It is hearts such as this that are willing to share knowledge for development that are truly remarkable and deserving of the highest applause and reward. God bless you guys for sharing all the information you have shared
Msaada wako tafadhari.umesema kunakipindi ambacho unatakiwa kupunguza maji I'll tunda lijitengenezee sukari yake yenyewe... Je katika kipindi hicho hauweki maji kabisa na je kipindi hicho matikikiti yanakuwa na muda gani.... Pia umeongelea swala la kupiga dawa..je Ni dawa zipi ulixokuwa unatumia..
Siku ya 50 ndiyo matikiti huanza kukomaa na kutengeneza sukari..inapofikia siku ya 65-70 yanakuwa full tayari kuvunwa...so, siku za mwishoni baada ya siku ya 50, unamwagilia mara mbili Kwa wiki, kama ni kiangazi hakuna mvuna...kama kuna mvua nyingi hutakiwi kumwagilia kabisa.
HONGERA! Safi sana kiongozi. Vijana tuzidi kuhamasishana kuwekeza kwenye kilimo. Kiongozi nimeanza na mladi wa shamba kilimo cha tikiti ili mwakani niwekeze 2 hekta. Tafadhali naomba namba yako ya simu tu-exchange uzoefu na ushauri. Asante
Safi bwana sureman me nmeshalipia shamba nasubir tuu maji yapungue ili nianze maandaliz swali hilo shamba ulilo kadiria milion 30 lina ukubwa gan lakin unaweza kunipa makadilio ya ghalama had kuvuna
asanteni sana lakini pia ningependa kujua anamwagilia kila baada ya muda gani na vipi siwez kupata namba yke anisaidie baadh ya mambo maana na mimi ndo naelekea huko kwenye hcho kilimo.
Maji ni vizuri ukawa unamwagilia kila siku japo inategemeana na mahali ulipo maana sahz kama huku kwetu Tabora jua ni kali sana, hivyo namwagilia kila siku. Namba zangu ni 0763806485
Inategemeana na umbali wa mashimo yalivyo, kama umefanya mashimo kwa umbali 2m squares weka mbegu mbili kila shimo, lakini kama umeweka kutoka shimo hadi shimo cm 50 na mstari hadi mstari 2metres weka mbegu moja moja kila shimo. Na matunda yanapoanza kutoka ni vizuri ukayabakisha matatu japo ni vizuri kipindi cha kupunguza matunda kwenye mche ukapata mtaalamu akakushauri vizuri namna ya kupunguza matunda kwenye mche wako. Ahsante Bwana Juma Nzumbi