Mungu azidi kukutunza mtumishi wa Mungu huwa nabarikiwa sana sana nikikufuatilia....kupitia wewe sijawahi kujutia wokovu ...najengekea kiimani kila iitwapo leo...
Sijuwi nisemaje pascal mtumishi wamungu mungu akubaliki sanaaaaaaaaaaaaaa 🙏🙏🙏 asante sana nitakufatilia maisha yangu yote ilu nipone kwajina layesu mungu akulinde akupe maisha utuokoe na uziokoe familia zetu nakupenda sana mtumishi wamungu kwasababu unaihubili kweli yamungu ubalikiwe mchungaj ubalikiwe sana sana sana sana yesuuuuuuu mpe maisha marefu anusulu vizazi vyetu kwanjia yainjili asante sana sana sana sana ameeen kubwaaaaaaaaaaaaa
Napenda sana mahubiri yako yamenibadilisha sehemu kubwa sana.... Wewe ni Mtumishi umeitwa ili utufumbuwa macho ya kiroho...... achana nahao wengine wanatumikia ndoto zao hawajaitwa na Mungu hata... Nimeona mmoja hapa Kenya anajiita mtumishi wa Mungu.. Mwanzoni niliona kama anaongea kweli nikamufuatiliya.... Badae nikaona ameposti kipindi kimoja.. Anapingana na Watumishi akiwemo PASCHAL CASSIAN MTUME MALI YA BWANA NAWENGINE.. Nikatama nikamusikiliza kipindi hicho sikumuelewa... Namshukuru Mungu badae nikaona kipindi kingene ameposti akiwa anamtetea MAKENZI huyu aliye sababalisha vifo vyawatu wengi hapa Kenya ati MAKENZI ni mtumishi wa Mungu ametumwa kabisa na Mungu eti wamwache wasipo mwacha Kenya itapata shida maana Mungu amekasilika sana wanamtesa mtumishi wa Mungu naye ametumwa na Mungu... Nikasema huyu anampinga PASCHAL Cassian alafu anamkubali MAKHENZI nikasema basi huyu ni shetani mwenyewe sasa ninaye mufuatilia... Nahapo nikakoma kufuatilia watumishi wengine ovyo ovyo. Kwahio Mtumishi wa Mungu endelea kutufumbuwa macho ya kiroho. Mungu aendelee kukuvuviya nguvu za kiroho zaidi, na azidi kukutenga na roho ya uoga maana ukweli wako unatusaidia sana wengi. Umebarikiwa sana.
Mungu atusaidie sana maana mambo ni mengi, majaribu pande zote duniani... Wakristo wajiepushe sana na mafundisho potovu... Ni kawaida kwa mtu kuwa dhaifu, au kuwa na uhasi ndani yao, au kukosa uwazi juu ya mapenzi ya Mungu au njia yao ya kutenda. Lakini katika hali yoyote, lazima tuwe na imani katika kazi ya Mungu, na tusimkane Mungu... tusimame imara katika Bwana... Vituko vinavyoendelea mitandaoni ni maovu tu... na ndio watu wengi wanafuatilia ni kuwaombea mungu awakomboe wasiangamie. Mungu akubariki sana mtumishi kwa kazi njema unayofanya.... zidi kuwatoa wengi gizani...
Jina lake Yesu Kristo lihimidiwe kupitia mahubiri na maono makuu kama haya. Zidi kuinuliwa katika viwango ki imani mchungaji. Hapa Kenya tunasema Neno la Mwenyezi Mungu lizidi kuendelea
Kwanza kama kweli tunataka kuwa na mwisho mwema hatuna budi kujitenga kabisa na entertainment zote za kidunia. Jamani Mbingu ipo na jehanam ipo na vyote ni halisi. Jehanam hata yule unayemchukia huwezi tamani aende huko ni hatari tutaponaje tusipotii !?
Mtumishi mungu ukubariki sasa kwa mafunuo ya mambo ya dunia hii na azidi kukufunuria mengi iri sisi tuzidi kujuwa nasi tuweze kujiepusha nayo> nabarikiwa sana na mafundisho yako kwa sababu yanatuweka uweponi mwa mungu wetu
Mmmm! tusaidie YAWE pekeyetu hatuwezi,duniani mambo mengi ni hatari sana kwa ajili ya maisha ya mtu kiroho, wapendwa roho mtakatifu awe kiongozi wetu siku zote
Ni kweli baba wanawake hawaoni shida kuonyesha maungu Yao shetani ameteka fahamu zao wanatembea vitovu pasipo kuogopa siku hizo wasichana hawaogopi hata wazazi wao MUNGU atusaidie katika kizazi hiki kilicho potoka
Wana mwaga roho za kutosha,ushoga,uzinzi,usagaji kila aina ya roho hizi nyimbo zina achilia,zina kausha na kuuwa watu kiroho watu wa rohoni kiukweli tukiwaangalia hawa wasanii tunaona shetani mzima mzima ndani yao
Na kwa kweli umepitia MAENEO mengi ktk ulimwengu huu, na ndo maana data nyingi unazo, ubongo wako unabeba viingi, hongera na kumbukumbu unazo pia hurudii rudii! Pongezi kwa muumba wako kabisa. AMEEN.
Kipimo.cha muhubiri wakweli wa. Mungu ni uleutitili wamafundisho yashetani nawahusika wamahubiri hayo kujitanua nakujisifu ilihali wachungaji wa kweli kama akinapaschal autanzania tuna miamoja au Hawafiki kumi nafatiliasana wachungaji nawanaojiita manabiinamitume sipatijibu kama wanamuwakilisha Mungu wokovu ni njianyembamba kama ville akinapaschal walivyowachache hongelasana evangelistic kutupa kweli yaMungu.
Shetani anaitumia fedha kama silaha ya kuiangamiza dunia. Mimi hujiuliza shetani hajawahi kuumba chochote na Hana kitu chochote cha kumpa mwanadamu isipokuwa vile vilivyoumbwa na Mungu ambavyo sisi tulipewa tuvimiliki. Imagine tajiri kama Reginald Mengi pamoja na umaarufu wake yuko wapi leo huo utajiri wake unamsaidia nini hivi Sasa? Nimetoa mfano tu ingawa sijui kama naye alikuwa na mkataba na Ibilisi
Wewe nawe umechaguliwa na mwenyezi mungu wetu, inanikumbusha wakati wa kambalage nyerere alikuwa ataki wananchi wake waone vidoe na wakati wa pombe magifuri alikemea wote waocheza uchi....
MAANA YAKE NI KWAMBA, WALE AMBAO NI WACHAFU NA MACHUKIZO; HAO KULE KUZIMU WANAPEWA JINA LA WASAFI. LAKINI WALE AMBAO NI WATAKATIFU, KULE KUZIMU, SHETANI ANAWAPAJINA LA WACHAFU. HIYO NDIYO TAFSIRI YAKE
Sijuwi nisemaje pascal mtumishi wamungu mungu akubaliki sanaaaaaaaaaaaaaa 🙏🙏🙏 asante sana nitakufatilia maisha yangu yote ilu nipone kwajina layesu mungu akulinde akupe maisha utuokoe na uziokoe familia zetu nakupenda sana mtumishi wamungu kwasababu unaihubili kweli yamungu ubalikiwe mchungaj ubalikiwe sana sana sana sana yesuuuuuuu mpe maisha marefu anusulu vizazi vyetu kwanjia yainjili asante sana sana sana sana ameeen kubwaaaaaaaaaaaaa