Тёмный

KILIMO CHA TIKITI MAJI TABORA (SIKU YA 30 BAADA YA KUPANDA) 

Suleiman H. Halletu
Подписаться 2,3 тыс.
Просмотров 56 тыс.
50% 1

Mazao haya yana siku 30 toka nimepanda. Pata updates chache!
mali ipo shambani.

Опубликовано:

 

19 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 72   
@johnmakune7426
@johnmakune7426 8 лет назад
It is hearts such as this that are willing to share knowledge for development that are truly remarkable and deserving of the highest applause and reward. God bless you guys for sharing all the information you have shared
@suleimanh.halletu7552
@suleimanh.halletu7552 8 лет назад
Thank you brother for the Compliments!
@mosesnartey4316
@mosesnartey4316 5 лет назад
I really love your commitment to share with other, just unfortunate I can't understand the narrative
@MaishaBaluhya-nf5ok
@MaishaBaluhya-nf5ok 9 месяцев назад
Tafadhari naomba namba ya simu kwa msaada zaidi
@mohdhassan9943
@mohdhassan9943 7 лет назад
asante sana baba hata mm nataka niingiye kwenye kilimo cha tikiti nitskutafuta ili nipate ushauri wakoo inshallah
@rufanomushi1106
@rufanomushi1106 8 лет назад
safi sana kaka tuendeleee kuelimishana wandugu uwo ndio uzalendo na hongera sana bro sule hongera sana kaka tuzidi kukaza
@suleimanh.halletu7552
@suleimanh.halletu7552 8 лет назад
Nashukuru sana Rufano
@nafsajuma5919
@nafsajuma5919 7 лет назад
hongera sana kaka selemani pia samahan umetumia kiasi gani kuandaa n.a. kupanda hadi ziote
@elizabethturuya5958
@elizabethturuya5958 5 лет назад
Msaada wako tafadhari.umesema kunakipindi ambacho unatakiwa kupunguza maji I'll tunda lijitengenezee sukari yake yenyewe... Je katika kipindi hicho hauweki maji kabisa na je kipindi hicho matikikiti yanakuwa na muda gani.... Pia umeongelea swala la kupiga dawa..je Ni dawa zipi ulixokuwa unatumia..
@hamisilipaye9241
@hamisilipaye9241 4 года назад
Ninaomba namba yko ya simu kwa maelekezo zaidi maana umenivutia sna kwa uthubutu wko
@digitalaffiliatemarketing210
@digitalaffiliatemarketing210 Месяц назад
Siku ya 50 ndiyo matikiti huanza kukomaa na kutengeneza sukari..inapofikia siku ya 65-70 yanakuwa full tayari kuvunwa...so, siku za mwishoni baada ya siku ya 50, unamwagilia mara mbili Kwa wiki, kama ni kiangazi hakuna mvuna...kama kuna mvua nyingi hutakiwi kumwagilia kabisa.
@emmanuelgabriel848
@emmanuelgabriel848 8 лет назад
hongera sana bro kwa udhubutu lakini vipi mafanikio yakuwekeza kweny kilimo
@happygodfrey3325
@happygodfrey3325 7 лет назад
asante kaka Suleiman...,.....Mungu akubariki
@TEACHER.CLEOPHAS
@TEACHER.CLEOPHAS 3 года назад
I really like watermelon farming and I'd like to start the process.
@joshngojetv7364
@joshngojetv7364 4 года назад
Habari.. Bwana Sulemani naomba namba yako kunavitu nataka tuonge utusaidie kwenye project yangu.
@bestonmwasalemba6915
@bestonmwasalemba6915 8 лет назад
safi sana mkuu, napenda sana, tuko pamoja
@suleimanh.halletu7552
@suleimanh.halletu7552 8 лет назад
Ahsante sana
@bestonmwasalemba6915
@bestonmwasalemba6915 8 лет назад
ok
@fatmanasser6829
@fatmanasser6829 7 лет назад
Suleiman H. Halletu NAweza kupata namba yako ya sim
@pamelaowiyo9867
@pamelaowiyo9867 4 года назад
Good job
@magaitumbo7111
@magaitumbo7111 4 года назад
Safi nimeipenda hii. Ni mbegu gani unayolima ndugu.
@dyankson
