Kumbe ndiye huyu jamaa ATOE MSAADA KWA WATOTO YATIMA SIYO KUJITAPA HAYA NI MAISHA HELP ME TODAY FADHILA NI KWA MUNGU AKITEMBELEA YATIMA NA KUWA SAIDIA ATA TAMANI KU UZA KILAKI2 ILI WANYONGE WAFURAHI NA KUMUOMBEA HUKO BAA HAPANA FADHILA YEYOTE BHALI KUONGEZA ZAMBI PEKEE
@@OnesmoEphrata unajuaje kama hatoi wewe kiazi??masikini bana..hela za watu unaanza kuzipangia matumizi..hao wanatoa wanasaidia masikini kila siku,ukiona mtu ana hela piga kimya katafute zako,ache mentality za kimasikini ukiona mtu ana hela mnaanza ooh akasaidie watu who told you hasaidii watu?
Ukiangalia vizur utajifunza kitu wanataka kutumia mamaa kufanya mambo yao ya ujinga kwenye mazungumzo yao wanamtaja bi mkubwa mwisho wasiku inaletaga shida
Mzee mungu akupe maisha marefu pia akuepushe na husuda za walimwengu bado tunakuhitaji sana,ikikupendeza ndoto yangu kubwa ni kupata fursa japo ya kukuona lakini hadi sasa ni miaka kumi imefika but sikati tamaa naimani ipo siku nitafanikiwa kukuona panapo majariwa mzee wangu.
Saidi lugumi tupo nae kijiji kimoja wilaya ya magu mwanza... haijalishi mali itakuja ktk njia ipi kikubwa ni kupambana bila kuchoka huwezi jua ipi itakua sabb ya kutoboa😢 kila mt ana siri ya mafanikio yake ambayo kamwe hawezi kuitoa kwa yeyote... kikubwa ni mapambano kama ni bahati au mengineyo yatakuja huko mbele kwa mbele
Huyu lugumi aliwah kua na scendo,juu ya mkataba na jeshi la police kununua fingerprints machine na 2016 aliripotiwa ametoroka nchini baada ya issue kupigiwa kelele sana bungeni,.
Nashangaa harmonize anayelinga za range Rover wakati bakhresa Lori likiharibika kipuli kinaaagizwa ulaya ,Bora uyo kamuonyesha Kuna watu wanazo pesa na wapo.kimya Kimya kingi kina mshindo mkuu
Shizo ni chuki zisizo na sababu. Kwa hiy kila mtu akiwa tajiri bac *"kuna siri nzito mno nyuma ya utajiri wake"* furahia mafanikio ya wenzako yakupe challange utafute yako sio unaanza kutafuta kasoroo mbavuu zakoo
Tanzania chini ya ccm ni shamba la Bibi ukipata Chance unajipigia Hela za walipa Kodi,lugumi alipata tenda ya kufunga vifaa vya ukaguzi vituo vyote vya police bilioni 137,akafunga machine nane
Mapambo yw dunia aw sio, unfortunately wote hatutofika 2070 tuishi kwa kiasi. Be proud in touching the lives of many less fortunate.....Bakhresa ana gar kma hizo na hawez fanya show off ju once u understand the wisdom of life, u keep t humble
@@mainaimma1114 kiingereza ni lugha tu jomba kila mtu anamiliki, au ulitaka kuelezea nn mkuu. Kuhusu kuwa pesa Iko hapa hapa dunian Kuna njia nying halali na haramu za kutafuta na wote tunazijua ni suala la maamuz tu, haipaswi kujidharau aw kumdharau au kumtukuza mtu yeyote wote tuko kwa jili ya plan za Mungu
Sio lazima kila mtu na jins alivo,, mjuu wa bakheresa #zayed bakhresa ana show off,,, week ilopita alipost yupo na huyu huyu Lugumi🙏 , in case mwache km ana kosea atamalizana na MUNGU
Huyu sio p.didy wa bongooo jamaniiii vijana wataanza kwenda kwake kuangalia movie yuko bongooo hiii hiii au marekaniiii magariiii yanapigwa A/c tu baridi vijana wanapigwa na jua kali linachomaaa
@@RATELFXukiona mtu anaiba yupo very smart hakuna kazi inahitaji akili na hesabu nyingi kama kuiba, mtu aliye nacho mheshimu tu.. ukitaka kuamini jaribu utakosa hata pa kuanzia🌍🌍😂😂😂💰
@@evancemoevt8597@RATELFX ukiona mtu anaiba yupo very smart hakuna kazi inahitaji akili na hesabu nyingi kama kuiba, mtu aliye nacho mheshimu tu.. ukitaka kuamini jaribu utakosa hata pa kuanzia
Watu wenye pesa hawana matumbo makubwa a.k.a vitambi wala hawana minyama nyama, ukiona mtu ananenepeana kisa anavisent ujue akili yake ni ndogo haiwaz makubwa 😅😅😅
HAHA HII DUNIA KUNA MTU ATAJIFANYA KAMA ANAKUONYESHA KITU KIRAFIKI VILE KUMBE ANAKUKEBEI KUWA KIJANA UNAVOPIGA KELELE JUA KWAMBA KUNA WATU TUNAVYO ZAIDI YAKO FATILIA VIDEO HII JINSI LUGUMI ANAVOMUITA NA KUMVUTA DOGO GODY AKAJIONEE MIKEBE ILIVONUNA PARKING😂😂