Huwa nakumbuka sana Miaka 2010 hadi 2014 familia yangu tulikuwa tunapitia wakati mgumu sana, tulikuwa na maisha yasio elezeka, tulipitia ugumu ambao hauluwa wakawaida, tuliiisha maisha yawasionahaki Lakini nyimbo mbili tyuuuu tiziiimba kila kulipo kucha kila kulipo kuchwa Wimbo 20 MUNGU wetu yeye mwamba pamoja nahuuu wimbo Na hadi sasa nnapo uimba huuuu wimbo najionaga nimtu ninae stahi kuimba sikuzote hizi nyimbo Asante MUNGU kwaupendo wako wapekeee... Hakika mimi nimeuona mkono wako🙏🙏🙏
I remember this hymn when I was baptized to be an Adventist in Morogoro. Some tears are flowing on my cheeks coz I went off the Christ's way. Am now back ".Lord heal me and give me eternal life. Amen."
"The steps of a good man are ordered by the Lord: and he delighteth in his way. Though he fall, he shall not be utterly cast down: for the Lord upholdeth him with his hand." Psalms 37:23-24 May our good Lord and Saviour walk with you.
Kila ninapo sikiliza wimbo huu huwa naikumbuka sana familia yangu, kwani kila siku jion tukiwa tumekaa kwa pamoja tulikuwa tukiuimba sana. Nakupenda sana mama angu pia ndungu zangu. Kaa karibu na familia yangu Mungu wangu.🙏
This song reminds me of my childhood church life. Our church on the hill! Sounds of loudspeaker would alert me that sabbath school is on and I need to reach the church faster than my legs could take me!
Kila ninaposikiliza huu wimbo namkumbuka sana rafiki yangu alikuwa anaupenda sana kabla ya kuingia kwenye maombi lazima aimbe huu wimbo endelea kupumzika kwa amani rafiki yangu
When my daddy coffin was entering church,this song was sang..tearfull moment that I will never forget.Came to realise that my daddy has really left us,dear Baba your missed alot..Through it all I say "Hata kama yote ni mabaya asante Yesu🙏🙏"
Tuongoze Mungu tuwe na wewe karibu zaidi hasa ktk kipindi hili cha janga la corona kwani kupitia janga hili pengine ni ukumbusho kwa wanadamu juu ya uasi wetu kwako!. ...Karibu na wewe...👏😱
Sorry there is hope if they have slept in the faith. I miss mine too, they used to sing at home even in the church my father was leading. The song is very touching
there is hope to meet them again across the river. i also hope to meet my father who really liked this song, especially when he played it with his keyboard.
how can i get this songs to inspire me please they touch my heart and feel like if i get them i will be near my LORD and thank his greatness that he has done me please
Je me rappel bien de cette chanson au jour de mon baptême et quant je suis dans les moment difficile de la vie les paroles de cette chanson me rassure.
Wakati Titanic ilipokua ikizama, kuna binti aliyeutunga wimbo huu kwa huzuni kubwa pale alipoitazama bahari isiyo na upeo na kufahamu kuwa mwanadamu hana uwezo wowote wa kumuokoa, titanic iliyoaminika haiwezizama ilishindwa kuwaokoa, heri binti huyu aliyefahamu kuwa ni mungu tu aliyekaribu nasi wakati wa shida, binti aliaga baharini akiwa na imani iliyomusongesha karibu na mungu, kisha akatuachia maneno haya ya uzima.
Nearer my God to thee, a question each has to ask, how nearer are you to your God?, this calls for self evaluation. God bless this singing group to be together.