Тёмный

Kigogo Said Lugumi amuonesha Chief Godlove parking ya magari yake! Ni balaa, watu wana mkwanja! 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 10 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 128   
@drhenry4362
@drhenry4362 3 часа назад
Kama unaamini sky in the best presenter in East Africa likee ziwe za kutosha
@nelsonmrutu371
@nelsonmrutu371 3 часа назад
Hana mpinzani 🙌
@sambulugu9988
@sambulugu9988 2 часа назад
Mkali sijaona
@AgreyAckim-pt3wv
@AgreyAckim-pt3wv 2 часа назад
Heee utaatuuwaa baba ,kwa hayoo magar tusameehe baba tumekosaa 🙌🙌🙌🙌
@raydanfrenk
@raydanfrenk 3 часа назад
Lungumi namkumbuka sana nyumba zake zilipigwa mnada ila akamset Doct shika akaalibu mnada yule wa mia tisa itapendeza 😂😂 jamaa nilimkubali
@OnesmoEphrata
@OnesmoEphrata Час назад
Kumbe ndiye huyu jamaa ATOE MSAADA KWA WATOTO YATIMA SIYO KUJITAPA HAYA NI MAISHA HELP ME TODAY FADHILA NI KWA MUNGU AKITEMBELEA YATIMA NA KUWA SAIDIA ATA TAMANI KU UZA KILAKI2 ILI WANYONGE WAFURAHI NA KUMUOMBEA HUKO BAA HAPANA FADHILA YEYOTE BHALI KUONGEZA ZAMBI PEKEE
@vincej9275
@vincej9275 Час назад
​@@OnesmoEphrata kutoa ama kusaidia ni moyo na sio utajiri. Not all rich people like to give.
@MM-pb7fw
@MM-pb7fw Час назад
@@OnesmoEphrata unajuaje kama hatoi wewe kiazi??masikini bana..hela za watu unaanza kuzipangia matumizi..hao wanatoa wanasaidia masikini kila siku,ukiona mtu ana hela piga kimya katafute zako,ache mentality za kimasikini ukiona mtu ana hela mnaanza ooh akasaidie watu who told you hasaidii watu?
@KingsMoha-l9w
@KingsMoha-l9w 29 минут назад
Ilikuwa noma 😂😂😂
@OnesmoEphrata
@OnesmoEphrata 22 минуты назад
@@vincej9275 tatzo masharya F M C
@Zenny89
@Zenny89 2 часа назад
Kesho..Mwijaku na BabaLevo na viherehere vyao wataanza kumsumbua😂😂
@KingsMoha-l9w
@KingsMoha-l9w 25 минут назад
Shikamoo pesa noma sana
@CANIVATZ
@CANIVATZ 3 часа назад
sky Your The Best
@aubreykasoyaga1665
@aubreykasoyaga1665 51 минуту назад
Huyu jamaa alikuwa Supplier wa Tanesco.
