,5 млн
Просмотров 52 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 151   
@SharritheboyMondela-y9r
@SharritheboyMondela-y9r Год назад
Mmh mwandishi umekutqna leo swqli jibu tofaut na swali😅😅😅😅
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 Год назад
Anajibu tofauti na maswali. Next time Peleka bangi avute kidogo
@rotalykandawale2438
@rotalykandawale2438 Год назад
Anatakiwa akumbukwe uyo alifanya mziki wa bongo uwendeleee
@MaryWuantet
@MaryWuantet Год назад
Jamani nikiona msanii kama huyu aliyewahi kutamba,Leo hii ndio huyu ameisha kwenye janga la mihadarati ...😢😢kweli nahisi uchungu Moyoni.....swali langu ni ,serikali imetulia tu kuwaona hao wasanii waishe hivyo??this man needs help sio kumcheka...he's a legend.
@kizazisanagang
@kizazisanagang Год назад
Cha msingi Yuko vizuri anaishi freshy ana mjengo, studio inshort anakula Bata Hana shida
@muzafarsharif9465
@muzafarsharif9465 Год назад
Afadhali hapo kwake hana stress za kulipa rent ❤❤
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 Год назад
Ila tungi hapunguze inamzofisha
@abdulyabubakar6247
@abdulyabubakar6247 Год назад
Majibu yake hayana tofauti na majibu ya cheed benzi
@muuminikidunda9214
@muuminikidunda9214 Год назад
Vizuri sana j nature utakumbukwa hapo kwako sio wasanii wasasa wanapiga picha na kukaa nyumba sio zao wala magari sio yao
@AliKhamisi-f4m
@AliKhamisi-f4m Год назад
Yupo bwaa
@primrosehall3112
@primrosehall3112 Год назад
Anaongea vizuri hadi raha
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Год назад
Bangibangi daa Allha tunusulu n watotowwtunnaatupe mwisho mwema
@jumahasani3324
@jumahasani3324 Год назад
mwandishi uchu na juma nature uchi
@MwakaziJanet-qq2be
@MwakaziJanet-qq2be Год назад
Najua mungu anaweza hatakama itachukua muda mm najua iposiku utainuka💖💖
@Zaburi-
@Zaburi- Год назад
Mungu/MUNGU sio mungu
@ProsperMgai
@ProsperMgai Год назад
We humjui!!!
@valeriaally6584
@valeriaally6584 Год назад
yaani anachojibu na anachoulizwa vitu viwil tofaut,maelezo mengi kama anaandika insha
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Год назад
😂😂😂 Bangi pombe ukichanya hakunachakueleweka
@valeriaally6584
@valeriaally6584 Год назад
@@hanifatanzania7258 🤣🤣😂😂😂😂😂
@jackmligo2131
@jackmligo2131 Год назад
Juma nature bhana anaulizwa swali jibu analotoa ni tofauti kweli pombe na mibangi so poa 😀
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
😂😂😂😂😂
@pcthemaster9096
@pcthemaster9096 Год назад
Gongo mbaya sana😂😂😂
@shodristvtv6121
@shodristvtv6121 Год назад
Amelewa
@mayraamon8965
@mayraamon8965 Год назад
Hahahahahhahaha kama vile yupo usingizini eti hahaha
@mathanikibuti6676
@mathanikibuti6676 Год назад
UME MZIDI NINI MASKINI WEWE,YAKO YANAKUSHINDA
@patrickmukundichalamila3038
Mziki ni hela kwahio hela ilipatikana mziki ukaenda kwao😂 mwisho wa siku hela pia ikapotea😢 ila ma brother's waljua kula raha.
@teedullah5708
@teedullah5708 Год назад
😂😂😂😂 Ye mwenyewe km ambae yuwaumwa
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Год назад
Haaaaa TMK WAPO STRONG 😂 MBAVU ZANGU MIE SAUT SANA MIPOMBE IPO KICHWAN MBWIIIIIIIII😅
@ezekielmichael9431
@ezekielmichael9431 Год назад
Sas mtu mwenyewe mlevi ajielewi anaweza kuimba kweli
@mzidimfaume1573
@mzidimfaume1573 Год назад
Huyu mlevi tu
@Thebaddest255
@Thebaddest255 Год назад
We ambaye unajielewa na si mlevi Mbona hutoi mziki wako ?
