@@Kakerluder ona sasa pesa itakavo jaa kwenye treasury yenu. mtalia madeni yenu and at the sametime Ruto ataweza boresha mambo. Huyu jamaa kaupiga mwingi sio mchezo
Hongereni aisee, tizi uchawa mwingi sana, hawa wenyewe wanajitoa tu hapa lakin kuna machawa wapo wanasikiliza kwa makini wakizidi kuongea ukweli kiundani wataambiwa wachochezi
Tanzania tunahitaji waandishi aina hii,mnaupiga mwingi sana kwa kutoa elimu kwa wananchi maana tumelala sana tunatakiwa kuamka ili kupata maendeleo zaidi👏👏
@@nassernasser1457 yetu hukuwa very disruptive. Lakini heri tupiganie haki zetu, badala ya kutulia eti ndio watu wa kutoka nchi zingine wasiende. Wakwende wakitaka kwenda. Muhimu ni vile sisi tunaishi.
Kenyan person has nothing to do in that studio. Si mnaona wote wana idea tofauti but they still can laugh at it!!!!@ in different way. That is Tanzania. Upole, ustaarabu na kujua kumsikilza mwingine anasema nini! Watanzania tuitunze hii vizuri sana. Kama yai.
@@joycelinelyimo-fenske8745 ulizozitaja ni sifa nzuri za kuiga kwa hao walioko studioni. Swali langu latokana na jinsi ulivyolinganisha wanatanzania na Wakenya, yamaanisha hamna ustaarabu huu kwa Wakenya?
Mnaongelea sana Kenya mbona ya kwetu Tanzania huwa hamna ujasiri wa kuyaongezea acheni unafiki ninyi watangazaji Ongeleeni ya hapa Tz muone kama watu wasiojulikana watawaacha salama Kenya na wakenya wanajitambua
@@yusufujemson9020 waambieni wachambuzi wetu waendelee kuchambua mpira tu Wasijiengeshe kwa siasa za Kenya Kama wanaweza wazungumzie za hapa kwetu wakione cha moto
Hapo ndipo wananishangazaga..wanaume wazima wanakaa kuongelea ya nchi jirani wakati hapo nyumbani kuna uchafu mwingi unaendelea ila wanakaa kimya..wanafiki wakubwa mbwa ninyi..mcheeww😡
Not True Mbona tumekuwa na 4 presidents before na inchi ilikuwa sawa tu. Huyu Ruto nimnafki sana kwanza alikuwa HAGUE international crimes court ICC kwa mauji mengi.. Tena muongo kweli kweli imagine hana dini kafiri must Go. Hatatuka kusambaziwa ukimwi sisi...
Lazima ruto atatuambia deni ya kenya walikopa ya nini na ilifanya miradi gani kwani hatuioni ndiyo tuwe tunatozwa kodi hadi na mapua. Bila hiyo audit ya deni ya nchi na nani wamekuwa wakiibia wakenya pesa,Ruto lazima ataenda. Mwizi
Dah sie mbali2 na Kenya..wenzetu hawa mpaka tuje tuwafikie na hali hii huku kwetu, mmmh inaitaji watu kujitoa haswa kumtafuta Mungu Atuambie wapi shimo liko kisha atoe suluhu na ifuatwe..bila hivo..tutawasikia hawa ndugu zetu jirani kwenye mavyombo tuu nchi yao ikileta mapinduzi mmmh
uchanganuzi wenyu umekomaa..wengine watamkejeli levo eti hakielewi kizungu ila hoja zake zinamake sense..Mimi kama mkenya nawapongeza kwa kukutanisha fikra na kauli zenu...mwisho ni kufuta uozo kwenye jamii afrika mashariki
Sijui kama munajua chenye munazungumza na hata hivo sherea au huru wenu sinui kama munakiijua munaongea vitu amna habari nazo ,hila mtu hapo anakielewa
