Тёмный

KINANA AFUNGUKA SABABU ZA KUJIUZULU 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 48 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

7 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 84   
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu Месяц назад
Sio Kususa Nyie Wajinga, Mtu anayejua Uongozi, Bosi wako Akifanya Maamuzi Huyapendi au akikutuma Ukafanye Kazi huikubali.. Unajiuzulu na Kufunga Mdomo. Si Lile Macho ya Nyoka Msigwa! Linaongea Uwongo Kama Limemeza Kengele ya Kuchunga Ng'ombe.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 18 часов назад
Ameshakuwa Mzee🎉
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np Месяц назад
Au kwasababu vijana wake wapigaji wametumbuliwa mama achana nae mzigo huooo
@husseinsalum5908
@husseinsalum5908 Месяц назад
Eti barua yake moja anabdili tarehe tu😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@elizalutiga6287
@elizalutiga6287 Месяц назад
Duuuuuu
@kolosii4351
@kolosii4351 Месяц назад
Sasa kinachotokea nini na magu alifanya nini?? Mzee alikuwa anaona mbali.
@user-zn4jl5wy3d
@user-zn4jl5wy3d Месяц назад
wengi hawawezi ona hilo
@kwisa4899
@kwisa4899 Месяц назад
Yeye aliwaona mwezake kakosea akawarudisha wanawake bwana
@athumanmbululo3980
@athumanmbululo3980 Месяц назад
Huyu mzee wamwache apumzike,, mbona vijana tupoooi
@thadeusmateru1356
@thadeusmateru1356 Месяц назад
Orodha ya makapi yaliyotupwa na Kikwete na kubebwa na samia orodha imekamilika. Hawa wote ni kundi moja la mafia hawawezi kutengana. Hawa na mzee Makamba si ndio walimtukana Magufuli
@user-nf1tg3kt3y
@user-nf1tg3kt3y Месяц назад
CCM ni anguko kubwa sana mbeleni huko
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 Месяц назад
Pole,utasubiri sana kama fisi anavyovizia mizoga
@coolsinare8824
@coolsinare8824 Месяц назад
ki ukweli hii chama ya ccm inachezea watu sana..huyo bwana kwa nini huwa mnapenda kumrudisha?????yani hakuna anayejali uchumi unaenda wapi???bado kidogo tutaishtaki ccm kwa Mungu
@simonzakaria4770
@simonzakaria4770 Месяц назад
Huyo mzee ni mtetezi wa majambazi.majambazi yake yakitumbuliwa anatishia kujihuzuru kuyatetea majambazi yake
@HalidMuhammad-gi9qy
@HalidMuhammad-gi9qy Месяц назад
Ikisha uchaguzi tu arudishwa hakuna viongozi.wanarudi haohao vikongwe hadi wafe
@robertphilip385
@robertphilip385 Месяц назад
@@HalidMuhammad-gi9qy haa haa nakweli asee niusanii tu unafanyika inchi hi
@robertphilip385
@robertphilip385 Месяц назад
Tena rudi kwenu Mogadishu Somalia Bado Bashe
@abdulyrazacky7969
@abdulyrazacky7969 Месяц назад
na wewe rudi congo
@robertphilip385
@robertphilip385 Месяц назад
@@abdulyrazacky7969 nawewe ni wale wale rudini Mogadishu mkaendeleze Al shabab
@vladimirputn1809
@vladimirputn1809 Месяц назад
​@@robertphilip385😂
@zuleyvendor6577
@zuleyvendor6577 Месяц назад
​@@robertphilip385😂😂😂😂
@user-zn4jl5wy3d
@user-zn4jl5wy3d Месяц назад
muda huo utakuwa umesharudi kwenu rumonge?
@daudimusoma3337
@daudimusoma3337 Месяц назад
Tulishamchoka Kila wakati anajiuzulu. Huyo Mzee akalee wajikuu maana ni Kama anawafanyia mzaha wana ccm
@MS.independent8934
@MS.independent8934 Месяц назад
Matamaniyo yake niya wizii tu hana lolote aondoke tu maana vijana wake wamesha fukuzwa na yeye hawezi kubaki iyo mzee kala sana Cake ya taifa
@olembetonga7341
@olembetonga7341 Месяц назад
😂watu siowajinga bwanaa 😂😂michezo ya ccm hiyo yote ni mipango ya uchaguzi tunaijua hiyoo😂😂😂😂
@Kaka_Rambo
@Kaka_Rambo Месяц назад
😂😂😂 Ila Zembwera
@vanemmy6043
@vanemmy6043 Месяц назад
Aende zake shenzi tu mxm
@sakuranitillya6088
@sakuranitillya6088 Месяц назад
Akafie mbali hiko
@rydo09tzgo
@rydo09tzgo Месяц назад
Hii collabo haieleweki, ulinzi uimarishwe kwa taifa😆😅😆
@aginsagins-jf4vz
@aginsagins-jf4vz Месяц назад
Mnatia aibu mnapoteza mashabiki mjitathimini
@vanemmy6043
@vanemmy6043 Месяц назад
Kwakosa lipi?