@AliKhamisi-f4m
@AliKhamisi-f4m Год назад
Unge muhoji ajalewa hapo anaongeya kipombe
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
😂😂😂😂
@mcdericktv7298
@mcdericktv7298 Год назад
Dah! Nimeanza kuyaamini maneno ya Chege...kuna mtu anaendesha account ya Nature. Pole Tanzania
@bahatikulwa56
@bahatikulwa56 Год назад
muulize temba
@davidcurtis175
@davidcurtis175 Год назад
Jamaa anaongea kama mimi nikiwa nimechoka sanaaaa halafu ninausingizi, nikiulizwa swali na majibu yake hayafanani hata kidogo na ukiuliza tena unasemaa ndio kabsaaa naongea tofauti mwisho nazima kabisa😂
@chazmoto4230
@chazmoto4230 Год назад
😂😂😂😂😂
@shodristvtv6121
@shodristvtv6121 Год назад
😂😂😂😂
@ibrahimfarha3853
@ibrahimfarha3853 Год назад
😂😂😂😂😂
@ISSAYUSUPH-m7h
@ISSAYUSUPH-m7h Год назад
Kiroboto❤
@lilhydon452
@lilhydon452 Год назад
Anaemuuzia pombe akamatwe
@December-p3n
@December-p3n Год назад
😅😅😅😅
@mohdkhalfan1380
@mohdkhalfan1380 Год назад
😅😅😅😅😅
@othmanhassan5483
@othmanhassan5483 Год назад
😂😂😂agiza soda
@josephevaristi8923
@josephevaristi8923 Год назад
😂😂😂
@ibrahimfarha3853
@ibrahimfarha3853 Год назад
Anatuma watoto😂😂😂😂😂😂😂
@ibrahimfarha3853
@ibrahimfarha3853 Год назад
Blazaaa eeeh afazali ungepokea hata zile laki 5 kwakweli
@zeddymourice4249
@zeddymourice4249 Год назад
😂😂😂😂😂huyu mwamba nimecheka Kama fala,maana anaulizwa swali hili anajibu kitu toafauti na anachoulizwa,asamehewe bure😂😂😂😂
@mayraamon8965
@mayraamon8965 Год назад
Hahahahahahahhahahha nyie embu niache basi
@laurian27
@laurian27 Год назад
Vyombo in bulding legend! Kula matunda mzee bata la mbele tyuu
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Hahaha kweli pombe si chai😅😅😅😅
@KingSillah-gx5nv
@KingSillah-gx5nv Год назад
Tanzanian artist stop doing hard drugs, from the looks of things this guy (nature) is overwhelmed by drugs💔💔
@FrankNgajilo-ip3zq
@FrankNgajilo-ip3zq Год назад
Jamaa akatibiwe sauti
@maspro6294
@maspro6294 Год назад
Mastar wa mitandao wanatuka njaa tu
@shamimageta6651
@shamimageta6651 Год назад
Chuma kimelewa
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in Год назад
🤣🤣🤣mibangi mishisha...malejendiiiiiii wanakaaa kwenye maget yamepaukaaaaaa
@mansursalim8772
@mansursalim8772 Год назад
Daah huyu ndio anaifanya bangi iyonekane mbaya
@PastorEsngorowil
@PastorEsngorowil Год назад
Hivi Hawa jamaa pesa walikuwa wanapeleka wapi? nafikiri matumizi yao yalikuwa mabaya but duu sio powa
@Hanifa-xc
@Hanifa-xc Год назад
Mbona kama anajibu vitu ambavyo havielewek😂😂
@hpmobilephone9951
@hpmobilephone9951 Год назад
Anasauti kama ya koki Duduubaya
@nassoromtondo1421
@nassoromtondo1421 Год назад
Mh huyu jamaaa anaanzia z amalizia a
@rasvegas8991
@rasvegas8991 Год назад
Kuongeaaa hawez kuimbaa asingeweza kwa sahv
@manirambonaabdoulaziz8836
@manirambonaabdoulaziz8836 Год назад
mbona kama maswali anayo ulizwa anajibu sivyo mrorongo mrefu usokuwa napwent
@Mohamedishabani-om8qf
@Mohamedishabani-om8qf Год назад
Jamaa anajibu out of points😂😂😂😂
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 Год назад
Sir Nature napenda unavyojibu Hadi Raha piga kazi Regend
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Год назад
Mungu apendi. Miziki ww muislsm kweri. Udimdjilikishe Mungi kwenye ujinga
@mussamgonola3983
@mussamgonola3983 Год назад
Point
@cptnbazil6121
@cptnbazil6121 Год назад
Oya ebu nipigiwe kibao cha mtoto iddi nikitazama hii interview
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 Год назад