Hii bana na tanzania tuige tuingie bungeni tule ubwabwa , nivae vazi la spika na mm nione utamu wake ikifika kuharibu mali zao aisee hawatabaki na hata kitu nitaakikisha navunja kila kitu hadi house girl wake maana tuna hasira nao san
😢Mlilazimisha watu wa soka waongelee siasa? Kenya muhula wa rais ni miaka tano, pia sio wabunge wote huchaguliwa wakiwa na chama wengine ni independent candidate. Nyie baki tu kwa Yanga na simba hii siasa ni ngumu
Kwanzaa kasome huwezi linganisha Tanzania na kenya.wakenya wanajielewa hata katika uchum kwa Sasa Kenya imesonga.katka currency Kenya yaongoza Africa nzima sio east Africa.jitu.lenyewe hujui hata haki yko km mtanzania.hujui hata katiba yako yasemaje.upo tuu.jua haki zako ndio urudi upinge
@@robertmosha6801 ....uliwaona kwenu wakija kuomba chakula.biashara nyingi Tanzania ni za wakenya mmeajiriwa na wakenya.hamna lolote zaidi ya kuvaa maderaa mpaka wanaume na kukata mauno.walio erevuka walileta watoto wao Kenya kusoma.wajinga wamebaki barabaran kuomba omba.omba omba wote walioko Kenya watanzani.hamna lolote ujinga mwing ndio mko nao
Mimi ni Mkenya. Hebu niwasaidie kuwaelewa wakenya. Mwanzo, Kenya hakuna vyama vyovyote vya kisiasa. Yaliyoko ni magenge ya kikabila, kila moja likiwa na kigogo mwenye kulimiliki. Hao wamiliki wa magenge ya kikabila ndio wanaopangana wenyewe namna ya kupatana au kutengana. Mtu akitaka kuwa mbunge, seneta au diwani lazima kwanza alipe kiingilio cha millioni kadhaa kwa huyo mumiliki mkuu (party leader) Wa chama au genge. Hivyo sasa naye mbunge, atadai malipo ya kupitisha kila mswaada kwenye mbunge au seneti. Wambunge wa Kenya ndio walio na marupurupu na mishahara mikubwa sana kuliko nchi nyingi duniani. Kwa mambo ya maandamano, kuna wahusika wengi wa kulipwa na wachache wa ukweli. Kunavyo vikundi vingi vya wanaharakati vinavyo fadhiliwa na wazungu. Wakati mwingine hizi vikundi huwa na ushirika na magenge ya kisiasa. Tatizo kubwa sana Kenya ni kwamba hatukupata ideology ya kitaifa. Wazungu walipoenda, tulibaki kuwa cocktail of different tribes sharing national facilities. Nī kama sokoni. Unipishe, nikupishe - unayo ya kwako, na mimi ya kwangu. Shida ingine ni kwamba, kama ilivyo kote Africa, uchumi wa Kenya unawavutia sana wazungu wenye ukora wa kupora rasilimali. Sekta za fedha na uwekezaji wa hisa inawavutia foreign speculators. Tena, kunayo shida ya IMF na Benki ya Dunia. Hao nao na magenge ya ukadarasi wa mikopo wako. Kuwaelewa hao inabidi uione video ya Al Jazeera iliyo na kichwa cha "What is an Economic Hitman?" Hata katika hayo yote, Kenya ni nchi iliyo na mazuri mengi. Kunaweza kuwa moto wa maandamano leo halafu kesho shughuli zinaendelea kama hakukuwa na shida. Hata kunaweza kuwa na maandamano upande mmoja wa mji hali maisha ya kawaida inaendelea upande mwengine.
