nimeomba kazi za mashambani zinazo tangazwa na serikali yani makampuni yanapeleka maombi yao serikalini then serikali ya CANADA inatangaza watu kutoka nchi mbalimbali waombe nchi hizo kazi yani kazi za watu wasio na elimu japo hata wenye elimu zao wanaomba.
Tunashukuru kwa ushauri .je sisi tunaotaka kuja kwa vibarua vya shambani je tunafanyaje? maana wengine ndio tumeanza mchakato wa nafasi za kazi za mashambani tunataka kuja kutafuta kipato tu japo mimi ni nurse najua huko nursing yetu hailingani na huko wenzetu wapo juu japo ujuzi ni uleule ila vyeti vya wenzetu vipo juu.ila care giver je ninaweza kupata?