Huyu muandi wahabari nikuma kweli sasa kaenda kumuuliza mswaligani yani hizikazi watu wanafositu wala siozao kumanina
@ZINDUKAMUISILAMU30
@ZINDUKAMUISILAMU30 Год назад
Mh, wasanii wake wameenda kula bata 🤣🤣🤣 dah wabongo mnambwembwe kweli wameenda kula bata au mavi ya bata
@josephevaristi8923
@josephevaristi8923 Год назад
Bro ule wimbo wa mtoto iddy kumbe kajiimbia mwenyewe
@fristonactary1371
@fristonactary1371 Год назад
huyu bhna kalew walahi
@petercostakisoka
@petercostakisoka Год назад
Uyu cyo duwanzi kibunda kinasoma
@EliasJohn-lc8nu
@EliasJohn-lc8nu Год назад
Yan msaniii mkubwa ata get hajapaka langi Bora angelamba Hy 500000 akanunie langi
@joycekaguo8476
@joycekaguo8476 Год назад
😃😃😃 umeona eee
@SophlaJackson-nt1nc
@SophlaJackson-nt1nc Год назад
Atye tye tyeee 🤣🤣🤣🤣🤣
@salvatoryboniface1089
@salvatoryboniface1089 Год назад
Anajitambua ndyo maana amekataa hao wasanii wanaokiki kila leo wengi wao hawamfkii nature kwa maisha mazuri
@salvatoryboniface1089
@salvatoryboniface1089 Год назад
Jamaa ana studio home tafuta wenye studio nahc utaelewa
@gb-one6435
@gb-one6435 Год назад
@@salvatoryboniface1089 studio yenyewe hii yakawaida mno ase jamaa Kwa ujumla ana Hali mbaya ya maisha ukilinganisha na jina lake lilivyo kubwa
@prosperitymaarifa3324
@prosperitymaarifa3324 Год назад
Kalewa huyu
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Saana
@BarackCharles-vt7kt
@BarackCharles-vt7kt Год назад
Mbna interview umerudiwa hii….
@bensonmwananchi7701
@bensonmwananchi7701 Год назад
Nimegundua kwa nn nature aliandika vile
@zachaamaster5378
@zachaamaster5378 Год назад
#upuuzi mtupu kweri pombe sio maji
@vumbakingvumbaking9571
@vumbakingvumbaking9571 Год назад
Kalewa nature
@suntzu8959
@suntzu8959 Год назад
Harafu akatae laki 5 huyu
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Год назад
Kwaiyo maneno yote yale my brother
@hamadmohammed9928
@hamadmohammed9928 Год назад
Nature wacha pombe
@alidyaya4512
@alidyaya4512 Год назад
Nimecheka interview nzima😂
@saleheabdallah5461
@saleheabdallah5461 Год назад
Anaongea kama mganga😂
@stellahpaul5624
@stellahpaul5624 Год назад
,😂😂
@ibrahimfarha3853
@ibrahimfarha3853 Год назад
😂😂😂😂
@luc_96
@luc_96 Год назад
Ivi mnajua uyo jamaa anaongea ivo ila ukimwambie Aimbe kiitikio chochote balaaaa
@starfireog8695
@starfireog8695 Год назад
Apo hakunamsani tatizo lawa sani wabongo waache mihadalat
@aayanmaroba6056
@aayanmaroba6056 Год назад
YUKO TUNGI YA ATARIIIII
@ggvv9970
@ggvv9970 Год назад
Kwani ulevi ndio dawa ya wasanii ama nini mbona sauti sielewi? 😂😂
@wasaficlassicshoes
@wasaficlassicshoes Год назад
Sauti ya kilevi
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Год назад
😂😂
@aminnoour4788
@aminnoour4788 Год назад
Anaumwa corona
@tanzaniachannel8519
@tanzaniachannel8519 Год назад
Nyie wadandiaji treni kwa mbele always juma ndo ongea yake sauti yake ndo ilivyo 😂😂
@gb-one6435
@gb-one6435 Год назад
Dah 🥺 wasanii wa zamani kwani walifeli wapi mtu kama huyu nyimbo zake mpaka Leo ni Hit inakuaje anaishi hivi 🤔🤔
@withowilliam9057
@withowilliam9057 Год назад
Soko halikuwa kama sahv na mziki unataka uwekeze
@kizazisanagang
@kizazisanagang Год назад
Shida n pombe ila jamaa anaishi freshy Hana shida
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 Год назад
HUYU NDIO ALIKATAA LAKI 5 😅😅😅
@bonifacewanyonyi3555
@bonifacewanyonyi3555 Год назад
😂😂😂
@pcthemaster9096
@pcthemaster9096 Год назад
Gongo mbaya sana
@husseinmdwangi8966
@husseinmdwangi8966 Год назад
MBENGO TV NDO NN KUEDIT HIVYO YAANI MWONEKANO WA JUMA ILA SAUTI SIYO YAKE!!!
