Тёмный

KAMISHNA MKUU WA TRA AFANYA MSAKO WA MASHINE ZA EFD KWENYE MADUKA-BUNDA 

TRA ONLINE TV
Подписаться 11 тыс.
Просмотров 47 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 38   
@pendokatindasa2281
@pendokatindasa2281 5 лет назад
Hiyo ndiyo Elimu nzuri kwa mlipa kodi. Hongera Kichere.
@frankkahimba1248
@frankkahimba1248 6 лет назад
Nimependa sana kazi ya huyu kiongozi, hawa ndo watu wanatakiwa ktk nchi hii.
@ramadhanijumanne94
@ramadhanijumanne94 6 лет назад
Kiongozi mwenye hekima iliyotukuk utumii cheo vibaya.Mungu akujalie moyo wa namna iyo
@surgeondoctor16
@surgeondoctor16 6 лет назад
Moja ya kiongozi mwenye Hekima na busara ..hata mm nitaanza kutumia kwa sababu anatuelewesha vizur...hatumii nguvu kama hao wengine...barikiwa sana ...tungewapata 20 kama nyie taifa lingesonga mbele
@jumakapora2691
@jumakapora2691 5 лет назад
Wakamate. kwanza. ayo. vijana. wako. mzee. nimependa. sana. busala. zako. mungu. akulinde. '''''''''
@johnshirima4547
@johnshirima4547 6 лет назад
pongezi mkuu kwa kuwajibika ktk uzalendo wa kujenga Tanzania mpya
@yahyamajid9924
@yahyamajid9924 6 лет назад
Kamishna una Busara sana, Mungu akuzidishie.
@dr.erickjmazyala8905
@dr.erickjmazyala8905 6 лет назад
Du mheshimiwa safi sana, ila fanya mazoezi zaidi ili taifa lizidi kukutumia zaidi mkuu!
@youngassaidy7845
@youngassaidy7845 6 лет назад
Jmn me nimempenda bure uyuuu kiongozii sikujuaga kama Tanzania kuna viongozi kama awaaa jmn daaah
@salmadashlaquimanelaquiman4427
Kaz nzr
@eliasjillanga999
@eliasjillanga999 6 лет назад
Tungewapata watu kama hawa 50 Nazan tungekuwa mbali sana kwa hii Tz, yetu
@uledimtumwa3045
@uledimtumwa3045 6 лет назад
Watumishi wa TRA ndio wanaokwamisha, haiwezekani mtu kalipia machine lakini inapita miaka zaidi ya miwili mtu hapewi huo ni wizi na ufisadi mkubwa.
@frankjoseph6213
@frankjoseph6213 6 лет назад
sawa sawa Mkubwa mkikaa hivi Tra sasa mkovizuri
@johnmassenge6683
@johnmassenge6683 5 лет назад
Frank Joseph Kwanini mnabagua biashara za kutoa mashine niseme ukweli napenda sana kulipa kodi ,kama kodi nirafiki hivyo ila wakadiriaji wanakomoa watu wanafilisika serikali inakosa na mfanyabiashara analalimika kuuza kwa kujificha ,kodi ikiwa rafiki kila mfanya biashara atalipa
@qaboossaid2259
@qaboossaid2259 5 лет назад
Isee huyu bosi nimemuelewa sana,ni mkweli sana
@leith87seif55
@leith87seif55 6 лет назад
Hapana hela ya mashine hairudishwi hata ukiwaambia wakati wa kufanyiwa assesment anakwambia lipia kodi kwanza hizo hela za mashine utalipwa baadae
@francisibrahim2206
@francisibrahim2206 5 лет назад
Wafanya biashara wamelipia kupata machine za EFD lakini bado hawajapelekewa, hivi hawa tra kanda wanafanya kazi gani?
@saidizuberi8173
@saidizuberi8173 6 лет назад
afisa kaliakoo tunakamatwa sana hatupati risit halali rushwa imekithili
@immamlowe7151
@immamlowe7151 6 лет назад
Kusanya kodi ili nchi isonge mbele kimaendeleo
@wcbwanatishakiranikirudiab2349
Asante san viyongozi wetu
@johnsonestomihiminja3055
@johnsonestomihiminja3055 6 лет назад
Welldone.
