Umepigwa mawe wap mbona huonekan hata na kovu lolote mmmmmh mungu anawaona fanyen kazi zenu mkjar na wananchi uchungu wa mwana aujuae mzazi kwahy hata wangekuwa niwako Ungepiga kelele tyuu 😂😂😂😂
Mimi najiuliza hv polilisi nihawahawa waliokuwapo toka enzi ya hyti jpm? Au polisi niwapya? Kwakuwa mbona enzi ya jpm hayakuwepo yaani nawekalekodisawa mpaka hyt jpm anatutoka nchi ilikuwa salama kwa asilimia 100 sasahaya mauwaji wazaminini selikali