Tanzania siasa hakuna tanzania ubabaishaji ni mwingi sana. Na ndio maana wananchi wa tanzania huwa wanadanganywa kwa mambo madogo madogo tu alafu wanakaa wanasifia makubwa ambayo hawana maana watanzania wangekuwa na moyo kama wa wakenya nafikiri mpaka sasa hivi nchi yao ingekuwa ishafika hatua fulani maana mambo mengi sana yanapatikana tanzania ambayo ni machafu sana na ni rais magufuli alijitahidi kuyasafisha kwa hatua kubwa sana na akafanikiwa na nafikiri labda angemaliza miaka yake mikumi angefanya mambo mengi sana tanzania. Lakini huyu mama waliyenaye kwa sasa hivi katika maraisi wa bovu afrika huyu mama ni wa kwanza maana hamna chochote kile anachokifanya zaidi ya kuzidi kuwaangamiza wananchi na kwa vile ashaona katika nchi yake gaidi hamna wanakubali tu ya aina fulani hivyo alafu maisha yanaenda hivyo. Angalia kama kazi anayoifanya makonda makonda ya kazi anayoyafanya kwa sasa hivi ni kuwapumbaza watanzania tu maana hakuna hata cha ajabu sana anachokifanya kwa watanzania zaidi ya kuwapumbaza na kuzidi kuonyesha sifa za mama ambazo hazina hata msingi wowote kwa wananchi sasa kweli hapo kuna namna ya kujilinganisha na kenya jibu ni hapana ndio maana siasa ya kenya na ya tanzania ni mambo mawili tofauti na kule kenya ndio chama kina nguvu lakini wananchi ndio wamekuwa waamuzi ila tanzania chama ndio kinaamua kila kitu kitakachofanyika katika nchi kitu ambacho muda mwingine ki madaraka sio sahihi. Kwa hiyo mnapokuwa mnajadili mambo ya ya kenya kwa sasa hivi angalieni nchi yenu kwanza jinsi gani ilivyo alafu msi linganishe siasa ya kenya ni ya tanzania nchi yenu inaishi tu kwa maneno lakini ukiangalia kiundani hamna lolote linaloendelea ndio maana magufuli alivyoingia alisema wazi kwamba serikalini hamna pesa anatakiwa kukusanya pesa na kweli alifanikiwa kuzikusanya na ndio kinachoendelea mpaka sasa hivi tena tanzania ingekuwa ni wakenya ule mkataba wa bandari wasingewakubali lakini watanzania walikubali na mambo ya kaenda sasa hivi wazungu wanaenjoy wanakuja kuchota wanaondoka
wanafanya kazi nzuri. Nimeona kuna watu kadha wa kadha wamegusia wazo la kukaribisha Mkenya angalau aliyeneutral aweze akaongezea mtazamo mwingine. Huenda jambo hilo likafanya mantiki ya mjadala kuwa yenye kufaa zaidi.
Halafu ahadi za maji,sukari na barabara ni upumbavu. Tunahitaji misingi sahii. Hatutaki kujazwa kwenye daladala kama kondoo. Tanzania yenyewe kitanuka tu. Ngoja hao ma gen z wajifunze kwa jirani
Tatizo la Afrika ni viongozi alisema CHINUA ACHEBE, Afrika itakombolewa na viongozi vijana kama Ibrahim Traore wa Burkina Faso hawa Marais wazee hawana maono tena zaidi ya unafiki na ufisadi kujipendekeza kwa wazungu kuogopa kuuliwa.
Tatizo lilianza zama sana waandishi wasema kweli walikuwa zamani sana wakauliwa waliobaki wengine at awajasomea uandishi kama baba levo wanapewa ajira yy watu wamejazana kindugu kwanzia serikalini akuna kitu kichwani empty head wasomi wanateseka kitaa watu hadi wanazeeka wanakufa kwenye kazi wasomi hawana ajira wanateseka kitaa hilo amlioni kulijadili
Muswaada mpaka unaenda bungeni waziri wa fedha na balaza la mawazi pamoja na raisi nachama tawala wanajua kinachopelekwa na wana baraka zote kwahiyo rais kulivunja balaza la mawaziri ni sahihi kwa hali ilipofikia Kenya
Somo la sheria Kenya kinaanza kuzungumziwa kuanzia masomo ya msingi ilihali pale Tz, somo hilo linapatikana chuo kikuu pekee, na ni kwa wale ambao waliochagua somo hilo
Sisi wakenya tunapenda Hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa kupunguza ukabila Tanzania. Sasa mutindo ni huo huo hata kwetu Kenya. Ukabila chafu sana.
Mfanye research kwanza kabla ya kujadili mambo . I can see alot of misinformation, cluelessness and ignorance. Otherwise good discussion though you need facts.
Oscar nimekuelewa na upo sahihi. RAIS kutoka madarakani ni jambo lisilowekana, kitakachowasaidia wekenye ni Raisi kutengeneza mifumo sahihi na ndio mahitaji ya wakenya. Viongozi wengi wanatakiwa kupata funzo kupitia hili.