Тёмный

KILICHO NYUMA YA WASAFI TV CHA FUNULIWA KAFARA WATAZAMAJI EV PASCHAL CASSIAN 

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL  YOUTUBE
Подписаться 150 тыс.
Просмотров 20 тыс.
50% 1

*#0766998994 #0788871769 #

Опубликовано:

 

6 ноя 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 105   
@omegamchaki6696
@omegamchaki6696 8 месяцев назад
Mungu azidi kukutunza mtumishi wa Mungu huwa nabarikiwa sana sana nikikufuatilia....kupitia wewe sijawahi kujutia wokovu ...najengekea kiimani kila iitwapo leo...
@MeshackDaniely
@MeshackDaniely Месяц назад
Sijuwi nisemaje pascal mtumishi wamungu mungu akubaliki sanaaaaaaaaaaaaaa 🙏🙏🙏 asante sana nitakufatilia maisha yangu yote ilu nipone kwajina layesu mungu akulinde akupe maisha utuokoe na uziokoe familia zetu nakupenda sana mtumishi wamungu kwasababu unaihubili kweli yamungu ubalikiwe mchungaj ubalikiwe sana sana sana sana yesuuuuuuu mpe maisha marefu anusulu vizazi vyetu kwanjia yainjili asante sana sana sana sana ameeen kubwaaaaaaaaaaaaa
@user-sf4hf1my3m
@user-sf4hf1my3m 8 месяцев назад
Napenda sana mahubiri yako yamenibadilisha sehemu kubwa sana.... Wewe ni Mtumishi umeitwa ili utufumbuwa macho ya kiroho...... achana nahao wengine wanatumikia ndoto zao hawajaitwa na Mungu hata... Nimeona mmoja hapa Kenya anajiita mtumishi wa Mungu.. Mwanzoni niliona kama anaongea kweli nikamufuatiliya.... Badae nikaona ameposti kipindi kimoja.. Anapingana na Watumishi akiwemo PASCHAL CASSIAN MTUME MALI YA BWANA NAWENGINE.. Nikatama nikamusikiliza kipindi hicho sikumuelewa... Namshukuru Mungu badae nikaona kipindi kingene ameposti akiwa anamtetea MAKENZI huyu aliye sababalisha vifo vyawatu wengi hapa Kenya ati MAKENZI ni mtumishi wa Mungu ametumwa kabisa na Mungu eti wamwache wasipo mwacha Kenya itapata shida maana Mungu amekasilika sana wanamtesa mtumishi wa Mungu naye ametumwa na Mungu... Nikasema huyu anampinga PASCHAL Cassian alafu anamkubali MAKHENZI nikasema basi huyu ni shetani mwenyewe sasa ninaye mufuatilia... Nahapo nikakoma kufuatilia watumishi wengine ovyo ovyo. Kwahio Mtumishi wa Mungu endelea kutufumbuwa macho ya kiroho. Mungu aendelee kukuvuviya nguvu za kiroho zaidi, na azidi kukutenga na roho ya uoga maana ukweli wako unatusaidia sana wengi. Umebarikiwa sana.
@user-ii1qk9xn9z
@user-ii1qk9xn9z 8 месяцев назад
Mungu atusaidie sana maana mambo ni mengi, majaribu pande zote duniani... Wakristo wajiepushe sana na mafundisho potovu... Ni kawaida kwa mtu kuwa dhaifu, au kuwa na uhasi ndani yao, au kukosa uwazi juu ya mapenzi ya Mungu au njia yao ya kutenda. Lakini katika hali yoyote, lazima tuwe na imani katika kazi ya Mungu, na tusimkane Mungu... tusimame imara katika Bwana... Vituko vinavyoendelea mitandaoni ni maovu tu... na ndio watu wengi wanafuatilia ni kuwaombea mungu awakomboe wasiangamie. Mungu akubariki sana mtumishi kwa kazi njema unayofanya.... zidi kuwatoa wengi gizani...
@gracengairo6214
@gracengairo6214 8 месяцев назад
MUNGU akulinde mtumishi unachukiwa kwaukweli unaotoa Mungu atuponye
@Jus378
@Jus378 8 месяцев назад
Ninakuelewa sana Mtumishi.Mungu Anakutumia vyema sana usiwe kama shusho anayejiita mtumishi na kumbe ni kahaba wa diamond
@ASTONVILLA_254
@ASTONVILLA_254 6 месяцев назад
Hatari sana
@AnneCherotich-gj9eg
@AnneCherotich-gj9eg 8 месяцев назад
Jina lake Yesu Kristo lihimidiwe kupitia mahubiri na maono makuu kama haya. Zidi kuinuliwa katika viwango ki imani mchungaji. Hapa Kenya tunasema Neno la Mwenyezi Mungu lizidi kuendelea
@ericbadesire9172
@ericbadesire9172 7 месяцев назад
Mungu akulinde na kukuweka mbali na maadui zako ili mradi neno lienee popote.
