Тёмный

KAMANDA MBARIKIWA MWAKIPESILE AUWANGA MWILI WA MTOTO WAKE KISHUJAA SANA 

Robert Robert
Подписаться 4,7 тыс.
Просмотров 242 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

26 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 215   
@prophetdanielmwebrania
@prophetdanielmwebrania Год назад
Mungu yupo mtetezi wa MWISHO KILA MTU atalipwa kwa MATENDO YAKE tutakutana siku moja kwa BABA Amen
@graceemmanuel3072
@graceemmanuel3072 Год назад
Hallelujah hakika Mungu hujivunia watu kama hawa
@julyanashedrack2725
@julyanashedrack2725 10 месяцев назад
Chozi la mwenye haki litalipwa na Mungu
@هيلينهيلن
@هيلينهيلن 10 месяцев назад
Mtumishi Wa Mungu Wacha Mungu akukumbuke
@gracerugayi530
@gracerugayi530 Год назад
Jamaa jasiri Sana inahitajika nguvu ya mungu Sana kustahimili msiba mzito kama huu hakika unafaa kuingwa umeufariji umati mkubwa Sana kwa nyimbo nzuri za kumsifu mungu.
@lucymwaijengo3790
@lucymwaijengo3790 2 года назад
Kuna watu Mungu hujivunia kumsimangia Shetani 😭😭😭😭😭 Mungu pekee awafariji😭😭😭😭
@beatricegeorge1515
@beatricegeorge1515 Год назад
Pole sana
@josephmasudi6001
@josephmasudi6001 2 года назад
Ndugu zangu poleni sana, nimebarikiwa sana na ibada hii, nawaombeni namba za mtumishi huyu tafadhali kama ina wezekana, dada pumzika kwa amani tupo nyuma yako.
@monicagerald6676
@monicagerald6676 20 дней назад
Hii ni Imani kuu mno kwa Mungu, wenye imani thabiti ndiyo wanaoweza kufanya hivi.
@LucresherGerald
@LucresherGerald Год назад
MUNGU WA MBINGUNI asimame nanyi katika kipindi hiki nawaombea pia Kwa MUNGU awapiganie Sanaa🙏
@victoriakhatibu2288
@victoriakhatibu2288 2 года назад
Mungu akupe mapacha watatu kwa jina la Yesu,Mungu awatie nguvu watumishi wa Mungu
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 2 месяца назад
Amesema hazai tena,
@dottounique7184
@dottounique7184 2 года назад
Ameeen Mtumishi Ubarikiwe,siliitena Asantee nimejivuza kitu kikubwa kwako 🙏🤍💝❤️💛
@JanethRobati-s2k
@JanethRobati-s2k 2 месяца назад
Hakuna anaeweza hilo baba unaushujaa wakutosha basi ivoivo mungu akushindie vita hiyo we nyamaza aseme baba pole sana mungu akutie nguvu
@esthermliga4875
@esthermliga4875 2 года назад
Hakika sifa na utukufu kwa Mungu!! Amewapa moyo wa ushujaaa, kusistahimil maumivu makali kama haya!! Ni lazima uwe umejitoa kwel kwel kwa Mungu wako!! Mungu azid kuwatia nguvu ktk kaz yake watumishi wa Mungu!! Hakika mmeokoka kwel kwel , weng tunashindwa matukio kam haya huwa tunaona kama Mungu amekuacha!! Tunasahau inatubid kushukuru kwa kila jambo, hakika nimebarikiwa na iman yenu kwa Mungu!! Mmenitia nguvu, Mungu wa mbinguni azid kuwainua kweny viwango vingine !! Amen amen!! Tutaonana mbingun mdog wangu Wokovu!! Safar yako umeimaliza!!
@AlfayoEliahu
@AlfayoEliahu Год назад
wamtumainio bwana ni kama mlima sayuni autatikisika waakaa milele jinsi bwana anavyouzunguka yerusalem ndivyo anavyowazunguka watu wake.zaburi 125:1-5
@jacksonmbena5410
@jacksonmbena5410 Год назад
Mungu wa mbinguni anataka akupeleke level... Azime achakate Imani yako mtumishi
@immanuelpascal8131
@immanuelpascal8131 2 года назад
Najifunza mengi San kwako baba ktk tukio hili maan mungu kakupa ujasir usio wakawaida
@marygregory7566
@marygregory7566 2 года назад
Huyu ndo AYUBU wa Leo💪💪💪💪
@rosemuna5569
@rosemuna5569 2 года назад
Kabisa
@noahpaulo3845
@noahpaulo3845 Месяц назад
Hakika
@marymtoni5723
@marymtoni5723 2 года назад
Hakika Mungu amewatia nguvu bila neema ya Mungu huwezi kweli Yesu ni namba 1
@KhalfaniKishki
@KhalfaniKishki Год назад
ALIYEKUDANGANYA NANI?
