Kila nafsi inaonja mauti akuna kafala wala nini Mungu alimleta dunia kwa kusudi lake na leo cku yake imefika ametangulia mbele za haki na pia hata mimi na wwe tunaokoment leo hii ipo cku na sisi tutakufa sasa sijui wazazi wetu au wake zetu watakuwa wametutoa kafara? Mungu atusaidie sana
Wapenfwa kila mtu ataondoka. Kila mtu atajibu mbele ya Mungu. Mungu ndie Hakimu wetu . Kwa nini tunajichosha? Kikubwa tumwabudu Mungu katika Roho na kweli . Pumzika salama Baba Jonathan
Mwamini Yesu , usikae mbali na Yesu wala neno la lake, hivi ndivyo ninavyofahamu, hiyo ndiyo iwe madhabahu yako, hizi zingine za watu fulani ziogope sana.
Hatukatai kafara zipo lakini na kifo Cha kawaida ya kibinadamu pia kipo Tena Sana tu hata uwe nani cku ipo nayo inakuja kwa kac kikubwa tumche Mungu tu.
Endelea wala usiache ni uchaguzi wako, jambo moja tu ujue Mungu haziakiwi apandacho mtu ndicho atakachovuna. Mimi nimeamua kumpenda sana Yesu na kumwani Yesu sio mwanadamu, wanadamu nawapenda sawasawa na agizo la Mungu. Kumbukumbu la Torati 30:19 Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima, ili uwe hai, wewe na uzao wako; I call heaven and earth to record this day against you, that I have set before you life and death, blessing and cursing: therefore choose life, that both thou and thy seed may live: Ufunuo wa Yohana 2:14 Lakini ninayo maneno machache juu yako, kwa kuwa unao huko watu washikao mafundisho ya Balaamu, yeye aliyemfundisha Balaki atie ukwazo mbele ya Waisraeli, kwamba wavile vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu, na kuzini. But I have a few things against thee, because thou hast there them that hold the doctrine of Balaam, who taught Balac to cast a stumblingblock before the children of Israel, to eat things sacrificed unto idols, and to commit fornication. Ufunuo wa Yohana 2:15 Vivyo hivyo wewe nawe unao watu wayashikao mafundisho ya Wanikolai vile vile. So hast thou also them that hold the doctrine of the Nicolaitans, which thing I hate. Ufunuo wa Yohana 2:16 Basi tubu; na usipotubu, naja kwako upesi, nami nitafanya vita juu yao kwa huo upanga wa kinywa changu. Repent; or else I will come unto thee quickly, and will fight against them with the sword of my mouth. Ufunuo wa Yohana 2:17 Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea. He that hath an ear, let him hear what the Spirit saith unto the churches; To him that overcometh will I give to eat of the hidden manna, and will give him a white stone, and in the stone a new name written, which no man knoweth saving he that receiveth it.
Shida moja wengi wamekuwa wakianzisha huduma wakiwa very nice kabisa lakin huduma inapokuwa nakuongezeka wanatoka rohoni nakuigeuza huduma kuwa biashara.
Ndugu zangu, hatuko duniani kuishi milele. Ukishamaliza kazi iliyokuleta, basi bila kujali umri wako au cheo chako n.k utaondoka duniani. Inapofikia kuondoka duniani haijalishi ni ugonjwa, ajali, mshtuko, kupigwa, kulala n.k utaondoka tu. Cha kujiuliza tu ni je unapoondoka humu duniani na kuuacha huu mwili uliokuwa vazi lako hapa duniani, UNAENDA WAPI!!???
Nimefatilia comment zenu wote but sjaelewa chochote kiukweli maana naona wote kila mtu anatetea upande wake,sjaona watumishi wa Mungu aliye hai ila wote ni watu mwamposa tu
Hata Mwamposa hafundishi watu wamwamini yeye bali Yesu na Hata mtu akija kushuhuudia pale madhabahuni kwamba alikuwa mgojwa sasa amepona Mwamposa as a semi mimi ndio niliokutendea ball Yesu sasa acheni hizo chuki zenuhazitowasaidia kitu
@@CadiaOnesmo Nadhani hujaelewa kwasababu hakuna madhabahu isiyokuwa na Mungu au mungu ilo aidha iwe ya nuru au ya giza ilo lazima ulielewe sasa msiwaze waze ujiga tu kwani kufa msaidizi wa Mwamposa ni jambo la ajabu? familia ngapi zinafiwa hapa duniani? mbona amshangai? ebu muwe makini na izo kauli zenu husijemkaukumiwa
channel kama hizi ni rahisi sana kuziblock nenda kwenye vidot vitatu katika hii video waliyopost then chagua report then tik misinformation youtube wataiblock ,ni ujinga sana wanachokifanya
Madhabahu au Mungu mkuu wa mbinguni ndiyo ngao . Kwani madhabahu bila Mungu kuwapo kwa hiyo madhabahu ina nini? Ni andiko gani limesema madhabahu ndio ngao? Tena hizi madhabahu za watu wa mjini wengi wajanja weweeee 😂!
Sasa hapo utata upo wapi. Uliyeandika ni kichefuchefu. Halafu nyie mnapewa kichwa kuitwa WAANDISHI. Wewe ni mroookaji mtandaoni. Kifo kipo tu mn mtu akifa mnatafuta justification ya kifo. Yani ni kama mnaukumu. Akili mgando