@dyankson 6 лет назад
HONGERA! Safi sana kiongozi. Vijana tuzidi kuhamasishana kuwekeza kwenye kilimo. Kiongozi nimeanza na mladi wa shamba kilimo cha tikiti ili mwakani niwekeze 2 hekta. Tafadhali naomba namba yako ya simu tu-exchange uzoefu na ushauri. Asante
@AzaeliMbise
@AzaeliMbise 10 дней назад
Kamanda nimekuelewa ubari.mm ninapenda kulima laki sina eneo
@pulcheriamayombo5222
@pulcheriamayombo5222 3 года назад
Asante nimepanda matikiti ila nimekosea kipimo cha mche na mche.
@funlityoung
@funlityoung 8 лет назад
Nice farm 🍉👸🏾💚!
@suleimanh.halletu7552
@suleimanh.halletu7552 8 лет назад
Thank you Lime Dyme
@joazmgute8746
@joazmgute8746 7 лет назад
Safi bwana sureman me nmeshalipia shamba nasubir tuu maji yapungue ili nianze maandaliz swali hilo shamba ulilo kadiria milion 30 lina ukubwa gan lakin unaweza kunipa makadilio ya ghalama had kuvuna
@ghanacabletv5316
@ghanacabletv5316 7 лет назад
assalaam 'alaykum ndg Suleiman... umenisaidia sana ktk majaribio yangu ya kilimo cha tikiti. Mungu akulipe kila la kheri.
@amonzachary2718
@amonzachary2718 2 года назад
Boss vp msimu mzuri wenye soko zuri kwa zao la tikiti ni upi yani nilime mwezi gan ilinivune msimu gan wenye bei nzuri sokoni wa zao la tikit
@scholasticamchokopa6515
@scholasticamchokopa6515 9 месяцев назад
Ni mwez gani nzr wa kuandaa shamba la matikit? Yaan msimu mzr ambao unaweza kuuza Bei nzr ukapata faida
@silaspaulmakula4396
@silaspaulmakula4396 7 лет назад
hongera kwa kazi nzuri, ila naitaji pia ushauri wako kwani na mimi najishughurisha na kilimo hicho cha matikiti
@ayubumunapindamunapinda8016
@ayubumunapindamunapinda8016 3 года назад
gram 1 nyany imara f1 ya mbegu be I gan
@rebecakwaleka8029
@rebecakwaleka8029 5 лет назад
Wa tabora tunakuonaje? Na unalima tikiti pekee au unaweza shauri hata mazao mengine mfano nyanya,tango na mengine
@thegrandpentahotel3856
@thegrandpentahotel3856 4 года назад
unamjuwa anayeelimisha tabora?
@hassanyusuph3204
@hassanyusuph3204 2 года назад
Kwa makadilio ni baaada ya mda gan unaweza kujua mda huu mmea unajitengenezea sukari yake ,ili kupunguza kiasi cha maji
@deusdeditngholombi6124
@deusdeditngholombi6124 2 месяца назад
Nieipenda hii
@JaphetMwaisaka-kc3ri
@JaphetMwaisaka-kc3ri Год назад
Ko kwenye matuta unaweza kupanda
@jameska1243
@jameska1243 7 лет назад
Ndg Suleiman lam sorry bila kujali ningeomb namb yako by James,
@emmanueleddiemwamakula3398
@emmanueleddiemwamakula3398 4 года назад
Hivi hii programu iliishia wapi? Nimejaribu kufuatilia ila sijapata mrejesho
@manasesimon7651
@manasesimon7651 Год назад
Mkuu unatumia dawa gani kuthibiti dondoo
@telesphorymwashem948
@telesphorymwashem948 4 года назад
Kaka sulemani naomba namba yko tuwasiliane
@joazmgute8746
@joazmgute8746 7 лет назад
Nipo mbeya
@masalimsuhitv6439
@masalimsuhitv6439 7 лет назад
sana
@danfordjosephjosephdanford7115
vip bwana mkubwa toleo lingine tutalajie lini?
@fahadfahmy
@fahadfahmy 7 лет назад
Matikiti tunayoyaona au majani tunayoyaona?
@danfordjosephjosephdanford7115
bwana sulemani kwa hiyo ndiyo tumekoea hapa tu
@stevenmsuya9583
@stevenmsuya9583 6 лет назад
sumugani unatumia?
@audaxmuganda
@audaxmuganda 8 лет назад
asanteni sana lakini pia ningependa kujua anamwagilia kila baada ya muda gani na vipi siwez kupata namba yke anisaidie baadh ya mambo maana na mimi ndo naelekea huko kwenye hcho kilimo.