@harrietajiambo229
@harrietajiambo229 Год назад
​@@KhalfaniKishkisasa ww twambie ukweli
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 3 месяца назад
Sana Sanaa Jamani UKIMJUA .UYO NI SHUJAA WA YESU ,MWANAJESHI
@BupeKamugisha
@BupeKamugisha Год назад
Pole kaka yangu umeniliza
@lemajackson372
@lemajackson372 2 года назад
Mtumishi umeongea mambo mengi kuhusu shule,najiuliza kama kweli kuna umuhimu wa Mtumishi wa Mungu kwenda shule,na huko shule anaenda kusoma nini,nikajiuliza kama Paulo alikuwa na elimu na Je wakina Petro walikuwa na elimu gani?inawezekana wanafunzi wa Yesu walipelekwa shule miaka mitatu na Yesu mwenyewe,lakini Mtumishi piga ua tunahitaji kwenda shule kw dhumuni kubwa la kijfunza jinsi ya kumsaidia binadamu ambaye ana matatizo lukuki,,,nakuunga mkono sana na kazi yako unayofanya lakini vilevile ukienda shule utafanya kazi AMungu kitaalamu zaidi,ni hoja yangu ninayowaza moyoni
@danielkalungwana5404
@danielkalungwana5404 Год назад
Niwachachesana wenye ujasili wakuagamsiba mzitokama huutena wamtoto kuagakwanamnahii nimtupekeemwenyeimani ndoanaweza Mungu akutie nguvu
@ShangweWaziry
@ShangweWaziry 2 месяца назад
😭😭😭😭kama duh ningum sana bila msaada wa MUNGU ni jambo gum sana Hilo Mungu awape nguvu🙏🎂
@AngelAfric
@AngelAfric 2 года назад
kwa imani hii Mungu atawapa mwingine. Mungu azidi kuwatia nguvu na kuwafariji mtumishi
@AllyHassanJoho
@AllyHassanJoho 6 месяцев назад
Wew ni shujaa mbarikiwa mimi kwa haraharaka nisingeweza
@oscarmkumbo7451
@oscarmkumbo7451 2 года назад
Hakika ujasiri ulionao ni imani kubwa uliyonayo kwa Mungu wako " Mungu akupe nguvu Mch.
@harrietajiambo229
@harrietajiambo229 Год назад
Mtumishi wa Mungu Mungu awafunge mkanda na awafute machozi ila uko na Imani thabithi naye Mungu anasema tushukuru kwa kila jambo
@GeorgeEbake
@GeorgeEbake Год назад
Sijawai kuona. Mungu ni mwema
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 3 месяца назад
Kwa Mwaka Sege Pia ,Alikuwa Jasiri
@JuhudiMisitoni
@JuhudiMisitoni Месяц назад
Mungu atakuonyesha
@JoyceJulius-r6g
@JoyceJulius-r6g 2 месяца назад
Mungu ndie mtenda yote wale wote waliofanya hivi mungu atalipa polen sana
@fridafrancis1960
@fridafrancis1960 Год назад
Niseme tu si Kwa nguvu zenu ila ni MUNGU WETU WA MAJESHI amewatia nguvu mbarikiwe sana.
@sekelajackob2905
@sekelajackob2905 2 года назад
Poleni sana familia ya Mtumishi wa Mungu,hakika kuna Watu Mungu anajivunia
@cornelgwarda3849
@cornelgwarda3849 2 года назад
Mbarikiwa unauheri kwa kazi unayofanya natamani ningewez
@felisternjeru9196
@felisternjeru9196 Год назад
Pole sana mtumishi...twakupenda sana. Ako salama amemuona Yesu
@nurumbongo7556
@nurumbongo7556 2 года назад
Ubarikiwe baba Linda imani ni kipimo chaji
@محمدالقايد-د6ب
@محمدالقايد-د6ب 2 года назад
😭😭😭😭 Mungu Ni mwema Kila wakati hachelewi wala hawai ndiyo alivyo Mungu wetu
@furahamwatwinza9560
@furahamwatwinza9560 Год назад
Inahitaji nguvu sana ya Mungu mahali kama hapa,,,watumishi poleni,kaeni kimyaa
@josephenerika5891
@josephenerika5891 2 года назад
Eeehhh Roho wa Mungu wafariji na ujidhihirishe kwao siku zote za maisha yao.
@elizabethswai7777
@elizabethswai7777 Год назад
Mama ni mama tuu,,,,,anaumia mno,,,,Mungu ni faraja tosha❤
@joelmoses3789
@joelmoses3789 2 года назад
Hii inahiyajika nguvu kubwa sana kutoka kwa Mungu Mungu Mungu wetu wa mbingini JEHOVAH. Sio kitu rahisi sana kibinadamu. Barikiwa sana mtumishi. Na ndugu yetu apate pumzika salama penye heri kuu.