@AdamCheze
@AdamCheze 2 часа назад
Huyu alikuwa tu CHAWA wa Ridhiwan Sasa Jiulize Huyo Ridhiwan Yupo Vipi
@TariqMussa-b4b
@TariqMussa-b4b 47 минут назад
gari zote namba E afu zinakula AC, kbabakeeee, sema haina noma kikubwa uzima🌍🌍
@beatricemshiu2816
@beatricemshiu2816 2 часа назад
Mwijaku asimuone huyu😂
@robertkellybergakifuvwesha3335
@robertkellybergakifuvwesha3335 2 часа назад
😂😂😂😂😂
@allymtunge5530
@allymtunge5530 Час назад
😅😅
@casiannyaki664
@casiannyaki664 Час назад
😂😂😂😂😂
@homeandaway2811
@homeandaway2811 36 минут назад
Huyu Lugumi si ana kesi? Mbona yupo huru au ndio pesa inaongea??😂😂😂😂
@shafee9128
@shafee9128 Час назад
Ukiangalia vizur utajifunza kitu wanataka kutumia mamaa kufanya mambo yao ya ujinga kwenye mazungumzo yao wanamtaja bi mkubwa mwisho wasiku inaletaga shida
@wizdady4727
@wizdady4727 Час назад
Daaah atarii vyuma vya hatarii
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 3 часа назад
Mia tisa itapendeza si ndo huyu nyumba zake zilipigwa mnada😂
@MITOBO
@MITOBO Час назад
Ndio uyu Ilikuwa mambo ya kuwapambaza watu tu
@joe_mziwanda
@joe_mziwanda 2 часа назад
Pow hamna noma asee
@OmaryHabibu-gs7ld
@OmaryHabibu-gs7ld 2 часа назад
Braza saidi hongera huna baya mzee wangu
@yomapavijadinu1804
@yomapavijadinu1804 3 часа назад
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@jamesmarumbo6820
@jamesmarumbo6820 57 минут назад
Fisadi lugumi kula maisha baba
@nelsonmrutu371
@nelsonmrutu371 2 часа назад
Lugumi 🙌
@bonifaceraphael9084
@bonifaceraphael9084 2 часа назад
Mzee mungu akupe maisha marefu pia akuepushe na husuda za walimwengu bado tunakuhitaji sana,ikikupendeza ndoto yangu kubwa ni kupata fursa japo ya kukuona lakini hadi sasa ni miaka kumi imefika but sikati tamaa naimani ipo siku nitafanikiwa kukuona panapo majariwa mzee wangu.
@deodathsilayo3639
@deodathsilayo3639 2 часа назад
😂😂ach uchawa wa mtandaon hatakuona nenda nyumban kwakwe
@MursalLusinde
@MursalLusinde 2 часа назад
Saidi lugumi tupo nae kijiji kimoja wilaya ya magu mwanza... haijalishi mali itakuja ktk njia ipi kikubwa ni kupambana bila kuchoka huwezi jua ipi itakua sabb ya kutoboa😢 kila mt ana siri ya mafanikio yake ambayo kamwe hawezi kuitoa kwa yeyote... kikubwa ni mapambano kama ni bahati au mengineyo yatakuja huko mbele kwa mbele
@deodathsilayo3639
@deodathsilayo3639 2 часа назад
Picha linaanza jamaa ameita v8 land cruiser taka taka we huogopi
@hundredcopies2719
@hundredcopies2719 2 часа назад
Alafu Utasikia Diamond anapesa hivi Unamjua LUGUMI vizuri ? Wasanii Wote unao wajua Ww wanamsujudia SAIDI LUGUMI 🙌
@davidpaschal778
@davidpaschal778 Час назад
Umeiyo scared apo😂😂😂
@mgendijr7380
@mgendijr7380 Час назад
Huyu lugumi aliwah kua na scendo,juu ya mkataba na jeshi la police kununua fingerprints machine na 2016 aliripotiwa ametoroka nchini baada ya issue kupigiwa kelele sana bungeni,.
@homeandaway2811
@homeandaway2811 34 минуты назад
Yes ni mtu wa mambo machafu machafu 😂😂😂😂
@BARAKA-ns3jv
@BARAKA-ns3jv 3 часа назад
Nashangaa harmonize anayelinga za range Rover wakati bakhresa Lori likiharibika kipuli kinaaagizwa ulaya ,Bora uyo kamuonyesha Kuna watu wanazo pesa na wapo.kimya Kimya kingi kina mshindo mkuu
@MussacharlesSongo
@MussacharlesSongo 2 часа назад
Ukijua maana ya hilo jina lugume.maana yake ni kiburi kwa jamaa ni noma
@suleimanjokoro
@suleimanjokoro 2 часа назад
Mwanadamu anajisahau Sana,Kuna siku atalala kimya hawezi kuinua hata ukucha,Mungu awasamehe😭
@NdituTV
@NdituTV Час назад
Kwan Mungu anataka watu masikini?
@mugishalaurian3311
@mugishalaurian3311 Час назад
Kwann masikini tunajiliwaza na kifo?😅
@amandomwamanda9000
@amandomwamanda9000 Час назад
Sasa kajisahau nini?kwani kuwa tajiri kuna tatizo?