@NeemaMwita-vb4xd
@NeemaMwita-vb4xd Месяц назад
Mungu akubaliki sana mtumishi binafsi nimejifunza kitu
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 8 месяцев назад
Kwanza kama kweli tunataka kuwa na mwisho mwema hatuna budi kujitenga kabisa na entertainment zote za kidunia. Jamani Mbingu ipo na jehanam ipo na vyote ni halisi. Jehanam hata yule unayemchukia huwezi tamani aende huko ni hatari tutaponaje tusipotii !?
@erickrao
@erickrao 8 месяцев назад
Asante sana appreciate you so much without fear wawache zahovio warudi kwa mungu🇰🇪
@marysarange9187
@marysarange9187 8 месяцев назад
True mtumishi Mwenyezi Mungu atusaidie katika Jina Kuu La YesuAmina
@user-os1wx8wy8l
@user-os1wx8wy8l 6 месяцев назад
Barikiwa sana mtumishi waambie ukwer
@user-sb6pc2cv5j
@user-sb6pc2cv5j 18 дней назад
Mungu akubariki mtumishi wa mungu.
@neemasanga5333
@neemasanga5333 8 месяцев назад
NAMSHUKURU MUNGU ANANIPENDA NA KUNIEPUSHA NA MAMBO MENGI YANAYOONEKANA MEMA KUMBE KUNA MTEGO NYUMA YAKE❤.
@joannekesa1835
@joannekesa1835 8 месяцев назад
Ukweli kabisa mtumishi wa MUNGU ubarikiwe kwa mafunzo mazuri amina
@WilliamMandwanga
@WilliamMandwanga 2 месяца назад
Wewe kweli mtumishi wa mungu.atamane unayo ongea nikweli kabisa mptumishi.upoongea yanaingia.kaa nikwei nauzima
@Erishaernest-ik3kk
@Erishaernest-ik3kk 8 месяцев назад
Mtumishi mungu ukubariki sasa kwa mafunuo ya mambo ya dunia hii na azidi kukufunuria mengi iri sisi tuzidi kujuwa nasi tuweze kujiepusha nayo> nabarikiwa sana na mafundisho yako kwa sababu yanatuweka uweponi mwa mungu wetu
@user-lc6te2pe2l
@user-lc6te2pe2l 8 месяцев назад
Hakika ww ni mtumishi wa Yesu Bwana aendelee kukulinda na kukupaka mafuta ya Roho mtakatifu kila siku.
@noelmbosa2736
@noelmbosa2736 8 месяцев назад
Mmmm! tusaidie YAWE pekeyetu hatuwezi,duniani mambo mengi ni hatari sana kwa ajili ya maisha ya mtu kiroho, wapendwa roho mtakatifu awe kiongozi wetu siku zote
@user-xl8cw8ji8f
@user-xl8cw8ji8f 7 месяцев назад
Mungu azidi kukulinda mtumishi maana somo unalotupa ni watumishi wachache wanaoweza kujitosa na kuongea,🙏
@Pendopasilika
@Pendopasilika 8 месяцев назад
Ni kweli baba wanawake hawaoni shida kuonyesha maungu Yao shetani ameteka fahamu zao wanatembea vitovu pasipo kuogopa siku hizo wasichana hawaogopi hata wazazi wao MUNGU atusaidie katika kizazi hiki kilicho potoka
@user-yn5lk7wk1r
@user-yn5lk7wk1r 8 месяцев назад
Wana mwaga roho za kutosha,ushoga,uzinzi,usagaji kila aina ya roho hizi nyimbo zina achilia,zina kausha na kuuwa watu kiroho watu wa rohoni kiukweli tukiwaangalia hawa wasanii tunaona shetani mzima mzima ndani yao
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 8 месяцев назад
Haswa kabixa kabixa ni makuhaani,mawakala
@EmmanuelMikael-in1ej
@EmmanuelMikael-in1ej 8 месяцев назад
Sauti ya mtu aliae nyikani.nakufatilia sana kaka
@KulekatsengeHaruni-sb6qc
@KulekatsengeHaruni-sb6qc 8 месяцев назад
Amen ubarikiwe nakupenda sana.
