Wallahi Shukran sana AbuShuraim kwani unasaidia watu wakati wewe mwenyewe uke ugenini na pengine huenda unahitaji kusaidiwa mwenyewe kwa mambo na mipango na maisha ya hapo Surat, India...nakupa hongera na yote hayo si mimi peke yangu naona bidii yako bali watu wote ulimwenguni na zaidi Allah subhanahu wa ta'aala.
Shukran ndugu Fauz Karama kwa kutupa ukweli na tunakuombea wewe na ukhti wako mufanikiwe na Abushuraim wetu na Mamake pia wafanikiwe na Mola awahifadhi nyote.