@ZainaboKarunga
@ZainaboKarunga Час назад
Acha kujifariji na umasikin
@ZaftaZanzibar
@ZaftaZanzibar 32 минуты назад
Tafuta hela wewe kwa njia ya halali, chukia umasikini, usiwe na wivu na mafanikio ya mwenzako
@emmanuelelisha173
@emmanuelelisha173 2 часа назад
Kuga lazima
@mudywaya328
@mudywaya328 2 часа назад
hayondomaisha manzuli chifu tuamashishe vijana🔥
@DaudFataki
@DaudFataki 3 часа назад
Pesa zahekaheka hizo
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 2 часа назад
😂😂😂😂😂tena hekaheka mpk jasho
@BurterDreezy
@BurterDreezy Час назад
Kajala asimuone huyu baba😂
@benhanclove5997
@benhanclove5997 Час назад
Na akimuona amekwisha etii😂😂
@starjay3052
@starjay3052 48 минут назад
nimempendea uyu mzee anajua kutia moyo na ana maneno mazuli na sio ya kukatisha tamaa
@DaudFataki
@DaudFataki 3 часа назад
Ac ipokwenye pakin ya gali
@malundemedia
@malundemedia Час назад
😂😂😂chief kanyooshwa leo
@OmyCrez
@OmyCrez Час назад
Yani parking ya magari Kuna air condition macho Yako yanaona kama mimi😢😅
@bagumandongwe8566
@bagumandongwe8566 2 часа назад
Wala msibabaike kuna Siri nzito mno nyuma ya utajiri… uyaone tu kwa mcho wala usitamani kuwa kwenye viatu vyao…
@JeanMalilo
@JeanMalilo 2 часа назад
Umasikini utakuua we pimbi
@RATELFX
@RATELFX 2 часа назад
@@JeanMalilo aisee
@bagumandongwe8566
@bagumandongwe8566 2 часа назад
@@JeanMalilosijawahi sikia umasikini umeua mtu…. Ndio kusikia kutoka kwako
@bagumandongwe8566
@bagumandongwe8566 2 часа назад
@@JeanMalilona kwani hao matajiri hawafi au… au aliye tajiri huwa hafi?
@calvinmuhozi785
@calvinmuhozi785 2 часа назад
Shizo ni chuki zisizo na sababu. Kwa hiy kila mtu akiwa tajiri bac *"kuna siri nzito mno nyuma ya utajiri wake"* furahia mafanikio ya wenzako yakupe challange utafute yako sio unaanza kutafuta kasoroo mbavuu zakoo
@TeacherBoda
@TeacherBoda Час назад
Said Lugumi Mungu akuepushe na UTI. Ila Mi naomba niazime million 3 nikanunue boda ntakurudishia kidogo kidogo
@Angelandjustine
@Angelandjustine 3 часа назад
1
@OnesmoEphrata
@OnesmoEphrata Час назад
Saidia yatima baba siyo kujikosha kwa wenye nazo haya ni maisha kaka
@bonvivant3704
@bonvivant3704 56 минут назад
😂
@seifally7325
@seifally7325 13 минут назад
Saidi Lugumi anakifadhiri kituo cha watoto yatima bweni kawapa magari km yote Kuna macoaster, Alphard, hiace.... Allah amzidishie
@DavidKagulu
@DavidKagulu 2 часа назад
Tanzania chini ya ccm ni shamba la Bibi ukipata Chance unajipigia Hela za walipa Kodi,lugumi alipata tenda ya kufunga vifaa vya ukaguzi vituo vyote vya police bilioni 137,akafunga machine nane
@athumanijumanne4685
@athumanijumanne4685 Час назад
Kumbe unakumbua huyo jizi alivyo ipiga
@FrolenceRogath-fv6ku
@FrolenceRogath-fv6ku Час назад
Uyo mzee mfanya biashara
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 2 часа назад
Free mazon wenzake
@dhireshrajput548
@dhireshrajput548 3 часа назад
😇
@unjuusalvatory5331
@unjuusalvatory5331 2 часа назад
Mapambo yw dunia aw sio, unfortunately wote hatutofika 2070 tuishi kwa kiasi. Be proud in touching the lives of many less fortunate.....Bakhresa ana gar kma hizo na hawez fanya show off ju once u understand the wisdom of life, u keep t humble
