Тёмный

Kimeumana! Wafanyabiashara Misungwi wagoma wakilalamikia ushuru 

Mwananchi Digital
Подписаться 1 млн
Просмотров 2,4 тыс.
50% 1

Cheza sasa kupitia shorturl.at/jqzU6 na ushinde
Baadhi ya wafanyabiashara wilayani Misungwi Mkoa wa Mwanza, wamesitisha huduma za maduka yao kwa kile wanacholalamikia ushuru wa huduma (service levy) unaokusanywa pasipo utaratibu maalumu.
Wakizungumza na Mwananchi leo Ijumaa wafanyabiashara hao wamesema mbali na kukusanywa kiholela, pia wanadai wanatozwa kiwango kikubwa nje na utaratibu wa leseni zao.
Mkazi na mfanyabiashara katika soko la Misungwi, Ibrahim Manyasi amesema wanashindwa kuelewa utaratibu wa ukusanyaji wa ushuru huo, hali inayosababisha wengi wao kukamatwa pindi wanaposhindwa kulipa kutokana na gharama yake kuwa kubwa zaidi ya leseni yake.
Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Wilaya ya Misungwi, Deogratius David amesema wafanyabiashara hao wamekubaliana kuendeleza mgomo huo mpaka Jumatatu Machi 25, 2024, pindi wakikutana na uongozi wa wilaya na kutatua changamoto hiyo.
Awali akizungumza na wafanyabiashara hao Katibu Tawala Wilaya ya Misungwi, Abdi Makange amewaomba wafanyabiashara hao kufungua maduka yao, huku akiahidi Mkurugenzi wa Wilaya hiyo kukutana nao jumatatu Machi 25, 2024 kwa ajili ya kusikia kilio chao na kulipatia ufumbuzi.

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 3   
@MusaKuluzyala
@MusaKuluzyala 6 месяцев назад
Wanatuzingua
@willy22tv24
@willy22tv24 6 месяцев назад
Kitaeleweka tu
@salimamasanja4659
@salimamasanja4659 6 месяцев назад
Mpaka Kieleweke
Далее
Grand Final | IEM RIO 2024 | BO5 | КРNВОЙ ЭФИР
6:35:24
How many can you smash?🍫 IB : Florin
00:19
Просмотров 3,2 млн
Outsmarted 😂
00:20
Просмотров 2 млн
Mwenge wa Uhuru wachochea maendeleo Misungwi
6:59
Просмотров 2,2 тыс.
KINANA AKIHUTUBIA WAKAZI WA MISUNGWI MKOANI MWANZA
4:57
Grand Final | IEM RIO 2024 | BO5 | КРNВОЙ ЭФИР
6:35:24