Jamaa jasiri Sana inahitajika nguvu ya mungu Sana kustahimili msiba mzito kama huu hakika unafaa kuingwa umeufariji umati mkubwa Sana kwa nyimbo nzuri za kumsifu mungu.
Ndugu zangu poleni sana, nimebarikiwa sana na ibada hii, nawaombeni namba za mtumishi huyu tafadhali kama ina wezekana, dada pumzika kwa amani tupo nyuma yako.
Hakika sifa na utukufu kwa Mungu!! Amewapa moyo wa ushujaaa, kusistahimil maumivu makali kama haya!! Ni lazima uwe umejitoa kwel kwel kwa Mungu wako!! Mungu azid kuwatia nguvu ktk kaz yake watumishi wa Mungu!! Hakika mmeokoka kwel kwel , weng tunashindwa matukio kam haya huwa tunaona kama Mungu amekuacha!! Tunasahau inatubid kushukuru kwa kila jambo, hakika nimebarikiwa na iman yenu kwa Mungu!! Mmenitia nguvu, Mungu wa mbinguni azid kuwainua kweny viwango vingine !! Amen amen!! Tutaonana mbingun mdog wangu Wokovu!! Safar yako umeimaliza!!
Mtumishi umeongea mambo mengi kuhusu shule,najiuliza kama kweli kuna umuhimu wa Mtumishi wa Mungu kwenda shule,na huko shule anaenda kusoma nini,nikajiuliza kama Paulo alikuwa na elimu na Je wakina Petro walikuwa na elimu gani?inawezekana wanafunzi wa Yesu walipelekwa shule miaka mitatu na Yesu mwenyewe,lakini Mtumishi piga ua tunahitaji kwenda shule kw dhumuni kubwa la kijfunza jinsi ya kumsaidia binadamu ambaye ana matatizo lukuki,,,nakuunga mkono sana na kazi yako unayofanya lakini vilevile ukienda shule utafanya kazi AMungu kitaalamu zaidi,ni hoja yangu ninayowaza moyoni
Hii inahiyajika nguvu kubwa sana kutoka kwa Mungu Mungu Mungu wetu wa mbingini JEHOVAH. Sio kitu rahisi sana kibinadamu. Barikiwa sana mtumishi. Na ndugu yetu apate pumzika salama penye heri kuu.
Huyu jamaa anauchu sana but njia anayotumia kuomboleza itamgariku sana mbeleni heri angelia uchungu upoe kiasi but hivo ataumia milele kuna siri kubwa sana kwenye kicheko cha uchungu😢😢😢😢 nashauri tu