@mainaimma1114
@mainaimma1114 2 часа назад
Kaka we unamiliki kingeleza tu
@RATELFX
@RATELFX 2 часа назад
@@mainaimma1114 mwambie atafute ela aache kijifanya mzungu na kingereza kingi
@unjuusalvatory5331
@unjuusalvatory5331 2 часа назад
@@mainaimma1114 kiingereza ni lugha tu jomba kila mtu anamiliki, au ulitaka kuelezea nn mkuu. Kuhusu kuwa pesa Iko hapa hapa dunian Kuna njia nying halali na haramu za kutafuta na wote tunazijua ni suala la maamuz tu, haipaswi kujidharau aw kumdharau au kumtukuza mtu yeyote wote tuko kwa jili ya plan za Mungu
@alishomar7549
@alishomar7549 2 часа назад
Sio lazima kila mtu na jins alivo,, mjuu wa bakheresa #zayed bakhresa ana show off,,, week ilopita alipost yupo na huyu huyu Lugumi🙏 , in case mwache km ana kosea atamalizana na MUNGU
@abuykhalifa5727
@abuykhalifa5727 2 часа назад
​@@mainaimma1114😂😂😂😂😂😂
@FredrickMatiku-xf2uk
@FredrickMatiku-xf2uk 2 часа назад
Huyu sio p.didy wa bongooo jamaniiii vijana wataanza kwenda kwake kuangalia movie yuko bongooo hiii hiii au marekaniiii magariiii yanapigwa A/c tu baridi vijana wanapigwa na jua kali linachomaaa
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 3 часа назад
Dah! Ndo nimetoka kutuma 7000 ya boss wangu boda mkataba, anamdomo uyo nisipotuma😂 natamani aione hii video😢
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 3 часа назад
😂😂😂
@redtk2971
@redtk2971 2 часа назад
Sio ana mdomo ni haki yake akicheka na binadamu yatamkuta ya mzee makosa
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb Час назад
Ni haki yake ndo 7000 ni kubwa
@collinmorgan9992
@collinmorgan9992 Час назад
Alienda kufirwa na lugumi mtoto wa kiume unapewa marashi na mwanaume mwenzako 😂😂😂
@mwakiosalim2914
@mwakiosalim2914 Час назад
Fkira za kimasikini 😂😂 taduta hela uwache chuki
@jebace
@jebace 3 часа назад
kweli paka akitoka panya hutawala wakati wa anko magu wote waliufyata mkia saizi ndio hoo mi tajiri pupambavu wizi mtuupu😂
@nestor384
@nestor384 2 часа назад
Well said
@RATELFX
@RATELFX 2 часа назад
fanya wizi na ww sasa😁😁
@evancemoevt8597
@evancemoevt8597 Час назад
Kama kuiba Rahisi nawe Kaibe Utajirike !!!😂😂
@TariqMussa-b4b
@TariqMussa-b4b 33 минуты назад
​@@RATELFXukiona mtu anaiba yupo very smart hakuna kazi inahitaji akili na hesabu nyingi kama kuiba, mtu aliye nacho mheshimu tu.. ukitaka kuamini jaribu utakosa hata pa kuanzia🌍🌍😂😂😂💰
@TariqMussa-b4b
@TariqMussa-b4b 32 минуты назад
​@@evancemoevt8597​@RATELFX ukiona mtu anaiba yupo very smart hakuna kazi inahitaji akili na hesabu nyingi kama kuiba, mtu aliye nacho mheshimu tu.. ukitaka kuamini jaribu utakosa hata pa kuanzia
@FrolenceRogath-fv6ku
@FrolenceRogath-fv6ku Час назад
Mzee uyo mfanya biashara ww kalia kulialia
@nassibkhalid7553
@nassibkhalid7553 3 часа назад
Matajr wanenepi
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 2 часа назад
UZURI NI KWAMBA WOTE TUTAKIFA😂😂😂😂
@moriscollins4494
@moriscollins4494 2 часа назад
Mwisho wa mawazo ya masikini
@OmyCrez
@OmyCrez Час назад
Masikini hakosi la kusema😂😂
@nassirali7499
@nassirali7499 2 часа назад
Kuna day atakupa mafuta pia.