@williamkipondamali1936
@williamkipondamali1936 6 лет назад
nimeipenda sana Mkuu TRA
@godfreyntangana7883
@godfreyntangana7883 6 лет назад
Kaka uko vizuri tatzo ni watendaji wako wanakaa maofisini hawapiti mitaani kufanya ukaguzi kuna wengne hata tini hawana nakazi wanafanya na tra wapo
@richardsanga7158
@richardsanga7158 5 лет назад
TRA MAKAO MAKUU TEMBELEENI MPWAPWA DODOMA KUNA MADUKA HAYATUMII MASHINE NA YAPO STENDI KABISA
@mchilangaakomwaninyoyakwe8399
Vibaka
@boniphacetv739
@boniphacetv739 6 лет назад
Daah Aisee piga kaz
@williamkipondamali1936
@williamkipondamali1936 6 лет назад
Wangekuwa watendaji wote wa TRA wapo kama wewe Mkuu hakika pasingekuwepo na uwoga na TRA, maana unanihamasisha kulipa kodi vizuri
@ashminaabdullah5626
@ashminaabdullah5626 6 лет назад
Wakosa c wauza maduka ila ao wafanyakazi wako
@pasclausikelemenc5411
@pasclausikelemenc5411 6 лет назад
yukosafi
@josephsaghana1056
@josephsaghana1056 6 лет назад
Mkuu naiona nia yako ya kumsaidia JPM msaidie kwa nia hiyo baba coz nia ya mzee ni njema hajengi kwake anaijenga Tanzania yetu kwaajiri ya sisi watanzania elimu yakulipa kodi mzee bado inahitajika sana sio kwawafanya biashara ila kwa sisi walaji tunapaswa kuelimishwa sana tena kwa juhudi za makusidi ili kusukuma jambo hili najuwa mweshimia mkimpa mkakati safi ni mdau safi plz msaidieni ili inchi imove forward. Pili watumishi wako waacha ujinga flani wakusingizia Serikali wanapodai kodi "ndio serikali mulioichagua umieni tuu" please wawe na lugha rafiki kwawafanya biashara na wajuwe sheria zipo ilizifuatwe na sivinginevyo .Mwisho tulipe kodi kwa maendeleo ya Tanzania yetu nzuri.
@abdallahsalum6449
@abdallahsalum6449 6 лет назад
huyu kamishna mtu mwenye burara na hekima na kwenye uwezo wa kumuelimisha mtu akalipa kodi bila kuvutana
@saidizuberi8173
@saidizuberi8173 6 лет назад
afisa hongera kazi nzuri
@mansourbasleman5291
@mansourbasleman5291 5 лет назад
Wangekuwa wafanyakazi wa TRA wote wapo kama muheshimiwa huyu natumai wangekusanya pesa nyingi lakini hawa wafanyakazi wa chini vitisho na hawakupi elimu sahihi hongera kiongozi
@hamadshein935
@hamadshein935 6 лет назад
UMKAMATE ULIE MPA UZABUNI WA KUSAMBAZA MASHINE CO ALIO LIPIA.JAMAN KWN YEYE ANAMAKOSA UMECMA ANUNUE KANUNUA HAJAPEWA SASA.
@priscapaul1922
@priscapaul1922 5 лет назад
Hamad Shein Nikwer
@nicholausmakundi2663
@nicholausmakundi2663 6 лет назад
Hahahahah toka 2015-18 hapatikani 😂😂
@aligmohammed3738
@aligmohammed3738 6 лет назад
is called ATR MASHINE. NOT FD
Далее
TRA YABAINI MBINU INAYOTUMIKA KUKWEPA KODI KARIAKOO
2:21
skibidi toilet 77 (part 4)
05:20
Просмотров 13 млн
🎙А НЕ СПЕТЬ ли мне ПЕСНЮ?🕺🏼
3:06:10
Mambo 5  Ya Kufanya Kila Siku Kama Unataka Kufanikiwa
21:53
The World’s Most Terrifying Spyware | Investigators
10:20
skibidi toilet 77 (part 4)
05:20
Просмотров 13 млн