@user-ng7tx5hq9p
@user-ng7tx5hq9p 8 месяцев назад
Ee Mungu katika Kristo Yesu tupiganie Kwa hili. Mlinde na huyu mtumishi wako mwinjilisti Pascal Kasian
@immahkisuke1564
@immahkisuke1564 Месяц назад
Barikiwa Sana Pascol
@aloyceJiles
@aloyceJiles 8 месяцев назад
Mungu akubariki sana sana nima ombi yangu
@user-dy2mg7qg3t
@user-dy2mg7qg3t 6 месяцев назад
Amen 🙌🙌 ubarikiwe sanaaa
@SelemwambaFrancis
@SelemwambaFrancis 8 месяцев назад
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 7 месяцев назад
Na kwa kweli umepitia MAENEO mengi ktk ulimwengu huu, na ndo maana data nyingi unazo, ubongo wako unabeba viingi, hongera na kumbukumbu unazo pia hurudii rudii! Pongezi kwa muumba wako kabisa. AMEEN.
@belinamwambeleko370
@belinamwambeleko370 8 месяцев назад
Kweli kabisa .asante mtumishi wa mungu
@gahungubertin1214
@gahungubertin1214 8 месяцев назад
Yaani mutumishi nakuombea tena nakupenda bure,nikiingiya tuu RU-vid, cha kwanza nachotafuta ni mafundisho yako...Mungu akutunze
@martinahlighare6495
@martinahlighare6495 8 месяцев назад
Dunia inazidi kuwa tambara mbovu. Asante kwa uelimisho.
@BM_Smart2-6
@BM_Smart2-6 8 месяцев назад
True
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 14 дней назад
Kipimo.cha muhubiri wakweli wa. Mungu ni uleutitili wamafundisho yashetani nawahusika wamahubiri hayo kujitanua nakujisifu ilihali wachungaji wa kweli kama akinapaschal autanzania tuna miamoja au Hawafiki kumi nafatiliasana wachungaji nawanaojiita manabiinamitume sipatijibu kama wanamuwakilisha Mungu wokovu ni njianyembamba kama ville akinapaschal walivyowachache hongelasana evangelistic kutupa kweli yaMungu.
@benjaminwafula
@benjaminwafula 8 месяцев назад
Mtumishi nimerejea tena Kwa mda kiasi nimekua out but am back sema kweli mwenye siko asikue barikiwa nawe pia
@user-es4jv6pb8x
@user-es4jv6pb8x 3 месяца назад
Kweliii kabisa Mtumishi tunapotea sana jamani tunaangamia vibaya
@saimonkaayanyawacha3836
@saimonkaayanyawacha3836 8 месяцев назад
Nimekuelewa mungu akubariki
@jeanlouisangelina4654
@jeanlouisangelina4654 8 месяцев назад
Nakupata mtumishi Mungu akulinde
@mercykasyoka4007
@mercykasyoka4007 8 месяцев назад
Hamuelewi dunia imepasuka na kuporomoka... yesu yukaribu kufunuliwa jiwekeni tayari Ahsante mtumishi kwanza juu ujawah kuwa mwoga kwa neno la mungu
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 8 месяцев назад
Haswaa
@mercykasyoka4007
@mercykasyoka4007 8 месяцев назад
@@LucyKapinga-fg4dk kweli
@neemamsanga253
@neemamsanga253 15 дней назад
àmina 🙏
@consolatarogers1142
@consolatarogers1142 8 месяцев назад
Mungu akutunze siku zote
@anasialauwo4922
@anasialauwo4922 8 месяцев назад
Nakupenda sana mtumishi wa MUNGU
@user-yn5lk7wk1r
@user-yn5lk7wk1r 8 месяцев назад
Mtumishi Bwana akupe nguvu zaidi
@mpesastatements2265
@mpesastatements2265 8 месяцев назад
Enda mbele baba tuko pamoja tutashinda Niko kenya nakuelewa sana
@neemalambo9790
@neemalambo9790 7 месяцев назад
Nakukubali mnoo kwa kuwa ulitoka huko unajua kila kitu
@swai.edentv5273
@swai.edentv5273 8 месяцев назад
Kweli kabisa
@user-mz2wx5dt9v
@user-mz2wx5dt9v 5 месяцев назад
Sema ukweli baba mungu akutunze
@user-oc4pm9fs7z
@user-oc4pm9fs7z 6 месяцев назад
Thanks sana
@rachelkihaka9204
@rachelkihaka9204 8 месяцев назад