@ShukuruSemwenda
@ShukuruSemwenda 3 часа назад
Watu wanamaisha
@emmanuelelisha173
@emmanuelelisha173 2 часа назад
Waamke je wakati kuna kashfa za wizara ya mambo ya ndani Kyle?
@DicksonKatwiga
@DicksonKatwiga 2 часа назад
Wakwetu magu town tz
@michaelmaziku991
@michaelmaziku991 2 часа назад
Dogo angalia hao wazee wasije waka ku P didy
@OmyCrez
@OmyCrez Час назад
Hadi huku inanukia hiyo pafume
@TryphonRabson
@TryphonRabson 2 часа назад
Watu wenye pesa hawana matumbo makubwa a.k.a vitambi wala hawana minyama nyama, ukiona mtu ananenepeana kisa anavisent ujue akili yake ni ndogo haiwaz makubwa 😅😅😅
@makepoundbemillionire9688
@makepoundbemillionire9688 Час назад
Wew ni genius niamini mimi fight bro utafika mbali
@sambulugu9988
@sambulugu9988 2 часа назад
Lugumi mtoto wa Magu-Mwanza
@ManchesterTz
@ManchesterTz 2 часа назад
Alafu awa jamaa hawana WAKE. Chief G .....sijawai hona kuwa na demu Lugumi......Hana pia ......Why or ndo Unafanikiwa...
@chacha-255
@chacha-255 2 часа назад
matajiri wengi hii aina ya wapiga dili na wajanja wajanja wa town wanakimbia ndoa ili kulinda mali zao, wanaogopa pasu kwa pasu na hofu ya kuuliwa
@xseries1662
@xseries1662 2 часа назад
Hahahha jmaaa wew nimefulai
@Darian2550
@Darian2550 2 часа назад
Hv YONO si waliziuza zile nyumba za huyu dingilii?
@calvin6445
@calvin6445 2 часа назад
Lugumi naomba niwe chawa wako
@OmariNgurangwa
@OmariNgurangwa 2 часа назад
Unga uwooooooo
@chacha-255
@chacha-255 2 часа назад
ni mfanyabiashara wa silaha
@redtk2971
@redtk2971 2 часа назад
HAHA HII DUNIA KUNA MTU ATAJIFANYA KAMA ANAKUONYESHA KITU KIRAFIKI VILE KUMBE ANAKUKEBEI KUWA KIJANA UNAVOPIGA KELELE JUA KWAMBA KUNA WATU TUNAVYO ZAIDI YAKO FATILIA VIDEO HII JINSI LUGUMI ANAVOMUITA NA KUMVUTA DOGO GODY AKAJIONEE MIKEBE ILIVONUNA PARKING😂😂
@AdamCheze
@AdamCheze 2 часа назад
Lugumi ni mtu ambaye alipata pesa baada ya ufisadi uliofanyika wakat wa JK kwa kupewa tenda ya kufunga kamera ndani ya vituo vya polisi
@FrolenceRogath-fv6ku
@FrolenceRogath-fv6ku Час назад
We uyo mzee humjui kaakimya
@mgendijr7380
@mgendijr7380 59 минут назад
Ndio ivo hajakosea labda kama wew ndo humjui​@@FrolenceRogath-fv6ku
@emmanuelelisha173
@emmanuelelisha173 3 часа назад
Kuga lazima
Далее
3 лайфхака для УШМ
01:00
Просмотров 292 тыс.
Купил КЛОУНА на DEEP WEB !
35:51
Просмотров 1,5 млн
3 лайфхака для УШМ
01:00
Просмотров 292 тыс.