Wimbo unanifanya nihisi nimemsogelea Mungu wangu na kumsihi asiniache❤aliyeutunga Mwenyenzi Mungu amuangazie Nuru ya mwanga wake siku zote za maisha yake Amina
tangu niko mdogo ninasoma darasa la sita nimeanza kumwimbia mungu wangu kwani najua aimbae husali mara mbili. mungu awabariki sana watunzi wa nyimbo hizi.
Barikiwa sana kaka D.Mallya kwa Melody taam na inayotafakarisha Kupita kias Abarikiwe fr Kaombwe kwa maneno matamu ya tafakari kupitiliza ndani ya moyo wangu!