Ee Mungu naomba nifikishe mwisho mwema ili niuone ufalme wa mbingu nami niimbe pamoja na malaika hao wanne wenye uhai na watakatifu wengine
@rafikiyangu34
@rafikiyangu34 8 месяцев назад
😭😭😭😭😭😭😭happy for what you are doing Don’t stop but then we should not hate evil doers
@hasanygodda9242
@hasanygodda9242 8 месяцев назад
Amina mtumishi
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 8 месяцев назад
Shetani anaitumia fedha kama silaha ya kuiangamiza dunia. Mimi hujiuliza shetani hajawahi kuumba chochote na Hana kitu chochote cha kumpa mwanadamu isipokuwa vile vilivyoumbwa na Mungu ambavyo sisi tulipewa tuvimiliki. Imagine tajiri kama Reginald Mengi pamoja na umaarufu wake yuko wapi leo huo utajiri wake unamsaidia nini hivi Sasa? Nimetoa mfano tu ingawa sijui kama naye alikuwa na mkataba na Ibilisi
@DedieuFereza
@DedieuFereza 3 месяца назад
Uyo msani ni shetani wa kuzimu BWANA ATUSAIDIYE KWELI
@WilliamMandwanga
@WilliamMandwanga 2 месяца назад
Mwenye TV mwenywe aeleweki.kama wakuzim
@JedidaNdutuu-ys3lx
@JedidaNdutuu-ys3lx 4 месяца назад
N kwel kabisa, watu wajue ukwel
@Farajahelene23031
@Farajahelene23031 8 месяцев назад
Yes sir
@user-xs3ko8pg2g
@user-xs3ko8pg2g 3 месяца назад
Umenena kweli mtumishi, ni wasafi kidogo wa mavazi wachafu wa nafsi,< nafsi wameuza kwa shetani>
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi 8 месяцев назад
Nikweli baba sema tupone
@jovettedenise2591
@jovettedenise2591 8 месяцев назад
Amen
@RemmyKazumba
@RemmyKazumba 23 дня назад
Aminaumenib 12:24 adirisha
@nenolauzima5281
@nenolauzima5281 8 месяцев назад
Tatizo watu tumeshikwa ufahamu hatuelewi hatusikii
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 месяца назад
Muda ni mchache mambo ni mengi
@mwambakibucheche1119
@mwambakibucheche1119 8 месяцев назад
Ee Mungu utunusuru waja wako.
@BwawaniSecondarySchool
@BwawaniSecondarySchool 8 месяцев назад
🎉🎉
@raymondwatsonvideosclip5177
@raymondwatsonvideosclip5177 8 месяцев назад
jamani hii hatari
@NathanielJeksta
@NathanielJeksta Месяц назад
Kweri kabisa
@cristinarashid1245
@cristinarashid1245 8 месяцев назад
Ameen
@Elishaponde
@Elishaponde 8 месяцев назад
ameni kk utukufu kwamngu wetu
@MariamLulao-im3bf
@MariamLulao-im3bf 7 месяцев назад
🙏🙏
@user-es4jv6pb8x
@user-es4jv6pb8x 7 месяцев назад
MUNGU Atusaidie Mtumishi
@loveneskasanga4186
@loveneskasanga4186 7 месяцев назад
Acha kifatilia ya watu fata yoko,Yako yamekushinda😂😂😂
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 месяца назад
😂😂😂😂😂 kweli alafu huyu jamaaa ni kigeugeu😅😅😅😅
@MnanilaMrsmnanila
@MnanilaMrsmnanila 2 месяца назад
Pole Sana,huyu ni mtumishi wa Mungu ukimfatilia utapona
@neemamsanga253
@neemamsanga253 15 дней назад
karibu nuruni utaelewa MUNGU akusaidie 🙏🙌
@jastinmkoba
@jastinmkoba 8 месяцев назад
Leo 🤝🤝🤝😳
@pendoshaban1010
@pendoshaban1010 8 месяцев назад
Mchungaji endelea kupiga vita
@user-bx5nc8ge6r
@user-bx5nc8ge6r 8 месяцев назад
Ni hatari kweli 🤔
@user-es4jv6pb8x
@user-es4jv6pb8x 3 месяца назад
Maskiniii
@Mteulefrancic10
@Mteulefrancic10 8 месяцев назад
Twende tuondoke safar ya mbinguni
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 7 месяцев назад
WENGI WAPE! BASATA IPOGO SIYO! HABARI NA UTANGAZI, UTAMADUNI, VIJANA NK , TUOMBEANE MEMA TUFIKE PAZURI MUNGU APATE UTUKUFU WAKE DAIMA! WASAFI NA DINI!