@aginsagins-jf4vz
@aginsagins-jf4vz Месяц назад
@@vanemmy6043 huoni uongeaji wao kama wapo kijiwe cha kahawa wanabweka tu mpaka wanajisahau kama wapo sehemu gani
@homeandaway2811
@homeandaway2811 Месяц назад
Jitathmini wewe mwenyewe
@DorcusiDor-mm1sb
@DorcusiDor-mm1sb Месяц назад
Alitangaza kujiuzulu mara 3 lakini kila alijiuzulu matukio yanatokea kwanza sio mtanzania
@Hamil-ud7yw
@Hamil-ud7yw 4 дня назад
Wamuaacheeeeeee tna huyu mzee kwan wengne hmna ? Ccm mbna chama kipo Smart lkn mnafel kwa uyu babu
@JayndevuNgare
@JayndevuNgare Месяц назад
Kwel kitenge kelele zimezid sanaa mpk kipind akina uzur na kuonyesha yy n chama gan?....
@ryangratius623
@ryangratius623 Месяц назад
Naunga mkono, hapo njaa tu
@user-vs8xq4gk3g
@user-vs8xq4gk3g Месяц назад
kijana Kila Mara anapojiuzuru anasema anaachia nafasi kwa vijana , vijana hawapewi nafasi kwa nin?
@JohnRwabigene
@JohnRwabigene Месяц назад
Ningependa nami niwe kwenye studio
@ntegrity277
@ntegrity277 Месяц назад
Watangazaji wa kitanzania ni very local, hiyo ni taarifa be serious!
@homeandaway2811
@homeandaway2811 Месяц назад
Ukiwa serious wewe inatosha
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 Месяц назад
3 chafu poziii 😂😂😂 namba witiri hizo Kapate D mbili ndo uwelewe 🤣🤣 MGUSE MMOJA UNATE
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im Месяц назад
Hawa ndiyo wenye nchi. Wamejitajirisha kwa mali za wengi. Genge la hatari Tanzania. Watanzania yetu macho. Tumeaambiwa KAENI KIMYA
@michaelkalamu4465
@michaelkalamu4465 25 дней назад
Yusuph makamba aendelee kutukana tena ili mwae awe rais
@user-xx1je7sy4h
@user-xx1je7sy4h Месяц назад
Harafu hao ni watu hatari sana nchi hii rwanda ndiko kulikuwa kunawafaa kuishi wangelijuta kuzaliwa lakini huku tunawachekea tu
@michaelkalamu4465
@michaelkalamu4465 25 дней назад
Mipango ya KINANA ,Nape,na January makamba ya kutaka kumpindua Samia suluhu na RAIS wa Tanzania ili asigombee tena 2025 imevuja ndiomana ameona ajiuzuru kabla ya kufukuzwa kazi kwa udhalili.
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Месяц назад
CHANEL YA WASAFI KWANN HAMUACHIANI NAFASI YA KUONGEA? HAPO NI KELELE TUU KITENGE UNA KELELE SANA HAPO. CHANEL HAINA UTULIVU.
@dimosomkoba356
@dimosomkoba356 Месяц назад
Ni bora hata tusinge kuwa tunawaona, maadam wamewekwa kama timu yaani watu watatu basi ilitakiwa waheshimiane wapeane nafasi ya kuchangia hoja siyo baadhi kutaka kujionesha kuwa ni wazuri zaidi ya kuongea kuliko wenzao!! Kwa ushauri hilo wanatakiwa walifanyie kazi, bila ya kuficha bwana kitenge jali mawazo ya wenzako maama unawafanya wengine wajione wanyonge na kama kila mtu akitaka kujionesha ni mwamba asikilizwe yeye basi hapo hapatokuwa na kipindi hapo!!