@June-dq6pr
@June-dq6pr Год назад
No matter wat they do it cannot bring our faith down he will still be God the powerful God
@costasignol6505
@costasignol6505 Год назад
Shujaa wa Imani,mungu akubariki.ayubu wa leo
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 Год назад
Uchungu wake anaumalizia kwa kuimba
@florabenjamin8306
@florabenjamin8306 Год назад
Pole sana mtumishi mungu akutie nguvu Kwa utukufu wake
@Mwasame_Official1
@Mwasame_Official1 2 месяца назад
Huyu ni mtumishi wa mungu kweli kweli ❤
@gib3888
@gib3888 Год назад
Mungu wetu uko wapi simama na mtumishi wako 🧎‍♂️🧎‍♂️🤲🤲🤲😭😭😭😭
@flowinmyamba950
@flowinmyamba950 Год назад
Kwa kweli unaheri mno mtumishi wa Mungu unajua kuchukua maumivu na magumu du. Mungu akupe wepesi.
@mako331
@mako331 2 года назад
This is a way of mourning too, Pole mtumishi
@peterkisanga8089
@peterkisanga8089 2 года назад
Pole sn mtumishi. Mungu akusimamie na akupatie Nguvu
@RoseMapunda-pd6vg
@RoseMapunda-pd6vg Год назад
Siwezi mimi nime fiwa hvi juz na mtoto wangu hata kumzika sijaweza hari yangu ilikuwa mbaya mno hongera wewe
@bahatimgaya4045
@bahatimgaya4045 5 месяцев назад
Aisee huyu Mungu tumwache aitwe Mungu; kamanda wa Yesu sipati picha kama ningekuwa mimi sijui kama ningeweza kweli.
@hendricksjohn6201
@hendricksjohn6201 8 месяцев назад
Mungu ni mwema Imani ni nguzo ya Maisha hakika mbarikiwa umetufunza kuwa na Iman ya kiroho
@monamweni1579
@monamweni1579 2 года назад
Baba mtumishi na mama mtumishii mungu awatie nguvu na awafariji kwa kipindi kingumu mnachokipitia
@petlomalamla2314
@petlomalamla2314 2 года назад
Pole Sana kaka mungu akufumnge mkanda tu dunian tuwapitaji
@happinessamaro1565
@happinessamaro1565 2 года назад
Pole sana Mungu awatie nguvu hakika ndani yenu yupo roho Mt
@zawadikwalazi6213
@zawadikwalazi6213 2 месяца назад
😢😢😢polen sana..❤❤❤
@StevenMutale-xt9yj
@StevenMutale-xt9yj 3 месяца назад
Mungu akusaidie kubariki kama alipo sidii kubariki
@Kefa-yw3jy
@Kefa-yw3jy 9 месяцев назад
Kilajambo linalipwa apapa duniani kwaimani natokee geleezani amen
@puritydaudi9752
@puritydaudi9752 2 года назад
😭😭😭😭duh sina la kusema ila Mungu awafariji😭😭😭😭😭😭 can't believe this😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@greysonmalila1296
@greysonmalila1296 Год назад
Huyu jamaa anauchu sana but njia anayotumia kuomboleza itamgariku sana mbeleni heri angelia uchungu upoe kiasi but hivo ataumia milele kuna siri kubwa sana kwenye kicheko cha uchungu😢😢😢😢 nashauri tu
@samwelnevele7796
@samwelnevele7796 Год назад
Pole ila simama kama mchungaji achana na siasa mungu hapendi michanganyo
@edwinelias8554
@edwinelias8554 Год назад
Hawa ndio watu Mungu anajivua kumsimangia shetani kwani kujaribiwa kwao kuna mpa mungu utukufu
@MarySimoni-tz3fm
@MarySimoni-tz3fm Год назад
Poleni mungu awatangulie
@JoyFull-w1l
@JoyFull-w1l 2 месяца назад
Aisee... sijawah ona iman ya namna hij😢
@ElizabethKisinga-k4v
@ElizabethKisinga-k4v 6 месяцев назад
Polen sana jaman 😢😢
@anethjackson512
@anethjackson512 2 месяца назад
Mungu akutie nguvu mtumishi wa Mungu😭😭
@HadijaJoseph-d1g
@HadijaJoseph-d1g 2 месяца назад
Pole sana kaka
@SikujuaEmmanuel-fj4mg
@SikujuaEmmanuel-fj4mg 11 месяцев назад
Duuuu!!!kweli kukaa na yesu ni kizuri hufariji faraja ya kweli,😭
@HellenkwambokaOtwori
@HellenkwambokaOtwori 6 месяцев назад
Pole mungu awafunge kamba ya kipekee
@dorakiyao4509
@dorakiyao4509 Год назад
Pole sana baba
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 2 года назад
Aiseeeeeeee ni Mungu ajitwalie utukufu wake kwa mtumishi wake
@margrethjonesmshana8555
@margrethjonesmshana8555 2 года назад
Eeh MUNGU WA MBINGUNI NAOMBA utangulie mbele yangu,Niko kama mtoto mchanga sielewi kipi ni kipi
@kishepuonlinetv
@kishepuonlinetv 2 года назад
Mungu nimwema kwahili nakwa yote tuyapitiayo asante yesu😭😭😭
@estershenene8787
@estershenene8787 2 года назад
Nimejifuza vitu ving sana kupitia wewe mutumish mung wa mbinguni aendelee kukulinda uwe na maisha maref ili cku moja hata mimi uniokoe ipasavyo
@re.emmanuelmdoe3345
@re.emmanuelmdoe3345 2 года назад
Utukufu Kwa Mungu JUU Amina 🔥🔥🙌
@amosjohn-of5sb
@amosjohn-of5sb Год назад
Pole mtumishi
@mkritowamungu
@mkritowamungu Год назад
😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏Ameeen.
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 Месяц назад
IT'S 🆗 MR AND MRS MBARIKIWA!!!""IT'S 🆗 "🙏🙏🙏
@GodfreyMakala
@GodfreyMakala 4 месяца назад
Mungu awatie nguvu
@mariamthomas3902
@mariamthomas3902 2 года назад
Amen baba nimejifunza
@elinathanikunguni-gi2tn
@elinathanikunguni-gi2tn Год назад
Pole sana mchungaji
@jeremiahwilliam1452
@jeremiahwilliam1452 2 года назад
Hakika we Ni kamanda wa yesu kwa uhodari ushujaa pia na Imani pamoja natumaini kuu
@giftsokolo3
@giftsokolo3 Год назад
Japo it's soo painful 😭💔 mweee Mungu n mwema always
@kenonpeter3692
@kenonpeter3692 7 месяцев назад
Mungu akutienguvu
@masavumwende
@masavumwende Год назад
Mungu akupe watoto wengine kama Job
@HappyHappy-bz2bv
@HappyHappy-bz2bv 2 года назад
Mungu akubalik sana na pole sana
@BahatiBirro
@BahatiBirro 11 месяцев назад
Polesana. Yote ni mapitotuu.😢😢😢
@TanaMidundo
@TanaMidundo 10 месяцев назад
Hakika mungu awatie nguvu
@chademaelfhasmolell
@chademaelfhasmolell Год назад
Mungu yupo atakulipaa
@MnyamaTolu-kd5ct
@MnyamaTolu-kd5ct 4 месяца назад
Mungu yupo ndan yako
@Praiseandgift4181
@Praiseandgift4181 2 года назад
Furaha gani mungu kumpa mtumishi wake nguvu ya kummuomboleza mwanae,pumzika kwa amani
@JoyceJulius-r6g
@JoyceJulius-r6g 2 месяца назад
Aisee yataka ujasili mkubwa sana na nguvu ya mungu
@isdoryhenry-bh5kk
@isdoryhenry-bh5kk Год назад
poleni sana inaumiza sana
@samiramawby1257
@samiramawby1257 Год назад
POLE SANA,,,BWANA YESU alipokea mali yake hakika🙏
@2012SporahVenance
@2012SporahVenance 2 года назад
Ujasiri wa ki Mungu ulionao usipungue daima.
@hilaliusjohn8386
@hilaliusjohn8386 Год назад
Pole Sana wanafamilia
@pauloropian2367
@pauloropian2367 2 года назад
Mungu akufariji mtumishi.
@gapserminja5215
@gapserminja5215 2 года назад
Poleni sana mchungaji mungu awabariki Sana🙏
@MamaDieudonne-mq2sq
@MamaDieudonne-mq2sq 2 месяца назад
Nambiya jamani Congo tupate watu kama hawa
@indalesiohenery6124
@indalesiohenery6124 Год назад
Sijawahi kuona mtumishi wa MUNGU mwenye ujasili kama huyu hakika ,
@mariacharles4698
@mariacharles4698 2 года назад
Kwa kibinadamu ni ngumu wapendwa mungu anajua kusudi Hilo pole mtumishi wa Mungu
@husa8849
@husa8849 5 месяцев назад
Mungu nimwema kwawujasili uliwonao
@prosperjuma905
@prosperjuma905 Год назад
Imani ni kitu kingine aise
Далее
Думайте сами блин
18:15
Просмотров 468 тыс.
3 лайфхака для УШМ
01:00
Просмотров 292 тыс.