Me kuna jambo nashindwa kulielewa mama yang anaitwa mariam na baba yangu anaitwa shabani katika mafundisho yako hizi herufi za mwanzo ni sahihi kabisa kwa kuoana ila hawa wazazi wang hawapo pamoja kwa kipindi kirefu sana kiasi kwamba nimejikuta nlelewa na mama ilihali baba yu hai NAOMBA KUJUA SHIDA NI NINI HASA KWA MAJINA HAYA YANAYOFANANA KUTENGANA