@robertphilip385
@robertphilip385 Месяц назад
Kitenge ni chawa mkubwa wa ccm
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Месяц назад
Ndo burdan
@daudimusoma3337
@daudimusoma3337 Месяц назад
@@anithawidambe7543 kweli anko hata Mimi sipendi. Hiyo si burdan ni kelo
@homeandaway2811
@homeandaway2811 Месяц назад
​@@dimosomkoba356nenda kaombe hiyo kazi wewe mtulivu, uone kama utapewa😅😅 hawa ndio wananogesha
@ElishaOisso
@ElishaOisso Месяц назад
Kinana anautaka urais 2025
@user-hd5bg8qw1b
@user-hd5bg8qw1b Месяц назад
NANI ATAMPA LABDA KIPOFU
@jacobmbeta5612
@jacobmbeta5612 Месяц назад
Yaani nyie hamuwezi kutangaza mpaka mpige mikelele kama Malaya wanagombea bwana
@godwinkasaizi882
@godwinkasaizi882 Месяц назад
😂😂😂😂,
@user-vd6fu6rv9r
@user-vd6fu6rv9r Месяц назад
.Mnatuharibia profession ya Habari..Kelele zimekuwa nyingi na Ukomedi humo
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im Месяц назад
Wazalendo kama Dr Bashiru waliondolewa na timu ya mama. Wengine wakatupwa Cuba. Watanzania lazima tutafute dawa ya kututibu ugonjwa unaoitwa WOGA. HATA VIONGOZI WAKUBWA WOTE WAMEINGIA UVUNGUNI. Ni nani ataiokowa nchi?
@emanuelmpare772
@emanuelmpare772 День назад
Babu pumzika
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 Месяц назад
Kwa mujibu ya waandishi wa habarani ni kioo cha jamii ispokua angalia hawa waandishi alafu waangalie kinaa salimu kikeke kina tido muhando kina ziyana sefu kina umu lhary kwali hawa tuwaweke kundi gani jins wanapotoa habary wao hawatafakary
@ibrahimomari2458
@ibrahimomari2458 Месяц назад
Kwaumri alionao asingependa aingie kwenye uchaguzi utakao tawaliwa na dhulma na hila...
@samasob8233
@samasob8233 Месяц назад
Hatuvai miwani ya jua ndani ya jengo lolote, hakuna jua, unless otherwise
@EmanuelJoseph-j4m
@EmanuelJoseph-j4m Месяц назад
Mpo wa vizur ndy maana mn avamiwaga n bunduki.
@silvesterrichardhelenya1319
@silvesterrichardhelenya1319 Месяц назад
Hii inchi haina vijana?
@afrovines7996
@afrovines7996 Месяц назад
1
@cngeze
@cngeze Месяц назад
Ana Dementia 😅
@luqmanomary3558
@luqmanomary3558 Месяц назад
Ccm mbele kwa mbeleeee
@vladimirputn1809
@vladimirputn1809 Месяц назад
Majizi wameyafukuza 😂 fukuzawahuni
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 Месяц назад
KINANA ANA UJAUZITO NDIO MAANA AMEACHIA NGAZI ILI AJIFUNGUE USALAMA, NA BAADAE CCM WATAMRUDISHA👁️👁️
@AjuaeAbromo
@AjuaeAbromo Месяц назад
Kwelli
@JackKanyigo
@JackKanyigo Месяц назад
Huyo ni kundi la Nape na Makamba..Mama ajiangalie uchaguzi unakaribia
@simonzakaria4770
@simonzakaria4770 Месяц назад
Mtaabishaji wa nchi acha aende
@EliaBeatus
@EliaBeatus Месяц назад
Hawa wa2 nyie hamuogopi
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j Месяц назад
Mpasuko huo
@user-ht8bd7wq4u
@user-ht8bd7wq4u Месяц назад
😂😂😂😂
@AliDulla
@AliDulla Месяц назад
😂😂
@Bruno-ed1ps
@Bruno-ed1ps Месяц назад
😂
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np Месяц назад
Bora aendezake tumemchoka kabisa
@JohnRwabigene
@JohnRwabigene Месяц назад
Kinana tukichunguza atakua Mzee WA tamaa alitakiwa ajitoe mapema,ila vijana ndo wanamtumia Umli alionao Mzee ovyo,kanyumbani ulemaisha waachie vijana. Tulia Acha maneno umalizemaisha ya yako Kwa eshima
@kwisa4899
@kwisa4899 Месяц назад
Yeye aliwaona mwezake kakosea akawarudisha wanawake bwana
@Bruno-ed1ps
@Bruno-ed1ps Месяц назад
😂
@Bruno-ed1ps
@Bruno-ed1ps Месяц назад
😂
@Bruno-ed1ps
@Bruno-ed1ps Месяц назад
😂
Далее
MBOWE AELEZA MAZITO KIFO CHA MOHAMEDI ALLY KIBAO
11:55
Bike vs Super Bike Fast Challenge
00:30
Просмотров 4,4 млн
Bike vs Super Bike Fast Challenge
00:30
Просмотров 4,4 млн