@mbengotv
@mbengotv Год назад
Punguza wasi wasi, huyo ni nature Og hakuna edit yoyote
@OllerDesononline6333
@OllerDesononline6333 Год назад
Tungi lake😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ernestsereli8559
@ernestsereli8559 Год назад
Hahahahah"jamaa kalewa bn
@abdulyabubakar6247
@abdulyabubakar6247 Год назад
Kweli pombe sio sigara 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 majibu yake 😂😂😂😂😂
@rogerbijisi8465
@rogerbijisi8465 Год назад
Mbon unaish mqzingir mabay ten wew mkong kweny mzik!? Afu wanakup 500.000tsh unazikataa wakati unaisha na kisamvu uwa umoja😅😅😅
@samwelisack2076
@samwelisack2076 Год назад
Kamnyweso
@gb-one6435
@gb-one6435 Год назад
Jamaa mbona kama amelewa anavyo jibu nitofaut sana nazani ndio maana mtangazaji Ka katiza mahojiano
@rahimukayela297
@rahimukayela297 Год назад
Sauti ya Waganga kwenye Bongo Movie
@aminnoour4788
@aminnoour4788 Год назад
😀😀😀😀 ni mganga yani drogs nyingi
@aminnoour4788
@aminnoour4788 Год назад
Ndiomana kapewa laki 5
@pcthemaster9096
@pcthemaster9096 Год назад
Mchele koka chapati kongoro😂😂😂😂😂😂😂
@AmiriMalenge
@AmiriMalenge Год назад
In dipli😂😂😂
@abdulyabubakar6247
@abdulyabubakar6247 Год назад
AKYU IMEPANDA 😂😂😂😂😂😂😂😂
@robertj.4484
@robertj.4484 Год назад
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Год назад
Hivi mwandishi unafanya vipi interview na mlevi?
@babiddi8620
@babiddi8620 Год назад
Ao unaowashabikia ww hawalewi
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Год назад
@@babiddi8620 inawezekana ukawa hujui unachosema
@AbuuMkabugo-d4t
@AbuuMkabugo-d4t Год назад
We c wakupewa laki tano wwe elfu20 baba sauti Kama chura kakosa maji
@December-p3n
@December-p3n Год назад
😅😅😅😊😊😊😊😊❤
@RobbyAugustine-jd2hd
@RobbyAugustine-jd2hd Год назад
Hiv juma nature n mmakonde cio😂
@valeriaally6584
@valeriaally6584 Год назад
Studio na hzo spika hapo,kaz ipo🤣🤣🤣🤣😂😂😂 duh,hata za watu wa vijijini zina afadhal
@JamesJoseph-k4d
@JamesJoseph-k4d Год назад
Wewe una nini hapo
@valeriaally6584
@valeriaally6584 Год назад
@@JamesJoseph-k4d hata ukijua nina nini na sina nn itakusaidia nn
@RabiaKhalifa-lr8qh
@RabiaKhalifa-lr8qh Год назад
Kama haitomsaidia kitu,na hata ya juma nature ww hayatokusaidia kitu
@abdulyabubakar6247
@abdulyabubakar6247 Год назад
Mie ningekuwa mwandishi ningeshazima camera na kuondoka maana unaye muhoji hapo Akili yake haipo kabisaaaaaaa pombe ndio zinaongea 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@AyubuMbuba-pu6tf
@AyubuMbuba-pu6tf Год назад
😢
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 Год назад
Juma watu wafupi wa akili unawaacha kwenye kujibu maswali
@jonathanmwisho2649
@jonathanmwisho2649 Год назад
Kumanina zenu munae mpinga uyu mwamba usifananshe na mavi ya sasiv machoko nyiee
@jonathanmwisho2649
@jonathanmwisho2649 Год назад
Uyo mwamba shoooow zake ni zamoto kwanza Ana jua kucheza na jukwaa
@Lulualshagri
@Lulualshagri Год назад
Mbona anaongea lafudhi ya kimakonde kwani mmakonde huyu
@iceplay18
@iceplay18 Год назад
baba punguza changa na sauti kama chura , wewe sio star ulikuwa star lakini uliponza kuchagua jembe maana mkulima hachagui jembe, ulitwa kazi ukaendla kulewa alafu ukasemba pesa ni kidogo sasa uko hapa unalea lia
@flinchclassic1531
@flinchclassic1531 Год назад
Kwani hii sauti ya nature haumii akiongea dah
@MJ-rr6dy
@MJ-rr6dy Год назад
umbea kazi sana, yote hiyo kwa ajili ya mond, mond anawatesa wajinga wajinga wengi kwa wivu jamani
@ambokilemussa3518
@ambokilemussa3518 Год назад
weeee koma na huyo mtu wako
Далее
На самом деле, все не просто 😂
00:45
HIKI NDO CHANZO KAMILI KIFO CHA MANDOJO.
9:09
Просмотров 2,4 тыс.
VITUKO VYA KWENYE DALADALA ( DAY2)
11:30
Просмотров 133 тыс.
HISTORIA YA DIAMOND PLATNUMZ  HADI KUWA MAARUFU
10:54
Просмотров 89 тыс.