@damasioadrianosalendi6871
@damasioadrianosalendi6871 8 месяцев назад
Vipi kuhusu vaimba kwaya ntunsikilize nani?
@mercycharlesmsiagi1756
@mercycharlesmsiagi1756 8 месяцев назад
Kwan kuangalia TV ni zambi au kuwa na TV n zambi ni eleweshen
@neemamsanga253
@neemamsanga253 15 дней назад
sio dhambi inategemea na unacho tazama dada🙏
@user-uj6zq7rw2s
@user-uj6zq7rw2s 8 месяцев назад
Mimi niende kanisa gani??
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 8 месяцев назад
Njoo msikitini
@MnanilaMrsmnanila
@MnanilaMrsmnanila 2 месяца назад
Mtafute Mungu na uende mahali sahihi ambako hawatumii Maji wala mafuta ila jina la Yesu ndilo linalo hubiliwa na kutukuzwa Tu mpendwa wangu
@mariamwakabuta1034
@mariamwakabuta1034 7 месяцев назад
Wewe nawe umechaguliwa na mwenyezi mungu wetu, inanikumbusha wakati wa kambalage nyerere alikuwa ataki wananchi wake waone vidoe na wakati wa pombe magifuri alikemea wote waocheza uchi....
@barakamachard1944
@barakamachard1944 7 месяцев назад
Tufanye kazi jamani umasikini huleta uongo 😂😂😂😂😂😂😂😂
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 месяца назад
Kweli 😂😂😂😂😂😂
@neemamsanga253
@neemamsanga253 15 дней назад
ukiwa nuruni utaelewa,,, MUNGU akusaidie
@ferdinandmlacha1123
@ferdinandmlacha1123 8 месяцев назад
Wewe mwenyewe fake unaonekana tu
@hakilitoyi
@hakilitoyi 8 месяцев назад
Na wewe onekana tukuone na kukutambua u wanani wewe.
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 8 месяцев назад
Polee
@nenolauzima5281
@nenolauzima5281 8 месяцев назад
Wewe naweee.....mfyuuuu
@user-kr9xx8br4o
@user-kr9xx8br4o 8 месяцев назад
MAANA YAKE NI KWAMBA, WALE AMBAO NI WACHAFU NA MACHUKIZO; HAO KULE KUZIMU WANAPEWA JINA LA WASAFI. LAKINI WALE AMBAO NI WATAKATIFU, KULE KUZIMU, SHETANI ANAWAPAJINA LA WACHAFU. HIYO NDIYO TAFSIRI YAKE
@MeshackDaniely
@MeshackDaniely Месяц назад
Sijuwi nisemaje pascal mtumishi wamungu mungu akubaliki sanaaaaaaaaaaaaaa 🙏🙏🙏 asante sana nitakufatilia maisha yangu yote ilu nipone kwajina layesu mungu akulinde akupe maisha utuokoe na uziokoe familia zetu nakupenda sana mtumishi wamungu kwasababu unaihubili kweli yamungu ubalikiwe mchungaj ubalikiwe sana sana sana sana yesuuuuuuu mpe maisha marefu anusulu vizazi vyetu kwanjia yainjili asante sana sana sana sana ameeen kubwaaaaaaaaaaaaa
@LAMECKSHEDRACK
@LAMECKSHEDRACK Месяц назад
Kweli kabisa
@user-ro2mb5uc1y
@user-ro2mb5uc1y 8 месяцев назад
Hakika MUNGU azidi kukulinda
Далее
Best exercises to lose weight ! 😱
00:19
Просмотров 9 млн
кукинг с Даниилом 🥸
01:00
Просмотров 998 тыс.
DUNIA KWA HERI MWINJILIST PASCHAL CASSIAN
13:11
Просмотров 246 тыс.
MKE WANGU ALINI KIMBIA EV PASCHAL CASSIAN
31:44
Просмотров 37 тыс.
CASSIAN AMKEMEA SHEHE SURE  MAJINI ANAPOTISHA EV PASCHAL
1:29:51
Best exercises to lose weight ! 😱
00:19
Просмотров 9 млн