@suleimanh.halletu7552
@suleimanh.halletu7552 8 лет назад
Maji ni vizuri ukawa unamwagilia kila siku japo inategemeana na mahali ulipo maana sahz kama huku kwetu Tabora jua ni kali sana, hivyo namwagilia kila siku. Namba zangu ni 0763806485
@fatmanasser6829
@fatmanasser6829 7 лет назад
Suleiman H. Halletu shukran sana mimi sipo tanzania ila nikija tanzania nitakutafuta ili unipatie shamba huko nilime hayo matikit
@jacobshirima4860
@jacobshirima4860 4 года назад
bwana sulemani je naweza kupanda tikiti kwa mbolea ya kuku?
@jumanzumbi1215
@jumanzumbi1215 7 лет назад
hi sullemani,kwa shimo unaweka Mbegu ngapi Na matikitiki yakianza kuzaa unabakisha mangapi kwa mche mmoja
@suleimanh.halletu7552
@suleimanh.halletu7552 7 лет назад
Inategemeana na umbali wa mashimo yalivyo, kama umefanya mashimo kwa umbali 2m squares weka mbegu mbili kila shimo, lakini kama umeweka kutoka shimo hadi shimo cm 50 na mstari hadi mstari 2metres weka mbegu moja moja kila shimo. Na matunda yanapoanza kutoka ni vizuri ukayabakisha matatu japo ni vizuri kipindi cha kupunguza matunda kwenye mche ukapata mtaalamu akakushauri vizuri namna ya kupunguza matunda kwenye mche wako. Ahsante Bwana Juma Nzumbi
@ibrkisale1612
@ibrkisale1612 4 года назад
nakuxoma xana endelea kuelimixha
@danfordjosephjosephdanford7115
apu date nyingine
@verohmchihiyo5029
@verohmchihiyo5029 7 лет назад
Hi suleiman...hongera kaka, naomba contact zako kama hautojal...n kuhus kilimo cha matikiti
@suleimanh.halletu7552
@suleimanh.halletu7552 7 лет назад
Karibu Veroh. 0763806485
@DIweni
@DIweni 5 лет назад
Kwa mashina ambayo hayakuota yanaachwa au unarudia kupanda?
@khamisally5788
@khamisally5788 Месяц назад
Unamuachia nani sasa weka mbegu wewe
@adammakoye4198
@adammakoye4198 6 лет назад
naomba ujibu meseji nakutumia kwny namba yko hiyo ya voda
@ellyms5581
@ellyms5581 6 лет назад
wakati wa vua nilimeje
@esterhezron2080
@esterhezron2080 6 лет назад
Kaka nisaidie namba yako
@cyprianpeter
@cyprianpeter 8 лет назад
naweza pata contacts zako?
@suleimanh.halletu7552
@suleimanh.halletu7552 7 лет назад
0763806485
@cyprianpeter
@cyprianpeter 7 лет назад
thenx
@cyprianpeter
@cyprianpeter 7 лет назад
unaweza nisiadia vtu muhimu katka matunzo ya kitunguu katka kitalu
@emmanueleddiemwamakula3398
@emmanueleddiemwamakula3398 7 лет назад
Umekuwa kimya sana Mtaalamu wetu, tunasubiri feedback ya kilimo cha matikikiti.
@allysalim1997
@allysalim1997 5 лет назад
Kaka naomba unitafute. Mimi ndio nataka nianze hicho kilimo. Sijui chochote allyshkapoor91@gmail.com
@silaspaulmakula4396
@silaspaulmakula4396 7 лет назад
NITAKUTAFUTA TUZUNGUMZE VIZURI, SILAS TEKU HAPA
@khalfankassu5784
@khalfankassu5784 7 лет назад
Silas Paul Makula vp ulimtafuta suleiman kwa ajili ya matikiti
@khalfankassu5784
@khalfankassu5784 7 лет назад
habari yako niliona comment yako kwa bwana suleiman vp ulilima tena
@joazmgute8746
@joazmgute8746 7 лет назад
0762781194 Kama hutajali unaweza ukanitafuta nipate namba yako
Далее
Kilimo cha tikiti maji.
30:00
Просмотров 35 тыс.
Kilimo cha Tikiti Maji - Part 2
30:56
Просмотров 25 тыс.
UALISHAJI WA TIKITI MAJI
8:28
Просмотров 1,2 тыс.
Kilimo na Biashara | Watermelon farming
27:35
Просмотров 135 тыс.
KILIMO CHA MATIKITI-Part 3
8:55
Просмотров 60 тыс.